🤔Haya majadiliano ya KIDINI kupitia waumini tafauti ni elimu nzuri sana na demokrasia halisi. Nafurahi kuona mijadala inaenda vizuri na kwa amani kabisa. Hongera waumini wote mliohudhuria.
waislamu mnajidanganya yesu ndiyo njia ya kweli na uzima mwanzo na mwisho ole Wako msioamini mtatupwa jehanamu maana Zina kuja siku mwana waadam atakapo kuja kila goti litapigwa
Naimani madhumuni ya kuanzisha midaharo si dhana ya kuondoa uovu duniani au kueneza habari za uzima,upendo,amani n.k.Embu tujikite kuutangaza wokovu wa kweli watu wamjue Mungu wa kweli. Dini haitampeleka mtu mbinguni
Mi najua hao sio hawo mapasta waliomba uo muhazara ila najua ni sehemu ya kupunguza nja ni dili ta watu hoa ju hakuna mwanadamu anayeweza kutangaza dini ya Mungu Mungu anajitangaza mwenyewe haitaji musaadada wa mwanadamu anajizihilisha mwenyewe tu hao wanasema kama wanafanya kazi yake aliwatuma lini waache kujipendekeza na uo upuuzi uko East africa tu acha izo bwana hakuna asiyemujuwa Mungu
@@mhogomchungu7168 nilimaanisha Allah wa Muhammad nabii wa waislamu...maana hilo jina ni la kiarabu na ndo maana hata waarabu waikristo wanatumia but they are not the same daima..
@@rauhiyaswalehe285 mpumbavu ni wewe unayedanganywa na huyo mpuuzi mazinge....kwa janja isiyo na dira....unawezaje kumuamini nabii ambaye hakuijua kesho yake..? Ila yesu pekee alisema yeye ni njia ya kweli na uzima huwezi kuuona ufalme wa mbingu pasipo yeye....na alikuwepo yupo na atakuwepo...haya huyo Muhammad yu wapi....? Namuamini ambaye siku ya mwisho atarudi duniani...kuchukua walio wake namuamini mungu huyo..., SO KUA NA ADABU MIMI SIO MPUMBAVU...
Mungu hawagitaji wanao leta mizozo kuhusu Dini Mungu anahitaji wanao fuata maadili yake wenye himani ya matendo mema..... Kingine nawasaidia tuuu Dini ni Himani Acheni hivi vitu vinaleta uhasama fundisheni watu kumcha Mungu
kweli kabisa hao viongozi wanaoleta hiyo.mijadara hawatumii hakiri kwasababu ki2 dini nimani xx kunahajagani yakuleta ushindani wadini , Naunazani nani ambae anaushahidi kuwa dini anayoiamini ndio dini sahihi kwamaana watu wote tumekuta maandishi hatumjui kwasura mu2 alioyandika kunahaja gani yakuweka asilimia.zote. kikubwa kwamtazamo wangu naona huo niupumbavu ambao viongozi wamekosa kazi zakufanya nakuandaa mjadara wakijinga ambao hawajui utareta fitina..!!!
@@allymtungunyu2425 Dini yahaki ipo moyoni mwako2 sio mrango unaoingilia kwenda kwenyeibada ndo uamini et ndio dini sahihi, hadi ujisahau nakuzarau imani yam2 mwingine anayoiamini. ila niwakumbushe2 kuwa huo ubishani wadini hautatupeleka popote zaidi yakutupotezea muda nakutuletea uhasama. Ahasante!
@@faustinemussa6842 Hivi wajuwa makafiri wa gp wame slimu kupitia hii miadhara??? Mwenyezi mungu ametuambia tukatazaneni maovu tuamrishianeni mema haya jee ukabaki nayo kwenye moyo wako ndio utakaa ufefwata maneno ya Allah???
Mi najiulizaga sana lkn huwa sipati jibu! Kwani haiwezekani kufanya kazi ya Mwenyezi Mungu ya kuwahubiria au na kuwaongoa watu pasipo kuingilia dini na kukashifu dini nyingine tena watu wanashangilia baada ya kuutafuta Uso wa Mwenyezi Mungu!!!?
Sasa MTU anahubirije bila kuambiwa Dini flani ni uongo ,Watu wanabudu moto masanamu na mizimu na Dini zingine za kutengenzwa ,kwaiyo ili uhubiri lazima useme ukweli
hapo wameitana na kualikana kirafiki kujadili neno la Mwenyezi Mungu . Tambua waisilamu hawakuvamia kanisani bali wamealikwa , na ingekua hawataki wasingewaalika
Ukifuatilia muhadhara ya Kenya ,halafu ulinganishe n Tanzania,Tanzania hamna kitu,kabisA,tunajitahidi, Kwa wahaziri WA tz ni watu wa mtaani ,makao makuu Yao sijui yako wapi,,,na jee michango itachangishwa mpaka siku ya kiama,au vip,natafuta mtu anieleweshe
Oe ramadhani kabisaa yaonekana kiasi chako cha kufikiria ni kidogo sana utasemaje ivo ndugu sidhani kama kwa Qur'an kuna mahali imeandikwa eti wakristo ni makafiri
Mashaallah 💓💓💓💓 mazing mungu akuzidishie umri
Mazinge allah akupe umri murefu uweze kuitetea dini ya allah 👏👏👏
Mashallah ALLAH awape afya njema na umri mrefu mashehe wetu muendelee kutufundisha zaid
Mashallah tunazidi kujifunza Allah awalipe kher mashehe wetu
mashaAllah! Mungu abariki ma shiekh wetu... ... Sisi waislamu tunayo masimba(ma shiekh)
Mazinge hata akitembea uchi kwa upande wa wenzetu utasikia Masha alla mashalaalla
Na uchi hatembei mazinge uchi wanatembea makafiri t
waislamu hawatembei uchi shekh
Acha wivu
Wivu tu makafiri
Uisilamu unakataza maovu inaamurisha mema kidume mazinge awezitembea uchi pole
Mashaallah mwenyezimungu awajalie kheri ❤💞💞💞💞💞💞
Mashaallah mazinge Allah akupe umri mrefu
ماشاء الله تبارك الرحمن جزاك الله خيرا 🥰🥰🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹👌
Mashallah ALLAH BARIIK always my brother
Allahu akbaru rehma na Amani kwa wahadhiri wetu wa kiislam wote mwenyezi mungu awape mwisho mwema Insha'Allah
L
Mazinge Allah ampe umri mrefu anajua kutete haki bila kuweka ubadilifu wa neno.
11 þ
P
Mwenyezi mungu akupe umri ulomrefu sheikh mazinge
Amiin
Mashaallah sheikh wa watu jamen kipenz cha waja, mungu awalinde masheik bila nyie hatungeeza kuiendelez Dini y haki.
Maasha.Allha shehe mazinge Allha akulinde uzid kuelimisha wasio kuwa waislam
Mazinge kiboko mashllah Allah barik
Mashallah wallahi nasi twazidi kujivunia uislamu wetu
Walimu wenu wameshindwa kujibu swali?
In Shaa Allah Allah akupe hapa nakesho malipo Adhwim
Mashaallh mje na mwanzA mtoe elim
Allhamdulilah waislam tunapendeza saana
tutazidi kupendeza kabisa
Allah atuwekee mazinge bado tunakuhitaji
Aamin yaarab
Usipompokea Yesu Kama bwana na mwokozi wa maisha yako unajilisha upepo
Safi sana waislam kwa helimu bora
Jaman me ni muislam nlie slim najiuliza nlikuwa nachelewa WAP kuijua din hii ya haki Mazinge nampenda buree M/Mungu amlipe kheri
Umesilimu bila kujifunza
@@denismgalah9219 kuna mambo sio hata ya kujifunz ni kutumia akili yko vizur tu hususan ukristo
Hongera sana Dada uislamu ni raha sna
🤔Haya majadiliano ya KIDINI kupitia waumini tafauti ni elimu nzuri sana na demokrasia halisi. Nafurahi kuona mijadala inaenda vizuri na kwa amani kabisa. Hongera waumini wote mliohudhuria.
Natamani siku moja kufanyike kongamano huku Zanzibar na Mazinge pia awepo Mana huku pia wapo tena wakaidi mno
Jazaakumullahu khaira 🙏
Waislamu wafate sheria ya dini yao na wakiristo wafate sheria ya dini yao, hakuna haja ya kuongelea dini mbili kwa wakati mmoja, mnahalibu Imani
Subxaana Allah, ati wanabii wote ni wakiristo ,Subxaana Allah, Subxaana Allah, Subxaana Allah. Hawa makafiri woto ebu watoe ma'amdiko kama hiyo
Muhadhiri wetu mazinge mungu atakulinda navijana wako wote wahadhiri
Mashallah jazakallah kheir
Mazinge mashaallah uko vizuri
Maa shaa Allah
Naomba mzirushe mada kamilii jamn
Naomba mawasiliano ya mazinge jmn tafadhali
Maa Shaa Allah!
🌹🌹🌹🌹
Mimi namuamini mungu mkuu, mungu wa ibrahimu, isaka na yakobo...
Mungu wa Ibrahim,isaka, yakobo na yesu
Jinalake Allah(s.w)
Eloi eloi (Allah Allah) why u leave me alone.
@@maherzain615 hapo na yesu mir sina mbavu. Mwenzio anaona yesu ndiyo mungu mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@pilimusa7770 Hahahaha
Jamani Waislamu hawapigi makofi. Makofi wanapiga waisio waislamu. Unapolipokea jambo la kukufurahisha usipige makofi. Sema Takbir.
Tunajua kwa nn wamekunyima mda wanakuogopa Allah akuongoze she Mazinge uzidi kutuletea wageni kwenye uislam
Umeonaeeh
Ye mwenye nae badili kwnda moja kwa moja aleta mambo ya salamu
Mazinge Allah amuweke masha allah
Mmekosa kazi za kufanya hamjaitwa kwa ajili ya hiyo kazi mmeitwa kuwahubiria watu wamjue Mungu acheni kujichanganya na kuwachanganya kondoo wenu
We kondoo kwelii
Kabisa ss kondoo wanatuchanganya
Sas nyie ndo kondoo mliopotea na nd tunatk tukurudishen hapa
Allah akbar Mungu awazidishie yaliyo ya kher
Allah ampee umri n afya
Allah awape umri mrefu masheikh zetu 😂👌
Amin
Nice
waislamu mnajidanganya yesu ndiyo njia ya kweli na uzima mwanzo na mwisho ole
Wako msioamini mtatupwa jehanamu maana Zina kuja siku mwana waadam atakapo kuja kila goti litapigwa
Mwalimu mazinge nakupenda Sana tena sana
Mazinge upo sahihi Sana wafundishe makafiri hao
Naimani madhumuni ya kuanzisha midaharo si dhana ya kuondoa uovu duniani au kueneza habari za uzima,upendo,amani n.k.Embu tujikite kuutangaza wokovu wa kweli watu wamjue Mungu wa kweli. Dini haitampeleka mtu mbinguni
Yesu ni muokozi wa dunia ukiamua kumfata yesu nafsi yako utaiona
Mmmmmh pole sana
@@fatumaabdallah1064 hakika maneno yangu utakuja kuya kumbuka Sana yes u ni muokozi wa ulimwengu
Mashaallah
Good
Assalam Aleykum warahmatullahi wabarakatuh
Waleikum ssalam warakhamatullah wabarakatu
Mazinge utabaki kuwa mazinge tuu . In sha Allah . Allah zaidi kukuongoza vyema
Mashallah
الله اكبر الله اكبر الله اكبر
AA tu uplodie full clip
Jazakamu ALLAH khaira mashekh wetu
amiin
Mazinge unajifanya unajua sana hamna lolote
Ww ndoo ujui chochote kwenye dini mbona amjampa mdaa wake mume gongaa kegere
Walimu wangu naomba mwendere hivyo
Mazinge nakupenda
kwanza dawa lauyo mazinge yupo kenya anaitwa mwalimu francis ndacha.
Hhhhhhhhh mazinge tiba ya makafiri msomi huyo hamumuwez
@@jeanmuzaliwa4054 ngo ndacha hhhh uyo anajuwa tu kuweka birak 🤣🤣🤣🤣
@@arthurnuhu8570 Kiboko cha makafiri
@@mamymdogomamy3670 hhhh niatar kwel
Allah akbr
Allah akupe umri mlefu wenye mafanikio
Mi najua hao sio hawo mapasta waliomba uo muhazara ila najua ni sehemu ya kupunguza nja ni dili ta watu hoa ju hakuna mwanadamu anayeweza kutangaza dini ya Mungu Mungu anajitangaza mwenyewe haitaji musaadada wa mwanadamu anajizihilisha mwenyewe tu hao wanasema kama wanafanya kazi yake aliwatuma lini waache kujipendekeza na uo upuuzi uko East africa tu acha izo bwana hakuna asiyemujuwa Mungu
Mashallah.
Yesu arikuwa mupangani wanyubani kwa mama yake muzazizi munahangahikabure
Allah ni mungu wa Muhammad na wafuasi wake majini
Wewe kafiri ni mpumbavu kweli
katika biblia ya kiarabu Allah ni jina la Mwenyezi Mungu Mtukufu, sasa utasema wakiristo wote wanaotumia jina la Allah Mtukufu kuwa wanakosea ?
@@mhogomchungu7168Allah wa biblia ya kiarabu na Allah wa Quran ndo mmoja?...nijibu halafu nikujibu swali lako...
@@mhogomchungu7168 nilimaanisha Allah wa Muhammad nabii wa waislamu...maana hilo jina ni la kiarabu na ndo maana hata waarabu waikristo wanatumia but they are not the same daima..
@@rauhiyaswalehe285 mpumbavu ni wewe unayedanganywa na huyo mpuuzi mazinge....kwa janja isiyo na dira....unawezaje kumuamini nabii ambaye hakuijua kesho yake..? Ila yesu pekee alisema yeye ni njia ya kweli na uzima huwezi kuuona ufalme wa mbingu pasipo yeye....na alikuwepo yupo na atakuwepo...haya huyo Muhammad yu wapi....?
Namuamini ambaye siku ya mwisho atarudi duniani...kuchukua walio wake namuamini mungu huyo..., SO KUA NA ADABU MIMI SIO MPUMBAVU...
MashaAllah
Sh mazinge nooma
Mungu hawagitaji wanao leta mizozo kuhusu Dini
Mungu anahitaji wanao fuata maadili yake wenye himani ya matendo mema..... Kingine nawasaidia tuuu Dini ni Himani
Acheni hivi vitu vinaleta uhasama fundisheni watu kumcha Mungu
Mrgeorge ni kweli wafundishe watu kumcha mungu. Lakini tatizo hawamchi mungu ipasavyo anavyotaka mungu
kweli kabisa hao viongozi wanaoleta hiyo.mijadara hawatumii hakiri kwasababu ki2 dini nimani xx kunahajagani yakuleta ushindani wadini , Naunazani nani ambae anaushahidi kuwa dini anayoiamini ndio dini sahihi kwamaana watu wote tumekuta maandishi hatumjui kwasura mu2 alioyandika kunahaja gani yakuweka asilimia.zote. kikubwa kwamtazamo wangu naona huo niupumbavu ambao viongozi wamekosa kazi zakufanya nakuandaa mjadara wakijinga ambao hawajui utareta fitina..!!!
@@faustinemussa6842 umezingua inamaana wewe kumbe hujui km dini yako ya haki au sio ya haki?
@@allymtungunyu2425 Dini yahaki ipo moyoni mwako2 sio mrango unaoingilia kwenda kwenyeibada ndo uamini et ndio dini sahihi, hadi ujisahau nakuzarau imani yam2 mwingine anayoiamini. ila niwakumbushe2 kuwa huo ubishani wadini hautatupeleka popote zaidi yakutupotezea muda nakutuletea uhasama. Ahasante!
@@faustinemussa6842 Hivi wajuwa makafiri wa gp wame slimu kupitia hii miadhara??? Mwenyezi mungu ametuambia tukatazaneni maovu tuamrishianeni mema haya jee ukabaki nayo kwenye moyo wako ndio utakaa ufefwata maneno ya Allah???
Waubir allh awazidishie daima
Mi najiulizaga sana lkn huwa sipati jibu! Kwani haiwezekani kufanya kazi ya Mwenyezi Mungu ya kuwahubiria au na kuwaongoa watu pasipo kuingilia dini na kukashifu dini nyingine tena watu wanashangilia baada ya kuutafuta Uso wa Mwenyezi Mungu!!!?
Sasa MTU anahubirije bila kuambiwa Dini flani ni uongo ,Watu wanabudu moto masanamu na mizimu na Dini zingine za kutengenzwa ,kwaiyo ili uhubiri lazima useme ukweli
IPI Dini yaki IPI ya uongo
hapo wameitana na kualikana kirafiki kujadili neno la Mwenyezi Mungu . Tambua waisilamu hawakuvamia kanisani bali wamealikwa , na ingekua hawataki wasingewaalika
Kujadiliana na kuambina haki ni IPI IFATWE!!@Muhogo mchungu
Fakiih so tuseme dini ya kikristo ni ya uongo????
Daa. Vijana wamekua sana
Yap..
Yesu leo kaonyesha waislamu mahala pa sala ni kanisani,
Bali tumewaonyesha kuwa uislamu ni dini rahisi saana ibada popote mda wakuwa ni pasafi
@@nyatya199 Okay Kanisani ni pa safi.na shukuru kwa hiyo.
@@bensonlangat640 mpaka pakaswaliwa hapo ni pasaf pangekuwa na masanamu basi wasingeswali happy palikuwa safi kabisa hamna uchafu
@@nyatya199 hapo unakuja vizuri.naamini kama kungekua na Mwezi na nyota hawangeingia.ndio maana kawacha mahali penye nyota na Mwezi.kaitwa Kanisani.
@@bensonlangat640 inaonekana hujui maana ya sanamu
Juma
Angaikeni kumtafuta MUNGU na kumjuwa wala sio kubishana na kujifanya mnamjuwa saana MUNGU
Ni vizuri mkaweka debate mwanzo hadi mwisho .
Allah Akbar
Kazi mnayo
Mbona ikowazi kuwa wiisilam ndiyo dini yakweli nayamwezi mungu
Hata Jina la Mungu unaandika kwa heruf ndogo, mnafuata upepo tu
@@kelvinmakala5338 😂😂 pumbuani huyu
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Ukifuatilia muhadhara ya Kenya ,halafu ulinganishe n Tanzania,Tanzania hamna kitu,kabisA,tunajitahidi, Kwa wahaziri WA tz ni watu wa mtaani ,makao makuu Yao sijui yako wapi,,,na jee michango itachangishwa mpaka siku ya kiama,au vip,natafuta mtu anieleweshe
Masha Allah
Upo vizuri
Uislaam ni dini ya haqqi.
Mazinge karuka swali, sijamelewa kabixa
Dini ya kweli isiyosanamu. Ni Mashahidi wa Yehova
MashaaAllah MashaaAllah
Ma shall a mshallaa
Waislam.oteniwakristo
Uyo mjamaa amekwepa swali adharani🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo ni wapi
Mashaallaah mashaallaah
Waislamu mmeshindwa,,,, DINI ZILIZO TANGULIA🤣🤣🤣ZAMANI UISLAMU HAUKUWEPO
Alhamdulilah
Allah Akbar,,,
Maiznge
Mazinge kashindwa kujibu swali
Mwenyekiti ww ndo umemuangusha Mazinge walau hata angesema hakuelewa swali sasa limerudiwa,na Mazinge kazamisha jahazi
Acheni uchochez nyie
@@yohanaleopoldleopold2572 uchochozi gani ndugu wakati hao wamekubaliana wenyewe wakae wazungumze na wala hawagombani
Mazinge MOLA AKUPE KHERI
mazinge kwa dunia yaleo ww huna mfano unajuwa unajuwa kutangaza dini ya allah kwa kikamilifu
Makafiri wakaidi Kama mmshipa wa ngirii,dini yakweli na ya haki ni islam ☝️🤲
Aisee.
Oe ramadhani kabisaa yaonekana kiasi chako cha kufikiria ni kidogo sana utasemaje ivo ndugu sidhani kama kwa Qur'an kuna mahali imeandikwa eti wakristo ni makafiri
Allahamdullih kweli kabisa waisilam watu wenye akili na hekma kwa kujibu mtu
P
Harmonize
monde boy
DD Doctor of Divinity original