Gladness Kifaluka: Zamani nilikuwa napenda kuwa na mahusiano na wanaume wazee, sipendi 'boys'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Sehemu ya pili ya mahojiano na Getrude Mwita pamoja na Gladness Kifaluka. Hapa, Getrude anazungumzia tetesi za kwamba aliolewa na Idris Sultan na Gladness anaeleza kwanini alipenda kuwa na mahusiano na watu wazima (wazee)
Hongereni sana urafiki wenu uko positive sana mfike mbali wengi wa marafiki siku iz wanaoneana choyo na wivu bila kuwa na wivu wa maendeleo salut kwenu
Kupitia hawa wadada, I learned something, thanks for inspiring na I will apply to my friends
Nimecheka....amazing friendship.
Nice sana mbarikiwe mungu alie mbinguni anamijua vema
Mungu awasaidie saana aaamiin🤲🤲
What a lovely friendship 😍they’re total badass I wish I could have someone to share my feelings and support me in every milestone just like these two beautiful n smart ladies 🥰❤️ dadas you’re loved you’re appreciated 🥂
Mi nawapenda jamani
Me too Chelsea
Mimi hapaa❤️
Come to me
Nitumie namba dia
Nimeenjoy sanaaa.... amazing friendship
I love you all,nmependa sana urafiki wenu😘😘😘
Nimefurahia interview hii sisikilizagi mpk mwisho lkn hii nimesikiliza mpk mwisho
Nawapenda bure* Mi Sina rafiki Coz wanawake wengi urafiki wao c wa kueleweshana Maisha* naona Bora nichill alone.
Dah!kiukwel huwa sina rafiki wa kike kabisaa,ila hawa wadada wamenitamanisha niwe na rafiki wa kike ila awe anajielewa aisee,hongeren sana wadada aisee😍😍😍😍😍
Yaani hata mie rafiki closed mh Sina
Ila Hawa naona wako vizuri
Glady you really made my day haki ya mungu.!
I want to have a best friend like your friendship in 2021
So marvellous friendship nimependa mnoo I wish to have a friendship like yours dadaz🤗♥️
This is bond relationship. Very amazing. Allah awalinde
One of the best interview ever♥️
Inaonekana wanapendana sana nimependa urafiki wao,,, I wish namim nipate rafiki wakwer na wakupendana ukwer kama huu,,
I just love their friendship
kawaida ya wachaga stori zao huwanga ni za kuchakarika na pesa tu kwa hilo nawapendaga
U guyz nawapendaa tu kila mtu kwa nafas yake...... Pendanen sanaaaaaa na mm nawapenda
Yaani nimecheka sana jamn mpk mbavu zauma mashallah nawapenda
Very inspiring ma shaa Allah.
It is so impressive,inspiring and motivating. Your friend ship should exist forever. Love you so so so soooooo much
Hongereni wadada. Mpo open sana.Mmetu inspire sana. Tunawapenda
Nimewapenda sana kwakweli mungu awape maisha marefu na urafiki wenu uwe wakufa na kuzikana❤❤❤❤🥰🥰
Mungu Aubariki Urafiki wenu!!!!!!
sky glass zinaleta mwangwi kwenye mike masikio yanauma..next time wawekee vitaamba apo chini maybe itatusaidia wasikilizaji bila kuwa na barriers katika usikilizani.
Mashallah mungu awatie nguvu kwenye urafiki wao
They are very classy 😊...no fake show off
Nawapenda Saana jamanii nimeinjoy saana💞💞💞💞🥰🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️
❤️❤️❤️you guys mpo vzr mbaki hvyo hvyo
Jamni nmecheka mpaka nalia Ila chazaidi nmependa sanaaaaa ufaki wenu mmh nawapenda nyooooote double G
Yaaan jamani nilipokuaa nakuona na dulivani nilijuaa mwehuu flani kumbee unamadinii hatar hongeraaa
Gladness ni comedian by nature ako interview bt ni vituko tu🤣🤣🤣
I love this interview
Pili pili pili ww mungu anakuona nimecheka sana
I love you guys be he
happy
👌👍
Nimejifunz mengi jamaniii. All in all I love you guys.you have insiper me
Love you girls
i like it jaman😘
Nime wapenda sana
2022 niko hapa kiukwel haichoshii
Such a truly friendship❣️😍🥰😘
Nice
Nimewapenda
I felt it.....note taken
😂😂😂daaah mbaka laaa jamani
Pili jmn ukiyatufta ya mtandaon ucniulize😁😁😁😁😁
Good interview 😘
Nimependa sana toka mwanzo nimefatilia urafiki mzur Sana
Niwacheshi🤣😂😂😂 nimempenda pili kitimtitim
Namipia anajiamini
Yule mvulana anayeua watu ndo amekuoa😂😂😂😂😂
❤️❤️❤️
Nimewapenda sana
Nawapenda❤️
Amina kazogolo you are missed....
Nawapenda jamani
Warembo wazuri mm nataman niwaone wote pls nambien mabint sayun maana nimewapenda sana!P
Yaaan nmempend glady najion mm kabs mitabia yake😂😂😂😂😂😂
🤔
@@mnzavachris5423 n
That is really friendship
I love you girls mwaaaaa
girls wako murwaa
Double G mko vzr sana nimewapenda
Wanawake Bhana.. Akili zao wanajijua wenyewe..
Nimecheka kweli. Eti Nadet na vizee 😀😀😀😀
Nice 👌
Hii kka nahitaj urafiki wao,,,mmi joyce
Nimependa capo yao
Mniunge nami urafiki wenu, jameni
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣pili pili nakuita jmn uwiiiiiii 🙌
Tabia yao hao inaondoa wivu
Nimependa sana urafiki wao
Nimependa sana nataman lafiki kama nyinyi
Pili kibibi nawapenda sana jmn
Mm nimependa zaid ya sky boy
Mnapendezaa
🇹🇿 - These 2 GETRUDE & GLADNESS are what you Call "REAL FRIENDS". You Can tell by the Way Both are Looking at Each Other.
I Laughed So hard tears were rolling down my Eyes when Kifaluka Said how Kibibi greeted her Grandfather Boyfriend -"Shikamoo" - Dating Boyfriends of 50 years to 102 years.😅😆😆
(A True SERVANT is the One who tells the KING is "NAKED" when the KING doesn't Know he is Naked). KUDOS. 🇨🇦☻🇰🇪
Vipi munaweza mipigo au ndio siwezi. Kukaa hivo . Bongo hakuna mamis hebu njoo zanzibar
Jamani mi nawapenda nyie wadada 😊😊😊
Safi sana
🤩 Nimewapenda bure hasa huyo G
Gladys
Nimependaa
Sns nikija Bongo nataka interview na mimi
Unachekesha kajambe😂
@@aishaarusha894 Dogo hunifahamu,you don’t know who I am,where I am from 🤪🤪🤪
@@aishaarusha894 th-cam.com/video/7H4KQCo0ldw/w-d-xo.html
@@aishaarusha894 ndo Mimi nikiwa studio maandishi matatu kitambo saana ...
@@D-Man.B-Free awapi 🤣
Hawa ni kama mapacha
Gladness
Hawa wadada nimewapenda sana
Nimewapenda bure aiseee
👌🏼👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Naumwa kichwaaa😁😁😂😂 kwa kuchekaa dah pilii
Raha sana kuwa na rafik mnayeendana
Amaiziiiiing
Sns for life
Nimewapenda bure
Kwer
Atari lakin salama
🥰🥰🥰
Nimejua kucheka leo yani pili kanicheksha hapo kwenye kudet na mibabu🤣🤣🤣
Nimefurah jaman pia nimejifunza
Hao mabinti wana kiu balaa,wanamind maji kama wako jangwani(natania tuu jemeni)
Hujui thaman ya maji mwilini 😁😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hakuna kitu kizuri km kunywa maji kwa wingi
Hakuna kinywaji kitamu Kama maji💦
👍👍👍
SKY unangufu kweli kuzungumuza nauyo dada nikisha kitimitimu kimesha muharibu
Yaani wakimbieni haswa ao marafiki mie mwenzenu nipo tu rafiki zangu ni wazee na babe
Pili wangu kitimtim nacheka mpaka nakufa
Kibibi wangu wa huba mwaaah
wako kwenye huba kumbe ??
@@mnzavachris5423 kibibi pekee
Mrs Liverpool mbn km wamefnn..ni ndugu? na kibibi ni yupi hapo?
@@mnzavachris5423 mwenye shati nyeupe tupu
Cathereen Exzavery huyu wadada wameolewa ?