Kusema ukweli Iddi Amini na Nyerere hakuwa maadui ila watu wa nje ndio waliokuwa na uadui dhidi ya Idi Amini, sasa waliwatumia watanzania lakini watanzania walikuwa magumu hawataki vita ndio maana zikatengezwa habari idi Amini anavamia kagera, ana kula nyama za watu na mengineyo sasa watanzania kusikia hivyo wakaona lazima wajihami na adui huyo. Kumbe wazungu walitaka wawe na control ya madini ya Tanzania na Uganda mambo ambayo idd Amini alikuwa hakubaliani nayo.
Vita vua kagera ilikuwa ni mchongo TU kwani ilikuwa afrika mashariki itawaliwe na Dini moja niseme TU mwenye akili ajue nw mzee marehemu ndio ivyo anatakiwa St, Nyerere huo ndio ukweli
Familia za Viongozi wengi wa Afrika waliokuwa waadilifu huambulia sifa za maneno matupu. Ndiyo maana viongozi wengi afrika miaka hii wakipata madaraka wanaangalia maslahi yao kwanza na familia zao wanahisi wajao baada yao hawatawajali. Hongera Rais Samia kwa uteuzi wa Makongoro Nyerere, ilimradi isiwe ni mbinu ya kumtoa Ujumbe wa Kamati Kuu ya CCM .Maana tunasikia ana msimamo sana kwenye Vikao.
Safi sana mimi watoto wa nyerere nawakubali sana
Yeah.. Agree with you Baba. Nothing is better than peace✌✌
Like father like son congratulate Mr madaraka nyerere
You think for ze future Madaraka
Good
Vizuri sana kaka hata watoto wa Iddamini walikuwa hawapendezwi na unyama aliokuwa anafanya baba yao.maandiko yanasema tusiache kuwakaribisha wageni.
Unyama gani wewe
@@rashidkombo2491mwanangu umesahau unyama alioufanya Idd amini kwa kuivamia Tanzania au ulikuwa bado mdogo?
@@gililwise ni Propaganda tu zile
@@rashidkombo2491 kweli kabisa
Kusema ukweli Iddi Amini na Nyerere hakuwa maadui ila watu wa nje ndio waliokuwa na uadui dhidi ya Idi Amini, sasa waliwatumia watanzania lakini watanzania walikuwa magumu hawataki vita ndio maana zikatengezwa habari idi Amini anavamia kagera, ana kula nyama za watu na mengineyo sasa watanzania kusikia hivyo wakaona lazima wajihami na adui huyo.
Kumbe wazungu walitaka wawe na control ya madini ya Tanzania na Uganda mambo ambayo idd Amini alikuwa hakubaliani nayo.
Hongera kwa kukutana na ndugu yako, sababu kubwa ya vita ile ni Iddi Amini kumuiba mama wa Taifa.
Yan mtu akishiba maharage anaropoka tuu
Mama wa Taifa lipi?
@@FBandBey Kaka achana naye huyo.
Huyu jamaa mstaarabu sana
Yaani watanzania tujifunze kusamehe yale mambo ya zamani jayawezi tena kutokea na mwenye makosa ni Iddi Amini sio watoto wake.
Huwezi jua.
Hata Idd Amini hana makosa mwenye makosa mnamjuwa..!
Una uhakika,?
@@hassanmfaume4522 Ni nani
Vita vua kagera ilikuwa ni mchongo TU kwani ilikuwa afrika mashariki itawaliwe na Dini moja niseme TU mwenye akili ajue nw mzee marehemu ndio ivyo anatakiwa St, Nyerere huo ndio ukweli
Pia ayo ni mambo ya siasa uwezi juwa nani yupo sawa
Mbona watoto wa Mel Nyerere wanaonekana ni watulivu na wanaakili Sana,lkn hawaibuliwi ?
Familia za Viongozi wengi wa Afrika waliokuwa waadilifu huambulia sifa za maneno matupu. Ndiyo maana viongozi wengi afrika miaka hii wakipata madaraka wanaangalia maslahi yao kwanza na familia zao wanahisi wajao baada yao hawatawajali. Hongera Rais Samia kwa uteuzi wa Makongoro Nyerere, ilimradi isiwe ni mbinu ya kumtoa Ujumbe wa Kamati Kuu ya CCM .Maana tunasikia ana msimamo sana kwenye Vikao.
Mbona uyu ndo clever than makongoro
Mnazingua
Wame fanana na babake
Idd Amin hakuwa Kama inavyohubiriwa haya maswala yamegubikwa na udini na propaganda za ajabu ajabu
Kg
Madaraka yupo sawa anatabia za Kiislamu
Mtangazaji rudi shule
😂😂😂😂dah watoto wa maadui 😂😂ila nyerere angekuwepo angemwambia mwanae asisubutu kuwa rafik na jaffary manake nyoka azai kenge ata siku moja 😂😂
Mbona unawapenda wazungu hali ya kuwa waliwanyanyasa mababu zetu na wengine kuwanyonga? Tujifunze....
Hahahahahaha
Sio kweli Nyerere Hana mawazo kama yako Kwan Jaffary anakosa gani! ?
Good