Ameeen. Na Mimi alieina vyangubkatika ulimwengu wa roho arudishe. Maisha ninaishi sisi yangu. Niko Burundi. Na uimbaji wangu hauendi fasi Mimi na familia yangu. Umaskini ni mwingi
Kama kina Eliya Mtishbi walitenda zaidi ya haya,na Mungu ni yule yule hajabadilika,cha ajabu hapo ni nini? Acheni kumwabudu Mungu aliyelala,mwabudu Mungu aliye hai anayetenda na kuwatumia wanaomwamini.
Jihadhalini na manabii wa uongo wengi watakuja kwa jinalangu na kusema mimi nikristo watanganya wengi sana watafanya miujiza ya uongo, kuweni makini ndugu zangu unabii wa yesu kristo mwana wa Mungu wa pekee umetumia naiangamie kwa kukosa maalifa
Me Mkristo Mkatoliki Jamani waumini wa huyu jamaa nawaomba acheni. Huyu ni mganga.😢😢😢Anafanya vitu vya uongo na vya kishetani. Hakuna Mafundisho ya Mungu ya aina hiyo. Shida zenu waumini zisifanye msimjue Mungu.
Yaani anayejifanya kaibiwa ukimuangalia tu ki-Saikolojia unaelewa naye ni mwzi. Hapo yamefanyika maigizo sisi wajanja tunajua simu ya 4 hiyo maigizo yanaendelea.
Endelea kumuomba Mungu usimtegemee huyu ni mkora ndugu yangu uyo mtu alilipwa aseme Kuna ng'ombe zimeibiwa mm namjua uyo mbaba ana hata kifaranga lkn kama hautanisikia saw
Kila aliyeniharibia maisha yangu,aliyechukua akili za watoto wangu wazirudishe Kwa jina la Yesu.watoto wangu wafanikiwe na kunijali ktk jina la Yesu kristo .
Baba mie kuna mt kani zurumu pes yng 😢😢 baba mie simjui jin rake huy mama na pia ariniambiy iv anatak kunitafutia kazi kumb hapn baba niomb unisaidie mie naitw maryam baba nakufatiria san mung akupe nguvu maan kir niki mwmbiy hatik kunipa pes yng na pia sm yng ime ibiw ss iv natumie sm ndog na kiuchumi pia baba naomb msaada wak baba yng 😢😢😢😢😢niomb na mm please 😭😭😭🙏🙏🙏
Baba nabii ninakuomba nikombowee na family yangu Mimi Ninaitwa pendo ninaomba msaada wako Niko mbeya Kila siku ninaumwa pia maisha hayaendi pia watu wananidhulumu sana nikwambie ninashida matusi ya nguoni nisaidie baba
Hiz huduma ni za kweli lakin kwa sasa kwa ajili ya kujenga umaarufu inabidi watu watengenezwe ili tu kuinua huduma ya nabii juu hiki tu ndyo inanipa mashaka ,ila sasa inakuwaje unapiga cm alafu et wew ndye mwizi wa ngombe rudisha ngombe eti
Ila hii dunia ina WAPUMBAVU wengi sana aiseee!! Kuna watu wanaabudu hapa na Amina wanaitikia kabisa!
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa 😭😭😭😭
Anae tusi mchawi baba uko vizuri sana wafe hao imeandikwa usiache mchawi aishi
Acha ubwege wewe hujitambui na huna mafundisho ya kweli na huyo mkongo wenu.....mtapigwa fire hadi huyo mzeee wenu akome....
@@HopenessPaulAnapanga watu ili wale hela za wajinga!!
Ameeen. Na Mimi alieina vyangubkatika ulimwengu wa roho arudishe. Maisha ninaishi sisi yangu. Niko Burundi. Na uimbaji wangu hauendi fasi Mimi na familia yangu. Umaskini ni mwingi
Imani hizi batili tuspokuwa makini tuangamia MUNGU wangu wa mbinguni ☝️
Tuhurumie Sana 🙏
Maana nihatari
Kama kina Eliya Mtishbi walitenda zaidi ya haya,na Mungu ni yule yule hajabadilika,cha ajabu hapo ni nini? Acheni kumwabudu Mungu aliyelala,mwabudu Mungu aliye hai anayetenda na kuwatumia wanaomwamini.
@@lulumatawalo7805issues ni haujahi Kuona huduma ya kinabii ndio maana una mashaka Kwa sababu akili Yako haijazoeya hiyo
ATUHURUMIE SANA
Yaniii hizo setting ata mtoto mdogo haaa ayamatatizo ya wanadam 😂😂😂 mungu atuhurumie tu 😅😅😅 nimecheka mie
Amen amen mtumishi tengeneza maisha yetu maana tumekuwa katika kipindi kigumu juu ya Dunia hii amen mungu akuinue sana
Muombe mungu
Mbona watu wanamjua huyu Aliyoibiwa Ana Ata kifalanga cha kuku Utapeli wa mitandao 😂😂😂
Na ulisema kweli
Jihadhalini na manabii wa uongo wengi watakuja kwa jinalangu na kusema mimi nikristo watanganya wengi sana watafanya miujiza ya uongo, kuweni makini ndugu zangu unabii wa yesu kristo mwana wa Mungu wa pekee umetumia naiangamie kwa kukosa maalifa
GOD LET YOU TO HELP THE WORLD
PLEASE BE THAT TO ME PASTOR
Mungu anawaona
Baba naomba uniombee mwili wangu unakufa gani upande mmoja wakushoto. Naitwa judihi ni kahama.ubalikiwe sana
Ndugu zangu mbona munamacho lakini amuoni namuna masikio lakini amusikii Eee, Yesu Kristo tujalie tuweze wafuasi wako
Wew towaga ujumbe unawo eleweka
Amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen amen
Me Mkristo Mkatoliki Jamani waumini wa huyu jamaa nawaomba acheni. Huyu ni mganga.😢😢😢Anafanya vitu vya uongo na vya kishetani. Hakuna Mafundisho ya Mungu ya aina hiyo. Shida zenu waumini zisifanye msimjue Mungu.
Wewe lala hayajakukuta tena uachane na mambo ya watu
Hata huko uliko wewe hakuna la maana hizi dini zote ni UTAPELI MTUPU!
Yaani anayejifanya kaibiwa ukimuangalia tu ki-Saikolojia unaelewa naye ni mwzi. Hapo yamefanyika maigizo sisi wajanja tunajua simu ya 4 hiyo maigizo yanaendelea.
wewe wew tapeli
Amiin
Muombee baba yangu awe baby Bora pia niombee nipatane na mchumba angu tuwe sawa😢👏
Muombe mungu
Bwana yesu asifiwe baba nabii nakufatilia sana naomba nisaidie niongezewe mshahala npo Oman nafanya Kaz mwez huu niongezewe mshahala
Mungu akubariki
Amen baba 🙏
Mungu akuinuwe
Mtumishi. Wa mungu nami naomba uniombee oepo la hiv liondoke kwenye mwili wangu
Mtumishi wa mungu nami naomba uniombee mda huu nipone hiv niolewe na Gaston agostino matale
Aya atakuowa kesho
😆😆
Nitafute uyu tapeli
Amina mungu nisaidie kupitia uyu nabii
naomba kazi baba sina kazi kesho niwe na kazi in Jesus name
Kwaiyo uyo baba Ako ndiyo muajiri wa kazi
Nakuku bali sana Nabii mungu akupe maisha marefu
Nenda na wewe katapeliwe kwa sababu munajifanya qajinga sana.
Wachawi wote wafe kwa jina la Yeeeeeeeesu
Naomba Nifunguliwe nipate biashara na nimalize Nyumba yangu Naamini kwa jina la yesu
Fanya kazi Kwa bidii na kumuomba mungu
Amen amen amen amen
Amen amen
Mmm jaman naomba namba
Amina baba uishi miaka mingi nabii
Wewe acha ujinga ,acha kujifanya huna uelewa na hujui kitafakari mambo juu ya udanganyifu ,uo ni udanganyifu unaofanyika hapo.
@@jumamohamed3168Ameshindwa hata kung'amua kuwa hayo ni maigizo!!
Papa naomba ufungulifu juu ya Maisha yangu.Naomba mtaji nifanye biashara niweze kupata unafuu ya maisha....JANE ALEXANDER
Wewee acha upumbavu kenge weweee
Sasa unamtukania nn kwani amekuomba wewe pesa?
Nice
Amen amen amen 🥰🥰🥰💯🙏
Powerr
Haaaaa,sijui
kutengenesha kipindi nyie pastor waongo mbele ya kiama mtajibu😢😢
na imejulikana kuwa huyu jamaa ni tapeli.
Dah nimependa kwakweli
Pastor niombee nimalize kujenga nyumba.na ndogo wangu achee pombe
Nc❤❤❤❤ barikiwa
Naomba unisidie baba maisha yangu siomazuri mutoto wangu alipotea
Endelea kumuomba Mungu usimtegemee huyu ni mkora ndugu yangu uyo mtu alilipwa aseme Kuna ng'ombe zimeibiwa mm namjua uyo mbaba ana hata kifaranga lkn kama hautanisikia saw
Muombe mungu funga na kusali
Izo ekti tyuu
Watesi wangu wote wapigwe kwa jina yesu
Eeeh hapa kama ni mimi naokoka kabisa naacha wizi
yani umeona
Amina
Mtumishi wa mungu nami mda huu naomba uniombee nipone hiv kirahisi
Amen 🙏🙏
Amina baba
Mungu atusaidie wanadamu tumepoteza na kupotezwa
Kila aliyeniharibia maisha yangu,aliyechukua akili za watoto wangu wazirudishe Kwa jina la Yesu.watoto wangu wafanikiwe na kunijali ktk jina la Yesu kristo .
kuna baazi ya kemiko ukichanganya pamoja moto unawaka acheni uwongo sio kwamba mungu hawezi kuwasha moto sio huoo uwoo wakutengeneza
Kama Mungu hakuwasha vip Eliya aliwashaje
Ewe allah tujalie tuijue haki iliyo kuwa sahihi amina
Baba mie kuna mt kani zurumu pes yng 😢😢 baba mie simjui jin rake huy mama na pia ariniambiy iv anatak kunitafutia kazi kumb hapn baba niomb unisaidie mie naitw maryam baba nakufatiria san mung akupe nguvu maan kir niki mwmbiy hatik kunipa pes yng na pia sm yng ime ibiw ss iv natumie sm ndog na kiuchumi pia baba naomb msaada wak baba yng 😢😢😢😢😢niomb na mm please 😭😭😭🙏🙏🙏
😊The 😊😊😊😊😊
Pole sana
Anapambana Kwa simu ..na mwizi anapokea simu mara 3 ya 4 anapiga ...huyo ni mwizi ninayemjua Mimi kweli ?
Amen.
Pastor, prophet nakupenda hata mda huu nakusikiliza najua utanisaisidia kutoka kwenye matatizo ya familia na madeni
Baba naitwa Agnes Anthony naomba unifungue katika maisha yangu na ndug zangu napata shida sana naomba baba unisaidie
Okoka mpokee YESU
Omba mungu wwe acha ujinga
Ameeen
Kira anaye fata mayisha yetu apigwe kir eneyo amina asant yes
Hakuna mtumishi wa mungu hapa, is Ndo Huyu namuona barabaran anarusha hela
Unabii alikua hajauchukua mbona jamaa kujieleza hajaweza😂😂😂😂
Naitwa liliani niombee niweze kubariki ndoa amina
hii move inaitwaje
Asifiwe yesu nabii wangu tupo pamoja
Hiyo ni uongo bana
Mwombee mwanangu Lillian apate mume sahihi pia uchumi wangu ukaongezeke wateja wakanizidie amina
Mume nipo hapa
Naomba nikuoate katika jina la yesu
nimebeti mechi mbili moja nimefungwa mkeka umechanika,,😂😂😂
Wacha nicheka 😂😂😂😂😂hii kali ya funga mwaka
Kwanin
Dah nabii yupo vizuri mungu ampe maisha marefu maana anasaidia sana na ana ubinadamu@@user-tt1nm9xs4n
❤❤❤
Nakkubari sana mtumishi
Baba nabii ninakuomba nikombowee na family yangu Mimi Ninaitwa pendo ninaomba msaada wako Niko mbeya Kila siku ninaumwa pia maisha hayaendi pia watu wananidhulumu sana nikwambie ninashida matusi ya nguoni nisaidie baba
Pole dear
Sina chakusema ila wwe Nabii ni 🔥🔥🔥🔥 wa kuotea mbali barikiwa sana
Bwana yesu asifiwe naomba umuembee dada yangu aweze kupata mtoto
Amen
Naomba maombi msichana wa kazi rahma ameimba vitu vyangu vya ndani
Nabii tabiri juu yangu nipo morogoro juu ya masomo yangu na mama yangu mke wa baba mdogo ananifatilia sana nisaidie
Acha ujinga soma
Mwambie Yesu wewe
@@user-so3gy2io8l TENE WEWE NI MJINGA KAYA BUNTI UTATOBOA
Hiz huduma ni za kweli lakin kwa sasa kwa ajili ya kujenga umaarufu inabidi watu watengenezwe ili tu kuinua huduma ya nabii juu hiki tu ndyo inanipa mashaka ,ila sasa inakuwaje unapiga cm alafu et wew ndye mwizi wa ngombe rudisha ngombe eti
🤣 🤣 🤣 🤣 Daaaa sound live
Bwana yesu atupe macho ya rohoni Ili tuone
Gera
Mungu atusadiye
Kila anayepambana na maisha yetu apigweeee!!
Mbona huu ni uongo wawazi kabisa jamn ,Inamaana watu woote hapo hawaoni ujinga huo kweli???😊
Mchawi lazima apinge kwa jina la yesu
Ole wao manabii wa uongo
Pasko niombee safari yangu halafu univutie jason na semoni
Yani mnawapanga watu ili muibe ela za watu mbwaa nyinyi
Naomba uniombee Kuna taasisi imedhurumu eneo hekari 12 nasomesha watoto kwashida naumia Sana huyo mtu anaitwa Ally Hasani Mahaba
Nabii Wa Mungu ,Niombee nipate Help na kazi
Injili ya BWANA Yesu inajitegemea ..
Amen Amen amen amen amen
Ukiwa na imani tu, kila jambo gumu litakuwa rahisi.
wajinga ndio waliwao😢 vipindi hii😅
I nimechukuliwa notably yangu miaka mingi baba naomba msaada
Naitwa omary mngombe nipo Boko chama DSM naomba uniombee kipato hali yangu siyo nzuri kwa kipato,natanguliza shukrani zangu kwako mtumishi
Mtaibiwa mpaka mfe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mpaka mfeee
Salio linaisha, mchungaji hata hamsaidii kuongeza duh.
Naitwa victor simundwe
Safi
Aaamena 🎉
Akuna Wizi Apo Mpango Huo Kote Uku Kutokusoma Neno Siku Izi Tunafata Miemko2
Upo sahihi❤
Glory be to God
Masenge yamekaa kimya kabisa na kuamini huo upumbavu!!