AHMED ALLY" TUKIMUACHA CHAMA TUTAKUJA KUJUTIA/HAWANA UWEZO WAKUMCHUKUA/SIMBA DAY TUNASHUSHA MASHINE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 มิ.ย. 2024
- Klabu ya Simba SC kupitia kwa mashabiki wake Leo June 30,2024 wamefungua Tawi la Timu hiyo lililopewa jina la Mpira burudani maeneo ya Kigamboni Mbutu kichangani,hafla hiyo iliyohudhuriwa na Msemaji wa Simba SC Ahmedy ally ambae ndio alikuwa mgeni Rasmi
- กีฬา
Wewe ni zaidi ya wasemaji wote duniani uongezewe mshahara kwa kweli
chama is talented player;we should keep him in our club
Hakuna mkubwa kwenye timu Simba ya msimu ujao inawezekana bila chama 💪😢
Mashindano ambayo yako mbele yetu,vzr sana😀
Mnatupa presh juu ya chama semaj kama ameongez mkataba tuambien maan daah
keep the man he is magnificient
Jamaica chamade ni bora Nassington mashabiki tunaona yuko bora
Semaji tumechoka ba mafumbo yasiyo kwisha kuhusu chama naomba utuambie wazi ilitujue
Izopesa bola mungefanya usajili mbona munapenda safali sana nyinyi olewenu muje mutuchanga atuta waerewa
Mbona unazunguka sana sema jambo mojaa achaa adisiiiiii
kwa maoni yangu binafsi Simba sc ni muda sahihi ya kuachana na chama kwani hata ukiangalia uwezo wake umeanza kuchuka, hivyo ni kheri kumtafuta mtu mwenye uwezo zaidi ya chama.
Timu inaondoka lini
we chama bali simba mimi nakupenda saaaanaaaa
mungu ibariki tanzania🎉🎉🎉❤❤❤
Bado mwamba yupooooooooooooo
😂😂😂😂😂😂
Huyu ndio ahamed Ali Sasa.
Kuongea ujinga wa kuwafurahisha? Huyu unaona ana akili! Anajirudia mara kumi
Mtamua Mzee Saidi Simba sport club
Chama kama angekuwa anabaki angekuwa tayar asahasain ila now tarehe 1 jully tayar mchezaji huru
😂😂😂mwamba walusaka naamini tutakuwa nae na tutatambabnae
Bora abaki chama ndani ya Simba bado uwezo anao mkubwa Sana kuitumikia Simba tusimuache mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ tunaimani nae chama
Minaonatumuache tyuu bwana
Yeye ndio anawaacha hapo ndio shida
asiondoke mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤abaki simba nguvu Moja
Tumeskia chama hayupo tena Simba nyosha maekezo 😅
Saivi kila andiko unalotaka kuandika unalifuta😂😂😂😂😂😂
Simba wanasema kazeeka🤣🤣🤣leo wanajua anaondoka,wanasifia ! Huo ndo mgawanyiko wa simba! Akibaki,walimtukana?? Jibu ,HABAKI!
So kweli katoka mwamba
Niseme tu viongozi na huyu mwanahabari asiwafanye watu ndundusa. Semeni kiume hapo watu wajue moja. Na mkimuacha kisha baadae mpigwe mabao na timu yoyote ile ya Bongo ndipo mtakapojua mbichi au mbivu kwa hawa ndundusa.
mm nafikili swalamoja nazani tunajuwa misimu 3 mfulu lizo atuna furaha kabisa wana simba sasa wazo langu mm iyo pesa itayo tumika kwenda uko misr tuta fute mbonge lamchezaji mtu wakazi kazi kumzidi chama maana ss tunajuwa chama tena 😂😂😂😯.
Nyoosha maelezo,mbona unazunguka mbuyu.mana siyo kawaida yako kama jamaa chama yupo ungejimwambafay lakini kinyoooongee. Imeenda iyo.
Mh uku awez kuondoka mala watakao mchukua watakuwa kam fisi tueelewe lip saa
kauli zako Ahmed ni za kisiasa :hopeless;hamna uwezo WA kumlipa so stinge Mo
Nyoshaah
Mbona ngonjera nyingi, jibu, yupo au hayupo?. wewe mwenyewe umesema ni mchezaji huru, hivyo nafasi yenu kwa chama ni Hela tu, maamuzi ni ya chama.
Nyie mnao ongea anyooshe maneno kwani yeye ndio anae sajili yeye msemaji tu anatangaza kilicho andaliwa kwasabau ashakuwa muwazi kuwa tusubilie viongozi ndio watakao amua hafai aachwe
Sura yako tu inaonyesha chama hayupo simba
Chama kabaki au
😂😂😂😂😂semaji lenye gundu kukosa makombe hadi chama kuondoka
CHAMA kaenda JANGWANI MAMAE SIJAPENDA KABISA ASE
Wanapenda sana kuwadanganya Wanasimba..kwa porojo zisizo kuwa na kichwa wala miguu! Pathetic!
Huyu kula yake kuongea! Subirini muone🤣🤣
Huyu abaki mpk afie msimbaziii
Mbona mnatumia nguvu sana
Kama mnata kujenga timu chama asibaki
Sema ukwer konanyingi xana wambie watu ukwer
Walisaini vipi wakati wanajua walichelewa kulipa? waandishi wa Tanzania mmmmmh!
Mbona umechukua muda mrefu kuwa ambia kuwa mmemuacha
Hapo umeongea ukweli
Ashasepa mna hio msemo BC kishaumana Chama jina lake lisahaulike
Yaani porojo tu chama kaishaondoka kitambo na kesho anatambulishwa kwa wananchi
Yanga hana hela ya kumlipa chama
@@Gisakijamadudakesho utajua kama yanga hawana Hela sijui akina Aziz k pacome diara aucho wanalipwaga mawe kwahiyo nyie makoroboi ndo munahela tu je azam
@EliaMkumb-wn7bm mjifaliji Ivo Ivo,,, mlisena Mzee vp Leo Kawa kijana 😂😂😂wagogo me
makoro mwenyekili hamna kabisa kila siku chama chama kwaiyo kumbe nyie bila chama hamna timu
Acheni kumpandisha kiburi uyo chama
Maneno na kusajili tu kuchukua ubingwa aaah
Nakuhusu chama vp wazee
Umeznguka tuu sem anaondokaa
Mmemkosa safri hi 😅😂
Kwani mwaka Jana mlikuwa mnatania
Waambie tu mwamba Kagoma KK usaini . Huna lolote zaidi ya kuzuwia taharuki.
Chama tunamuhitaji acheni brabraa, fanyeni uamuzi wa busara
Bango kesho🤣🤣🤣🤣Chama Yanga!
Unawapa moyo alafu unatoka kwenye mada
Hivi ni lini viongozi wasimba watakuwa wawaziii??
Aibuuuuu!!!!!!!
🎉tafta hela
Tungemuacha tu amishaanza kutuletea visa sana kwa ilo m'mekosea
Mbona maelezo marefu sana dalili sio nzuri 😂😂😂😂😂
Chama ni mwananchi hadi saiv huyu kichaa anajing'ata ng'ata bure tu koroboi eti wakimchukua watakuwa mafisi huy jamaa ni taira yan
Pamoja na upendo wetu kwake,kama yeye mwenyewe haoni upendo huo na kung'ang'ania aondoke ni kumwacha ili astusumbue asije akaendelea kudengua.
Chama abaki
Semeni kweli kenge nyie kachukuliwa na Yanga ndiyomaana unazunguuka zunguuka tu. Mwaka huu hamko nae paka nyie
We sema tu kaenda yanga maneno mengi wakati chama kesho yupo zake yanga
Tatizo mashabiki madinduka au makolo uyu fala ana wadanganya sana liongo hatal fukuzeni linamkos
Acha matus kaka mtu Yuko kazini kama inakukera usiangalie
Hata kuongea hajiwezi masikini anazungukaa kama anaosha pipa hapo hapo anajichanganya..Eti hakuna timu yeyote hapa tz inaweza kumlipa chama hapohapo madunduka wanapiga makofi kwa furaha akajisahau tena kama watamchukua bac watakuwa kama mafisi tuh... Madunduka wakabaki wanyonge maskini duh...Mbona unatumia nguvu kubwa sanaaa
Ahmed Ally kwenye siasa zake 😂😂
😢😢
Mashabiki wa 5imba mnaandaliwa kisaikolojia chama bye bye 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli ahmed ally ni kichwa tenge anaongea mambo na kuyasahau mda huo jmn fara ni fara tu
we shenzi acha kashifa Hilo ni semaji bwana
Huyo dogo kutoka moroco yupo kwel au cheche2
too much politics tatizo anaenda wapi yanga it's a defeat to you by yanga;
6:56 😅
Wewe siasa sasa za nn maneno umeongea mengi sana sema neno moja bado maamuzi hayajatoka au hatunae au tunae unapoteza sv zako kwa maneno mengi sana unajua nakukubaki sana hujui tu.
Xavi mtupu
Mwamba wa Lusaka simba ni nyumbani, haiwezi kwenda kutengeneza madeni ya kuidai timu na kupelekana cas mwambaaaaa
Ukitaka ujue kwamba Simba Mashabiki kweli ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Rage ni kwenye hii speech ya Ahmed Ally yani hapa mpka saizi hajui kama wanapigwa porojo na Bado wanapiga makofi
Kama sisi tuvyojua kuwa utopoloni wenye akili wawili tu
Unatexeka kweli
Jichetue tu
Kama una D 2 lzm uelewe
SIMBA WAMEKOSA FEDHA CHAMA AMEENDA YANGA AHMED ALI ANAENDELEA KUWAJAZA UMBUMBUMBU
Mwache aende
Acha polojo zako unaongea maneno mengi sana wenye akili tumeelewa
mmepoteza chama ubahili;umempoteza beki wacost ubahili;majibu ya Simba so sahibi;ubahili mtupu;we are touched if chama is lost to yanga
tunafeli
Hapa hali tayari ishakuwa mbaya kwa simba, chama ni mwananchi hapa. Wameshindwa kufika bei. Yani hakuna chakuongea kipya hapo 😂😂
Jasho jingi sana linamtoka uyu jamaa kwasababu ya chama
KWA KWEL HAPO NDIYO NAAMIN KUWA SIMBA INATATIZOZO KUBWA HASA KUANZIA KWA VIONGOZI HASWAAAA....!
Semaji unachelewesha mambo tupe habari kamili
Hakuna khabari,kesho utasikia Yanga wakitangaza Chama 🤣🤣🤣
Kwa hiyo usajili wa simba ni chama tu?! Mo anajua kuwachezea Makolo! Ongelea chama,watatulia! Unaongelea jezi,watu WANATAKA KUJUA USAJILI! MO HUYOO🤣🤣🤣🤣🤣
Hayupo acha rongo rongo ww mbana pua.
jamaa anatumia kauli ya maanufaa ya simba😂 kuwapoza mashabiki tu😂 sema iv jamaa ashatoka tayar acha uongo ahmed😂
Mnazidi kumsingizia eti kauza mechi eti hatufai Leo mnamtaka Tena? Kaenda yangaaas.
Chama kisha ondoka anashindwa kuongeya ukweli lakini wachezaji kama Chama ni wengi tuu
Ogopa technology, baada ya
Misimu mi3
Bila taji lolote muhimu.
Jamani msituchoshe kama anabaki saw anakwenda saw tumechoka kelele za chama xhamc
Mwamba kaamua kufanya umwamba wake
maneno haya mbona kama ni ya sizitaki mbichi hizi!?🤣🤣
Umeona eee
Hatuzitaki jezi kama hamjasajili watu wamana tunagoma kununua jez
Yoga ww
Chama chama eeeeeh tumechoka sasa ifikie wakt iwe bx bwan
😂😂😂😂