WATENDAJI DAWASA WAINGIA KWENYE 18 ZA AWESO/AWESO AWAFUKUZA KAZI/HUYU MTOENI/TUNAONDOKA WOTE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Muheshimiwa pole na kazi
Huyu jamaa najuaga nimpole kumbe akichokozwa hafai ee😮
Njoo kigoma kasulu
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani awandio mawazili jembe ajawai kutuangusha
Kwenye utendaji wake Alha akuongoze salama mueshimiwa wazili awesu
Njoo Mbezi Msumi, Maji Shidaa,
Kwanini humuonekani mpaka wapizani wafike au wapite ..?
Hivi ni vichekesho au maigizo
Uko vizuri
Huyu ndio Aweso niliyemjuaga,lakini sasa hivi amepunguza makali
Wanafanya biashara ya maji hao mweshimiwa njoo sinza na ubungo
Mama samia hawa majembe ndio tunayataka
Pia ao wanabambika bill
Mieningezimianakufwakabisaa
Mh Aweso , hapa Luguruni Dawasa wanaomna rushwa sana kama ukitaka kuingiza maji na bila kutoa hupati na wakati ,wingine hata ukitoa hupewi kwa wakati
Hahaha we mh wanyooshe mkuu uwe kama makonda kiongozi
Mimi ninavyo ona huyo dada Hana hatia tatizo lipo kwa boss wake
Nawasikitikia Dawasa, hawajabadilika kiutendaji.
Hilo sio swala la kuuliza ,fukuza wote tangaza ajira maana hao wanafanya kaz kimazooea na kichafua serikali na CHAMA CHETU . piga chini wote hao
Na maji wanatuwekea bila vipimo maana tumeambiwa sm Fulani watatuwekea wenyewe ila Kwa Sasa hata ukiwa karibu na konekseninwanakutoza sh 300000 ambazo hawakupi lisiti na wanaokula nao ni wasoma mita
Na wanatuwekea malipo ya maji taka wakati hiyo huduma hatuipati nao watu wa malipo watumbuliwe
Waondoke tu hao ndiyo wanaofanya watu waichukue Ccm
Makonda kiboko yaoooooooo
Kwanini? Msikague kabura yakazi wnapenda sifaa nawewe baado
Mm nilisoma sikupata ajir kwahyo ukiwafukuza hao sawa tu tufanane
Kra kona ni diri
Wafukuzwe tu wako vijana wanasota midigrii kibao waobdoke ajiri wengineo