Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2021
- Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300 @changamkiafursa
Katika mfululizo wa vipindi vyetu vya ufugaji wa kuku hapa changamkiafursa, tunahitaji kumuinua mfugaji wa kuku wa kienyeji aache kufuga kuku kwa mazoea na aanze kufuga kuku wa kienyeji kibiashara.
Ili ufuge kuku wa kienyeji kibiashara unatakiwa kuwa na makoo yasiyopungua 250 na sio rahisi kwa Wafugaji wa kuku wa kienyeji kuwa na mtaji mkubwa kiasi hicho.
Sehemu 1: • NJIA RAHISI YA KUPATA ...
Sasa ili kulikamilisha hilo mfugaji anapaswa kuwa na uwezo wa kuzalisha vifaranga wengi wa kienyeji kwa pamoja, ambavyo vitampa mfugaji hamasa ya kuweka nguvu kubwa kwenye uleaji vifaranga kitu ambacho kitachangia ongezeko kubwa la idadi ya kuku wa kienyeji na kuleta tija kibiashara.
Kufanikisha zoezi hili mfugaji anapaswa kuandaa vitu vifuatavyo:-
1. Banda bora na litakalo endana na idadi ya kuku anaohitaji kufuga.
2. Makoo na jogoo (Makoo ni kuku ambao wametaga angalau mara moja). Makoo watasaidia kupunguza muda wa kusubiri ili kuliona yai la kwanza.
3. Vifaa vya maji, chakula na Chumba maalumu cha kulelea vifaranga
4. Makasha au box la kutunzia mayai
5. Elimu ya ufugaji bora wa kuku, itasaidia kutatua changamoto mbalimbali za mradi wako
Baada ya kukamilisha maandalizi hayo, sasa twende tukaanze kuzihesabu hatua za awali za kufata ili kukusanya vifaranga wengi kwa pamoja na baadae uleaji wa hao vifaranga watakaokuwa kuku wa baadae.
*OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA*
TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo.
wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1
Na je nikiamua kununua vifaranga wa kienyej 500 sitofika huko kweli
nashukuru kuwapata kuajili ya ufugaji kuku wa kienyeji , mimi naishi Burundi itakuwaje kuusu iyo pesa
Habari nimekutumia pesa ktk tigo pesa karibu week lakini hakuna mrejesho
Nimependa sana Somo hili nitajaribu nianze na kuku kumi kike 8 kiume 2
Shukran solo tayari
Vizuri sana, ukiwa na nia thabiti utaweza
Nashukuru. Swali langu ni, vifaranga vinavyo zaliwa na majogoo hao, watadonwa tena na hao majogoo au itabidi kununua majogoo wengine?
Big up BROTHER. Nimeathiriwa na juhudi zako. Keep it up👍💪👍💪
Asante sana kiongozi
Nakuku wangu Wana mafia xana hatahivyo nimeumia dawa nyingi lakini xijaona hali haibadiriki nifanyaje
Ni elimu nzuri ya ukombozi na ujenzi wa afya njema .
Mzuri Sana kweli kuku
Safi sana
Mimi nilijiunga tayari kwako, kwasasa sina smartphone, naomba kupata elimu je nikifuga kuku bloiler 200 wanatumia chakula mifuko mingapi hadi wanapofikia kupelekwa sokoni
Jamani nilianza kufuga, tatizo Ni wizi, wameniibia.... Nifanyaje....wamevunja mlango.
Pole sana
Alafu tena akiinuliwa na Mungu asimame urausi aitwe mwinzi keep up bro
Jogoo na tetea wanapaswa kua umri mmoja?
Nipeee maarifa n mm nko n hamu ya kuanz
Mimi ninaomba vifaranga vya kuku vya kienyeji 100 ninaishi Nachingwes mkoani Lindi
Asante sana
elimu nzuri sana...Hongereni🙌🙌🙌
Asante sana
hivi nauliza nikinunua kuku wakubwa kipi cha kwanza kuwafanyia bro
Wape antibiotics kwa siku 7 kisha wape chanjo ya kideri
@@changamkiafursa napenda sana kufuga ila nko mbali asante kwa mafunzo yako nikirud hii kaz lazma nifanye
Karibu Tanzania, Karibu Nyumbani 🇹🇿
Son oak zur San ks being ya kifrng mwenyew miez mitatu
Nice for the good memory
,Asante sana
Umenitia moyo sana ni chakula gani unawalisha?
Nikitaka vifaranga kama hamusini na weza kupata.
Hongera sana' najifunza kitu
Endelea kujifunza
naomba number yak
Mimi ni mfugaji pia nilikua sijui kuwa yai likizidi siku 14 halifai kuatamiwa ,kuku wangu walikua wanataga mayai 15 na zaidi wanaatamia lakini walikua wanatotoa nusu ya hayo mayai mengine yanakuwa yameharibika ,lakini namshukuru Mungu wazo lilinijia kwamba niwe nayapunguza mayai ya mwanzo ,sasa hivi wanatotoa yote au wanaacha moja au mawili .kwa hiyo sasa ndo nafahamu kuwa yai halitakiwi kuzidi siku 14 ,thank you.
Pamoja sana
Mimi najua 7 dys..yote yanatotolewa
Kama unatotolesha kwenye mashine
@@changamkiafursa kwa dar es salam mashine za kulipia ntotoeshe mayai zko wap
Safi Sana.Tulimiss vipindi
Tuko pamoja kwa mara nyingine
Mimi nataka kujiunga kwenye darasa na video ndo naiona Leo kwani ndo nataka kuanza ufugaji. Utanisaidiaje?
Ahsante sana kwa kutuelimisha.
Tuko pamoja
Good work bro
Mashallah
Napenda kufuga npo mwanza kwimba napataje vifaranga
habar
Na mm pia nafuga kuku wangu WA kienyeji
Hongera, vipi unaonaje ufugaji wa kuku wa kienyeji
@@changamkiafursa Nina kuku WA nne weme totoa Je dawa Ya vifaranga ni ipi
Na nipo Katoro mkoa WA Geita
Darasa zuri sana
Tuko pamoja
Unamjuaje kuku anaetaka kuatamia?
Somo zuri sana shukrani
Unakarishwa
Kwa usafi unafagiaga kila siku? Na dawa ya viroboto unamwaga after how many days?
Huwa inachukua takriban mwezi 1-2
Kazi nzur kaka
Asante
Nahitaji kufahamu vifaranga na Kuku ni vyema kulala pamoja?
Wakiwa chini ya miezi 2, watenge na kuku wakubwa
Ok ss naomba niulze
piga kazi kijaaaaaan♥️❣️❣️♥️💘❣️❣️💟💯💗💗💖💜🤎🤎💞
Hakuna kukata tamaa
Ungefuga kanga ndo ungeona ubora wake kwasbb wanataga sana
Asante kwa ushauri
Hujambo kuku wangu wanasinzia tu hawataki kula sijuia nifanye nn
Hao wanaumwa ila maelezo hayaonyeshi ni ugonjwa gani
Nini ina itwa makoo
Asante kwa elimu yako kaka na hongera kwa kazi nzuri unaofanya na mungu abariki kazi zetu.
Hivi KUTUMIA Maker pen kuandikia tarehe kwenye mayai hakuna MADHARA???
Masha allah
🤲
Tuko pamoja bro
Asante sana
Wanapendeza wenyewe
Fresh
Pamoja
Na je baada ya kutolewa vifaranga Kama watakuwa wamepishana may siku 5 vipi unaweza kuwapa chanjo kwa siku moja?
Ndio
Nimependa
Pamoja sana
Mm naomba mnisaidie hatua za kufuata ili kutotoresha vifaranga kwa njia ya kienyeji (bila mashine) na bila kuku wa kulalia
Angalia youtube channels zipo nyingi wanatotolesha kwa mwanga wa jua na bulb but si kazi rahisi lazima uwepo muda wote.Kama unaanza ni heri utotoleshe au uache walalie
Mh ni vizuri Sana , lakini huko kwetu ni mtihani labda ulale nao. Unaweza kufa pressure ukiamka asubuhi kuku hawapo
🤣🤣🤣
Poleni sana
Shukran, natamani Sana hiyo kazi. Lakini nilifikiria wanaiba ng'ombe ni mkubwa he kuku watakaa salama. Na kila siku ukisikiliA mawio . Mbuzi, kuku na ng'ombe wameibiwa . Kweli utaweza kufanya hiyo biashara.
Inakuwa ngumu
Good
Thanks
Je kuku wakienyeje joogoo akiwa bandan uwezo wa kupanda mdogo nikweli?
Imewahi kunitokea kipindi flani
Kweli ni kazi mzuri
Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji
Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji
No
Unawapa chakula gani mkuu
Nachanganya concentrate na pumba
Mbona ujaelezea njanjo au dawa we ujawapa dawa yoyote
Chanjo inafata
Uko pande gn ntaka kuku 20
Kisarawe Pwani
Nahitaji vifaranga Wa kuloiler 250
Tuwasiliane: 0620440863
Nita wapataje wasapu
0752209073
Mi natamani kufika huko lakini eneo langu ni dogo
Pambana ulikidhi eneo lako
Unatumia nini
Am in Kenya...how do i join the class?
What's app 0752209073
@asante itakuwa sangap muda wa Tanzania
KAKA HONGERA SANA KWA KAZ ZAKO NIME-FUHI SANA KAZ NINZUR
Asante sana
Habar nahitaji kuwa mwanafunzi wako khs ufugaji wa kuku kaka
Karibu sana
Naulizaje vipi chakula una walisha wishwa pekee. Unanunia wishwa mtamboni ama una nunia chakula Cha dukani?
Nachanganya concentrate na pumba
Kuku Wa mayai, ukiwachanganya na majogoo, wanaweza kupandwa?
Ndio
Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii
Kufikia kutaga miezi 7
Elimu nzuriiiiiiiii
Asante sana
Nipo kenya nataka kujiunga na group lenu nifnyeje?
Karibu sana
Tuwasiliane kupitia what's app 0752209073 nitakupa maelekezo
Makoo ni nini?
Ni matetea au kuku majike
Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii, naomba namba ya simu ya group
Nicheki 0656528455
7
@@changamkiafursa hodi mkuu
🐔🐔🐔👍👍
Asante kiongozi 💪
Jamani hivyo vifaranga vinaishije pamoja na Wakubwa wa kwangu wanapigana sana wana wapiga wadogo
Wangu wanaishi kama familia.
Huwa naacha pamoja vifaranga wakifikisha wiki 6-8
Je Kama Nina incubator Kuna shida? Ili nisitumie kuku kutotoa
Hakuna shida
Upo wapi ndugu
Are these improved or real kienyeji ?
Real kienyeji
@@changamkiafursa mmh. Do you deliver in Kenya. Am sourcing for one high quality huge kienyeji jogoo for meat birds. With good weight and taste
No delivery in Kenya
Kuku Wa kienyeji yanaweza kutaga mayai 2 kwa siku?
Haiwezekani kwa kuku yeyote yule
Leo nimeshangazwa na kuku wangu, ametaga mayai mawili kwa Mara moja
Hapo nitamjuaje kuku anaetaka kuatamia au nawachukua mtetea alieanza kutaga kitambo ndo namwekea mayai?
Kuku ambaye anataka kuatamia huwa anang'ang'ania kiotani, hata akikaa siku nzima haupati yai
Nahitaji Namie nifuge
Karibu kwenye ufugaji
@@changamkiafursa naomba niwe mwagrop
.pp
Mimi ninashida ya mayai ya kuku wa kienyeji kuanzia mayai 50 na zaidi nayapataje tafadhali
nimeanza ufugaji lkn wanakula sana jee kuna chakula mbadala ili kupunguza gharama maana hao nilonao wanakula kiroba cha kilo hamsini kwa siku nne?
Unawapa mwenyewe wao hawawezi kuingia stoo kuchukua chakua.
Kuku wanatakiwa kupiwa, usipo wapimia watakufilisi
@@changamkiafursa kwani kwa siku nzima wanatakiwa wale mara ngapi? samahani kwa usumbufu
Marambili na inategemea wako wa ngapi
kama 70
Wana umri gani?
Nilifuga kuku lakini baadaye zilikufa zote na sikujua shida ilikua gani.tafadhali naomba niambie siri ni gani na dawa ya kupea vifaranga ni gani nimefurahia kutazama video yako
Karibu darasani kiongozi, utajifunza mengi.
What's app 0752209073
@@changamkiafursa nakubali kazi yako natamani kufikia malengo ila nafeli katika kulea vifalanga
Dah mimi nna changa moto ya wizi wananiibia kuku wangu😭😭
Pole sana kiongozi
No