#SILVERLANDS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 49

  • @mmbagaamos2334
    @mmbagaamos2334 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni silverland Tanzania Ltd. Naomba elimu hii ya kuku aina ya saso hasa kwenye hizo aina tatu mana wao ukinunua vifaranga wanajua tu ni saso. Mimi napendelea saso alieboreshwa kwenye utagaji

    • @musasimbeye7134
      @musasimbeye7134 ปีที่แล้ว +1

      Samahani mkowapi nahitaji vifalanga

    • @ashuraamiry6457
      @ashuraamiry6457 10 หลายเดือนก่อน

      Nahitaji huduma ya vifaranga tafadhali naomba msaada

  • @zawadiabdallahussi2994
    @zawadiabdallahussi2994 ปีที่แล้ว +1

    Huku Zanzibar mna wakala wenu na kama yupo nitajie eneo nahitaji hao kuku wa sasso xr nipo Zanzibar

  • @thabitnjovu9358
    @thabitnjovu9358 2 ปีที่แล้ว

    Good explanation sister I get it.thank you.

  • @alamukajuni9463
    @alamukajuni9463 2 ปีที่แล้ว +1

    Njiwa

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 2 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ni kweli hata mimi nawafuga wachache na wanakula kila kitu! Ni watamu na ni wakubwa kiukweli!

  • @Aloyce-d2u
    @Aloyce-d2u ปีที่แล้ว

    Naitwa Aloyce nipo Nyakato Mwanza,mimi ni mfugaji mdogo sasa ninaweza je kupata Vifaranga wa Sasa XR?

  • @BashaUsi
    @BashaUsi 3 หลายเดือนก่อน

    Munapatikana wapi

  • @EdinaMwamili
    @EdinaMwamili ปีที่แล้ว

    Naomba namba za simu

  • @mtaigaagness3358
    @mtaigaagness3358 2 ปีที่แล้ว +1

    Naitaji ao sasso xr

  • @santinachalamila6879
    @santinachalamila6879 ปีที่แล้ว

    Naomba namba tafadhali

  • @emanuelyohana3049
    @emanuelyohana3049 2 หลายเดือนก่อน

    mnauza ghali sana

  • @gabrieljohn6422
    @gabrieljohn6422 15 วันที่ผ่านมา

    Naona kwa sasa mmebanwa hamna vifaranga

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 ปีที่แล้ว +2

    Namba za simu .

    • @Voice_of_Agriculture
      @Voice_of_Agriculture  8 หลายเดือนก่อน

      kwa mawasiliano zaidi +255 766 192245

    • @EdithaJames
      @EdithaJames 7 หลายเดือนก่อน

      @@Voice_of_Agriculture hi

  • @johnmgonja-iy8tl
    @johnmgonja-iy8tl 10 หลายเดือนก่อน

    Habari za jumapili? Naomba kujua bei ya vifaranga 100.

  • @johnurio4374
    @johnurio4374 5 หลายเดือนก่อน

    Nomba za simu

  • @johnjulius2531
    @johnjulius2531 9 หลายเดือนก่อน

    Daeesala mnapatikana wapi??

    • @Voice_of_Agriculture
      @Voice_of_Agriculture  9 หลายเดือนก่อน

      Kampuni ya silverlands iko katika mikoa kadhaa, unaweza ukawasiliana nao

  • @mahadhitindwa2330
    @mahadhitindwa2330 ปีที่แล้ว

    Sijapenda ndugu mtangazaji ulivyomuacha dada yetu bila ya kumuaga au kusema neno la mwisho😂

  • @emanueljmassawemassawe-qs2zl
    @emanueljmassawemassawe-qs2zl หลายเดือนก่อน

    Ofisi yenu moshi inapatikan wapi

  • @ShuaibuMussa-n2o
    @ShuaibuMussa-n2o 2 หลายเดือนก่อน

    Vifaranga Bei gani

  • @rispersum3235
    @rispersum3235 5 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba zenu

  • @mariagama-f3w
    @mariagama-f3w ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji sasso silver jmn 500

  • @godfreymwaipungu4369
    @godfreymwaipungu4369 หลายเดือนก่อน

    Mi nataka saso niko segerea

  • @BashaUsi
    @BashaUsi 3 หลายเดือนก่อน

    Na sasso wanauzwa bei gn

  • @gracebenjamin6564
    @gracebenjamin6564 2 ปีที่แล้ว +2

    Kuku wangu ni saso lkn hawatag vizuri ninunue chakula gani

  • @ElinaikeElisaa
    @ElinaikeElisaa 8 หลายเดือนก่อน

    Kwenye maboks hawaandik aina ya saso

  • @fatumakhamis7599
    @fatumakhamis7599 ปีที่แล้ว +1

    Matawi yenu Yako mikoa Gani?

  • @ZuberiOdarukusi
    @ZuberiOdarukusi 8 หลายเดือนก่อน

    Nasikia munatoa elimu je niko Lindi napataje elimu kwa vitendo

    • @Voice_of_Agriculture
      @Voice_of_Agriculture  8 หลายเดือนก่อน

      Unaweza kuwasiliana na kampuni ya silverlands kwa namba +255 766 192245

  • @mcerickfordofficial2453
    @mcerickfordofficial2453 2 ปีที่แล้ว +2

    Sawaaaa mrembo wa masoko, nataka hao sasoo

    • @fatumakhamis7599
      @fatumakhamis7599 ปีที่แล้ว

      Mbona Hawa sasoo hawajibu txt tulioko mikoa ya Kanda ya ziwa tunafaidikaje na huduma zao?

  • @agnesmathias-ke4tf
    @agnesmathias-ke4tf 4 หลายเดือนก่อน

    Nawapataje ili nipate vifaranga

  • @mmbagaamos2334
    @mmbagaamos2334 2 ปีที่แล้ว

    Mawakala wapewe elimu juu ya aina ya saso. Kama mtu anahitaji wa mayai au nyama achukue vifaranga kwa mahitaji ya soko lake.

    • @hellenprosper4738
      @hellenprosper4738 ปีที่แล้ว

      Kabisa alafu unaenda kuchukua vifaranga wana majibu ya hovyo hatari hadi

  • @agredifaemmanuel5590
    @agredifaemmanuel5590 2 ปีที่แล้ว

    Mnapatkana wp

  • @ExcitedFinishLine-kv8qh
    @ExcitedFinishLine-kv8qh 4 หลายเดือนก่อน

    Arusha wakala yuko wp

    • @RajabMwanga
      @RajabMwanga 4 หลายเดือนก่อน

      Ngarenaro ostabay pale nmechukua mimi hapo

    • @RajabMwanga
      @RajabMwanga 4 หลายเดือนก่อน

      Iipo duka kubwa sana

  • @agredifaemmanuel5590
    @agredifaemmanuel5590 2 ปีที่แล้ว

    Nipo bunda mara nawezakpata vifaranga na vp kuhusu bei ya kifaranga

  • @thabitnjovu9358
    @thabitnjovu9358 2 ปีที่แล้ว

    Good explanation sister I get it.thank you.