Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤
Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala
Tunacho kirusi nchi hii ambacho kitaendelea kutufanya kuwa masikini mpaka kiama. Ni kuzungukwa na wanoitwa wasomi lakini wana NAKISI KUBWA ya UWAJIBIKAJI na UADILIFU.Hao wapo teeele kila penye utumishi wa umma.Hawana malengo wala maono bali ni kilichomleta hapo ni Ajira.
Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.
Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana
Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali
Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU.
Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤
Hujuma hujuma hujuma wanamfanyia mama ili wananchi wamchukie rais wao
Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
Huyo dada hafai asiee bora aondolewe
Mademu wao hao😂😂😂
Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui
Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥
Tunacho kirusi nchi hii ambacho kitaendelea kutufanya kuwa masikini mpaka kiama. Ni kuzungukwa na wanoitwa wasomi lakini wana NAKISI KUBWA ya UWAJIBIKAJI na UADILIFU.Hao wapo teeele kila penye utumishi wa umma.Hawana malengo wala maono bali ni kilichomleta hapo ni Ajira.
Aweso fata nyayo za makonda
Jamani DAWASA HEBU TUANGALIENI SISI WATU WA BOKO NATIONAL HOUSING KUELEKEA MAGEREZA. KWETU MAJI NI NYOTA YA JAHA.
Shida kweli kweliiwel
Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!
Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏
Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena
Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu