Namshukru mungu amenipa maarifa ya kuyafkia haya madhabahu nilikuwa kwenye maombi sjui tu hili group nimelipataje nahc ni makusud ya mungu nabarikiwa na mafundisho sana
Hayo mambo yapo tena sana, angekupaka tu unakuwa unalalwa uck bila ruhusa yako kila ck.Kuna dada alipakwa sasa mtumishi anamwingilia uck bila ruhusa yake na amehangaika sana mpaka kwa waganga atoke ajal ,mabalaa ,akategewa akitoroka kanisan anamkuta njian au kweny hiance anamwambia huwez nikimbia,aliombewa sana akatoka huko sasa yuko huru lkn kanisan haendi wala haamin tena kwenda kanisani. Hebu jamani muache kutangatanga tusome neno la Mungu ndo njia sahihi. Wew dada mshukur Mungu hujapaka mim aliyepakwa alinishuhudia live mume wako unamchukia unaolewa na uyo ibiliis .Nakemea kwa jina la Yesu roho chafu za ibilis amen
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen acha nisikilize❤❤❤ dah Asante sana Mungu kwa kumuokowa hapa walla sio kwamba eti ni machale hapana ni roho mtakatifu aliemuokowa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwakweli Mungu Jina lako lizidi kubarikiwa sana, Asante sana mtumishi kwa kutupa chakula cha uzima, Mungu azidi kukubariki sana! Kuna mengi tunazidi kujifunza na kufunguliwa, umebeba kusudi la Mungu ndani yako! 🙏
Amen Amen,, Mungu pamoja na Roho mtakatifuu watuongose ili tupate usalama wa Roho zetu na ee baba tupe maarifa ya kimungu ya kutuvusha kwenye hatari ya giza🙏🙏🙏
😢eh MUNGU nisaidie, nitoe katk kila madhabahu iliyoniteka, kwa kujua au kutokujua🙏
Naomba njaa ya maombi Mungu wangu
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Namshukru mungu amenipa maarifa ya kuyafkia haya madhabahu nilikuwa kwenye maombi sjui tu hili group nimelipataje nahc ni makusud ya mungu nabarikiwa na mafundisho sana
Amen amen amen amen amen ame❤
Mungu tusaidie tujue kusoma Biblia ,Neno la Mungu linasema wanangu mnapotea kwa kukosa maarifa,hatuombi tunataka sana miujiza.Mungu tusaidie
Mungu akukuweka kwegne madhabahu hii kwa baati mbaya mtumishi alijuwa alicho kitia ndani yako
Hayo mambo yapo tena sana, angekupaka tu unakuwa unalalwa uck bila ruhusa yako kila ck.Kuna dada alipakwa sasa mtumishi anamwingilia uck bila ruhusa yake na amehangaika sana mpaka kwa waganga atoke ajal ,mabalaa ,akategewa akitoroka kanisan anamkuta njian au kweny hiance anamwambia huwez nikimbia,aliombewa sana akatoka huko sasa yuko huru lkn kanisan haendi wala haamin tena kwenda kanisani. Hebu jamani muache kutangatanga tusome neno la Mungu ndo njia sahihi. Wew dada mshukur Mungu hujapaka mim aliyepakwa alinishuhudia live mume wako unamchukia unaolewa na uyo ibiliis .Nakemea kwa jina la Yesu roho chafu za ibilis amen
Tujitahidi sana kulijua neno. Shetani anakuja na sura nyingi sana kipindi hiki.
Amen
Amon and Amen
Iyo NIKWELI KABISA ✍️
Ameeeen ameeeen acha
Hakika ni Mungu tu alimtetea tu tuzid kimsihi roho mtakatifu atusaidie kupapambanua hizo roho
Ameeeeeen Ameeeeeen Ameeeeeen acha nisikilize❤❤❤ dah Asante sana Mungu kwa kumuokowa hapa walla sio kwamba eti ni machale hapana ni roho mtakatifu aliemuokowa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Eee mungu nakuomba uzindi ku nipa kiu na njaa ya kukuomba kila saa na siku zote za maisha yangu amen
Mungu wangu nipe baraka zako, nipe uwezo wa kuzidi kusimama na imani hii,nipe ulinzi mimi na kizazi changu.amen
Mungu nisaidie imani yangu iongezeke
Mungu naomba unipe nguvu ya kusoma neno lako ilinijue kusudi la Mungu
NAOMBA MUNGU USINIONDOWE KWA MADHABAU YA SIRI YABABILIA MUNGU USINIYOE NISIKIZE MAFUNDISHO YAMUNGU AMEN
Mungu tusaidie izi ni siku za mwisho!
Nielekeze njia salama ya kuishi ,ni wewe kiongozi wangu mkuu sitaki adui mwingine kuingilia niepushe BABA nisihadaiwe
Ni shida na MUNGU ATUSAIDIE SANA SS NA WATOTO
Jamani kumbukeni ya kwamba imeandikwa kwamba watakuja kwa jina langu lakini siyo, EE MUNGU TUSAIDIE WATOTO WAKO😭😭
Kwakweli Mungu Jina lako lizidi kubarikiwa sana, Asante sana mtumishi kwa kutupa chakula cha uzima, Mungu azidi kukubariki sana! Kuna mengi tunazidi kujifunza na kufunguliwa, umebeba kusudi la Mungu ndani yako! 🙏
Amen Amen,, Mungu pamoja na Roho mtakatifuu watuongose ili tupate usalama wa Roho zetu na ee baba tupe maarifa ya kimungu ya kutuvusha kwenye hatari ya giza🙏🙏🙏
Eeee Mungu tusaidie tuweze kujua zaidi loho mtakatifu aenderee kuturinda
AMINA
Namuomba mungu awenamimi popote nitakopoenda
Amen amen amen
Dunia yaisha tukaeni miguuni pa Mungu
❤❤
Amen amen amen.
Amen Amen
Mungu nipe guvu niweze kushida adui zangu wote wanae tesa family yangu yesu
Mungu nipe guvu na kibali yesu wangu niweze kushida adui zangu wanae nitafuta kwa mabaya yesu wangu tenda yesu
Aminaa
Mungu akusaidie maana Dunia imepotea
Mungu tusaidie
Mungu Tia yoho wako ndani yangu 🙏anielekeze katika njia kamilifu🙏
Asnte Yesu
Amen Mungu nisaidie
Amen 🙏 Mungu niondole mandhara
Ameeen hivi vitu vipo hata Mimi Nina ushuhuda navyo na nimekutana navyo
Mungu uturehemu
MUNGU wangu nisaidie gupigahatuwa
Mungu nisaidie niweze kukujua zaidi na niweze kupata biblia yesu naomba unisaidie unipiganie vita yangu
Amen🙏🙏🙏
Amen Amen and Ameeeeen 🙏🙏🙏
Mungu wako azidi kuku jali akuna kinacho mshinda aliye juu
mungu atusaidiye sana tupate kuelewa neno lake
Roho mtakatifu tawala maisha yang bila wewe SI kitu mbele zako
MUNGU wangu nisaidie
Mungu tusaidie tukuwe na Imani kubwa ya kujua neno lako
Mmh jamani nyie YESU nisaidie mimi mwanao
Mmmh😢😢 Mungu atusaidie
Ameeen mtumishi
Mungu nisaidiye yesu wangu nakutamani sana bwana yesu kwa family yangu yesu
Kuna watu wanahangaika sana kwenye kila kanisa na ukimwambia vitu hivi havipo sawa ni wabishi maana wameshatekwa kuwatoa ni ngumu
Duuh..! Mungu tusaidie
Ameen Ameen, 👂👂
Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen amen amen asante mchungaji
Ameen
😢Mungu tusaidie tukuabudu wewvkw roho n kweli inahuzunisha
Emeen
MM NAOMBA MUNGU ANIONGO ZE ANIJAZE NAROHO MTAKATIFU MM NAOMBA MTAKATIFU ANGIENDANIYANGU
🥲🥲🙏🙏🙏🧎🧎
Amen
Amen amen amen 🙏🙏
Amen Amen Amen 🙏
Mungu nisaidie nisimame tena
Mngu ninipeufaham wanisipo pajua nipemachoya kiroho
Mungu uyu jmn atusamehe tu
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Amen
Amina
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen