Tazama Injinia Hersi Said alivyoongea na wachezaji wa Yanga kuelekea mwisho wa msimu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 มิ.ย. 2022
  • #YangaBingwa

ความคิดเห็น • 16

  • @fadhilimrisho7804
    @fadhilimrisho7804 ปีที่แล้ว +1

    hakika wewe ni kiongozi unajua kuwajenga WACHEZAJI kisaiklojia. big up

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hersi vizur sana ability kubwa sana

  • @richardsindano
    @richardsindano ปีที่แล้ว +1

    Very good leader our président 👌👍🙏

  • @hamzalipuye7198
    @hamzalipuye7198 ปีที่แล้ว +6

    Wanaomkubali the big bos walike hapo twende sawa

  • @ains1122
    @ains1122 ปีที่แล้ว +1

    Boss kama Bosss

  • @RahimuHamza
    @RahimuHamza 8 วันที่ผ่านมา

    Mrundisheye mayere

  • @rtp9010
    @rtp9010 ปีที่แล้ว +1

    The president

  • @mudathirrashid8503
    @mudathirrashid8503 ปีที่แล้ว +1

    huyu jamaa anafaa kuwa raisi

  • @peteradioyona5919
    @peteradioyona5919 ปีที่แล้ว

    Et Siri 🤣🤣🤣ukitaka kumfunzi jirani asie jishughulisha pika wali Kaa nje ajifunze kutafuta

  • @rtp9010
    @rtp9010 ปีที่แล้ว +2

    Bonge la kiongozi

    • @allybulula9104
      @allybulula9104 ปีที่แล้ว

      Pamoja Sana hels ananikumbusha nilipokua nasoma secondary nilikua
      kiongozi ninaefanana nae by Ally burula pande za muskat Oman

  • @ains1122
    @ains1122 ปีที่แล้ว

    Le presidant

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 ปีที่แล้ว +1

    Nyiye nao sio kila kitu mitandaoni. Kwani hamna mipango yenu ya siri?

    • @brianmekere325
      @brianmekere325 ปีที่แล้ว +1

      Ulaya huoni mambo hadharani tu tena hiyo msimu uliopita

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 ปีที่แล้ว

      ​@@brianmekere325 Achana na uyo mchawi Mambo yao ya siri siri wao kwenye table ni wangu mambo ya siri kwani apo wanatongozana , Guardiola , arteta tunawaona kila siku kwenye dressing room anawapa somo vijana na watu hawaongei ila so kosa lake ye kwenye football anajua simba na yanga ndo tatizo ilo!

    • @brianmekere325
      @brianmekere325 ปีที่แล้ว

      @@azizymachadeson3577 kweli aisee unaficha kitu gani kama timu yako ni nzuri basi itafanya vizuri tu ila kama ni mbovu basi mbovu tu