Mbn hukusema mulipoharibu Uchaguzi 2020 kuteka watu kupiga watu risasi kutupwa watu katika vipolo Bahraini kunyanganya watu pesa zao kwa nguvu Mnafiki mkubwa Kazi choyo unadhani kua Wewe ndio uliostahiki kua Raisi ht bado Utaadhirika tu
Tulianza kuogopa kusema ukweli tangu Awamu ya nne.Its true"You Can't Cut the Hands which feeds you"Tutaendelea kuona mengi sana,Maana hata Wasomi tuliowategemea huko nyuma kwamba ndio wa kutuonesha NJIA,wamekuwa wapotoshaji wakubwa...Mungu Ibariki Tanzania.
Sio kweli na kusheerekea baada ya ushindi wa chama fulani sisi yetu macho tu mtuurumie nasi tukatafute mkate wa kila cku yatosha nchi tawaleni tu by Mtzee
Bashiru uko sawa lakini Hayo ungeyasema ndani ya CCM yenyewe kwanza mkajadiliane ,mkosoane,mtumbuane ndani ya chama ndipo uje kwa waandishi wa habari na hadharani kwa wananchi, saris have chama ndani ya chama,siyo ukichambue na kukisoa 'hadharani'. Hapo hujafanya kazi Bali kukivuruga.
Tupatie hotuba zaidi za bashiru ili tujikumbushe bashiru halisi ni nani. Ukizipanga hutuba zake za kabla hajawa kiongozi katika chana na wakati akiwa kiongizi na sasa ili tujue je bashiru ni yuleyule au anabadilika kulingana na majira?
Usipingane na ukweli kwamba kuna hofu huu ni ukweli, wewe kama unasema hakuna hofu ni wewe mwenyewe sio wote bwana mkubwa kwani penye ukweli uongo hujitenga
political is like debate bse no one agree what other do, so that is how problem start bt if we come together and build our nation without consider if this is leader is Chadema,CCM or Chauma....
Sylvester MjuniJr ninauhakika baba yako humjui umekuwa kwa malezi ya mama yako,na mama yako yawezekana ni shangingi wa mtaa,katibu mkuu wa chama anamambo yake ya kufanya wewe unaleta mambo ya Mo msenge wewe
@@hassanmirambo5671 axant kwakun2kana ndug... Ila mie ckuwa na maana ya kumkaxhfu katbu we2, LA haxha.. Ila nlkuwa namaana ka wapo wabaya ktk 2kio LA utekwaj kwa #MO bac wawajbxhwe haraka na hapatkane..
Umeongea points tupu tena za ukweli. Uko vizuri baba. Mungu awe pamoja nawe baba
Kumbe toka kitambo, keep it up Dr. Bashiru, MTANGULIZE MUNGU MBELE.
Tuna Imani na wewe bashiru piga kazi mwamba 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mbn hukusema mulipoharibu Uchaguzi 2020 kuteka watu kupiga watu risasi kutupwa watu katika vipolo Bahraini kunyanganya watu pesa zao kwa nguvu Mnafiki mkubwa Kazi choyo unadhani kua Wewe ndio uliostahiki kua Raisi ht bado Utaadhirika tu
Nimeamini kuwa kweli huyu ni Daktari wa Elimu PhD. Big up Father.
Mungu akupe maisha marefuuuuu
Asante san asante san kiyongoz wetu kwa mafundisho yako yazuri kwa taifa retu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe na atazidi kuimarisha afya yako
mzee ubarikiwe sana
Maneno ya zahabu hutuyasikii sasa niugalagajatu munguakupe maishamalefu bashilu
Safi katibu mkuu wetu sema ukweli na usiishie hapo tuendelee mbele tutabadilika tu
Hakika Mungu akubariki kwa kusema,Ukweli.wengine wanaogopa kusema,ukweli .wakihofia kupoteza.ugali
hakika,tunahitaji viongoz wasio na hofu katika kueleza wajibu wa serikali na sio kupotosha wananchi : upo vizuri katibu chapa kazi
unazidi kutupotosha bashiru
Asante Sana Mzee wetu bashiru ally kakurwa nimekulewa sanaa
Safi sana magufuli wa pli
Fact Dr. Bashiru
This guy his amazing
Sauti Ya Nyerere pure 😢😢😢
Mwamba huyu hapa Sasa 🔥🔥🔥
Kumbuka anae ongea ni mtu mwenye PhD holder 👏👏👏👏👏🙏🙏😃😃😄
Nilidhani ni ya kipindi hiki! Ningeshangaa Millard Ayo kuipost
Umeongea vzr sana mchangiaji hongera
Point Mkuu wangu
Mungu akupe maisha marefu sana Tena yenye ushindi baba
Tulianza kuogopa kusema ukweli tangu Awamu ya nne.Its true"You Can't Cut the Hands which feeds you"Tutaendelea kuona mengi sana,Maana hata Wasomi tuliowategemea huko nyuma kwamba ndio wa kutuonesha NJIA,wamekuwa wapotoshaji wakubwa...Mungu Ibariki Tanzania.
Hapa alionekana Anasema sawa juzi kasema kaonekana Mbaya
Ila dunia haitaki watu kama ninyi siku hizi
Unafaa saaaana dr bashiru
Good nice
Msema kweli ni mpenzi was mungu
Safi sana katibu wangu nyumbu tatizo vichwa maji hawaelewi a wala be
Sio kweli na kusheerekea baada ya ushindi wa chama fulani sisi yetu macho tu mtuurumie nasi tukatafute mkate wa kila cku yatosha nchi tawaleni tu by Mtzee
Nakupenda sana bashiru maana unaongea ukweli na uhalisia ungegombea 2025 mkuu
Unanifanya niwe na Imani na ww bashiru
Wewe kijana wetu msomi wa kweli, walaji wa Inchi watanzania wanajitia kukutukana, usitishike sisi tunakupenda wewe.
Asante ukweli unaongea daima
Mh bongo bhana
Namwona Bashiri kuwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ,2025
Tuko pamoja na wewe mzee
Unafaa kuwa katibu mkuu
Hii chuma ikija kugombea urais kura yangu ipo...
Sema baba nchi imekuwa shamba la Bibi tunaongozwa na familia moja
Dk Bashiru we ni mkweli na unaeleweka kwa wa tz wachache ,Bali usikate tamaa endelea adi mwisho
Kasema kweli kabisa tena bila kuwaogopa
@@BedroomTvKe Mwambie aseme tena hivohivo tuona kama jeuri anayo
Ujumbe utaishi milele
Kama unamkulali Bashiru kubwa Raisi wa Tanzania naombeni like zenu tafadhali
Uko vyema sana kiongozi kama ingekuwa unapewa tu kwa kweli tungekupa
Watu kama hawa vichwaa hawatakiwi kusema kweli bashiru uniquee
Bashiru uko sawa lakini Hayo ungeyasema ndani ya CCM yenyewe kwanza mkajadiliane ,mkosoane,mtumbuane ndani ya chama ndipo uje kwa waandishi wa habari na hadharani kwa wananchi, saris have chama ndani ya chama,siyo ukichambue na kukisoa 'hadharani'. Hapo hujafanya kazi Bali kukivuruga.
Huyu ndiye Dr. Bashiru
Hakika mwenyez MUNGU aenderee kukuongoza vyema katimbu mkuu
kumbe Tanzania tuna vjana wenye akili hvii jmn..?? tuwatumie kwa kwel
Ongea watumbue
Kumbeh tuna wasomi wazur2 Sema uhoga umetuzid.
Sema baba sema usiogope vibaraka semaaaaa
Mwanzoni ulikuwa wapi usiegemee upande ule unajambo lako
I salute you bashiru
Mbona watu waliokufa ulikuwa kimya
Tupo pamoja bashiru
Akili kubwaaaaaaaa congrats
Nakubali sana mkubwa nipo na wewe don't bother no matter what Elim yako inawatoa jasho
Yah ni kweli tupu.
Ur a doctor
Bashiruuu oyeeee
Tupatie hotuba zaidi za bashiru ili tujikumbushe bashiru halisi ni nani. Ukizipanga hutuba zake za kabla hajawa kiongozi katika chana na wakati akiwa kiongizi na sasa ili tujue je bashiru ni yuleyule au anabadilika kulingana na majira?
Uko sawa sn
Ila tupeni katiba Mpya na wasakeni wasiojulikana
A rebirth of Mwl Julius K Nyerere..
Piga kazi Dr
Huyu ni mtendaji mzuri
I see Julius Nyerere in him.. Ama kweli Dr John Magufuli alikuwa na maono
kumbe uyu jamaaa mZalendo kwee ndo likua na maneno aya
Safi
Unaakilisanaa
sawaaa
huyu Bashiru mm ndonamtambua ndio Karibu MKUU haowengine siwajui mm
Mwamba huyu hapa
Mwendo huohuo BABA ,kaza buti .Safi sana
Waone hii clipu ya 4years
Rais wetu mtalajiwa
Semaaa katibuuu waelewesheee waelewee
Ccm ya magufuli
Ni the best of Africa ni Tasisi imara
Have you been walking the talk really? Better repent for real, but anyway thanks for patriotic accountability message.
Kama nakuelewa hivi ila endelea kunishawishi ili nipige kura 2020 nikifika lakini
Huyu ndo msema kweli tena bila kuwagopa
Jiwe walilolikataa waashi
ETI ANA KOSOA KIPINDI HIKI , KUMBE KITAMBO NI MWANA HARAKATI TUKO PAMOJA Dr.
Usipingane na ukweli kwamba kuna hofu huu ni ukweli, wewe kama unasema hakuna hofu ni wewe mwenyewe sio wote bwana mkubwa kwani penye ukweli uongo hujitenga
👍👍
Nimekuelewa
political is like debate bse no one agree what other do, so that is how problem start bt if we come together and build our nation without consider if this is leader is Chadema,CCM or Chauma....
Tunakuitaji sana 2025
Waisome namba hao. Hatuogopi wengine tumekuwa sugu. Tuna siku moja tu, ya kufa!! Polisi wafanye kazi bila upendeleo.
Huyu mtu anatufaa
👏👏🏼👏🏼👏🏼👏👏👏
Nakuelewa. Doctor Bashiru wewe ni Putin wa Tanzania semaukweli kama MH. Magufuli
Ana Jambo lake Udaktari upo ndani yake ,,hii ndo elimu halisi.
Congratulations 👏👏👏👏👏
Safi Bashiru
Bakia kua mkweli ndugu yangu
Nini conclusion sasa ?
Pumbavu tu huyu angalia Anavyoongea Utadhani Nchi ni Mali yake. Jina kama JIWE
Kweli
2namtaka #MO Dewj...
#BRING BACK OUR MO...
Sylvester MjuniJr ninauhakika baba yako humjui umekuwa kwa malezi ya mama yako,na mama yako yawezekana ni shangingi wa mtaa,katibu mkuu wa chama anamambo yake ya kufanya wewe unaleta mambo ya Mo msenge wewe
@@hassanmirambo5671 axant kwakun2kana ndug...
Ila mie ckuwa na maana ya kumkaxhfu katbu we2, LA haxha..
Ila nlkuwa namaana ka wapo wabaya ktk 2kio LA utekwaj kwa #MO bac wawajbxhwe haraka na hapatkane..
Manyumbu watakuelewatu. Wanajifanya wagumu kuelewa. Wataufyata tu.
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Hivyo ndivyo mlivyotuogopesha na mwendazake
Umekosa point kunya kalale nchi ishakiwa mavi
Ukisema ukweli jiandae kikwelikeli.
Ulisema ukweli wakati ule sasa wanakuhukumu nini wakati huu kiongozi asiyekubali kukosolewa hastahili kuwa kiongozi soma katiba ya ccm