SAUTI YA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2023
- Warumi 8:14
Kwa maana wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu ni wana wa Mungu.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Niwezeshe yesu nkaweze kuitii sauti ya roho mtakatifu ndani yangu.fungua masikio ya ndani baba.
Ameeen
MUNGU anisaidie kusikia roho mtakatifu
Bwana YESU nataka roho mtakatifu akae ndani yangu nimusikie akinifundisha
Amen. MUNGU ninguze tena naunijaze roho wako mtakatifu
Mungu wangu naomba uguse moyo wangu maana nachangamoto nyingi
Mungu atupe ufahamu kusikia sauti ya roho mtakatifu Amen
Naomba mungu anisaindie kuskia sauti ya roho mtakatifu wa mungu amen.
Asante yesu kristo wa Nazareth
Amen,,,roho mtakatifu niongoze nieze kusikia sauti ya Mungu maishani mwangu.
Mungu atupe ufahamu,kusikia sauti ya roho mtakatifu Amen
Amen mungu nijaze imani ndani ya moyo wng
yesu nitie nguvu nitii saut ya roho mtakatifu pale anaposema nami amekuwa akisem nami lakin sitii😭😭😭
Roho wa mungu akae ndani yangu na kuniongoza ameen ubarikiwe sana pastor
Asante roho mtakatifu naomba uniongoze e kukusikia
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri mno nilikuwa na kiu sana ya kuyajua haya hakika Mungu ameona shauku yangu nimejifunza mambo ambayo nilikuwa siyajui kwa namna hii, Mungu akubariki sana
Mungu. Naomba uguse. Moyo wangu kupitia chànga moto ninazo zitumia baba
Bwana Yesu na mimi naomba kuchangia hii nina lakini yangu tupo nchi moja kikazi nikasema nimepata lafiki ni mtanzania mwenzangu akasema tushee kusaidiana kukopeshana pesa kusogezana kimaisha lakini tulicheza mchezo mala moja tu alipo Kuja kuniambia tuchunguze tena ilikuja roho nzito sana sauti ililudi ililudi tena na tena kuhusu tabia ni mkali pia hana nidham nikasema ngoja nimuingize kwenye kumjua Mungu yani huko ndio kabisa hakutaka kabisa badae akaja akasema nahitaji kuingia kwenye kanisa lenu kujitolea matoleo ya fungu la kumi nikasema sasa hapa ndio tunaweza kushilikiana kwenye ninacho hitaji tena ikiwezekana tushee biashara kabisa mladi tuanzishe Kuna vitu nilimuhadisia bwana huko nyuma sikutaka kuwa na wewe kwenye jumuiya ya pesa mpaka umemjua Mungu kwa sasa tunaweza fanya kwa sababu umesha kubali kumjua Mungu yani maneno aliyo niambia yaliishi moyoni mda wa wiki 2 na hata salam hatumi Ile sauti ikajilejea tena si nilikwambia hafai ona tabia zake kwa maana nyingine nitakuwa naumia kila siku kwasababu ya majibu yeka yasiyo na hekima niliumia mpaka leo tunaishia salam na nimekuwa nikimuomba Mungu anifanye nilitende kusudi lake na lisilo kusudi basi tusambalatishwe na tukasambalatishwa kweli mpaka leo yani ni ombi langu kwa Mungu kila siku
Amina mtumishi wa MUNGU ubarikiwe
Eeee MUNGU naomba unisaidie kuisikia hii sauti ndani yangu na kuitambua zaidi na kuitii😢😢😢
Barikiwa sana mtumishi
Amen nikweli kabisa mtumishi MUNGU huwa anazungumza na sisi lkn inaonekana tunapuuza MUNGU anisaidie Sana kwa hili🙏
Mtumishi, MUNGU wa Mbinguni akutunze zaidi ili uweze kutusaidia
Asante kwa kusisimusha tena kwa sababu kuna ndoto niliipata mwezi iliyopita ,kuna mtu tulitaka kutumika fasi moja
Mungu alikuwa Tayari alisha nizumuzia kama kuna mitego ya ugojwa fulani sasa kupitiya maisha mazito nilikuwa na jiswali niende ama nisiende , kwa sasa nasikiya maelekezo ya roho mtakatifu . Nasimama kwenye maonyo hayo . Asante
Ameni mtumishi nko pamoja naww..naomba kuelewa sauti ya MUNGU ndani yangu
Mungu akubariki sawa
Ameen Asante Roho mtakatifu Kwa kunisaidia
Jaman ,ahsante baba ,
Amen❤️ yesu wangu🙏
asate Sana Kwa mafundisho
Amen blessings mtumishi wa Mungu
YESU NITIE NGUVU🧎🧎🧎
Amina mungu akutumie zaidinazaidi❤❤❤
Ni kweli mtumishi wengi tumepata hasara kubwa Kwa kutomsikiliza Roho Mtakatifu
Ameeeeeeni Ameeeeeeni Ameeeeeeni
🙏🙏🙏😭😭
Ameen mtumishi,, nabarikiwa nakufahamu mengi Sana🙏, Anna kutoka kenya
Amina amina mungu aniongose
ASante sana mtumishi,Mungu Ani wezeshe naku ni funza kila leo kupitiya roo mtakatifu
Asante sana mtumishi,Roho wa Bwana anisaidie kufahamu ujumbe wa MUNGU, barikiwa sana pastor
Amen nimepokea mtumishi
Amen
Ameeni sana Mungu nijalie nguvu ya roho mtakatifu nipate kutii mapenzi yako
Ameen balikiwa mtumish, Mungu aliye hai akupe kibali cha kusikia sauti ya roho mtakatifu
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
🙏🙏🙏amina mutumishi usichoke kutuombea kwakweli
AMEEEEEN AMEEEEEN AMEEEEEN nabarikiwa Sana MTUMISHI WA MUNGU.
Amen asante yesu Kwa Haya mafundisho mazuri.naomba roho mtakatifu achilie roho wautambuzi ndani yangu,niweze kuzitambua Na kufahamu Sauti ilio YA kwake.
Asante kwaneno nzuri sana
Amina baba
Mungu atupatie nuru ya kusikia sauti yake🙏
Akh mtumishi Wa mungu Mimi ni mmoja kwa sabbu nilikua natumika sana nauburi mashule. Nilikua kiongozi wa Sunday school lkn nilipo pata job nikapanga kuenda job Nairobi Lkn nilipo lala nilisikia sauti ya kijana mmoja wa church yetu akaniambia umeambiwa usiache hao watoto nilipo muambie aniache niliumwa n mbwa kwa doto n hasubui nilirauka nikiwa nimeumwa kweli 🤔 na tangu niende hio job nimerundi nyuma sana kiunduma sasa mtumishi Wa mungu nirundi uko ama nifanye ajh😢
+255 758 708804
Hii sauti huwa inazungumza kwa upole sana na mara moja kikubwa tunapaswa kuwa na utulivu ndani mwetu❤
Ameen
Pastor naomba kuunganishwa na madhabahu ya siri za BIBLIA ni mimi ANNA
Amen 🙏 mungu atupe ufahamu wa kutii sauti ya mungu
Ameen naomba Roho mutakatifu aniongoze kwa kila jambo eee Mungu wangu🙏🙏🙏🙏😭😭
Roho mtakatifu karimu moyoni mwangu uwe kiongozi wa maisha yangu
Amen 🎉
Ukipata, mbuzii,zina,kimbiaa,na,nimingi,tu,sanaa,Huwa,Ina, maana, gani, mchungaji
Roho mtakatifu karibu ndani yangu,🙏🙏
Amen Mungu azidi kukulinda Mtumishi Kwa mafundisho 🙏🙏🙏
Asante mtumishi naomba Mungu anipe masikio ya ndani ni itii sauti ya roho mtakatifu
Ameeen, Yesu nihurumie mwanao iliniitii sauti ya Roho mtakatifu
Amen mwenyezi mungu aniwezeshe kuisikia sauti ya roho mtakatifu
Sophia ❤
Nimejifunza kitu kikubwa sana ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Naomba roho wa Mungu aniongoze kwa kila ninacho fanya,,,as ante mtumishi kwa hilo somo,,,barikiwa
Mtumishi wangu asante sana umeniponya 😢😢 Mungu akubariki
Hii kitu imetutesa wengi sana sababu tumetumiwa jumbe nyingi hasa ndotoni lakini tukiamka tunajisemea aah may be ni ndoto tuu tunapuuza Mungu tupe neema ya kuskiza na kutii sauti ako Amen🙏
Asante baba nipe ufahamu waneno kiroho mtakatifu nielewe zaidi
AMEEN AMEEN mtumishi wamngu tusaidie baba mngu akulinde baba 🙏🙏
Asante roho mtakatifu,, nakuomba ukae ndani yangu
Amina, Mungu aendelee kuisimamia madhabahu hii
Jaman wapendwa nisaidien mim napenda kuwa Karibu na Mung lakin nashindwa naomben musada
Mungu akupe neema inatosha
Yani acha nikwampie hauko wewe pekeako tunagagana kila siku tutoke hii thampi huyu MTU was mtu was mungu anatusaitia sana shetani hakuachi virahisi ukianguka amka itana kwa yesu atakusatia pathulumayo hakuitana Mara moja alitana Mara nyingi ndio yesu akamsikia itana tu
@@bonifacewanyonyi3555 Amen
Naomba kujua roho takatifu anaponionya abba
Roho mtakatifu Asante kwa mafundisho haya kwa kwly siku zote ulikua unazungumza
Amen and Amen
Amen Roho mutakatifu uniongoze maishani Mwangu 🙏
Asante kwa somo zuri, KRISTO YESU atukuzwe
Barikiwa mutumishi wa Mungu asante sana kwa mafunzo mazuri ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏
AMEN 🙏 Mungu atupe ufahamu wa kusikia sauti ya roho mtakatifu na kuitii
Ameeen 🙏🙏🤲🤲🧎
Asante sana mchungaji nimejifunza kitu katika somo la leo
Mungu wangu nataka nisikie saut ya roho mtakatifu ili niyatende mapenz yako mungu wangu
Barikiwa sana mtumishi waMungu
Amen Amen nmebarikiwa sana na ili somo
Ameeen 🙏 ahsante yesu kristo kwakunikutanisha na madhabahu hii 🙏🙏 nabarikiwa sana Mtumishi wa mungu barikiwa
Ameni😊
Asante mtumishi tumekuelewa
AmenBarikiwa mtumishi wa Mungu
Ameeeen Mungu atutagulae ameeen
Ubarikiwe Mtumishi Kwa Sono nzuri🙏🙏
Amen, Amen and Amen asante Sana mtumishi keep up.
Uko sahihi Mtumishi wa Mungu nakuelewa sana🙏
Ilitokea mtu kunitukana mpka wazazi bila sababu ya msingi nilijaribu kumsamehe nikaangalia mema ya nyuma lakini nisikaa sauti ndani yangu nimsamehe lakini sipaswi kuwa nae karibu tena... asanteee sna narudia kufanya maamuzi ❤
MUNGU atusaidie tusikie sauti ya roho mtakatifu atufungue tuelewe
Naomba Mungu nikirudi Tanzanian nitafika mazabahu ya siri za Bibilia ❤blessings 🙌 🙏 dear
mostly welcome
Daaaa huyo mwalimu ni Francis langula asante nataman pia kupata vitabu vyake sana mpka niliweza kujua kusudi langu kupitia mafundisho yake 🙏
Kabisa kabisa kabisa
YESU unanipenda sana
Shalom mtumishi
Amen MTU was mungu
Mung niongoze nijue nani ataendana nam ktk shughul zangu