Nawapenda sana wazazi wangu hakika mioyo yenu imemkaribia sana MUNGU ,ni matamanio yangu kuinywa mioyo yenu na roho zenu najiona nitakuwa moja ya mwanadamu mwenye heri sana kama nitaishi kipande cha maisha yenu . I LOVE YOU MY FATHER AND MOTHER
Asante Yesu kwasababu ya mjoli wako baba yangu Mbarikiwa hata nimesafishika na tabia chafu kupitia nyimbo zake ikiwemo kujichua kulikopitiliza. Nyimbo hii inanisogeza kwako kwa tafakari hiyo, ambapo vyote vilishindwa ila mfumo huu wa ibada tu uliweza!
Wimbo huu niliusikia kwenye clip Ile iliyopostiwa wakati Mtumishi wa MUNGU Mbarikiwa akiwa pamoja na wapendwa wengine pale walipokuwa wanaelekea mahakamani mara ya nne kama sijakosea, nikaupenda sana hatimaye leo nimeupata.MUNGU akukumbuke sana mtumishi wake Mch.Mbarikiwa🙏
Eeeee Mungu wangu unisaidie sana nami niwe miongoni mwa hao watakao rithi picha ya wazazi wangu ya kuufunua WOKOVU HALISI NA THAMANI YA WOKOVU DUNIANI. Mungu nishike sana kazi ya wazazi wangu na kujitaabisha kote kwa ajili yangu isiwe bure, haya nitayarithi.
Nawapenda sana wazazi wangu hakika mioyo yenu imemkaribia sana MUNGU ,ni matamanio yangu kuinywa mioyo yenu na roho zenu najiona nitakuwa moja ya mwanadamu mwenye heri sana kama nitaishi kipande cha maisha yenu . I LOVE YOU MY FATHER AND MOTHER
Glory to God 🙏🙏🙏
Bwana YESU aendelee kuwabariki zaidi watumishi🙏🙏🙏
Mioyo iliyo pondeka hata wimbo tu unaaisimua nampenda Yesu 🥰🥰
Hakika Kwa kupigwa kwake sisi tumepona asanteeeeeh 🙏 yesu njoo kwetu baba 😭😭😭😭😭😭😭
Asante Yesu kwasababu ya mjoli wako baba yangu Mbarikiwa hata nimesafishika na tabia chafu kupitia nyimbo zake ikiwemo kujichua kulikopitiliza. Nyimbo hii inanisogeza kwako kwa tafakari hiyo, ambapo vyote vilishindwa ila mfumo huu wa ibada tu uliweza!
Kazi nzuri, mbarikiwe sana.
Duuuuuh! Wimbo mzuri umenisisimua sana moyo wangu mzidi kubarikiwa sana nawapenda mnooooooooo
Amen nasikia kuitwa Mbarikiwe wapendwa kwa juhudi za kumtafuta Mwenyeezi Mungu.
Bwana Yesu kristo nisafishe hata mimi kwa hiyo damu
Imani yenu kumpenda Bwana Yesu ni kali sana sana Mungu awabariki na bila shaka ATAWASHINDIA
Wimbo huu niliusikia kwenye clip Ile iliyopostiwa wakati Mtumishi wa MUNGU Mbarikiwa akiwa pamoja na wapendwa wengine pale walipokuwa wanaelekea mahakamani mara ya nne kama sijakosea, nikaupenda sana hatimaye leo nimeupata.MUNGU akukumbuke sana mtumishi wake Mch.Mbarikiwa🙏
Nimesogea mtini pako BWANA unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako🙏🙏🙏
Eeeee Mungu wangu unisaidie sana nami niwe miongoni mwa hao watakao rithi picha ya wazazi wangu ya kuufunua WOKOVU HALISI NA THAMANI YA WOKOVU DUNIANI. Mungu nishike sana kazi ya wazazi wangu na kujitaabisha kote kwa ajili yangu isiwe bure, haya nitayarithi.
Wimbo mzuri sana, asanteni kwa yote, najikuta nakosa mengi ya kusema. Asanteni tu wazazi.
Mbarikiwe Sana wapendwa, Nimebarikiwa Sana na wimbo huu
Siyabonga Jesu nkosi ya makhosi
Amen asante yesu
Yaani huu ujumbeumenisogeza mbele za muumba wangu, mbarikiwe sana watumishi wa mungu
Mbarikiwe Sana watumishi was Mungu kwa kazi nzuri mnayoifanya ya kuinjilisha kupitia tenzi zenu.