(Video ya Wimbo wa mateso ) SI NJIA RAHISI KUTEMBEA NA YESU. Mama Salome Mbarikiwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 88

  • @shukranimpomwa7460
    @shukranimpomwa7460 ปีที่แล้ว +4

    Amina sana Mama, Ninapousikiliza wimbo huu unanifanya nitokwe namachozi, Umepoteza ubinti wako kwa kufuata njia hii, Umepoteza Umama wako,Utu wako, Mali zako, nk..
    Nikweli mama, natamani nipite njia uliyoipita na unayoendeleanayo, sijakuona ukiaibika kwa namna yoyote, ktk njia hii natamani Niupotezee ujana wangu humu na maisha yangu yote yapoteleee humu.(katika njia hii)
    EEEEEE MUNGU NIWEZESHE KUPITA NAMI NIWE TAYALI KUPITA. Kama mama.

    • @furahachungu6802
      @furahachungu6802 ปีที่แล้ว

      Najifunza kupitia kwenu pole kwa magumu mungu anajua hitaji lako lihimidiwe jina la yesu

  • @estherjonas8466
    @estherjonas8466 10 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mungu Yesu yupo na wewe peke yetu hatuwezi Mam

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 ปีที่แล้ว +2

    Oooooooh 😭😭😭😭😭 Mungu akutie nguvu mama angu kutembea na Yesu si njia rahisi
    Kuna wakati unapoteza vitu vya thamani ili umfuate Yesu
    Unaweza poteza hata utu wako Kwa watu ili utembee na Yesu 😭😭😭😭😭😭 Yesu tushike mkono wanao

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z 6 หลายเดือนก่อน

    Nkwel sirahisi kumpokea yesu ubarikiwe mama Kwa wimbo huuu

  • @meckchatta1460
    @meckchatta1460 ปีที่แล้ว +2

    Barikiweni sana wimbo mzuri wenye ujumbe mzito🙏🙏

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 ปีที่แล้ว +2

    Najisikia kusema amen amen maraa elfu...mbarikiwe sana wapendwa kweli vikwazo ni vingi lakini tujipe moyo na kumuomba Mungu Sana..amen,amen

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

    Poleni sana mnatembeaje na Yesu wakati mnatukana watumishi wa MUNGU ,mnawaita wahubiri njaa,mjitafakari sana Ni mbaya sana kuwahukumu watumishi wa Mungu?

    • @afwililenisaidie9597
      @afwililenisaidie9597 ปีที่แล้ว

      Lakin SI wewe pia unahukumu tumwache mungu atahukumu japo ukweli wachungaji Wana njaa kweli hasa

  • @julianambilinyi3341
    @julianambilinyi3341 ปีที่แล้ว +1

    Amina mtu Mungu ,si njia lahisi wimbo umejaa uhalisia wa anaeimba maana anaishi hayo .Uzidi na kuongezeka ktkt Bwana

  • @janethmbutwa7893
    @janethmbutwa7893 ปีที่แล้ว

    Mungu akutie nguvu mtumishi ila waliyo usika juu ya tabu unayopitia kikombe lazima wakinywee namini mungu yupo nawe atakupigania jipe moyo songa mbele

  • @lukuyanalaheri4372
    @lukuyanalaheri4372 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu nisaidie nisije kupoteza msimamo wangu kwa ajili yamaneno ya watu. Nipe kumaliza salama!

  • @CharlesMlowe-fu9uz
    @CharlesMlowe-fu9uz 6 หลายเดือนก่อน

    Amina jipe moyo mama angu niya mda tu yatapita.

  • @winfridaedson8960
    @winfridaedson8960 ปีที่แล้ว +1

    Ni kwer vikwazo ni vingi lakini Yesu yu pamoja nasi,Barikiwa sana mama tunajifunza mengi kupitia nyie🙏🙏

  • @andrewkasongo1368
    @andrewkasongo1368 ปีที่แล้ว

    Tushike mkono mwokozi Yesu, tukiwa na Yesu tutashinda, kweli mama Salome❤❤❤❤❤😭😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼 wimbo mzuri mama

  • @trizafrances4304
    @trizafrances4304 ปีที่แล้ว

    Emungu nisaidie mungu maranjingi ninaanguka ktk hii safari yambinguni niongoze yesu nitembee nawewe yesu haya mazito ninayo pitia najua mungu utaraisisha Amen 🙏🙏🙏

  • @angeliquemwamini4791
    @angeliquemwamini4791 ปีที่แล้ว

    Duniani hapa si kwetu. Ndomaana watu wa Mungu hawawezi kuwa salama Mia kwa mia.

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 9 หลายเดือนก่อน

    Mama mbarikiwa MUNGU pekeyake ndiye awe mfariji wako

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 ปีที่แล้ว

    Huwa nawaelewa sana na nikiona mnapigwa vita Huwa naumia sana ila msikate tamaa mana ipo siku kila mtu atahesabiwa na Mungu...Mbarikiwe na Mungu awape nguvu

  • @chrisshaule2088
    @chrisshaule2088 ปีที่แล้ว +1

    Utaachwa na mwanadam yesu pekee hatowaacha yatima jitieni moyo mkuu

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 ปีที่แล้ว

    Mungu wa Mbinguni atutie nguvu katika maisha yetu ya wokovu maana Miba na michongoma ni mingi lakini tufika tu. Mungu awabariki sana sanaa nawapenda

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 ปีที่แล้ว +1

    Barikiweni sana kwa wimbo huu,,ujumbe ni mzito sana nimebarikiwa Sana sana amina...😭

  • @ombensaidia4311
    @ombensaidia4311 ปีที่แล้ว

    Mungu ajulikane katika Haya Kama alivyojulikana kwa Eliya Mtishibi juu ya manabii wa bahari

  • @joycebulwe3557
    @joycebulwe3557 ปีที่แล้ว +1

    Amina mama m'barikiwa, kweli nimejifunza mengi kwako ,utumishi unahitaji moyo, Mungu akutie nguvu mama mwenzangu, kaza mwendo, Duniani Pana Giza Nene ila huko mbinguni ,big up Iko kwa wale waamuchao hata ktk wakati mgumu na WA mateso,

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 ปีที่แล้ว +1

    Lkn kama ni MUNGU amina ila kama n binadamu MUNGU atajibu kwà moto😭😭😭😭😭😰😰😰😰🙏

  • @veronicamwenda7449
    @veronicamwenda7449 ปีที่แล้ว +1

    Mama Salome Mungu natamani kupita njia kama zako jamani MUNGU azidi kukuimarisha Jaman.

  • @suleshmacs1286
    @suleshmacs1286 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mzuri wa kutia mja nguvu kujikaza na safari ya wokovu

  • @isdoryhenry-bh5kk
    @isdoryhenry-bh5kk ปีที่แล้ว

    Wimbo umenibariki sana

  • @tumainimwakisile4855
    @tumainimwakisile4855 ปีที่แล้ว

    Mungu awatie nguvu na kuwashindia kwa kila jambo watumishi wake.wimbo huu umenigusa sana

    • @NuruMbwile
      @NuruMbwile 6 หลายเดือนก่อน

      Hiii njia lazima upoteezee vitu ndio Mungu akupe vyakwake ubarikiwe

  • @user-ct3sm1pd8z
    @user-ct3sm1pd8z 9 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 ปีที่แล้ว

    Tushike mumkono Yesu kweli siyo njia rahisi mubarikiwe sana maman Mungu Yuko pamoja na we🙏🏽✝️🌐

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 ปีที่แล้ว

      Mnampingana na Mungu bila kujua hubirini injili siyo kuhukumu na kutukana watumishi wa Mungu ,mnajua kuliko Mungu, nyie fanyeni wito wenu Kama Mtumishi mwingine anakosea atahukumiwa na Mungu mwenyewe siyo nyinyi Mbarikiwa na mke wako

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 ปีที่แล้ว

    Chini ya yesu mazito urahisishwa na kuwa mepesi kwa wakati atakao Mungu muumba wa mbingu na nchi,,Amina

  • @pendonkoswe2194
    @pendonkoswe2194 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mnoooo shujaaa wa Bwana. Weew ni mfanoo wa kuigwa mnooo nakupenda bure mama

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kweli sinjia rahisi kuishi neno kuishi mapenzi ya Mungu ila anatuwezesha ila kuishi n'a yesu ni raha kupita raha ya dunia kwani inampa mtu furaha Amani ku tulia nakujielewa kujifahamu hapa duniani

  • @maggifredy2232
    @maggifredy2232 ปีที่แล้ว

    Amina mama nabarikiw sana na wimbo huu kweli njia siyo lahisi ya kufuata yesu

  • @jemanyamle5945
    @jemanyamle5945 ปีที่แล้ว

    Mama yetu Mungu atakulipa mara dufu kwa iman

  • @cyrillecbk5317
    @cyrillecbk5317 ปีที่แล้ว

    Mubarikiwe

  • @kellykelly2672
    @kellykelly2672 ปีที่แล้ว

    Amina mama pole sana na ubarikiwe sana

  • @erickbabu4404
    @erickbabu4404 ปีที่แล้ว

    Vita vyako sio juu ya damu na Nyama badilisha Vita wapo rohon Achana na matokeo angaika na chanzo

  • @mchantonmnkondya7
    @mchantonmnkondya7 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri

  • @mestonianatori7254
    @mestonianatori7254 ปีที่แล้ว +1

    An stoppable generation Big up💪 oll how creat this.
    😭😭😭😭😭😭

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni35 ปีที่แล้ว

    Ujumbe ni mzuri ila baadhi ya video sio sawa. Hiyo sehemu ya watu wamefungwa minyororo shingoni kama watuwa wa biashara wa watumwa. Tunapookoka vifungo vyote hukatika. Miba na vikwazo hivyo hubakia, njia ni ngumu na kwa msaada wake Yesu hutubeba na kuifanya kuwa rahisi.

  • @yohanamasweko915
    @yohanamasweko915 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mama awe pamoja nawe

  • @elinajacksonharusha7155
    @elinajacksonharusha7155 ปีที่แล้ว

    Hakika si njia rahisi, ni njia ngumu mno. Mbarikiwe sana

  • @elijiusdaniel9817
    @elijiusdaniel9817 ปีที่แล้ว +1

    Sio njia rahisi kweli,maana imeandikwa watataka kuingia lakini wasiweze.

  • @EstherManda-ex3bc
    @EstherManda-ex3bc หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @jester5834
    @jester5834 ปีที่แล้ว

    Asante mama mungu awape nguvu

  • @MichaelMnzava-uk7py
    @MichaelMnzava-uk7py 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 ปีที่แล้ว

    Najiskia uchungu mno Mungu yu pamoja nasi

  • @lordorcas9344
    @lordorcas9344 ปีที่แล้ว

    Ah Ku t’embea na Yesu si Raisi ni njia y’a Miba mengi ni Mai ha y’a Damu ni kuku Kufa na ye na Kufufuka na ye Kueli Uji p-e Moyo mama si wewe peke yako Na Mimi Hala n’a poteza ni HATARI Sana ni Lolita mismatch mengi

  • @computerphonetechnologiesm6803
    @computerphonetechnologiesm6803 ปีที่แล้ว

    oh LORD JESUS, I am asking you to hold my hand, the trials are very difficult, I wish to reach you, O LORD.

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 ปีที่แล้ว

    Ni kweli si rahisi Mungu atusaidie

  • @sofianafasi6285
    @sofianafasi6285 ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeni mama yangu Salome mama wa hekima NI kweli na hakika sii njia rahisi Wala mazoea Wala mkumbo NI njia ya kujikana MUNGU nisaidie nitembee kwenye njia ZAKO YESU kwaunyenyekevu

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 ปีที่แล้ว

    Hakika si njia rahisi,ni Yesu tu anaetusaidia.

  • @zabibusamweli2082
    @zabibusamweli2082 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe mnooo

  • @rebekamoshi2623
    @rebekamoshi2623 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mama njia hii sio rahisi

  • @suzanaburundi6061
    @suzanaburundi6061 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mama yangu

    • @mtegetanzalilo7468
      @mtegetanzalilo7468 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa mtumishi Yesu mwenyewe awe faraja yenu safari ya mbinguni si Lele mama

  • @jessecokiru1962
    @jessecokiru1962 ปีที่แล้ว

    Kweli Mungu nisaidie kwa wokovu

  • @estershenene8787
    @estershenene8787 ปีที่แล้ว

    Kweli peke yet hatuwez

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 ปีที่แล้ว

    Jehovah baba hatuwezi bila wewe 😥😥😥

  • @afwililenisaidie9597
    @afwililenisaidie9597 ปีที่แล้ว

    Hakika mama japo wengi tunaona laisi lakin ngumu kweli

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 ปีที่แล้ว

    Mmm.kweli mama

  • @annuherman1878
    @annuherman1878 ปีที่แล้ว

    Amen si njia rahis

  • @joshuangonya-jt5dj
    @joshuangonya-jt5dj 5 หลายเดือนก่อน

    Hakika nimetambua, si njia rahisi kutembea na yesu.

  • @zawadikikosikazi3887
    @zawadikikosikazi3887 ปีที่แล้ว

    YESU nipe msuli wa kuipita njia hii maana si njia rahisi. Biblia inasema wengi watatamani lakini hawata weza

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 ปีที่แล้ว

    Amin

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 ปีที่แล้ว

    Pole pole mpendwa 😭

  • @jacoboboniface9996
    @jacoboboniface9996 ปีที่แล้ว

    YESU awalinde

  • @josephmwamalumbili8011
    @josephmwamalumbili8011 ปีที่แล้ว

    Hakika mama si njia rahisi inamasumbusu mengi na vikwazo pia

  • @lovenesscharles5591
    @lovenesscharles5591 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙌

  • @dovickybruno3861
    @dovickybruno3861 ปีที่แล้ว

    Amina 🙏

  • @alfredbalazire
    @alfredbalazire ปีที่แล้ว

    Kweli mama

  • @beatricefrancis9614
    @beatricefrancis9614 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏

  • @kizajacqueline8583
    @kizajacqueline8583 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @charlottekabemba8433
    @charlottekabemba8433 ปีที่แล้ว

    Amen amen ❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢

  • @irenenyauhule6017
    @irenenyauhule6017 ปีที่แล้ว

    kweli

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭😭🙏

  • @jacoboboniface9996
    @jacoboboniface9996 ปีที่แล้ว

    SESU awa tunze

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 ปีที่แล้ว

    Eeeeeeeee!!!! MORA NISAIDIE NAKUOMBA

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 ปีที่แล้ว

    Sinjia rahisi pekeetu hatuwezi

  • @costantinemihayo
    @costantinemihayo ปีที่แล้ว

    Umebakia wewe kwenye nyimbo za kumtukuza MUNGU
    WENZIO WANAIMBA HISTORY
    Utasikia alikuwepo ............
    Anaelezea story yake Kisha anapitishamo jina MUNGU
    Tiar anakuwa ameimba wimbo wa MUNGU

  • @Yoram_Changala
    @Yoram_Changala ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa