MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • MUSUKUMA AWAJIBU WANAOSEMA KAHONGWA GARI na DP World -"NAMILIKI NDEGE, NYUMBA na MAGARI ya KIFAHARI"
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 64

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @IsaaclenkaiPassiany
    @IsaaclenkaiPassiany 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana piga kazi kamanda

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 ปีที่แล้ว +3

    Umebadilika sana ww kunakitu umepata kwajili ya kutulagai watanzani

  • @user-jn2qj5wf6c
    @user-jn2qj5wf6c 5 หลายเดือนก่อน

    Mh msukuma mim nakukubar sana kaka hata kama unaongwa lakin unajitahid kuishauli serikali wewe na mh mpina🤝🤝

  • @user-jl7zm6xw2d
    @user-jl7zm6xw2d 11 หลายเดือนก่อน

    I really love you hon. Musukuma

  • @joshuamtinangi6958
    @joshuamtinangi6958 ปีที่แล้ว

    Maswala ya kukadiria Kodi yanatumia vigezo viwili.
    1. Mapato yako
    2.Matumizi yako.
    Ni vizuri Msukuma awe mwangalifu kutangaza matumizi yake.
    Lakini hata hivyo wanaichi watafurahi walikuwa ulipaji Kodi wake.

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma,ni tajiri mkubwa sana,kanda ya ziwa pamoja na kishimba

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 ปีที่แล้ว +2

      Umeongea ukweli kabisa mwaya
      Wa kanda ya ziwa ndio tunamjua vizuri

    • @thebushguy5774
      @thebushguy5774 ปีที่แล้ว

      Kwani ukiwa tajiri ukipata hela ama kitu cha thamani cha haraka haraka utakataa

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @user-jl7zm6xw2d
    @user-jl7zm6xw2d 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania kwakweli wanaletewa mambo mazuri wanaona wanapigwa hawajui hapa ilipo wanapigwa

  • @charlesowenya2872
    @charlesowenya2872 ปีที่แล้ว +2

    Ungekuwa hujaongwa usinge tumia nguvu kubwa kutaja utajiri wako( something went wrong)

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s ปีที่แล้ว +2

    Hizo zakoo sisi tunaongelea taifa

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mheshimiwa msukuma najuwa unajiamini na mpambanaji

    • @johnmalale3860
      @johnmalale3860 ปีที่แล้ว

      Mh';:' safari za ARABUNI NDIYO MATUNDA YKE HAYO!;

    • @fabianjames8920
      @fabianjames8920 ปีที่แล้ว +1

      Mwachen msukuma

  • @blackothman7332
    @blackothman7332 ปีที่แล้ว +1

    Washakula pesa hao za waarabu nasemaje kwenye hili la bandari mtatuua

  • @KulwaKahuzu
    @KulwaKahuzu 3 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali hojazako musukuma zuli sana

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka kipind lowasa anataka urais 2015 alienda na ndege yake ........kwenye hili wamuache tuh

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 ปีที่แล้ว

    Msukuma oyee! Tunaokufahamu tunakuelewa

  • @user-ht8xe2gt3z
    @user-ht8xe2gt3z 5 หลายเดือนก่อน

    Sawa mbunge nakuomba unisaidie kumsomesha mtto wakaka angu mzazi wake katangulia mbele za haki baba yke kavunjika anatakiwa kuwekewa chuma

  • @user-uf9nd4ji5k
    @user-uf9nd4ji5k 7 หลายเดือนก่อน

    Msukumaaa

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 3 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana huwa nasema kila siku mungu na biashara ndio kila kitu

  • @ChristineElias-bn4dw
    @ChristineElias-bn4dw หลายเดือนก่อน

    Hata ukihongwa kwani ni vibaya kama na wao wakihitaji wakahongwe tuu

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 ปีที่แล้ว

    Wabunge wetu ni matajiri sana. Hata ubunge wao ni element tuu kuepuka kuumia ikitokea ajali,, lkn hawajachukua ile dhima ya kuea mbunge, yaani mwakilishi wa wanchi bungeni, kuwa msemaji wa wananchi wao jamani. Naona wengi wanaongea wao kama wao. Rudini majimboni kusanyeni maoni ya wananchi wenu mjue mbichi na mbivu. Ili mpeleke maamuzi ya kutoka kwa waliowatuma!!! Hizi mali mungu awatunzi ziongezeke kwani nayo ni fahari ya nnchi yetu. Mungu awape afya njema!!!

  • @Nikolausdminde
    @Nikolausdminde 7 หลายเดือนก่อน

    Jaman achen kumjadili msukuma anamiradi mikubwa kuliko wabunge wote ni mbunge wakuigwa

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 ปีที่แล้ว

    Kweli MUNGU Ni mgawa riziki.

  • @wilisonmikate1652
    @wilisonmikate1652 หลายเดือนก่อน

    Kwani ukihongwa zinakataa kuingia

  • @EvangelistMushiReginald
    @EvangelistMushiReginald ปีที่แล้ว

    Mwizi haibi kwa vile ni maskini
    Hali kadhalika rushwa haichagui kwamba huna
    Dhambi ni dhambi tu!

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 9 หลายเดือนก่อน

    Hela zetu izooo mwizi wewe

  • @Tango696
    @Tango696 ปีที่แล้ว

    Watu wanatamani watanzania Kuwa masikini.keep it up kaka ...I dislike poverty

  • @jamesbayo1910
    @jamesbayo1910 11 หลายเดือนก่อน

    MSUKUMA. HAWEZI KUHONGWA LABDA ASHINDWE. KUUSOMA. MKATABA NA KUSHINDWA KUFAFANUA KISHERIA. HILO TU MSUKUMA AWE MACHO NALO TUNAMUOMBA MSUKUMA ATAFUTE WANASHERIA ANAOWAAMINI.WAMFAFANULIE MKATABA. NA ATUSMBIE. NI WA MIAKA MINGAPI?.

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 ปีที่แล้ว

    Wao kina nani wake na hoja ilhali CCM ndo tumejaa bungeni 😂😂😂😂

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 ปีที่แล้ว

    Acha swaga kwenye hela zetu na kuwatukana watanzania

  • @user-cv2gk7of7o
    @user-cv2gk7of7o ปีที่แล้ว

    Kwa jinsi ninavyokujua msukuma hapa hutupigi swagwa umepewa kitu unyamaze

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary515 ปีที่แล้ว +1

    Waarabu wameshakulambisha asali mzee, kula baba ila angalia uckate kamba, Kuna baadhi ya wabunge ni matajiri sana wanapenda kuwa wabunge Kwaajili ya kutetea maslahi ya mali zao, Yani cc sjui tumerogwa hivi wanfikiri wale jamaa wkija kuweza huku labda na cc nchi yetu itakua kama Dubai hiyo tusahau, kwanza sehemu alizo kaa mwarabu watu ni masikini na elimu duni, tena tunawarusha jamani haya ngoja tuone wakubwa wshaamua.

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 ปีที่แล้ว

    Tumamjua msukuma anapesa akiwa hajawa mbumge anamiliki pesa na magari lowasa mwenyewe alienda kwenye Jimbo lake akashindwa sema anachangia kushawishi tu lakini swala lapesa Hilo tunamjua kitambo

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli jamaa aanahela mda mrefu ameishi korogwe sana helkopita anazo mbili kabra ya kuwa mbunge lakini pia ana mabasi mengi

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 ปีที่แล้ว

    Wamwache msukuma hako ka gari kwake ni kama budget ya keki nyumban kwako unapo kuwa na birthday 😂 Joseph kasheku kaka Angu wamwacheeee

  • @mohani7390
    @mohani7390 ปีที่แล้ว

    Baada ya kupata uongozi ndo ulinunua

  • @MohamedPaschal-wv6ss
    @MohamedPaschal-wv6ss ปีที่แล้ว

    Uko sawa king msukuma

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 ปีที่แล้ว

    Kwahiyo usiambie lolote kiss unandege na unamiliki maliki Mali

  • @jobjohanes9166
    @jobjohanes9166 ปีที่แล้ว

    Hanarote

  • @user-gt8vz8ou7u
    @user-gt8vz8ou7u 7 หลายเดือนก่อน

    😅 just q❤❤❤

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 ปีที่แล้ว

    Ndio wewee tajiri! Kwanini unapiga debe eti sawa bandari iuzwe kenge wewe darasa la msingi, hovyo kabisa au unatafuta uwaziri 😢

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 ปีที่แล้ว +1

      Serikali haina dhamira ya kuuza bandari, elimu ya lasaba siyo issues yawezekana yeye ana ueledi mkubwa kuliko unavyodhani wewe ugonjwa huu wakudharau wenye elimu ya chini ni jeraha kubwa sana.

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 ปีที่แล้ว

      Unajua maana ya kuuza

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 ปีที่แล้ว

      @@charlesngwembele4541 wanadhani jmbo rahisi

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 ปีที่แล้ว

    Ushalamba asali wewe.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว

    Kaongwa Uyu Anaongea Pumba2

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 ปีที่แล้ว

      Mbona nawewe ukahongwe na kama kahongwa ndo bahati yake😂😂

    • @mosessiame924
      @mosessiame924 ปีที่แล้ว

      Mudowangu chadema mududu chadema hawatakusaidia chochote

    • @andrewbigambo6721
      @andrewbigambo6721 ปีที่แล้ว

      Wivu wa maendeleo ya mtu

    • @charlesngwembele4541
      @charlesngwembele4541 ปีที่แล้ว

      Kahongwe na wew

  • @ScientistIsaiahOfficial-ff8ui
    @ScientistIsaiahOfficial-ff8ui ปีที่แล้ว

    😂