MWALIMU BAKOZI ALIVYOPELEKA SOMO LA DINI ZA MANABII NA KUPELEKA SIMANZI NZITO KWA MABABA ASKOFU.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 216

  • @allysaid2367
    @allysaid2367 ปีที่แล้ว +4

    mashaAllh ustadh Bakoz kwa kweli umefikisha ujumbe kwa wahusika. Nimeangalia hii video mara nyingi sana. Asanteni sana kwa kazi nzuri Allah atawalipa hapa Duniani na malipo makubwa zaidi huko Akhera.

  • @ismailkenga1243
    @ismailkenga1243 3 ปีที่แล้ว +17

    Jazakallahu kheir ustadh bakozi.. Mungu akujalie wepesi ktka maisha yko

    • @timarusia8637
      @timarusia8637 3 ปีที่แล้ว +1

      Ameen Allah ampe umri mrefu wakheri..

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 3 ปีที่แล้ว +8

    Mashaallah mashekhe wetu Mungu awahifadhi mashekhe wetu muna fungu kubwa kwa Mungu kuwa ongoza watu kama hao kuwaonyesha njiya ya sawa ya haki Alhmdulilahi Mungu awape afiya njema na umri mrefu inshaallah muzidi kulimisha watu kutoka kenya khadija said Nahdi mld

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 3 ปีที่แล้ว +14

    Shukrni sna sheikh,,,kwa kweli uislamu ndio dini ya manabii wote tuko pamja kutoka Kenya

  • @shikivokochabunu8011
    @shikivokochabunu8011 3 ปีที่แล้ว +2

    Uko vizuri Sheikh Na umekuwa Na makini unaeleza vizuri mwenye kufahamu atakubali bila shaka mwenye kupinga ni ujinga wakwe

  • @kudrawanguvu5923
    @kudrawanguvu5923 3 ปีที่แล้ว +5

    Mashallah nawapongezeni wote mrioshiriki walimu wote wapande mbili nijambo jema kujadiliana kwa upendo na aman M/Mungu awabariki na atuongoze wote

  • @aishaabbas4869
    @aishaabbas4869 3 ปีที่แล้ว +4

    Allah Akubarik Bakozi Akupe umri mreeeeeefu, Amiiin,

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah Allah akuzidishie ilmu zaidi nafurahi kakangu kusoma raha na uislam raha 🥰🥰🥰🥰👌👌👌👌trasfomer ya Allah hio 💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @makapaabdallah7937
    @makapaabdallah7937 3 ปีที่แล้ว +8

    Ustadh bakozi umeongea ya kweli ndo maana hata kunawakrito walikuelewa na kutikisa kichwa kwamba umefundisha. Umenikumbusha almarhum Deedat. Allah akuongoze na akulinde na kila mitihani.

    • @abuubakar5749
      @abuubakar5749 3 ปีที่แล้ว +1

      sahihi nimewaona wakristo wakitikisa kichwa ni ishara ya kuelewa

  • @fatomhalogandy4045
    @fatomhalogandy4045 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah tabarakallah.great muhadharah.Allah awabariki yarabi

  • @rukiamusa9916
    @rukiamusa9916 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazakalahu kheir maashalah nice yani napenda vile una fafanua vizu tena kwa ujasiri kwa unacho kifundisha mungu akupe hekima zaidi

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallhaaa bakozi mungu akuzidishie elimu

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 3 ปีที่แล้ว +4

    Maa Shaa Allah, awalipe na awaongoze ktk kuuelimisha umma

  • @asedtembo4742
    @asedtembo4742 3 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah tabarakallah
    Mwenyezi Mungu awape umri mrefu tupate kuelimika

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 ปีที่แล้ว

      Hebu jiulize hii yakukamua maiti mavi tumboni hii NAyo niyamitume na manabii???

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 ปีที่แล้ว

      @@charlesjoseph2092 qur an unaijua na bibiria?

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 ปีที่แล้ว

      @@allymtungunyu2425 Ndio kama unaswali uliza ila Mimi nimeuliza sijajibiwa nimeuliza kwamba hii ya waislam kukamua maiti mavi hii nayo niyamitume na manabii??

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 ปีที่แล้ว

      @@charlesjoseph2092 mimi cna taaluma ya midahalo kaka

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 ปีที่แล้ว

      @@allymtungunyu2425 Lakini si wewe unaamini Uislam ndio ulikuwepo tangu awali?

  • @AshamMussa
    @AshamMussa ปีที่แล้ว +1

    Hata wale waislamu wasiojiamini kwenye uislamu wao umewagandisha hawatoki tena Allah Akubarik Bakozi na wenzio inshaallah

  • @zeinachimamiazani4409
    @zeinachimamiazani4409 3 ปีที่แล้ว +2

    Tune from kenya mashallah uyu bwana heko kwake asema yeye mwalimu afundisha ili watu waelewe sio kuhubiri tuu..wallai ata kama mwanafunzi bonzo majibu yote akupa...

    • @mrishokisombe1486
      @mrishokisombe1486 3 ปีที่แล้ว

      Sheikhewangu asantesans walinganie hao ndugu zetu walio ionahakiwaksipa mgongo walinganie iposiku jakiwataitambua tu

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah shukran jazeelan sheikh wetu

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 2 ปีที่แล้ว

    Amina ibrahim bakozi allha akulipe mema innshalla

  • @omarsalim5389
    @omarsalim5389 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah awape kila kheri mashekh wetu na hao wakristo allah awape kufahamu. Uislamu raha tupu na akhera ni peponi. Ameen

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 3 ปีที่แล้ว +7

    Wallah cjutii kuwa Muislam aisee

  • @barakamohamedbaraka6246
    @barakamohamedbaraka6246 ปีที่แล้ว

    MashAllah.... mwenye alibahatika kua mwislamu basi

  • @faridkhamis3910
    @faridkhamis3910 ปีที่แล้ว +1

    😁Yaani hadi raha shekh ibrahim bakozi unatufundishavhadi tunakuwa na sura ya kutabasam allah akupe umri mrefu sheikh yakuilingania dini ya hakki ya uislamu 🙏

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah Allah awalinde ma sheikh nyote na awalipe kheri Leo duniani na kesho akhera

  • @minraya6322
    @minraya6322 3 ปีที่แล้ว +4

    Maashallah tabarakallah lnn Sha Allah mungu awaongoze waadhiri wetu alhamdhulillah kwa kua muislam

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 3 ปีที่แล้ว +9

    Nafurahi Sana hawa wanao soma Masha Allah 👏👏👏👏👏 kwakweli uislam raha ,❤❤❤

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 ปีที่แล้ว

    Thank you Sheikh Mazinge, other sheikhs, and the Christian clergy and ministers. These kinds of debates, or rather, discussions remove misconceptions. We are One Humanity under One God ( for aren't we all monotheists?) This is nopt about who is right or wrong. This is more about mature debates. We shall not hurl earth and stones on each other, for the one who hurls earth on the other, he himself sinks further down. Always maintain civility. God is the ONE going to judge us all. Let us be SINCERE, ask God to grant you the absolute TRUTH, not the truth that one is biased from the start to believe in. No bias, no favorism, no kabila, or dressings style, or color, or language one speaks. Once you remove those biases, see if you will not, for sure, a 100% surety with of course God Willing, be guided to the truth. I am a Muslim from Canada, and I love my Christian brothers and sisters. Peace be upon you all and peace be upon Jesus Christ and upon Muhammad, those sent by God the Creator. Ray, from Canada

  • @YahyaAzizi-g1l
    @YahyaAzizi-g1l ปีที่แล้ว

    Mashalllah sheikh jazaka llahu khaira

  • @HalidiNkundwanabake-i7r
    @HalidiNkundwanabake-i7r 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah.wape vitu muheshimiiwa uwislam fini wa llah

  • @juju-hc8to
    @juju-hc8to 3 ปีที่แล้ว +2

    Really I'm proud of my self and my diny. Ilove my self coz I'm muslim

  • @zaitunimrisho6377
    @zaitunimrisho6377 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu awape umri mrefu muishi miaka 800

  • @RashidiHiyana
    @RashidiHiyana ปีที่แล้ว

    Bacoz bacoz bacoz na mashekh wote mungu awahifadhi

  • @firo0ozdawah378
    @firo0ozdawah378 3 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH AWAPE HIDAYA NA SISI WAISLAMU TUMUABUDU TUSIWE WAISLAMU MAJINA ... AAMEEN.

  • @aishasaif31
    @aishasaif31 3 ปีที่แล้ว +5

    Mashallah hadi rahaa wallah nawependa kwa ajili y Allah 🇰🇪

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 3 ปีที่แล้ว +1

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 3 ปีที่แล้ว

    Sheikh umeingia kwa uzuri saana jazaakumullahu khaira 🙏

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 3 ปีที่แล้ว +2

    Wallah huu mdahalo ulikuwa wa kimataifa,
    Allah awalipe kheri

  • @hassaniharuna1010
    @hassaniharuna1010 2 ปีที่แล้ว +1

    Hapo jibu ni moja tu kwamba manabii wote walikua wanyenyekevu kwa maana kwamba waislamu kwaiyo imeisha hiyo

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 ปีที่แล้ว +4

    mashaAllah

  • @lwengeradisp1056
    @lwengeradisp1056 2 ปีที่แล้ว

    Maashaallah kweli uislam ni dini ya haqqi

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah awalipe kheri nyingi masheik

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 3 ปีที่แล้ว +2

    Alhamdulillah alhamdulillah alhamdulillah, kuwa muislam
    Ku

  • @irakozeabubakar3223
    @irakozeabubakar3223 2 ปีที่แล้ว

    Allah azidishe nguvu katika dinni ya hakki amin

  • @alliabdullah6180
    @alliabdullah6180 2 ปีที่แล้ว

    Uislam raha sanaaaa🙏

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 10 หลายเดือนก่อน

    I'm very happy to be muslim

  • @aishaabbas4869
    @aishaabbas4869 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah mashaallah tabarakallah Allahu Akbar

  • @rajabuomari2694
    @rajabuomari2694 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mungu atujalie kher akuzidishie umri

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw ปีที่แล้ว

    Takbir Allah Akbar...😊

  • @mussamtimbinya7643
    @mussamtimbinya7643 2 ปีที่แล้ว

    Allah awalipe kila la khery Inshalah

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 10 หลายเดือนก่อน

    Let vitu bakoziiiii

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu 3 ปีที่แล้ว

    Wacristo macho NGOOOOOOOO

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah 💓 mashaallah 💓 mashaallah 💓❤️❤️❤️😍

  • @ashaidd4501
    @ashaidd4501 3 ปีที่แล้ว

    Jazakallah khaira

  • @doublejclassic
    @doublejclassic 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii midahalo inatoa elimu kubwa sana🇹🇿

  • @issaadam867
    @issaadam867 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuna tofauti ya kuhubiri na kufundisha ...Hapa Tumefundishwa

  • @abuubakar5749
    @abuubakar5749 3 ปีที่แล้ว +1

    jazakumullahu khaira wabaada khair jannatulnaim

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 2 ปีที่แล้ว

    Wakiristo vipofu sana masikini wako hasarani wamepotea vibaya sana

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah Bakozi nipe number yako

  • @amrubinannasannas9185
    @amrubinannasannas9185 3 ปีที่แล้ว +3

    Kichwa ichi hatari sana
    Mazinge hata
    Mazinge hawa ndo warisi wako
    Tallent iyooo wakristo

  • @zainabumocka87
    @zainabumocka87 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah jooni na uku jamani kwetu kigoma vijijini

  • @tatujuma3428
    @tatujuma3428 3 ปีที่แล้ว

    Maashallh

  • @MakameSilima-g7k
    @MakameSilima-g7k 10 หลายเดือนก่อน

    Bakozii tuweke juu waislam

  • @dulladiznz2719
    @dulladiznz2719 3 ปีที่แล้ว

    Mashalla uwislamu ni dini ya kweli

  • @nurdinijuma8402
    @nurdinijuma8402 3 ปีที่แล้ว +2

    Kadinari pengo ndie alie zuia mihadhara matokeo ya wasilam wliritadi sana

  • @RajabuKasim
    @RajabuKasim ปีที่แล้ว

    Shekh umefit na kama kunamtu hajaelewa, huyo atakua anashida ktk uelewa

  • @ikhavi
    @ikhavi 28 วันที่ผ่านมา

    Kristo ndiye DINI(NJIA)

  • @jaymandy1914
    @jaymandy1914 3 ปีที่แล้ว +1

    Wakristo hawana hoja hata siku moja.

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw ปีที่แล้ว

    🎉

  • @werehadija153
    @werehadija153 3 ปีที่แล้ว

    Waislam takbiiiir

  • @khalidajali2920
    @khalidajali2920 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @allymamlo252
    @allymamlo252 3 ปีที่แล้ว

    Wallahi Raha mmevamia kanisa nammmewafunza wakae kiislam sioni minsket naziona njemba zimecool kiislam zaidi yaani penda mimi

  • @zaitunimrisho6377
    @zaitunimrisho6377 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaa,baabaaaa!

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 ปีที่แล้ว

    Ma shaa Allah
    Ma shaa Allah
    Ma shaa Allah
    Nakupenda skekh kwa ajili ya Allah wallahi mko sawa kabisa namuomba Allah awahifadhi yaa rabb

  • @yahayab4u614
    @yahayab4u614 3 ปีที่แล้ว

    Hawasomi Ila wanasomewa 2 Wala hawauliziiiii ,,,,ni ndiooo Kira kitu ndio

  • @EngJosh
    @EngJosh 3 ปีที่แล้ว

    Weka full

  • @gracecypilian6557
    @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

    Nawape ushauli mkiona kanisa limenyakaliwa musikubari kuekewa microchip maana kutakuwa na mateso lakini mwenye kuvumilia ndie atakae okoka

  • @Salumumpeketi9
    @Salumumpeketi9 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu shekhe anaehubili ni nani selemani mazinge au Allah amhifadhi

  • @issahavisuti6757
    @issahavisuti6757 3 ปีที่แล้ว

    Hii midahalo naomba iekwe full na isiwe vipande vipande maana mtu unapata tabu kuunganisha vipande

  • @saiddaji6342
    @saiddaji6342 3 ปีที่แล้ว +2

    Wenzetu wanajua haki ilipo ila ubishi tu kibri

  • @gracecypilian6557
    @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

    Yesu anawapenda

    • @ramadhanomar5152
      @ramadhanomar5152 3 ปีที่แล้ว

      Allah akujaaliye uone ukweli InshaaAllah

    • @gracecypilian6557
      @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

      @@ramadhanomar5152 hata Mimi nakuombea Yesu akuonyeshe njia sahihi Yesu anakupenda

    • @ramadhanomar5152
      @ramadhanomar5152 3 ปีที่แล้ว

      @@gracecypilian6557 wacha ushabiki dada soma maandiko uyaelewe Kisha ufanye uamuzi

    • @gracecypilian6557
      @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

      @@ramadhanomar5152 kama Kuna shabiki hapa Basi niwewe maana wewe ndie unanijibu wakati sijakuuliza

    • @gracecypilian6557
      @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

      @@ramadhanomar5152 Usha fanya uwamuzi wako bila ushauli wangu Basi nawewe huna haki ya kunishauli kaka

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 5 หลายเดือนก่อน

    Nyiebwa makafiri mbona mnakata vipande vipande

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 3 ปีที่แล้ว

    Alhamdulillah

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 ปีที่แล้ว

    Mim nachoka na yesu na kuona hana adabu pale alimuita mama yake mzaz mwanamke,

    • @MedHans-x3c
      @MedHans-x3c หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @husha6372
    @husha6372 3 ปีที่แล้ว

    Antokiya ambayo ilikuwaIku ikiitwa Antioch ilikuwa Chini ya ufalme wa Roman Empire Constantinople Lakini sasa ni Turkey

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 3 ปีที่แล้ว +2

    Mwanza nunawakalibisha sana sana saaaaaana

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 3 ปีที่แล้ว

    Asielewahapo hatoelewa

  • @kuluthumally2859
    @kuluthumally2859 3 ปีที่แล้ว

    Kuluthum ally

  • @mariamumasinda9020
    @mariamumasinda9020 2 ปีที่แล้ว

    K8

  • @radhiambo1830
    @radhiambo1830 ปีที่แล้ว

    Ukweli ni kwambaa..yesu ndie njia si Muhamed...Muhammad alitokomea wapii?

    • @IkwataInvestment
      @IkwataInvestment 3 หลายเดือนก่อน

      Tatizo maandiko yanapingana na maneno yako

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 3 ปีที่แล้ว

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojali

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 3 ปีที่แล้ว

    Bakozi kanena kweli biblia inafundisha vingine na wachungaji wanafundisha vingine

  • @najashrk3738
    @najashrk3738 3 ปีที่แล้ว

    Yule sheikh Yahaya mpeuyo yukowapi mbona haonekani

    • @nyumbaniwawi9643
      @nyumbaniwawi9643 3 ปีที่แล้ว

      Kashatangulia mbele yahaki uyo

    • @ramadhanomar5152
      @ramadhanomar5152 3 ปีที่แล้ว

      Innalillahi wainailayhi rajjiun , yahya mpe alishatangulia mbele zahaki ALLAH AMREHEMU

    • @HaidarOmar-tx7cc
      @HaidarOmar-tx7cc ปีที่แล้ว

      Kasha kufa

  • @swadaqtr1027
    @swadaqtr1027 3 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nurhassan8379
    @nurhassan8379 3 ปีที่แล้ว

    U islaamu raha

  • @petrosamweli309
    @petrosamweli309 3 ปีที่แล้ว

    mh! bishaneni tu Ila tukutane paradiso.

    • @yahyasalum5634
      @yahyasalum5634 3 ปีที่แล้ว

      😄😄😄😄😄 wait and see

    • @khadijeyjumar6794
      @khadijeyjumar6794 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂utaenda mwenyewe

    • @gracecypilian6557
      @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

      @@yahyasalum5634 Yesu anawapenda

    • @gracecypilian6557
      @gracecypilian6557 3 ปีที่แล้ว

      @@khadijeyjumar6794 Yesu anawapenda

    • @SalmaAbdul-zz7dy
      @SalmaAbdul-zz7dy ปีที่แล้ว

      Km paradiso ya baba Ako mutakutana,lkn km ya mwenyezimungu mtasahau

  • @ashaidd4501
    @ashaidd4501 3 ปีที่แล้ว

    Vit hivi tulivimis san

  • @sulimanmasoud9337
    @sulimanmasoud9337 3 ปีที่แล้ว

    Munatupa tabu hatuju ipiyakwaza wala yapili tunakubeni mlofanya records kwahisani zenu muzipage ikiwa mnataka nasitupatefaida .

    • @jacksonnzai1593
      @jacksonnzai1593 3 ปีที่แล้ว

      Kakangu nikwambie usifuate dini gani yakwanza au ya pli. Tafuta nikipi kinakufaa kuinusuru Roho yake mble ya Mungu. Kipi chakuamini na kwa nini umeamua kuamini ulichoamua kuamini

    • @fundibombazanzbar5717
      @fundibombazanzbar5717 3 ปีที่แล้ว

      anakusdia clip huyu

  • @mzeekifaru1417
    @mzeekifaru1417 3 ปีที่แล้ว

    A

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu 3 ปีที่แล้ว +1

    Wekeni daki30 za mazinge

  • @abdillahbakar9850
    @abdillahbakar9850 3 ปีที่แล้ว

    Ass.alaikum. nawaomba muurushe mjadala wote musiukate kate

    • @abdillahbakar9850
      @abdillahbakar9850 3 ปีที่แล้ว

      Kwasababu tunapata shida kujua ipi ya mwanzo na ya mwisho

    • @ramadhanomar5152
      @ramadhanomar5152 3 ปีที่แล้ว

      Angalia kwa u tube vizuri kaka utaupata full muhadhara InshaaAllah