WATENDAJI DAWASA WAINGIA KWENYE 18 ZA AWESO/AWESO AWAFUKUZA KAZI/HUYU MTOENI/TUNAONDOKA WOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►TH-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

ความคิดเห็น • 26

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya8146 3 หลายเดือนก่อน +1

    Muheshimiwa pole na kazi

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa najuaga nimpole kumbe akichokozwa hafai ee😮

  • @BekaKashamba-wi5sm
    @BekaKashamba-wi5sm 3 หลายเดือนก่อน

    Njoo kigoma kasulu

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani awandio mawazili jembe ajawai kutuangusha
    Kwenye utendaji wake Alha akuongoze salama mueshimiwa wazili awesu

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige3407 3 หลายเดือนก่อน

    Njoo Mbezi Msumi, Maji Shidaa,

  • @oss6689
    @oss6689 3 หลายเดือนก่อน

    Kwanini humuonekani mpaka wapizani wafike au wapite ..?
    Hivi ni vichekesho au maigizo

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndio Aweso niliyemjuaga,lakini sasa hivi amepunguza makali

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 3 หลายเดือนก่อน

    Wanafanya biashara ya maji hao mweshimiwa njoo sinza na ubungo

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 3 หลายเดือนก่อน

    Mama samia hawa majembe ndio tunayataka

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 3 หลายเดือนก่อน

    Pia ao wanabambika bill

  • @rahmasabuni3425
    @rahmasabuni3425 3 หลายเดือนก่อน

    Mieningezimianakufwakabisaa

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 หลายเดือนก่อน

    Mh Aweso , hapa Luguruni Dawasa wanaomna rushwa sana kama ukitaka kuingiza maji na bila kutoa hupati na wakati ,wingine hata ukitoa hupewi kwa wakati

  • @MasawilaGoa
    @MasawilaGoa 3 หลายเดือนก่อน

    Hahaha we mh wanyooshe mkuu uwe kama makonda kiongozi

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi ninavyo ona huyo dada Hana hatia tatizo lipo kwa boss wake

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 หลายเดือนก่อน

    Nawasikitikia Dawasa, hawajabadilika kiutendaji.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo sio swala la kuuliza ,fukuza wote tangaza ajira maana hao wanafanya kaz kimazooea na kichafua serikali na CHAMA CHETU . piga chini wote hao

  • @adelaidekalongora5417
    @adelaidekalongora5417 3 หลายเดือนก่อน

    Na maji wanatuwekea bila vipimo maana tumeambiwa sm Fulani watatuwekea wenyewe ila Kwa Sasa hata ukiwa karibu na konekseninwanakutoza sh 300000 ambazo hawakupi lisiti na wanaokula nao ni wasoma mita

  • @adelaidekalongora5417
    @adelaidekalongora5417 3 หลายเดือนก่อน

    Na wanatuwekea malipo ya maji taka wakati hiyo huduma hatuipati nao watu wa malipo watumbuliwe

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Waondoke tu hao ndiyo wanaofanya watu waichukue Ccm

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda kiboko yaoooooooo

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 หลายเดือนก่อน

    Kwanini? Msikague kabura yakazi wnapenda sifaa nawewe baado

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 3 หลายเดือนก่อน

    Mm nilisoma sikupata ajir kwahyo ukiwafukuza hao sawa tu tufanane

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 3 หลายเดือนก่อน

    Kra kona ni diri

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 หลายเดือนก่อน

    Wafukuzwe tu wako vijana wanasota midigrii kibao waobdoke ajiri wengineo