Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2021
  • Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300 @changamkiafursa
    Katika mfululizo wa vipindi vyetu vya ufugaji wa kuku hapa changamkiafursa, tunahitaji kumuinua mfugaji wa kuku wa kienyeji aache kufuga kuku kwa mazoea na aanze kufuga kuku wa kienyeji kibiashara.
    Ili ufuge kuku wa kienyeji kibiashara unatakiwa kuwa na makoo yasiyopungua 250 na sio rahisi kwa Wafugaji wa kuku wa kienyeji kuwa na mtaji mkubwa kiasi hicho.
    Sehemu 1: • NJIA RAHISI YA KUPATA ...
    Sasa ili kulikamilisha hilo mfugaji anapaswa kuwa na uwezo wa kuzalisha vifaranga wengi wa kienyeji kwa pamoja, ambavyo vitampa mfugaji hamasa ya kuweka nguvu kubwa kwenye uleaji vifaranga kitu ambacho kitachangia ongezeko kubwa la idadi ya kuku wa kienyeji na kuleta tija kibiashara.
    Kufanikisha zoezi hili mfugaji anapaswa kuandaa vitu vifuatavyo:-
    1. Banda bora na litakalo endana na idadi ya kuku anaohitaji kufuga.
    2. Makoo na jogoo (Makoo ni kuku ambao wametaga angalau mara moja). Makoo watasaidia kupunguza muda wa kusubiri ili kuliona yai la kwanza.
    3. Vifaa vya maji, chakula na Chumba maalumu cha kulelea vifaranga
    4. Makasha au box la kutunzia mayai
    5. Elimu ya ufugaji bora wa kuku, itasaidia kutatua changamoto mbalimbali za mradi wako
    Baada ya kukamilisha maandalizi hayo, sasa twende tukaanze kuzihesabu hatua za awali za kufata ili kukusanya vifaranga wengi kwa pamoja na baadae uleaji wa hao vifaranga watakaokuwa kuku wa baadae.

ความคิดเห็น • 177

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +4

    *OFA OFA OFA KWA WANACHANGAMKIA FURSA*
    TUFUGE KUKU WA KIENYEJI ni kitabu (Pdf) cha Muongozo wa ufugaji wa kuku wa kienyeji utakao kupa mwanga wa kufuga kuku wa kienyeji kwa mafanikio kwa kukupa mbinu za namna gani ya kuzuia Magonjwa na kupunguza gharama za uendeshaji wa mradi wako. Sasa pdf inapatikana kwa punguzo la 20%, jipatie nakala yako hiyo kwa kubonyeza link na fata maelekezo.
    wa.me/message/XOAG2ZZZDYA6J1

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +4

    Na je nikiamua kununua vifaranga wa kienyej 500 sitofika huko kweli

  • @sikujuwabackari3554
    @sikujuwabackari3554 ปีที่แล้ว +1

    nashukuru kuwapata kuajili ya ufugaji kuku wa kienyeji , mimi naishi Burundi itakuwaje kuusu iyo pesa

  • @ibrahimkhamis6212
    @ibrahimkhamis6212 ปีที่แล้ว +1

    Habari nimekutumia pesa ktk tigo pesa karibu week lakini hakuna mrejesho

  • @davidmaina518
    @davidmaina518 2 ปีที่แล้ว +4

    Nimependa sana Somo hili nitajaribu nianze na kuku kumi kike 8 kiume 2

    • @davidmaina518
      @davidmaina518 2 ปีที่แล้ว

      Shukran solo tayari

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +1

      Vizuri sana, ukiwa na nia thabiti utaweza

  • @hildaayoo6853
    @hildaayoo6853 2 ปีที่แล้ว +3

    Nashukuru. Swali langu ni, vifaranga vinavyo zaliwa na majogoo hao, watadonwa tena na hao majogoo au itabidi kununua majogoo wengine?

  • @sherallysherally1203
    @sherallysherally1203 2 ปีที่แล้ว +7

    Big up BROTHER. Nimeathiriwa na juhudi zako. Keep it up👍💪👍💪

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana kiongozi

    • @jamesmwinyi2200
      @jamesmwinyi2200 2 ปีที่แล้ว

      Nakuku wangu Wana mafia xana hatahivyo nimeumia dawa nyingi lakini xijaona hali haibadiriki nifanyaje

  • @user-jr2hs3hh5f
    @user-jr2hs3hh5f 2 หลายเดือนก่อน

    Ni elimu nzuri ya ukombozi na ujenzi wa afya njema .

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 4 หลายเดือนก่อน

    Mzuri Sana kweli kuku

  • @user-em7dw3li4d
    @user-em7dw3li4d หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @tukaeamani7090
    @tukaeamani7090 2 ปีที่แล้ว +4

    Mimi nilijiunga tayari kwako, kwasasa sina smartphone, naomba kupata elimu je nikifuga kuku bloiler 200 wanatumia chakula mifuko mingapi hadi wanapofikia kupelekwa sokoni

  • @neemapeter4572
    @neemapeter4572 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani nilianza kufuga, tatizo Ni wizi, wameniibia.... Nifanyaje....wamevunja mlango.

  • @monikamonika4156
    @monikamonika4156 2 ปีที่แล้ว

    Alafu tena akiinuliwa na Mungu asimame urausi aitwe mwinzi keep up bro

  • @mariakimiti4069
    @mariakimiti4069 7 หลายเดือนก่อน

    Jogoo na tetea wanapaswa kua umri mmoja?

  • @bahatinadzua-jn2if
    @bahatinadzua-jn2if 10 หลายเดือนก่อน

    Nipeee maarifa n mm nko n hamu ya kuanz

  • @ahamadimbendela9520
    @ahamadimbendela9520 ปีที่แล้ว

    Mimi ninaomba vifaranga vya kuku vya kienyeji 100 ninaishi Nachingwes mkoani Lindi

  • @jairosgreyson3268
    @jairosgreyson3268 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @postemvullah7140
    @postemvullah7140 2 ปีที่แล้ว +4

    elimu nzuri sana...Hongereni🙌🙌🙌

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Asante sana

    • @mudriqtv8120
      @mudriqtv8120 2 ปีที่แล้ว

      hivi nauliza nikinunua kuku wakubwa kipi cha kwanza kuwafanyia bro

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Wape antibiotics kwa siku 7 kisha wape chanjo ya kideri

    • @mahmoodalghefeili5370
      @mahmoodalghefeili5370 2 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa napenda sana kufuga ila nko mbali asante kwa mafunzo yako nikirud hii kaz lazma nifanye

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Karibu Tanzania, Karibu Nyumbani 🇹🇿

  • @daniellalashe623
    @daniellalashe623 2 ปีที่แล้ว

    Son oak zur San ks being ya kifrng mwenyew miez mitatu

  • @paulmasele9878
    @paulmasele9878 2 ปีที่แล้ว

    Nice for the good memory

  • @asiachale2296
    @asiachale2296 ปีที่แล้ว

    ,Asante sana

  • @jackurio9848
    @jackurio9848 ปีที่แล้ว

    Umenitia moyo sana ni chakula gani unawalisha?

  • @redempterangayia9910
    @redempterangayia9910 2 ปีที่แล้ว

    Nikitaka vifaranga kama hamusini na weza kupata.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana' najifunza kitu

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 7 หลายเดือนก่อน

    naomba number yak

  • @isdorchuvu6280
    @isdorchuvu6280 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ni mfugaji pia nilikua sijui kuwa yai likizidi siku 14 halifai kuatamiwa ,kuku wangu walikua wanataga mayai 15 na zaidi wanaatamia lakini walikua wanatotoa nusu ya hayo mayai mengine yanakuwa yameharibika ,lakini namshukuru Mungu wazo lilinijia kwamba niwe nayapunguza mayai ya mwanzo ,sasa hivi wanatotoa yote au wanaacha moja au mawili .kwa hiyo sasa ndo nafahamu kuwa yai halitakiwi kuzidi siku 14 ,thank you.

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +2

      Pamoja sana

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 2 ปีที่แล้ว

      Mimi najua 7 dys..yote yanatotolewa

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +1

      Kama unatotolesha kwenye mashine

    • @zainabushabani7309
      @zainabushabani7309 2 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa kwa dar es salam mashine za kulipia ntotoeshe mayai zko wap

  • @MKULIMASMART
    @MKULIMASMART 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi Sana.Tulimiss vipindi

  • @farajaandrew7081
    @farajaandrew7081 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nataka kujiunga kwenye darasa na video ndo naiona Leo kwani ndo nataka kuanza ufugaji. Utanisaidiaje?

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 2 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana kwa kutuelimisha.

  • @calebjuma1633
    @calebjuma1633 2 ปีที่แล้ว

    Good work bro

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m 2 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @benjaminmashimba8471
    @benjaminmashimba8471 2 ปีที่แล้ว

    Napenda kufuga npo mwanza kwimba napataje vifaranga

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 7 หลายเดือนก่อน

    habar

  • @mathiasjohn193
    @mathiasjohn193 2 ปีที่แล้ว +2

    Na mm pia nafuga kuku wangu WA kienyeji

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Hongera, vipi unaonaje ufugaji wa kuku wa kienyeji

    • @mathiasjohn193
      @mathiasjohn193 2 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa Nina kuku WA nne weme totoa Je dawa Ya vifaranga ni ipi

    • @mathiasjohn193
      @mathiasjohn193 2 ปีที่แล้ว

      Na nipo Katoro mkoa WA Geita

  • @mikaayo336
    @mikaayo336 2 ปีที่แล้ว +2

    Darasa zuri sana

  • @sources5462
    @sources5462 2 ปีที่แล้ว

    Unamjuaje kuku anaetaka kuatamia?

  • @domcityfarmingcenter7754
    @domcityfarmingcenter7754 2 ปีที่แล้ว +2

    Somo zuri sana shukrani

  • @eunicepeter6249
    @eunicepeter6249 2 ปีที่แล้ว +4

    Kwa usafi unafagiaga kila siku? Na dawa ya viroboto unamwaga after how many days?

  • @mamakesharlyne956
    @mamakesharlyne956 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi nzur kaka

  • @shilungumoshi3732
    @shilungumoshi3732 2 ปีที่แล้ว +3

    Nahitaji kufahamu vifaranga na Kuku ni vyema kulala pamoja?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +4

      Wakiwa chini ya miezi 2, watenge na kuku wakubwa

  • @JofreyJofreymtulo
    @JofreyJofreymtulo ปีที่แล้ว

    Ok ss naomba niulze

  • @kanijosauli5879
    @kanijosauli5879 2 ปีที่แล้ว +1

    piga kazi kijaaaaaan♥️❣️❣️♥️💘❣️❣️💟💯💗💗💖💜🤎🤎💞

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 ปีที่แล้ว +1

    Ungefuga kanga ndo ungeona ubora wake kwasbb wanataga sana

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 2 ปีที่แล้ว +1

    Hujambo kuku wangu wanasinzia tu hawataki kula sijuia nifanye nn

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Hao wanaumwa ila maelezo hayaonyeshi ni ugonjwa gani

  • @guershommwanao
    @guershommwanao 6 หลายเดือนก่อน

    Nini ina itwa makoo

  • @shidaneent2722
    @shidaneent2722 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa elimu yako kaka na hongera kwa kazi nzuri unaofanya na mungu abariki kazi zetu.

  • @mlandagodfrey121
    @mlandagodfrey121 2 ปีที่แล้ว

    Hivi KUTUMIA Maker pen kuandikia tarehe kwenye mayai hakuna MADHARA???

  • @user-ni4ji5kp4e
    @user-ni4ji5kp4e 2 ปีที่แล้ว +1

    Masha allah

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 2 ปีที่แล้ว +1

    Tuko pamoja bro

  • @salhamtongole5015
    @salhamtongole5015 2 ปีที่แล้ว

    Wanapendeza wenyewe

  • @silaschengo4863
    @silaschengo4863 2 ปีที่แล้ว +1

    Fresh

  • @mlandagodfrey121
    @mlandagodfrey121 2 ปีที่แล้ว +2

    Na je baada ya kutolewa vifaranga Kama watakuwa wamepishana may siku 5 vipi unaweza kuwapa chanjo kwa siku moja?

  • @salmaally1601
    @salmaally1601 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa

  • @filbertnolasco2277
    @filbertnolasco2277 หลายเดือนก่อน

    Mm naomba mnisaidie hatua za kufuata ili kutotoresha vifaranga kwa njia ya kienyeji (bila mashine) na bila kuku wa kulalia

    • @lulumutayoba2063
      @lulumutayoba2063 หลายเดือนก่อน

      Angalia youtube channels zipo nyingi wanatotolesha kwa mwanga wa jua na bulb but si kazi rahisi lazima uwepo muda wote.Kama unaanza ni heri utotoleshe au uache walalie

  • @mamyomar1241
    @mamyomar1241 2 ปีที่แล้ว

    Mh ni vizuri Sana , lakini huko kwetu ni mtihani labda ulale nao. Unaweza kufa pressure ukiamka asubuhi kuku hawapo

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣
      Poleni sana

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 2 ปีที่แล้ว

      Shukran, natamani Sana hiyo kazi. Lakini nilifikiria wanaiba ng'ombe ni mkubwa he kuku watakaa salama. Na kila siku ukisikiliA mawio . Mbuzi, kuku na ng'ombe wameibiwa . Kweli utaweza kufanya hiyo biashara.

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Inakuwa ngumu

  • @albertpatrick7213
    @albertpatrick7213 2 ปีที่แล้ว +2

    Good

  • @salumumngawa8641
    @salumumngawa8641 2 ปีที่แล้ว +1

    Je kuku wakienyeje joogoo akiwa bandan uwezo wa kupanda mdogo nikweli?

  • @geraldpallangyo7726
    @geraldpallangyo7726 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli ni kazi mzuri

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Karibu, uichangamkie fursa ya ufugaji

  • @PaulinaFayu-tc2uu
    @PaulinaFayu-tc2uu 6 หลายเดือนก่อน

    No

  • @JACKOB724
    @JACKOB724 2 ปีที่แล้ว +1

    Unawapa chakula gani mkuu

  • @brightmshomi1544
    @brightmshomi1544 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona ujaelezea njanjo au dawa we ujawapa dawa yoyote

  • @hhhghyghgg8640
    @hhhghyghgg8640 2 ปีที่แล้ว +1

    Uko pande gn ntaka kuku 20

  • @jameskabalega6003
    @jameskabalega6003 2 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji vifaranga Wa kuloiler 250

  • @nasibuuisso7139
    @nasibuuisso7139 2 ปีที่แล้ว +1

    Nita wapataje wasapu

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 ปีที่แล้ว +1

    Mi natamani kufika huko lakini eneo langu ni dogo

  • @evarlynekarani5202
    @evarlynekarani5202 2 ปีที่แล้ว

    Unatumia nini

  • @estherkenya686
    @estherkenya686 2 ปีที่แล้ว +3

    Am in Kenya...how do i join the class?

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 2 ปีที่แล้ว

    KAKA HONGERA SANA KWA KAZ ZAKO NIME-FUHI SANA KAZ NINZUR

  • @badraboaz7702
    @badraboaz7702 2 ปีที่แล้ว

    Habar nahitaji kuwa mwanafunzi wako khs ufugaji wa kuku kaka

  • @alikiba9960
    @alikiba9960 2 ปีที่แล้ว

    Naulizaje vipi chakula una walisha wishwa pekee. Unanunia wishwa mtamboni ama una nunia chakula Cha dukani?

  • @japhetkatulebe9729
    @japhetkatulebe9729 2 ปีที่แล้ว

    Kuku Wa mayai, ukiwachanganya na majogoo, wanaweza kupandwa?

  • @azardboniphace2205
    @azardboniphace2205 2 ปีที่แล้ว

    Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii

  • @aloysfussi3900
    @aloysfussi3900 2 ปีที่แล้ว +2

    Elimu nzuriiiiiiiii

  • @rukiamohamed2691
    @rukiamohamed2691 2 ปีที่แล้ว

    Nipo kenya nataka kujiunga na group lenu nifnyeje?

  • @samuelmwangi4878
    @samuelmwangi4878 ปีที่แล้ว +1

    Makoo ni nini?

  • @azardboniphace2205
    @azardboniphace2205 2 ปีที่แล้ว +2

    Kuku wa kianyeji anakua miezi mingapii, naomba namba ya simu ya group

  • @saidabdallah3737
    @saidabdallah3737 2 ปีที่แล้ว

    🐔🐔🐔👍👍

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 2 ปีที่แล้ว +1

    Jamani hivyo vifaranga vinaishije pamoja na Wakubwa wa kwangu wanapigana sana wana wapiga wadogo

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Wangu wanaishi kama familia.
      Huwa naacha pamoja vifaranga wakifikisha wiki 6-8

  • @Mswanotv
    @Mswanotv 2 ปีที่แล้ว +2

    Je Kama Nina incubator Kuna shida? Ili nisitumie kuku kutotoa

  • @eden191
    @eden191 ปีที่แล้ว

    Upo wapi ndugu

  • @HappyFarmUrbanPermaculture
    @HappyFarmUrbanPermaculture 2 ปีที่แล้ว

    Are these improved or real kienyeji ?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +1

      Real kienyeji

    • @HappyFarmUrbanPermaculture
      @HappyFarmUrbanPermaculture 2 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa mmh. Do you deliver in Kenya. Am sourcing for one high quality huge kienyeji jogoo for meat birds. With good weight and taste

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      No delivery in Kenya

  • @japhetkatulebe9729
    @japhetkatulebe9729 2 ปีที่แล้ว

    Kuku Wa kienyeji yanaweza kutaga mayai 2 kwa siku?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Haiwezekani kwa kuku yeyote yule

    • @japhetkatulebe9729
      @japhetkatulebe9729 2 ปีที่แล้ว

      Leo nimeshangazwa na kuku wangu, ametaga mayai mawili kwa Mara moja

  • @jacobdeogratius7673
    @jacobdeogratius7673 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo nitamjuaje kuku anaetaka kuatamia au nawachukua mtetea alieanza kutaga kitambo ndo namwekea mayai?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Kuku ambaye anataka kuatamia huwa anang'ang'ania kiotani, hata akikaa siku nzima haupati yai

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 2 ปีที่แล้ว +1

    Nahitaji Namie nifuge

  • @deolemale2749
    @deolemale2749 2 ปีที่แล้ว

    .pp

  • @ahamadimbendela9520
    @ahamadimbendela9520 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ninashida ya mayai ya kuku wa kienyeji kuanzia mayai 50 na zaidi nayapataje tafadhali

  • @karamashariffal-baar9424
    @karamashariffal-baar9424 2 ปีที่แล้ว

    nimeanza ufugaji lkn wanakula sana jee kuna chakula mbadala ili kupunguza gharama maana hao nilonao wanakula kiroba cha kilo hamsini kwa siku nne?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Unawapa mwenyewe wao hawawezi kuingia stoo kuchukua chakua.
      Kuku wanatakiwa kupiwa, usipo wapimia watakufilisi

    • @karamashariffal-baar9424
      @karamashariffal-baar9424 2 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa kwani kwa siku nzima wanatakiwa wale mara ngapi? samahani kwa usumbufu

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Marambili na inategemea wako wa ngapi

    • @karamashariffal-baar9424
      @karamashariffal-baar9424 2 ปีที่แล้ว

      kama 70

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว

      Wana umri gani?

  • @hadlightabisai6533
    @hadlightabisai6533 2 ปีที่แล้ว +4

    Nilifuga kuku lakini baadaye zilikufa zote na sikujua shida ilikua gani.tafadhali naomba niambie siri ni gani na dawa ya kupea vifaranga ni gani nimefurahia kutazama video yako

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  2 ปีที่แล้ว +1

      Karibu darasani kiongozi, utajifunza mengi.
      What's app 0752209073

    • @malifedhaluponya5995
      @malifedhaluponya5995 ปีที่แล้ว

      @@changamkiafursa nakubali kazi yako natamani kufikia malengo ila nafeli katika kulea vifalanga

  • @mbaroukmuhamed2156
    @mbaroukmuhamed2156 2 ปีที่แล้ว

    Dah mimi nna changa moto ya wizi wananiibia kuku wangu😭😭

  • @PaulinaFayu-tc2uu
    @PaulinaFayu-tc2uu 6 หลายเดือนก่อน

    No