Tunakushukuru Makonda unafanya kazi ukimuhusisha Mungu na una hofu ya Mungu,Mungu akutunze akuepushe na maadui,pamoja na Mama Samia Mungu amtunze kwa kukuona wewe na kukupa kazi imekuwa na matokeo mazuri
Sisi watu wa Kigoma kwenye ishu ya kamchape tumeonesha kuwa ni watu wa hovyo sana. Yani vijiji vinashindwa kuratibu maendeleo vimebaki ku finance matapeli. Pia imani zetu zinaonesha tu washirikina kweli na hatumtegemei Mwenyezi Mungu
Makonda piga kazi mungu akulinde na mabaya
Tunakushukuru Makonda unafanya kazi ukimuhusisha Mungu na una hofu ya Mungu,Mungu akutunze akuepushe na maadui,pamoja na Mama Samia Mungu amtunze kwa kukuona wewe na kukupa kazi imekuwa na matokeo mazuri
Mwenyezi Mungu akubariki sana kiongozi
Mungu mbariki sana makonda
RPC upo vzr sana sana sana sana saaaaaaaaana!!!!!!!!❤❤❤❤❤❤❤
😂😂kamchapee hee jamanieee
Namuona gonga
Mama samia ww ni m2 na nusu mungu akubariki
Wahaaa wenzetu mnatuaibishaaa
Wasaidie watu Hali mbaya uku maisha magumu
Kigoma,Pwani,imani za kishirikina ni kubwa sana... nimekumbuka ZZK aliwahi kusema atakayemgusa hata panya hatabaki kwao...
makonda mama akiacha kiti gombea
Waha wanapenda uchawi sana lazima wawafurahie lambalamba😢😊
makonda bonge la kiongozi kweli kweli
Makonda ni kiongozi bora mithili ya magufuli
Mheshimiwaa makonda mwenezi tunaombaaa utusaidiee mkoa kigomaa kibondo kunaa watu mheshimiwaa walipoteaa kwanziaa zisizpo julikanaaa , tunakuombaaa babaa kamaa unavosemaaa sheriaa zipoo uingiliee kati kamaa hutojali nakuombaa sanaaa:
Sisi watu wa Kigoma kwenye ishu ya kamchape tumeonesha kuwa ni watu wa hovyo sana. Yani vijiji vinashindwa kuratibu maendeleo vimebaki ku finance matapeli. Pia imani zetu zinaonesha tu washirikina kweli na hatumtegemei Mwenyezi Mungu
Watu wanakataa kamchape ni wachawiii kwwli wezi ni polisi sio kamchape
Kukosa umeme nchinzima inaonyesha ninamnagani raisi tuliyenaye anatufaa au hatufai,kwani amekumbatia mafisadi wauze majenereta na Sola alafu mnasema mama Samia hoyyee polenini mafisadi kwakumuangusha Samia hanasautikwenu poleni napolekwake.
Serikali haitambui uchawi maana wenyewe wanatambika
Nchi hii ujinga bado ni tatizo
Kubwa sana nasijui ni lini wataamka usingizi huo mzito
Washilikina nyie
Nmemuona tu @smile media
Rpc muha😊
Kk makonda chakike icho acha watolewe uchawiiiii
Tz watu ni washirikina Sana wajinga nyinyi akili zero