Arusi nzuri kuliko zote ninazo zijuwa hiyi inaushuhuda muzuri amevaa vazi la harusi kizuri amependeza kwa nyimbo haringi kwa chochote mungu mu ongoze kwa maisha ya ndowa mwanzo hapa hâta uzee wake
Daaaaaaah, Wadogo zangu mke na mume wote mmeendana sana mke mzuri mume usmaty pia nyimbo ya pamoja pia mmeimba vizuri sana mke pia nyimbo ya peke ake kasimama vizuri mimi kama mimi Na Muomba Mungu akawape maisha ya kusikirizana katika ndoa harusi zakanisani na ukumbini hihapa na ya kwanza kuiyelewa 🇹🇿🇹🇿😭😭💍💍✔✔
I remember crying like this 7years ago as if I was not going back home to even greet them.....but it's beautiful day n memorable one.God bless this amazing couple 💕
Manshaallah tabarak Allah 💞. Mwenyezi Mungu mtukufu Subhanah wataala awe mulinzi wa maisha yenu na pia adumishe upendo wenu Inshaalllah 🤲🏻
Hongereni jamani maharusi hadi rahaa mmependeza sauti nzuri nyimbo nzuri rahaa nimewapendaa
Waoh nimependa hapo walipoimba yy namumewe 😘😘😘
Hawa watakuwa ni wanakwaya....siyo bure....Hongeren sana jmn.Mungu awalinde daima.🙏
Waha
Wooow, congrats to you how I pray that I cry the same tears on my wedding day too💕
What awedding!Can't hold my tears. May God bless you as begin this journey together
Nimependa nami sku moja nataman nam iwe ivyo.umewafaa na mnapendan sanaa nawatakia maisha mwema kwenu dada na kaka angu
Hongereni sana ndoa ikaweya heri
Mkaishi salama mungu awatangulie katika maisha yenu
So wonderful.Mbona sikuzaliwa Tanzania nikawa na sauti tamu hivo ya uimbaji?Mungu kaibariki ndoa hii na kuijenga Kwa mwamba usio tingika.Blessings.
Safi sana ,maisha ya ndoa Na miiba mingi kwahiyo msimwache Mungu
Sauti ya huyo Dada jmn ni nzuri kenyewe kazuri nimekapenda sana mwaaaaa
Sijui kwanini Imani yangu inanituma kwamba watadumu katika ndoa yao inshallah ❤️💙💙🥰🥰🥰 simple and clearly weeding
Nimejikuta nalia wish you all the best from Kenya
Mungu awatunze ktk Ndoa yenu Mume tunza huyo Mke ni kutoka kwa Mungu
All the best in your marriage,, may God continue protecting you with blood of Jesus🙏🙏
Watching from Kenya God bless you all the time and give you good life and peace
Mwenyezi Mungu awapaatie mibaraka zake kwa ndoa yenu.
Nimewapenda bure mkadumu milele ktk pendo lenu mkaendelee kumtanguliza Mungu kila hatua
Arusi nzuri kuliko zote ninazo zijuwa hiyi inaushuhuda muzuri amevaa vazi la harusi kizuri amependeza kwa nyimbo haringi kwa chochote mungu mu ongoze kwa maisha ya ndowa mwanzo hapa hâta uzee wake
Mungu awatangulie mdumu daima katika upendo wapendwa mnaonkna mmedndana sana mwaass
Umeimba dada wimbo mzur
Mungu akawalinde daima
MBINGU ZINENE MEMA KWENU. BE BLESSED.
Its nice one...I can't hold my tears...so touching... May God bless your union
Saf sana nimependa mungu azdi kuwatunza na kuwakimbatia pamoja na kizaz chenu
Mubarkiwe sn mpendw mkawe bab na mam bora ktk famili yenu
Please honor her, treat with respect, submit to her as much as she submits to you. Don't abuse her, she is so precious.
Mungu akawatunze nyinyi pamojq na kizazi chenu Amen
Mwakoze kumuha amaf
Nimewapenda sana jamon mungu akabariki ndoa yenu mkazae na matunda mazur, ki ukwer nimelia machozi ya furaha 🎉🎉🎉❤
Mwenyezi mung awapatie Barak zake jamn daaaah
All the best... I like Sabbath marriages... Very respect
Not in USA or In Canada ,full dirty
Binti Amelia mpaka akanifanya nami kasikia kulia, watching all the way from nrbi Kenya.
I believe one day I will also cry tears of joy in my wedding day.
Mungu awap baraka ktka maisha yao. Nmeupnda huu wimb nitauptj
Actually am touched o wish and pray that I Will cry for my own wedding the way am crying God bless your union
Hongereni saaana wapendwa wetu, MUNGU akawe furaha yenu daima
Wow!ningependa kujua jina la wimbo huo wa kwanza tafadhali
Touching, nimejikuta nami nalia. Mungu awatunze.
Harusi nzuri Sana kwakweli, Mungu Mwenyezi akawaongoze vema
Mm czaretisha nimependa sanaa
Daaaaaaah, Wadogo zangu mke na mume wote mmeendana sana mke mzuri mume usmaty pia nyimbo ya pamoja pia mmeimba vizuri sana mke pia nyimbo ya peke ake kasimama vizuri mimi kama mimi Na Muomba Mungu akawape maisha ya kusikirizana katika ndoa harusi zakanisani na ukumbini hihapa na ya kwanza kuiyelewa 🇹🇿🇹🇿😭😭💍💍✔✔
Hata namie chozi limenitoka happy wedding my dear
Mungu ibariki iyo ndoa muishi kwa amni na musimuache uyu mungu Amina ❤
Absolutely beautiful cograts guys May God bless your union increase you in number and keep the Lords fire burning.
God is great Love yesterday today and forever,Heeko
I cried tears of Joy...This was wow ..May God bless this wedding so much...live long Darlings
Mungu hawabariki sana kwa ndoa yenu
Njameni nina liyasana mungu awaweke vizuri 😍😭
Hawa wanakwaya mana izo saut ❤❤❤❤
I remember crying like this 7years ago as if I was not going back home to even greet them.....but it's beautiful day n memorable one.God bless this amazing couple 💕
Kwel dada angu umelelewa katika maadil mema mungu akutangulie katika maisha yako
Hongereni nimewapenda
Ooooh my God! Binti mwenye Hofu ya Mungu na maadili ya Kisabato. Nice and simple Wedding
Hawa watakuwa niwanakwaya wakubwa. Saba iZi sauti zinatisha sana. Mungu anijalie namimi
Wooow this the best .mungu akubariki ndoa yenu
Woi nimekata onions😭😭😭😭but ya happiness.... be blessed as you start together this journey ya marriage
I have never cried because of a video,,,but this made me cry serious,😭😭,,may God bless this family...🙏🙏
Mungu awabariki Wana ndoa hao❤
Waooo! Very simple wedding full of glory to God Almighty. May God bless your life abundantly
Mungu aibariki ndoa yk uliyoyafanya yalikua kwenye mawazo yangu mungu akutanulie ktt maisha mapya
mungu awabariki sanaaa waimbaji
Najizuia kulia lkn nashindwa.Mungu akawatangulie jmn
Wahooo sauti nzuri ni wasabato sio dah nmn wanavyoimba kwa hisia sauti za utulivu km wasabato safi sanaaaaa
Wa wapi Hawa?
Maashaallaah ina uma jamani kweli siku ya kuondoka kwa wazazi lazima tu ulie mungu awabarki sana muish milele hadi kifo amin
MUNGU wa mbinguni na awatunze vyema mkawe na familia yenye Amani daima, na mwovu asiwashinde
Wow amazing I love this song ,,If God wish I will sing like this in my wedding
Hiiii ni yakushangaza mungu awafanikishe akiiii,
I connect be blessed humble wife indeed
Jaman dada umependeza sana na unajua kuimba mungu awaongoza hii sku ni 1 wara haijirudiag ten nawapenda sana
Jamani wimbo mzuri Mungu na Mimi niletee mume mwema nimuimbie
Niko apa
Amen 🙏
Hello Editha maombi yangu ni kama yako Mungu atuongoze tuyafikie malengo🙏
@@danielpaul8969 Amina
Such a blessed wedding may the living almight protect you🙏🙏♥️
Duuuu jmn jmn had machoz kwel barikiwaaaaa🎉
The best wedding have ever watch. May almighty God bless your union.
Mwenyezi mungu awalinde katika Maisha ya ndoa yenu Inshaallah na awajaalie kizazi chema chenye furaha nafamilia yenu iwe mfano wa kuigwa
Mungu awaongoze katika maisha yenu ya ndoa. Msije mkamuacha ukumbini mkafika kuanza vita nyumbani kwenu
Very nice I like it that tears of happiness 💕💕
Mbarikiwe sana bi harusi na bwana harusi
God bless u
Great example
Tears of joy😭😭😭just simple and blessing
Hiyo ndio maisha ya kila mwanamke tujikaza maisha mema siz mungu awalide milele
Mungu awabariki
Why I'm I crying 😭😭😭
❤❤ wimbo mzuri Sana umenikumbusha dad
That's awonderfull wedding can't hold my tears 😂 may God bless them
Oo Lord. This is really touching. But I cried 😥😥😥
Mwenyezi Mungu awalinde
Mbarikiwe xn wapendwa
Mungu awaongoze mwanzo mwisho adui à sipate nafasi kwenu kwa chochote roo takatifu awaongoze kwa yote mema amina🙏🙏
Amina
MUNGU awabariki sana
What a tears? God bless your union. God when will my tears of joy come?
Hongera sana dada
You have shine
Ni ya kipekee Mungu awatangulie,MNA hekima na busara,it's unique real...
Hii ni ndoa ya kisabatho eeeh imependeza sana
Umependeza hongera
Nyumba huaza na msingi kisha mengine yanaendelea hongera bi harusi❤❤❤❤
Mtoto akikua katika maadili mema raha sana nimelia
Wawooooooo so beautiful and amaizing wedding aseeeeee nimewapenda bureee 💏💏💏💏
Everyone likes to have a good couple like this.. may God be with them
Daah!
Mungu nimwema awalinde namabaya
Mungu atusaidie tuwaleleee watoto wetu katika maadili mema jamani, Mungu ibariki hii ndoa,raha sana jamani
Mungu akutangulie katika maisha yalo
Anaimba vzur woow🎉