ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Hongereni silverland Tanzania Ltd. Naomba elimu hii ya kuku aina ya saso hasa kwenye hizo aina tatu mana wao ukinunua vifaranga wanajua tu ni saso. Mimi napendelea saso alieboreshwa kwenye utagaji
Samahani mkowapi nahitaji vifalanga
Nahitaji huduma ya vifaranga tafadhali naomba msaada
Huku Zanzibar mna wakala wenu na kama yupo nitajie eneo nahitaji hao kuku wa sasso xr nipo Zanzibar
Good explanation sister I get it.thank you.
Njiwa
Hawa ni kweli hata mimi nawafuga wachache na wanakula kila kitu! Ni watamu na ni wakubwa kiukweli!
Unafugia wapi?
Naitwa Aloyce nipo Nyakato Mwanza,mimi ni mfugaji mdogo sasa ninaweza je kupata Vifaranga wa Sasa XR?
Munapatikana wapi
Naomba namba za simu
Naitaji ao sasso xr
Naomba namba tafadhali
mnauza ghali sana
Naona kwa sasa mmebanwa hamna vifaranga
Namba za simu .
kwa mawasiliano zaidi +255 766 192245
@@Voice_of_Agriculture hi
Habari za jumapili? Naomba kujua bei ya vifaranga 100.
Nomba za simu
Daeesala mnapatikana wapi??
Kampuni ya silverlands iko katika mikoa kadhaa, unaweza ukawasiliana nao
Sijapenda ndugu mtangazaji ulivyomuacha dada yetu bila ya kumuaga au kusema neno la mwisho😂
Ofisi yenu moshi inapatikan wapi
Wasiliana nao kwa namba 0766192245
Vifaranga Bei gani
Naombeni namba zenu
Nahitaji sasso silver jmn 500
Mi nataka saso niko segerea
Na sasso wanauzwa bei gn
Kuku wangu ni saso lkn hawatag vizuri ninunue chakula gani
Kwenye maboks hawaandik aina ya saso
Matawi yenu Yako mikoa Gani?
Tafadhali Wasiliana na Silverlands moja kwa moja kuhusiana na matawi ya kampuni yao
Tunaomba namba
Tupeni namba basi
Nasikia munatoa elimu je niko Lindi napataje elimu kwa vitendo
Unaweza kuwasiliana na kampuni ya silverlands kwa namba +255 766 192245
Sawaaaa mrembo wa masoko, nataka hao sasoo
Mbona Hawa sasoo hawajibu txt tulioko mikoa ya Kanda ya ziwa tunafaidikaje na huduma zao?
Nawapataje ili nipate vifaranga
Mawakala wapewe elimu juu ya aina ya saso. Kama mtu anahitaji wa mayai au nyama achukue vifaranga kwa mahitaji ya soko lake.
Kabisa alafu unaenda kuchukua vifaranga wana majibu ya hovyo hatari hadi
Mnapatkana wp
Arusha wakala yuko wp
Ngarenaro ostabay pale nmechukua mimi hapo
Iipo duka kubwa sana
Nipo bunda mara nawezakpata vifaranga na vp kuhusu bei ya kifaranga
Hongereni silverland Tanzania Ltd. Naomba elimu hii ya kuku aina ya saso hasa kwenye hizo aina tatu mana wao ukinunua vifaranga wanajua tu ni saso. Mimi napendelea saso alieboreshwa kwenye utagaji
Samahani mkowapi nahitaji vifalanga
Nahitaji huduma ya vifaranga tafadhali naomba msaada
Huku Zanzibar mna wakala wenu na kama yupo nitajie eneo nahitaji hao kuku wa sasso xr nipo Zanzibar
Good explanation sister I get it.thank you.
Njiwa
Hawa ni kweli hata mimi nawafuga wachache na wanakula kila kitu! Ni watamu na ni wakubwa kiukweli!
Unafugia wapi?
Naitwa Aloyce nipo Nyakato Mwanza,mimi ni mfugaji mdogo sasa ninaweza je kupata Vifaranga wa Sasa XR?
Munapatikana wapi
Naomba namba za simu
Naitaji ao sasso xr
Naomba namba tafadhali
mnauza ghali sana
Naona kwa sasa mmebanwa hamna vifaranga
Namba za simu .
kwa mawasiliano zaidi +255 766 192245
@@Voice_of_Agriculture hi
Habari za jumapili? Naomba kujua bei ya vifaranga 100.
Nomba za simu
Daeesala mnapatikana wapi??
Kampuni ya silverlands iko katika mikoa kadhaa, unaweza ukawasiliana nao
Sijapenda ndugu mtangazaji ulivyomuacha dada yetu bila ya kumuaga au kusema neno la mwisho😂
Ofisi yenu moshi inapatikan wapi
Wasiliana nao kwa namba 0766192245
Vifaranga Bei gani
Naombeni namba zenu
Nahitaji sasso silver jmn 500
Mi nataka saso niko segerea
Na sasso wanauzwa bei gn
Kuku wangu ni saso lkn hawatag vizuri ninunue chakula gani
Kwenye maboks hawaandik aina ya saso
Matawi yenu Yako mikoa Gani?
Tafadhali Wasiliana na Silverlands moja kwa moja kuhusiana na matawi ya kampuni yao
Tunaomba namba
Tupeni namba basi
Nasikia munatoa elimu je niko Lindi napataje elimu kwa vitendo
Unaweza kuwasiliana na kampuni ya silverlands kwa namba +255 766 192245
Sawaaaa mrembo wa masoko, nataka hao sasoo
Mbona Hawa sasoo hawajibu txt tulioko mikoa ya Kanda ya ziwa tunafaidikaje na huduma zao?
Nawapataje ili nipate vifaranga
Mawakala wapewe elimu juu ya aina ya saso. Kama mtu anahitaji wa mayai au nyama achukue vifaranga kwa mahitaji ya soko lake.
Kabisa alafu unaenda kuchukua vifaranga wana majibu ya hovyo hatari hadi
Mnapatkana wp
Arusha wakala yuko wp
Ngarenaro ostabay pale nmechukua mimi hapo
Iipo duka kubwa sana
Nipo bunda mara nawezakpata vifaranga na vp kuhusu bei ya kifaranga
Good explanation sister I get it.thank you.