MAKONDA ALIA KWA UCHUNGU - AKATISHA HOTUBA- MAMA AMTAJA TAJIRI ANAYEDAIWA KUMTEKA MUMEWE TANGU 2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- MAKONDA ALIA KWA UCHUNGU - AKATISHA HOTUBA- MAMA AMTAJA TAJIRI ANAYEDAIWA KUMTEKA MUMEWE TANGU 2021
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
😊😊😊😊😊😊😊
0
Tuko pamoja kujenga nchi yetu
Haki zinazulumiwa na na baadhi ya viongozi wenye roho mbaya dhuluma na rushwa tupu Makonda pamabana wa Tanzania iko nyuma yako na dua za Mungu ziko pamoja na ww
Mungu akutunze akulinde na mabaya yote.. mweshimiwa pol makonda.. adui yako akawe adui wa Mungu nakutakia kila la kheri na baraka za mungu ziwe nawe
Mungu azidi kukulinda MAKONDA ❤❤
Makonda piga kazi baba unanikumbusha enzi za magufuli , yaani Mimi naona nchi hii ujiandae kugombea urais unafaa sana tena sana ,like magufuli
Kabisaa
Oh my goodness I love this leader! Baba wa wanyonge huyu! Naamia Tanzania Mimi! Watu wa watu kabisa🙏🏽
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,makonda Kama ni kuwajibika unawajibika kweli,pokea 💐🌹🥀 mapema
Asante mama Samia kwa kumteua Makonda atanye kazi Asante mama Samia🙏
Ahsante Sana mhe Makonda,Asante CCM,Tuna maumivu makali Sana juu ya watanzania wanyonge
Watu wanalia AJIRA lakini walio katika nafasi hizo wananyanyasa watu kiasi hiki......Kila Jambo Lina mwisho wake,
NYERERE
MAGUFULI
SOKOINE
...........,...
MAKONDA
Makonda mungu akubaliki baba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akuwekee makonda...hongera sana
Makonda mungu akubalik akupe maisha maleefu mnoooo
Makonda Mungu zaidi kukubali
Gombea urais
Makonda MUNGU akutangulie you deserve to serve people at this time
Nakuombea mheshimiwa makonda, Mungu akulinde na kukuinua, wewe ni zaidi ya mwenge wa Uhuru ktk nchi yetu
Kumbe Mungu anajua kuwasaidia Wanyonge,acheni Mungu aitwe Mungu kwa Maana ndivyo Alivyo,
Makonda una upiga mwingi babaa♥️♥️♥️
Mungu akupe maisha marefu baba
Mungu akubaliki❤❤
MUNGU akubariki Sana rafiki wangu makonda kwa kazi unayofanya kweli umekuwa mfano nzuri Sana kwa nchi yetu ya tanzania
Mungu humleta mtu wake Kwa wakati wake,msihuzunike Bali jitoeni moyo ila baba aliye mbinguni atawapa msaidizi,amen
Makonda, unayofanya ni haki kabisa, endelea kufanya hayo na mengine. Mungu anatenda kazi kupitia wanadamu, watu wengi wanaonewa endelea kuwatetea ukitenda haki kwa nafasi uliyopewa utakuwa na tuzo mbinguni
Bac kizuri hakidumu jaman makonda upo vizur mungu akulinde
😢😢😢Mungu akulinde aisee makonda
makonda chukuwa maua yako kaka❤
Hongera sana mkuu p christian makonda mwenyezi mungu akusimamie sauti ya wanyonge sauti ya wasakatonge.... 😭😭😭😭
Dah hii nchi ina wengi wenye mengi😭😭😭😭
Ama kweli inamengi yenye mengi
Pole kiongozi wangu
Huyu ni kiongozi kweli Mungu akulinde Makonda
Aiseee....🙌🙌
Makonda baba lao
Yani.makonda.mimi.nakuona.kama.makufuri.fanya.kazi.kaka.yetu.ubarikiwe.
Inauma sana 😢
Mungu akuatamie Makonda akukinge na wabaya wote
MAKONDA HOYEEE
Nakukubali makonda
Makonda ukigombea urais mimi Nakupigia kura ❤ tumechoka matesoo iwe ivi ivi sio kwa sababu mwaka 2025 unakaribia
Tumuombee afike maana watu wabaya
Mungu akutunze na akulinde kwa mbawa zake.
Mungu akulinde karibu bukoba mweshimiwa yumechoka na zuruma
Huyo mama ambaye mume wake ametekwa na tajiri afike Buza Dar es salaam kwa kiboko ya wachawi. Atarudishiwa kila kitu na aliyetekwa atajulikana alipofichwa au kufukiwa
Makonda kweli nitamwombea sana Mungu amlinde nahii nchi ya washirikina na wachawi
Siasa mchezo mzuri janja janja full mkanjunjuu
Good work up coming magufuli
Ee Mungu tusaidie watanzania uonevu gani huu watakufa hao wanaodhulumu Mungu ndiye mtetezi
Pole Makonda
Bro Sijui Kama Tuta Pona Kweli! Paul Makonda. Sio Jambo Zuri Ni Jambo Gumu Sana Hii Nchi Yetu Hatuvuki Bro .
Mlipaswa kuweka hii video mpaka mwisho jaman tujue mwafaka🥲🥲
Kweli kabisa kuliko kukatidha
Yaan jmn hii Dunia😢
Daaa, natarajia kuona kinachotokea kwa wahusika baada ya hapa. Ni hatari sana
Hatari sana ...Dhuluma nyingi sana enzi za jpm hakuna haya ❤😅😅
Acha ushabiki wewe wakijinga amesema huyo mwenye mume miaka 3 toka mume wake amepotea sasa piga hesabu nani alikuwa Amiri Jeshi Mkuu?
@abu , kama sijakosea kesi ilianza mwezi wa 7 2021 ,japo hata mama SSH hawezi kujua yote, ukubali wasaidizi wake wanamuangusha
@@robinsonjoseph8119 ndio tatizo kubwa hapa kwetu Tz na vile wanaona anafanya kazi vizuri sana sasa baadhi ya watendsji wake wanamfanyia makusudi na baadhi wengine wanatamaa na hii Dunia nakutaka kupata vizuri kwa haraka
Pole sana Kwa huo uelewa wako!!@@abuumuhammad7133
U b arikiwe Makonda❤❤🎉
poul mungu akulinde
Hongera sana makonda kama wewe mko wachache Mungu akulinde mno
Nimelia sana juu ya hili wanyinge hatuna watetezi😢
Nuru ya taifa inakuja tena Mungu asante
Duh makondaa
Tamfania hii......sasa ndio imeishaje hii..au ni nymbo sa mapambio kisha..asnteni......hakuna kitu hapo..ni kujiproud tu ili tumuone mweeeema......but kwa katbu mwenezi tena wa chama...hana effect yoyote....tuendelee kula sembe tukishushia na maji ya dafu ya bardiiiii😂
Wimbo aliouimba Paulo makonda unatia huruma
Jamaa linapiga kazi hata mm nisinge weza.. Hvyo. Ningechoka.. Hila.. Mungu awe pamoja nawe
Makonda munguakubaliki tukupe nchi
Asante mh. Makonda tetesi wanyonge wapo wengi😂
Hili jembe ningelikuta dar kipindi alipokuwa Mkuu wa mkoa mwizi wa pesa zangu angekoma.Mungu wa mbinguni akufiche kwenye mbawa zake.
Makonda gombea tu urais huwenda tutaweza kuwa na imani nawew lakin hawa wengine ni Pua kbs naziona nyayo za Magufuli kbs kutoka kwako
Hali ni mbaya sana
Kaka pole na majukumu unakutana na una roho ya kipekee kujali watanzania
Huyo mama apewe ulinzi maana hata yeye anaweza kutekwa
😢😢😢😢makonda duh
Mweshimiwa raisi tukuamini sana watanzania kwapamoja tunaomba umsaidie huyu mama kumpata mume wake me binafsi nimelia machozi ya uchungu. Inauzunisha sana jamani
Dah!!! Ila inaumaa canaa jmn kisa 2 anapesa
Usikose kuchukua foam 2025
Kiukweli munguakulindetuu
DAAAAAA NCHI INAHITAJI MATABIBU NA WAUGUZI KAZI KAMA MAKONDA💊💊💊💊💊💉 ili kutibu magonjwa yanayotuandama🥹🥹🙏
Makonda fanya kazi hiyo Ndio kazi
Makonda Mungu akutunze maana umegundua maovu yanaofanyika
makonda ni lulu iliyoj
ificha na ikapatikana kila la heri kaka 1:24
Ubarikiwe
Mungu atawahukumu watu awajali
Huyu Malinda nikiongozi wakupigiwa mfano pamoja nawaziri mkuu na waziri Bashe na raise wetu Hawa no hazina ya tanzania
Jaman Mungu tuhurumie kwa uonevu huu ni vigumu kuionna pepo
Msichokielewa hapo makonda amebaini kila kitu tena baada ya huyo askali kumakizia sentens yake ya mwisho ndio makonda akaishiwa nguvu kabisaa
Makonda wakupe Nchi kiatu cha Mzee kinakuenea.
Yani wengine tunashindwa atakufatilia ziara ya makonda mana ukisiliza matatizo ya wenetu machozi yanatoka
Suruhisho ya haya mambo tunayapataje ??
Inackitisha sana,
Mtoto aliyepewa hela na makonda
Watu wanateswa kwa hakizao jamani. Viongozi kuipata pepo. Kwao ngumu
Uje na uku mheshimiwa ,tunaibiwa alfu hela ya sungusungu nitoe serikali ya mtaa ndo wanazidi kutukandamiza jaman embu mtuonee mtusaidie,
Dah 😭😭😭 r.i.p president MAGUFULI
Hapo magufuli angetrngua wengi
@@bakariomari8758 hii kazi ingekua rahisi sana kwake
Time will Tell
Hii Nchi hii!!
Makonda ndie anaestahili kuwa naibu waziri mkuu
Dhulma zimezidi sana kwenye jamii yetu sababu ni rushwa na ubinafsi
Mambo ni magumu ktk nchi yetu. Tunatafunana lkn kuna siku yote yatabainika. Tumuogope Mungu jamani
Makonda Alia Kwa uchungu
Kuna baadhi ya wasaidizi wa Rais wanamuangusha kwenye Majukumu siyo sawa aisee wabadilike
Kiukweli ni mtihan kila anayepat nafas anaona kapat dunia nzima hawajal kabis.
Jamani naomba uje na kijiji cha visegese wilaya ya kisarawe jamni
Unge kua rais unge kua na maamuz kama JPM
Mazishi ya mchungaji kigoma
Mmmh jamani ninini hii? TANZANIA 🇹🇿 😢
Shida Samia kaweka mawaziri majambazi, Samia anampa makonda kazi ya bule tu, mafisadi anawakumbatia wakati hawa mawaziri wanatuumiza watanganyika, RIP JPM