AHMED ALLY" TUKIMUACHA CHAMA TUTAKUJA KUJUTIA/HAWANA UWEZO WAKUMCHUKUA/SIMBA DAY TUNASHUSHA MASHINE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 มิ.ย. 2024
  • Klabu ya Simba SC kupitia kwa mashabiki wake Leo June 30,2024 wamefungua Tawi la Timu hiyo lililopewa jina la Mpira burudani maeneo ya Kigamboni Mbutu kichangani,hafla hiyo iliyohudhuriwa na Msemaji wa Simba SC Ahmedy ally ambae ndio alikuwa mgeni Rasmi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 138

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414 วันที่ผ่านมา +3

    Wewe ni zaidi ya wasemaji wote duniani uongezewe mshahara kwa kweli

  • @drallan6879
    @drallan6879 วันที่ผ่านมา +3

    chama is talented player;we should keep him in our club

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 วันที่ผ่านมา +2

    Hakuna mkubwa kwenye timu Simba ya msimu ujao inawezekana bila chama 💪😢

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 วันที่ผ่านมา +1

    Mashindano ambayo yako mbele yetu,vzr sana😀

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 วันที่ผ่านมา +2

    Mnatupa presh juu ya chama semaj kama ameongez mkataba tuambien maan daah

  • @drallan6879
    @drallan6879 วันที่ผ่านมา +2

    keep the man he is magnificient

  • @SephaniaSanga
    @SephaniaSanga วันที่ผ่านมา +2

    Jamaica chamade ni bora Nassington mashabiki tunaona yuko bora

  • @RahmaKhalfani-qp3vc
    @RahmaKhalfani-qp3vc วันที่ผ่านมา +1

    Semaji tumechoka ba mafumbo yasiyo kwisha kuhusu chama naomba utuambie wazi ilitujue

  • @user-gs2ir3bg4j
    @user-gs2ir3bg4j วันที่ผ่านมา +1

    Izopesa bola mungefanya usajili mbona munapenda safali sana nyinyi olewenu muje mutuchanga atuta waerewa

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona unazunguka sana sema jambo mojaa achaa adisiiiiii

  • @eunho9529
    @eunho9529 วันที่ผ่านมา

    kwa maoni yangu binafsi Simba sc ni muda sahihi ya kuachana na chama kwani hata ukiangalia uwezo wake umeanza kuchuka, hivyo ni kheri kumtafuta mtu mwenye uwezo zaidi ya chama.

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h วันที่ผ่านมา +2

    Timu inaondoka lini

  • @DIANAPETER-n7q
    @DIANAPETER-n7q วันที่ผ่านมา

    we chama bali simba mimi nakupenda saaaanaaaa

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 2 วันที่ผ่านมา

    mungu ibariki tanzania🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u วันที่ผ่านมา +2

    Bado mwamba yupooooooooooooo

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu ndio ahamed Ali Sasa.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 วันที่ผ่านมา

      Kuongea ujinga wa kuwafurahisha? Huyu unaona ana akili! Anajirudia mara kumi

  • @akwilaisseri5312
    @akwilaisseri5312 วันที่ผ่านมา

    Mtamua Mzee Saidi Simba sport club

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p วันที่ผ่านมา

    Chama kama angekuwa anabaki angekuwa tayar asahasain ila now tarehe 1 jully tayar mchezaji huru

  • @HamishaiWakishua-oh1ul
    @HamishaiWakishua-oh1ul วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂mwamba walusaka naamini tutakuwa nae na tutatambabnae

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i วันที่ผ่านมา

    Bora abaki chama ndani ya Simba bado uwezo anao mkubwa Sana kuitumikia Simba tusimuache mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ tunaimani nae chama

    • @user-tr5yv1fo9o
      @user-tr5yv1fo9o วันที่ผ่านมา

      Minaonatumuache tyuu bwana

    • @jumaally9709
      @jumaally9709 วันที่ผ่านมา

      Yeye ndio anawaacha hapo ndio shida

    • @AzizaMayemba-td8po
      @AzizaMayemba-td8po วันที่ผ่านมา

      asiondoke mwamba wa Lusaka ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤abaki simba nguvu Moja

  • @OnesmoNyika
    @OnesmoNyika วันที่ผ่านมา

    Tumeskia chama hayupo tena Simba nyosha maekezo 😅

  • @JuliusJohn-ce7hr
    @JuliusJohn-ce7hr วันที่ผ่านมา

    Saivi kila andiko unalotaka kuandika unalifuta😂😂😂😂😂😂

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 วันที่ผ่านมา

    Simba wanasema kazeeka🤣🤣🤣leo wanajua anaondoka,wanasifia ! Huo ndo mgawanyiko wa simba! Akibaki,walimtukana?? Jibu ,HABAKI!

  • @OnesmoNyika
    @OnesmoNyika วันที่ผ่านมา

    So kweli katoka mwamba

  • @othmanmagoma6213
    @othmanmagoma6213 วันที่ผ่านมา

    Niseme tu viongozi na huyu mwanahabari asiwafanye watu ndundusa. Semeni kiume hapo watu wajue moja. Na mkimuacha kisha baadae mpigwe mabao na timu yoyote ile ya Bongo ndipo mtakapojua mbichi au mbivu kwa hawa ndundusa.

  • @husseinsalumu6214
    @husseinsalumu6214 วันที่ผ่านมา

    mm nafikili swalamoja nazani tunajuwa misimu 3 mfulu lizo atuna furaha kabisa wana simba sasa wazo langu mm iyo pesa itayo tumika kwenda uko misr tuta fute mbonge lamchezaji mtu wakazi kazi kumzidi chama maana ss tunajuwa chama tena 😂😂😂😯.

  • @MikaLota
    @MikaLota 2 วันที่ผ่านมา

    Nyoosha maelezo,mbona unazunguka mbuyu.mana siyo kawaida yako kama jamaa chama yupo ungejimwambafay lakini kinyoooongee. Imeenda iyo.

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 วันที่ผ่านมา

    Mh uku awez kuondoka mala watakao mchukua watakuwa kam fisi tueelewe lip saa

  • @drallan6879
    @drallan6879 วันที่ผ่านมา

    kauli zako Ahmed ni za kisiasa :hopeless;hamna uwezo WA kumlipa so stinge Mo

  • @samwelllazaro87
    @samwelllazaro87 2 วันที่ผ่านมา

    Nyoshaah

  • @JumaHUssi
    @JumaHUssi วันที่ผ่านมา

    Mbona ngonjera nyingi, jibu, yupo au hayupo?. wewe mwenyewe umesema ni mchezaji huru, hivyo nafasi yenu kwa chama ni Hela tu, maamuzi ni ya chama.

  • @salumhassan4309
    @salumhassan4309 วันที่ผ่านมา

    Nyie mnao ongea anyooshe maneno kwani yeye ndio anae sajili yeye msemaji tu anatangaza kilicho andaliwa kwasabau ashakuwa muwazi kuwa tusubilie viongozi ndio watakao amua hafai aachwe

  • @MohamedFundikila
    @MohamedFundikila วันที่ผ่านมา

    Sura yako tu inaonyesha chama hayupo simba

  • @MusaKatenga
    @MusaKatenga 2 วันที่ผ่านมา

    Chama kabaki au

  • @josephnyatugara6422
    @josephnyatugara6422 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂semaji lenye gundu kukosa makombe hadi chama kuondoka

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk วันที่ผ่านมา

    CHAMA kaenda JANGWANI MAMAE SIJAPENDA KABISA ASE

  • @kassimmwawado7002
    @kassimmwawado7002 2 วันที่ผ่านมา

    Wanapenda sana kuwadanganya Wanasimba..kwa porojo zisizo kuwa na kichwa wala miguu! Pathetic!

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 วันที่ผ่านมา

    Huyu kula yake kuongea! Subirini muone🤣🤣

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 วันที่ผ่านมา

    Huyu abaki mpk afie msimbaziii

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy วันที่ผ่านมา

    Mbona mnatumia nguvu sana

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso วันที่ผ่านมา

    Kama mnata kujenga timu chama asibaki

  • @JohanesPatrick
    @JohanesPatrick วันที่ผ่านมา

    Sema ukwer konanyingi xana wambie watu ukwer

  • @jumanakamo5503
    @jumanakamo5503 วันที่ผ่านมา

    Walisaini vipi wakati wanajua walichelewa kulipa? waandishi wa Tanzania mmmmmh!

  • @hidayampakate2380
    @hidayampakate2380 วันที่ผ่านมา

    Mbona umechukua muda mrefu kuwa ambia kuwa mmemuacha

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h วันที่ผ่านมา

    Hapo umeongea ukweli

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm วันที่ผ่านมา

    Ashasepa mna hio msemo BC kishaumana Chama jina lake lisahaulike

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b 2 วันที่ผ่านมา +1

    Yaani porojo tu chama kaishaondoka kitambo na kesho anatambulishwa kwa wananchi

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda 2 วันที่ผ่านมา +1

      Yanga hana hela ya kumlipa chama

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@Gisakijamadudakesho utajua kama yanga hawana Hela sijui akina Aziz k pacome diara aucho wanalipwaga mawe kwahiyo nyie makoroboi ndo munahela tu je azam

    • @user-id5oc7hm4n
      @user-id5oc7hm4n 2 วันที่ผ่านมา

      ​@EliaMkumb-wn7bm mjifaliji Ivo Ivo,,, mlisena Mzee vp Leo Kawa kijana 😂😂😂wagogo me

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 วันที่ผ่านมา

    makoro mwenyekili hamna kabisa kila siku chama chama kwaiyo kumbe nyie bila chama hamna timu

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x วันที่ผ่านมา +2

    Acheni kumpandisha kiburi uyo chama

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 วันที่ผ่านมา

    Maneno na kusajili tu kuchukua ubingwa aaah

  • @ZuberiChamtumavi
    @ZuberiChamtumavi วันที่ผ่านมา

    Nakuhusu chama vp wazee

  • @maxwellmarko7007
    @maxwellmarko7007 วันที่ผ่านมา +1

    Umeznguka tuu sem anaondokaa

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp วันที่ผ่านมา

    Kwani mwaka Jana mlikuwa mnatania

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp วันที่ผ่านมา

    Waambie tu mwamba Kagoma KK usaini . Huna lolote zaidi ya kuzuwia taharuki.

  • @ChalambaMrisho
    @ChalambaMrisho วันที่ผ่านมา

    Chama tunamuhitaji acheni brabraa, fanyeni uamuzi wa busara

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 วันที่ผ่านมา

    Bango kesho🤣🤣🤣🤣Chama Yanga!

  • @hidayampakate2380
    @hidayampakate2380 วันที่ผ่านมา

    Unawapa moyo alafu unatoka kwenye mada

  • @pius-john4212
    @pius-john4212 2 วันที่ผ่านมา

    Hivi ni lini viongozi wasimba watakuwa wawaziii??

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp วันที่ผ่านมา

    Aibuuuuu!!!!!!!

  • @KazunguFrancis-j3z
    @KazunguFrancis-j3z วันที่ผ่านมา

    🎉tafta hela

  • @user-zh1fd8zv1x
    @user-zh1fd8zv1x วันที่ผ่านมา +1

    Tungemuacha tu amishaanza kutuletea visa sana kwa ilo m'mekosea

  • @timothyberege2594
    @timothyberege2594 2 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona maelezo marefu sana dalili sio nzuri 😂😂😂😂😂

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 2 วันที่ผ่านมา

      Chama ni mwananchi hadi saiv huyu kichaa anajing'ata ng'ata bure tu koroboi eti wakimchukua watakuwa mafisi huy jamaa ni taira yan

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 วันที่ผ่านมา

      Pamoja na upendo wetu kwake,kama yeye mwenyewe haoni upendo huo na kung'ang'ania aondoke ni kumwacha ili astusumbue asije akaendelea kudengua.

  • @EvadeusGonge
    @EvadeusGonge วันที่ผ่านมา

    Chama abaki

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 วันที่ผ่านมา

    Semeni kweli kenge nyie kachukuliwa na Yanga ndiyomaana unazunguuka zunguuka tu. Mwaka huu hamko nae paka nyie

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b 2 วันที่ผ่านมา +3

    We sema tu kaenda yanga maneno mengi wakati chama kesho yupo zake yanga

  • @BeniYaredy
    @BeniYaredy วันที่ผ่านมา

    Tatizo mashabiki madinduka au makolo uyu fala ana wadanganya sana liongo hatal fukuzeni linamkos

    • @OmaryAllykumba
      @OmaryAllykumba วันที่ผ่านมา

      Acha matus kaka mtu Yuko kazini kama inakukera usiangalie

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja วันที่ผ่านมา +3

    Hata kuongea hajiwezi masikini anazungukaa kama anaosha pipa hapo hapo anajichanganya..Eti hakuna timu yeyote hapa tz inaweza kumlipa chama hapohapo madunduka wanapiga makofi kwa furaha akajisahau tena kama watamchukua bac watakuwa kama mafisi tuh... Madunduka wakabaki wanyonge maskini duh...Mbona unatumia nguvu kubwa sanaaa

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv วันที่ผ่านมา +1

    Ahmed Ally kwenye siasa zake 😂😂

  • @dismaskullaya8520
    @dismaskullaya8520 2 วันที่ผ่านมา

    😢😢

  • @user-oj4wp7qv6x
    @user-oj4wp7qv6x วันที่ผ่านมา +1

    Mashabiki wa 5imba mnaandaliwa kisaikolojia chama bye bye 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jadhirybenneth3138
    @jadhirybenneth3138 วันที่ผ่านมา

    Kweli ahmed ally ni kichwa tenge anaongea mambo na kuyasahau mda huo jmn fara ni fara tu

    • @user-cq1tf5sd3l
      @user-cq1tf5sd3l วันที่ผ่านมา

      we shenzi acha kashifa Hilo ni semaji bwana

  • @MarryRashidi
    @MarryRashidi วันที่ผ่านมา

    Huyo dogo kutoka moroco yupo kwel au cheche2

  • @drallan6879
    @drallan6879 วันที่ผ่านมา

    too much politics tatizo anaenda wapi yanga it's a defeat to you by yanga;

  • @dismaskullaya8520
    @dismaskullaya8520 2 วันที่ผ่านมา

    6:56 😅

  • @hajingangila1558
    @hajingangila1558 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe siasa sasa za nn maneno umeongea mengi sana sema neno moja bado maamuzi hayajatoka au hatunae au tunae unapoteza sv zako kwa maneno mengi sana unajua nakukubaki sana hujui tu.

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p วันที่ผ่านมา

    Xavi mtupu

  • @girbetpaul8309
    @girbetpaul8309 วันที่ผ่านมา

    Mwamba wa Lusaka simba ni nyumbani, haiwezi kwenda kutengeneza madeni ya kuidai timu na kupelekana cas mwambaaaaa

  • @jamesmwandu9295
    @jamesmwandu9295 วันที่ผ่านมา

    Ukitaka ujue kwamba Simba Mashabiki kweli ni mbumbumbu kama alivyosema Aden Rage ni kwenye hii speech ya Ahmed Ally yani hapa mpka saizi hajui kama wanapigwa porojo na Bado wanapiga makofi

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 วันที่ผ่านมา

      Kama sisi tuvyojua kuwa utopoloni wenye akili wawili tu

    • @EvadeusGonge
      @EvadeusGonge วันที่ผ่านมา

      Unatexeka kweli

  • @nizoplatinumztz8025
    @nizoplatinumztz8025 2 วันที่ผ่านมา

    Jichetue tu

  • @edsonchristian5806
    @edsonchristian5806 2 วันที่ผ่านมา

    Kama una D 2 lzm uelewe

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 2 วันที่ผ่านมา

    SIMBA WAMEKOSA FEDHA CHAMA AMEENDA YANGA AHMED ALI ANAENDELEA KUWAJAZA UMBUMBUMBU

  • @christopherngiga9349
    @christopherngiga9349 วันที่ผ่านมา +2

    Acha polojo zako unaongea maneno mengi sana wenye akili tumeelewa

  • @drallan6879
    @drallan6879 วันที่ผ่านมา

    mmepoteza chama ubahili;umempoteza beki wacost ubahili;majibu ya Simba so sahibi;ubahili mtupu;we are touched if chama is lost to yanga

  • @allykamal-r8z
    @allykamal-r8z 2 วันที่ผ่านมา

    tunafeli

  • @zenahussein2242
    @zenahussein2242 วันที่ผ่านมา

    Hapa hali tayari ishakuwa mbaya kwa simba, chama ni mwananchi hapa. Wameshindwa kufika bei. Yani hakuna chakuongea kipya hapo 😂😂

  • @RamadhaniDaudi-p6i
    @RamadhaniDaudi-p6i วันที่ผ่านมา

    Jasho jingi sana linamtoka uyu jamaa kwasababu ya chama

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 2 วันที่ผ่านมา

    KWA KWEL HAPO NDIYO NAAMIN KUWA SIMBA INATATIZOZO KUBWA HASA KUANZIA KWA VIONGOZI HASWAAAA....!

  • @JOVINSAMSON
    @JOVINSAMSON 2 วันที่ผ่านมา

    Semaji unachelewesha mambo tupe habari kamili

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 วันที่ผ่านมา

      Hakuna khabari,kesho utasikia Yanga wakitangaza Chama 🤣🤣🤣

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo usajili wa simba ni chama tu?! Mo anajua kuwachezea Makolo! Ongelea chama,watatulia! Unaongelea jezi,watu WANATAKA KUJUA USAJILI! MO HUYOO🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 วันที่ผ่านมา

    Hayupo acha rongo rongo ww mbana pua.

  • @jovinmashauri7883
    @jovinmashauri7883 วันที่ผ่านมา

    jamaa anatumia kauli ya maanufaa ya simba😂 kuwapoza mashabiki tu😂 sema iv jamaa ashatoka tayar acha uongo ahmed😂

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka วันที่ผ่านมา +1

    Mnazidi kumsingizia eti kauza mechi eti hatufai Leo mnamtaka Tena? Kaenda yangaaas.

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 วันที่ผ่านมา

    Chama kisha ondoka anashindwa kuongeya ukweli lakini wachezaji kama Chama ni wengi tuu

  • @ip_header
    @ip_header วันที่ผ่านมา

    Ogopa technology, baada ya
    Misimu mi3
    Bila taji lolote muhimu.

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 วันที่ผ่านมา

    Jamani msituchoshe kama anabaki saw anakwenda saw tumechoka kelele za chama xhamc

  • @giftmkwawa3003
    @giftmkwawa3003 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mwamba kaamua kufanya umwamba wake

  • @musaminza4920
    @musaminza4920 2 วันที่ผ่านมา +1

    maneno haya mbona kama ni ya sizitaki mbichi hizi!?🤣🤣

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p วันที่ผ่านมา

    Hatuzitaki jezi kama hamjasajili watu wamana tunagoma kununua jez

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p วันที่ผ่านมา

    Yoga ww

  • @isakanandamule
    @isakanandamule วันที่ผ่านมา

    Chama chama eeeeeh tumechoka sasa ifikie wakt iwe bx bwan

  • @manboy2423
    @manboy2423 2 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂