Club Africain 0-1 Yanga SC | Highlights | CAF Confederation Cup 09/11/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 พ.ย. 2022
- Goli pekee la Stephane Aziz Ki limeipeleka Yanga hatua ya makundi Kombe la Shirikisho barani Afrika #CAFConfederationCup dhidi ya Club Africain ya Tunisia.
Ni mechi ya marudiano iliyopigwa kwenye Dimba la Olympic De Rades Tunis nchini Tunisia baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza kutoka suluhu.... kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. - กีฬา
Waliobaki huku nyumbani, wametoa sare tena 🤣🤣🤣. What a solid defending from Yannick and Job, what a beautiful sweep goalkeeping from Diarra, what a good approach from Nabi and the whole bench, what a midfielder is Sure boy!!. All of them are extremely in another level!!🙌🙌
Wala miogo wenzangu like zihusike hapa
Tupooo jamani
Tupoooo 👍🏿👍🏿
Mamaako anaekula muhogo mmoja je n yeye ni mwezetu
Alie rudi kuiangalia hii mechi baada ya yanga# kumfumga Malumo# tujuane😂
Hahahaaaa
Co kumfunga marumo tu, baada ya YANGA kuingia fainali, maana Safar ilianzia hap na club African alitipa baraka zoooote
Waarabu kwakweri fujo.wanajuwa
😂😂😂
😂😂😂
No 1 on Trending just wow🔰🔰🔰🔰💚💛💚💛
Leo tuko Fainale Babe😂💚🔰🖤
Yanga .. I love how you beat the tunisian team 😂they always cry for penalties SMH
We support you .. Hilal fan
12/06/2024💛💚🙏
Nilivyomuona tu mwamba kageuza jezi bac nikajua tu leo waarabu wataita maji mma mma…. na kwl waliita MMAAA 😂
Cjui kwa nn natoka machozi💚💚💚💚💛💛💪💪
Ni furahaaa
Naishabikiya yanga toka Congo DRC. Asante mayele kwa pasi na Asante sana Azizi ki kwa bao.
Mimi maoni yangu naipongeza sanaa Azam tv dah!! Tungeona wapi maombo haya live bila chenga...Mungu awape nguvu na uwepo zaidi ili dunia nzima iitizame Azam tv.
Daaa leo yanga mmeupiga mwingi sanaaaaaaaaaa
مبروووك للشباب التنزاني فريق منظم جدا ويستحق أن يتوج بكأس الإتحاد الافريقي ،، تحياتي من السودان .
Insh allah sudan rafiki
Asanteee saaana
Bado tupo trending mpaka leoo!!!!!!!!
YANGA oyeeeeeeeeeeeeeeeee DAIMA MBELE NYUMA MWIKO CONGRATULATIONS MY TEAM💚💛💚💛💚💛
Nabi aligoma kupata aibu mbele ya mke na wtt wake 💚💛💚💛
Mke na wanae Nabi kwani ni WA Tunisia 😂😂😂😂
@@bintik2311 Sasa wewe hujui
🤣🤣🤣
Kama umeloop goli la azizi kiii gonga like twende sawa
Ukisema mayelee, Unamalizia Aziz kii, Yanga ALHAMDULILLAH.
Yanga wamoto sana mamaee 🙌🏼🔥
Moja Kati ya mechi kubwa sana ambayo yanga wali wahi kuicheza napenda kuitazama kila wiki
Ushauri kocha wetu mzuri sana anajuwa afanyayo tumpe ushirikiano ktk kushinda na kupoteza tusiwe wepesi wa kumkaripiya yeye viongozi na wachezaji mpira ni kushinda kushindwa na sare.tukubali yote kuna siku tutafrahisana siku kidogo na kuna siku tuudhike ila tusivuke mpaka ktk maneno
llllllllolllllolllllllolllooool
Kweli sema hawa shabiki mihemko wa Bongo ni ngumu
We mnafki cjuzi ulisema hafai
Kabisa sema watu wengi hawawezi
Umenifurahisha sana. Unajua sana ukweli
Yaan mmetueshimisha sanaaa💛💚💛💚 nawapenda kwa sababu mnapamban had mwisho
The Club above all, imagine belong us, this is young Africans the people's Club
Swadakta
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO congratulations. all and all thanks God you will be with us.
Tusingewasema singer pambana safiiiiii sana wakuu saluted to Yanga AM a Simba fan but Congoleeeeeeeee yanga safiiiiii sana mmetuheshimisha kama simba wanavyofanya 🤝🤝👏👏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yanga hongera kwa kuvunja mwiko wa kuingia hatua ya makundi well done job
Me nimerudi Tena leo tar 28/02/2024 baada ya kumfunga belouizdad
No 1 on trending 💚💛
It was simply fantastic 🥰
Hongera sana Yanga, you made it
Sure Boy
True definition of Football 👍👍👍👍✅
Sure boy
True definition of football
Alieedit hii highlight bila shaka ni KOLO moja mjinga, Amekata best momens zote, anatakiwa afukuzwe kazi hafai kua hapo,Kolooo
Well-done yanga
This is what we want yanga nmependa sana
Daima mbele nyuma mwiko congrats kwa yanga Africa
Aliyerudia hii mechi Leo tujuane
Mipango ya Mungu ni sahihi kuliko ya wanadamu,Makolo mliyoyataka hayakuwa
Yanga walicheza vizuri aki
Muomba mungu achok 🙏🏻🙏🏻
Swadakta
Tuliovumilia kuipa moyo timu yetu yujuane
Wananchiiiiii 💚💛🏆🏅💪👏🔥💯✈️ Unyama mwingiiiiii saaana Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥
Number 2 on trending 🙌🙌🖤💛💚
Aliewadanganya Club africain kuva jezi za makolo ndie kafanya kosa. Sababu wananchi wakionaga tu red and white lazma wampige mtu kama ngoma🤣
Aksanti sana kwa Azam tv kwa kazi kubwa that you guys always do Congratulations kwa mabingwa wa soccer Tanzania Yanga Africans kwa ushindi mkubwa ugenini keep it up safari bado ndefu
Show me the way! Ni vyema sana. Kazi iendelee!!!!!!!!!
Kilicho waponza waraabu jezi nyekundu kama Manchester ndio maana wamefungwa
James lapulga jr nimerudi hapa kuiangalia tena hii mechii😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Vivaaaa Young Africans.....
Tuumefuzu kibabe saaaana hadi raha
Mpira mwingi na ushindii juu
Ila highligts yao wameonyesha yanga wamezidiwa
Wako wp walisema tunapgw goli 7 km kipanga...naon goli Saba imewageukia wao kizungu yaan 7 kizungu inakuw 1 😅😅😅😅yanga tam😘 ...yanga wenzang gonga like hapa
💛💚💛💚💛💚💪💪💪
🙏🙏🙏🙏🙏
Wamelala
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ÀNM
Asanten watan hapo tumepata heshima huko tunaogopw safisan majeshi yet kwa kutu let's hshm
Aziz kiiiiiiiiiiiii Yanga tamu bana but Yanga ange kua serious toka mwanzo ange kua club bingwa
Kweli
YANGA mbele congratulations 🌹🥰💛💚💛💚
Muombeni msamaha Azizi kiii na profesa Nabi
Kweli wametukanwa sana yani hadi aibu
diarra anaipambania san tim yak hongr zang zot zmfikie popt pal alipo
Walosema yanga itapigwa kama kipangaa waje niwape aftatu wakanywe supu washushiee maumivu😂😂
leo nimerudia tena kuichek hii mech
sure boy kaupiga mwingi sana...
Yaani kama xavi jamaa anajua hadi anaboa
Shukran sana yanga kiujumla viongozi na wachezaji mmetuheshimisha mola katusikiya dua zetu mana wengi walitukatiyq tamaa yanga mbele nyuma mwiko.
Merci beaucoup bon voyage.Daima mbele Nyuma mwiko
This is yanga,I love yanga
Yanga wapo vizuri
yangaaaaa mbele nyuma mwiko daaaa uku Tanzania Kuna kocha watoto wamechana jins ya kocha noma sana
Waarabu wana roho mbaya sana 😥Mtume Muhhammad SAW hakuwa na sifa ya kuwa roho mbaya
Refa huyu yuko vizur sana hana presha
2024🎉
Hii mechi sichoki kuangalia
Jifunze hukmu za quran gusa maandishi ya bluu
th-cam.com/channels/iIyK3R72QZNvRlzWezWIKw.html
Nikiwa kama mfatiliaje kwann mmeanzia dk ya 12 au ...au....au hii mechi ntairudia mpka na mpka ..💚💛💛💛
😂😂😂😂😂
Hii mechi ilikuwa dume kwel kwel mixer nongwq za waarabu daah, Daima mbele nyuma mwiko
Yanga oyeee
Hili kombe yanga anaweza kubeba akiendelea kuwa serious
Nikumbushe tu kuna mazembe huku, pyramid na wengine 😄😄yani club bingwa kwa moto na shirikisho nako kwa moto👌👌
@@hildajoel5 berkane huyo ulimuweka wewe acha kukariri
@@hildajoel5 in fact Yanga anabeba ubingwa huo
@@hildajoel5 mazembe kwako mana Toka Simba iumbwe hajwhi mfunga mazmbe😂
@@Zaburi-acha kuota ndoto za mchana makundi yenyew umeingia leo tangu 98 halafu upite direct hadi kubeba kikombe 😂😂😂 ww ulishawah fanya biashara mara moja tu ukawa kama Gsm? Jiongeze
2023 tuko nayo
Hongera yanga hongera Tanzania yanga mko juu sure boy amefanya mengi soka limechezwa waarabu hoi
Wapi like za kibwana aliokoa mipira mingi ya hatari
Hongera sana yanga africa umeiwakilisha vema Tanzania
Yanga daima mbele, nyuma mwiko 😍😍😍😍
Mojaa ktk ya mechi iliyonilizaa Sanaa😭😭👈kwa furahaa na machungu
Tending nomber 1
kwer yanga tuko vzul
Sanaa wakikaza twabeba ndoo
Hii ilikuwa ni safari yenye kusisimua kwetu Wananchi 💚💛 nani mwingine amerudi kuangalia hii Highlight Tarehe 8/06/2024 tujuane kwa like👇🏾
Tar 20 06 2024😂😂😂❤❤
Diaraaaaaaaaaa 🙌
🤷♂🎂🦑🗣🏈⚽🎊🎊🍭🍡🍬🌿🍔🍔 *Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanawe Yesu Kristo, ambaye alikufa na kufufuka kutoka kwa wafu ili kutupa uzima wa milele.* *Pia aliahidi kuponya. mwili wako.* *Ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu* *atakupa uzima wa milele*
*(Angalia mbinguni na umuulize Mungu)*
Amen
moja kati ya mechi yangu bora kwenye kizazi chetu
Mashabiki wa makolo njoon niwagaie afutatu mkanywe supu
km tuko nyumbani 😂🤣😂🤣💚🔰💚
safari yetu na confidence yetu kwwnye soka la afrika ilianzia hapa
Beautiful 🇹🇿🇹🇿✔✔💯.
Hii highlight yenu haijabeba uhalisia
Ni kama inaonesha yanga ilikua imezidiwa na inaonesha vpande ambavyo yanga wanashambuliwa..
Yanga imecheza kwa ustad sana..
Na possesion was fantastik
Bildingup from golkpr was nice.. lakn hamjataka kuonesha hvyo
Its unfear
sure it's unfair, na elie upload hii video itakua ndo walewale wa roho za kukunja
Hakika umeandika ukweli mana walichokionyesha ni kwamba mwanzo mwisho yanga anashambuliwa yani nieri wasingeli upload iyo video
@samwel kumbe na wewe umeliona hilo.
It's really unfair !!!
@@mickylifetimes itakua ni KOLO LA AZAM NDIO AME UPLOAD
Ila goli limeoneshwa.
Ufaransa waliwazidi Senegal ki mpira world cup 2002 lakini sen.walishinda😆😆
Ongereni sana wachezaji wa yanga Africans 🙏 mungu awabaliki sana jumla na kocha wa yanga Africans bwana awe NANYI by Daniel mussa gangaga
Pongezi kwa wachezaji wote wa yangaaa god bless us players sasaivi tumeweka heshima
Aziz ki...kama hapigi sana ila huwa ni kamba😂😂😂😂
Alaf yanga mlipendez san na jezi zenu yan
Sikuamini nilikuwa,na presha mungu ni mwema
02 on trending so far
Sikuile nilibety Yanga 1-0 Club kama nilijuaaaa
Tutamfunga mamelodi in nsha Allah
Ivinyie Anzm kwa nin mumeiyazia kati ananyie makolo ajapenda yanga kufuzu au
Waarabu walikuwa na nongw sana 😅😅 9:42
OMARI MACHOKOLO wa MANZESE midizini kwa sasa hakuna timu inaweza kushindana na yanga kwa usajiri kwa pesa caf tunaongoza timu bora idara zote
Kwa kweli kazi haikuwa rahisi
Yani mungu hatusaidie mahan kunawatu hawatutakii mema sisi yanga
Haswaa makolo