INJINIA HERSI ATOA OMBI ZITO KWA RAIS SAMIA "TUNATAKA KUJENGA UWANJA JANGWANI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- INJINIA HERSI ATOA OMBI ZITO KWA RAIS SAMIA "TUNATAKA KUJENGA UWANJA JANGWANI"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mm sio yanga lakini kwa hili nakupongeza sana mama haijawahi tokea umetuhishimisha sasa sio tena kichwa pchap mwandawazimu
Rais wa yanga ni mnyenyekevu jamen sijuwi fei kile anacho kionge Kama ni kweli mungu atamlipa Kama anamsingzia mtu wa watu
Niliwambia kuwen makini na huyo Morison.atafanya vioja na kweli kafanya vioja mmejionea wenyewe.
Kazi nzuri. Asante sana Mheshimiwa Rais. Hongera sana Yanga.
Duh halafu kuna neno limesikika rais wa club aondoke ili mchezaji arudi
Mimi ni Simba, lakini huyu jamaa namkubali sana, maana hata speech zake zimetulia sana, hatumii written documents lakini speech imenyooka mno! Lakini pia namkubali sana kwenye mipango na mikakati ya kimaendeleo hasa kwenye soka, tunahitaji viongozi wa aina hii kwenye Klabu zetu ili Tanzania ifike mbali sana kisoka 👏👏👏
Brother benard..... Namkubali sana hapendi unyongee
Speech hadi nasisimuka congrats President Heri!
huyu anafaa kuwa raisi wa shirikisho la mpira Tff naamini tutafika mbali
Morison ni mvuta bangi sema hamjui tu, yey ndo mzinze?😀😀
This man has a huge IQ can't imagine his speech it's like written on a paper
Piga kazi jamaa unapiga kazi safi sana
Diara ,mayere hongera sana
Ongera,injinia,ariss,raise,wetu,yanga🙏🧡💚💛🧡💚💛
Kazi iendelee mama yetu tunakutegemea Kwa Kila hatua na Mungu akutangulie kwa kila jambo 🙏🙏
Pamoja rais
Hii Ndio Maana Ya Elimu💚🖤💛
Siasa kwenye mpira tunaua soka letu ifike mahali wanasiasa wawe wanafanya hivyo Kwa team ndogo kama Namungo na zinginezo
Hujaeleweka Kwan namungo ni kituo Cha yatima? Maana yake hio siasa ambayo huihitaji ndio unataka isapoti namungo ambayo pia ni team ya mpira
Halafu anatokea msenge mumoja anasema eti raisi atoke clubuni sasa helis said hatoki
Mjinga yule
Acha ushamba wewe siyo klabu kutoka Tanzania kwa mara ya kwanza Simba ndio ya kwanza nyie utopolo ni wapili
Kawasikilize CAF WW KONYO
Hasira teleee
Ujielewi kuma ww
Namchezaji Bora Wafainali Pia Mmetoa Nyinyi Kwanza. Namfungaji Bora Wamashindano Mmetoa Nyinyi Kwanza.
Kombe gani umesikia lkn?
Clement mzize saa mbovu ikasimama 😂😂
Ila Bernard shikamoo😂😂😂
Ni jambo jema lakini rais kuingilia mambo kama hayo wenye MICHUANO ya fifa wanaweza wakatufungia tusishiriki MICHUANO yeyote ya kimataifa
Hata wasiposhiriki hakuna timu ya kuleta kombe hapa.
SENEGAL UNDER 17 WAMEPELEKA KOMBE IKULU HATA MWEZI HAUJAISHA😂
Kaingilia? Kaingilia nini?
Morocco walivyotok kombe la dunia wachezaji wote walialikwa na mama zao ikulu mbon awajafungiwa mpk Leo.
Speechless
You are the MAN OF PEOPLE🎉
unapendez kweny hicho kiti cha urais
Ndio lile kombe la looser eee.
Musimalize maneno vyura nyie.
Niliipenda yanga tangu mwaka 1974. Hongereni sana
Daima mbele nyuma mwiko
nilianza kuipenda yanga tangu 1722 sasa najivunia kuwa mwana yanga
Genius and very smart he is our leaders 💚💛,nioneshe kiongozi wako smart na genius kama huyu😅😅😅
Pesa inaenda Kwa wachezaji izo sura mbn Kama Kuna ujanja ujanja😂
ANADANGANYA *HAPA TUMEPATA MAGOLI*
Na wew kaongope
Upo vzr kaka ,ww ni pure kiongozi
Aendele kuwahudumia Watanganyika
Morrisson kichaa😂😂😂😂
What an Orator 👍👍👍
❤
Yanga woyoooooooooo
Super confidence yani hapo mimi ningetetemeka mpaka na faint 😂😂😂 not easy as it looks
Many of engineers are intelligent and capable in many angles
😁😁😁😁😁😁😁 benard bwaaana
Wew utafika mbali Sana hata uongozi wa serikali utapewa
huyu jamaa ana akili sana,,uwanja ukiisha tu utasikia serikali wamemchagua na kumpa nyadhfa za kiserikali hapo usishangae 😂
Morrison hahahaaaa
Jangwan hanuna maji mzee
Ila Morrison 😂😂😂😂
Presidents requesting each other
Hapo makolo miyon mwao
UNA WASHWA WEWE
Kwan mako ni Nani @salimmalaka256 mbn umepaniki
Iyo yanga uko congo s c
Amemsahau Andrei mtine
❤❤❤❤🎉😂
Safi sana
❤❤❤❤❤❤
😘💚🔰🇹🇿👑
congrat yanga
I 💚yanga
So sad Tanzania hawatawai enda mahali since chance yao ilikua na Hayati JPM
Morisoni mjinga sanaaaaaaa
Kweri ilikua vita sana ila Poleni mungu Yu pamoja nasi wananchi
Tuwashitaki kwetu hatukuwafanyia hivi
💚💚💚💛💛💛🔰🔰🔰🔰
🙏🙏🙏🙏
Kweli club ya wananchi
Spechi free style sio ywkuandikwa hahahaha
Manara Yuko wapi jamn
Civil engineer huyo
MH....hersi. ...hongera
💚👏🤳💪🙏
Njoo tule
Our man of people 🔰🔰🔰🔰
Big up mr president
Naam
Hers genius
Kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake,
CHANZO chake ,DALILI na MADHARA yake
Kutokuwa na uwiano sawa wa homoni kwa wanawake ni hali ambapo kuna mabadiliko katika viwango vya homoni zinazosimamia mzunguko wa hedhi na uzazi wa mwanamke kwa maana ya uzalishwaji wa mayai. Sababu za kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake ni pamoja na:
Uzazi: Mabadiliko ya homoni yanaweza kutokea wakati wa hedhi, ujauzito, na kumalizika kwa hedhi (menopause).
Matumizi ya Dawa: Matumizi ya dawa, kama vile dawa za uzazi wa mpango, dawa zenye kemikali za kurekebisha homoni , na dawa za kupunguza MAUMIVU zikitumika kwa muda mrefu,zinaweza kusababisha mabadiliko katika viwango vya homoni.
Matatizo ya kiafya: Magonjwa kama vile , ugonjwa wa tezi ya pituitary, ugonjwa wa kisukari, na magonjwa mengine yanaweza kusababisha kutokuwa na uwiano wa homoni.
Maisha ya kila siku: Mabadiliko katika maisha ya kila siku, kama vile lishe, mazoezi ya mwili, na usingizi, yanaweza kusababisha mabadiliko katika viwango vya homoni.
Baadhi ya dalili za kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake ni pamoja na:
Kutokwa na damu ya hedhi kwa wingi au kidogo sana.
Maumivu makali wakati wa hedhi.
Kupungua kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa (libido).
Kupata hedhi kwa kiwango kisichoratibiwa.
Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa,hii inasababushwa na kukosekana au kupungua kwa Ute unaozalishwa wakati wa tendo la ndoa kwenye uke,ambao hutumika Kama kilainishi.
Kutokwa na jasho jingi wakati wa usiku.
Kupata hali ya wasiwasi au unyogovu.
Madhara ya kutokuwa na uwiano wa homoni kwa wanawake ni pamoja na:
Ugumu wa kupata ujauzito au kutokuwa na uwezo wa kuzaa.
Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi ambayo inaweza kusababisha upungufu wa damu mwilini (anemia).
Maumivu wakati wa tendo la ndoa (dyspareunia).
Kuongezeka kwa hatari ya kusababisha saratani ya matiti, saratani ya kizazi, na magonjwa mengine.
Kupata dalili za kuharibika kwa mfumo wa mifupa na osteoporosis.
Ni muhimu kwa wanawake wanaoona dalili zinazohusiana na kutokuwa na uwiano wa homoni kutafuta ushauri wa daktari ili waweze kupata tiba sahihi.
0620785623
Au wasiliana nasi kwa USHAURI na tiba