MAKONDA AMWAMBIA GWAJIMA MBELE YAKE " MIMI SIO WAKUBEBA AHADI NIWAKUTEKELEZA, NITAMPA KATAPILA 20

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 147

  • @SamweliMuhabwa-dr7bd
    @SamweliMuhabwa-dr7bd 9 หลายเดือนก่อน +13

    Mh Makonda Uishi Milele Mungu akubariki sana kwa kweli wewe ni kiongozi kabisa

    • @victorguapo7827
      @victorguapo7827 9 หลายเดือนก่อน +1

      Walishagakutanishwa na mzee zamani mno wakapatana

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 9 หลายเดือนก่อน +21

    Kweli binadamu tunakutana, makonda na gwajima wakutana

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 9 หลายเดือนก่อน +21

    Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣

    • @deusmbuge5740
      @deusmbuge5740 9 หลายเดือนก่อน +1

      Nimecheka sana aisee duh!... Binadamu tunatofautiana sana.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kampeni baba tunaenda

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 หลายเดือนก่อน

      hahaha Mungu si Mwanadamu

    • @islandinsuranceagency8008
      @islandinsuranceagency8008 8 หลายเดือนก่อน

      Maaanina ndo ujue hizi dini zimebebwa na masela

    • @FidasMwaiteghelesya-hw9qs
      @FidasMwaiteghelesya-hw9qs 8 หลายเดือนก่อน

      Ahaaahahh😂yaani sio kila nabii ni nabii

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 9 หลายเดือนก่อน +8

    Nimejifunza kitu usimdharau mtu ndivyo ilivyo kwa hawa wote mfano makonda alimheshimu mama samia leo kaja kuwa rais na kampa cheo cha juuu kabisa, twende kwa Mr. Gwaji boy akamsema Bashite😂😂😂 leo kawa bosi wake kweli ni somo kubwa sana

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 9 หลายเดือนก่อน +8

    Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa madhabahuni leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 9 หลายเดือนก่อน +9

    Makonda oyeeeeeeeeee.gwaji boy lazima usujudu huyu ndio boss sasa

    • @hailehim1
      @hailehim1 9 หลายเดือนก่อน +1

      Naona mzee baba anasujudia

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi,Gwajima kakudhalilisha Lakini Leo akaa Mungu kakuheshimisha Kaka Gwajima anakusujudia na Wewe Sasa ni Boss Wake

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 9 หลายเดือนก่อน +4

    Duh, eee kumbe Mungu wetu ni wa msamaha kwa wamkimbiliao. Na kweli alisema Asie samehe hatasameewa. Mbarikiwe kwa mapatano yenu Amn.

  • @zainabumohamed4763
    @zainabumohamed4763 9 หลายเดือนก่อน +8

    Yaani we kaka mmungu akuweke Sana,huna baya

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 9 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana mweshimiwa makonda na gwajima

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 9 หลายเดือนก่อน +6

    Raha sana leo Gwajiboy na Makonda wamekutana na yameisha kazi inaendelea safi sana Sukuma boy ❤❤❤❤

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 9 หลายเดือนก่อน

      Gwajima alimwambia Makonda maisha ni mzunguko tusitendeane mabaya

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@gibsonjosephat6352
      Tusifufuwe makaburi Gwajima ni mtu wa visasi hatari nakumbuka kipindi hicho alifanya mwenzi mzima akihubiri Makonda mara Bashite mara hivi sasa Leo huyo Makonda kawa boss wake.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 หลายเดือนก่อน

      pesa hahaha

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 8 หลายเดือนก่อน

      ​@sonnyr189 9 noti mbaya

  • @maduhuruben3825
    @maduhuruben3825 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ila SIASA hii tabu sana Leo gwajima ana salute kwa makonda 😅😅🤣🤣 nawaza hapa Kati yao nani kainuliwa

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 9 หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂 Jamani! Jaman! Nimejifunza kuwa katika maisha tuwe na akiba ya maneno, tusimalize kwani ipo siku utapata aibu!!!

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 9 หลายเดือนก่อน +7

    Ninasikia fraha Sana kuona Gwajima na Makonda meza Moja .Ila Gwajima NAKUPENDA Sana mwenzio Una Hekima sanaaaa

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 9 หลายเดือนก่อน

      Huu ndiyo ukuaji wa akili, mwili na roho

    • @paullyabuyenze1884
      @paullyabuyenze1884 9 หลายเดือนก่อน

      Gwajima ana hekima ipi.Ambaye alikuwa anamsema Makonda Bashite baada wakati ule ahubiri kanisani alisema Makonda apigwe.Leo Mungu kamuonyesha tunapaswa kuheshimu wetu na tusilipe visasi. Gwajima anaongea sana lakini Mungu kamfundisha.Makonda ndio ana hekima Hana kisasi

  • @veraisaria
    @veraisaria 9 หลายเดือนก่อน +7

    Dah maisha ya kisiasa ya kijinga sana😂😂😂gwajima ndiye wa kuinama mbele ya makonda😅😅😅😅

  • @zaharamustafa-t1l
    @zaharamustafa-t1l 9 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera Makonda tunaomba utussidie mwanza barabara za .mitaa hazipitki
    Ahsante

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 9 หลายเดือนก่อน

      Bashite ni kichaa anatafuta umaarufu hana uwezo wa kutatua matatizo kama alishindwa akiwa RC ataweza sasa hana mamlaka yeyote

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@musa-v3f akiwa RC na ufaham wako unajua angekuwa na uwezo wa kupita nchi nzima kama anavyozunguka sasa Tofauti ya RC na katibu mwenezi unaijua?

  • @islandinsuranceagency8008
    @islandinsuranceagency8008 8 หลายเดือนก่อน

    Siasa sio nzuri

  • @Oswardkadron
    @Oswardkadron 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yeye alete kuhusu Hela anaejua yeye mwenyewe wananchi tunataka kazi hongela makonda

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 9 หลายเดือนก่อน +1

      Samia katoa pesa au wananchi wametoa kupitia kodi zao?? ..Samia hana pesa za kujenga barabara pesa zake anatumia na familia yake sio kujengea barabara

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 9 หลายเดือนก่อน

    Daa haya maisha tuyaache yalivyo yaani Gwajima leo anasalimu amri kwa kuitikia ndiyo mkuu Bashite

  • @MathewsMatoboki
    @MathewsMatoboki 9 หลายเดือนก่อน

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 9 หลายเดือนก่อน +1

    Bado watanzania mnaiamini CCM

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 9 หลายเดือนก่อน

    King Kiba , Sisi siyo milima....

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 8 หลายเดือนก่อน

    Maninah, Bashite leo anasujudiwa na askofu

  • @denniskado3990
    @denniskado3990 9 หลายเดือนก่อน +5

    Miaka 60 ya uhuru hamtakiwi kujinadii kila kitu mlisha prove failure

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 9 หลายเดือนก่อน +2

      Sahihi kabisa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 9 หลายเดือนก่อน

      G​@@muhsiniissa8151 Generalisation is kind of fallacy

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 9 หลายเดือนก่อน

      Generalisation is kind of fallacy

    • @ausonjustinian4673
      @ausonjustinian4673 9 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ni wale msiokua na shukurani. Uka ktk kundi la Wakoma 9 ambao hawakushukuri kuponywa.

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 9 หลายเดือนก่อน

    NDO MAANA TUNAAMBIWA WOTE TUPENDANE.🙏🙏🙏🙏

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni4203 8 หลายเดือนก่อน

    Gwajima amekwesha kabisa. Aibu kabisa kwa mtu kama Gwajima kumnyenyekea Bashite.

  • @SaidHamis-yz1vt
    @SaidHamis-yz1vt 9 หลายเดือนก่อน

    MAKONDA TUNAOMBA UJE NA MWANZA BUSWERU WILAYA YA ILEMELA BARABARA MAJI NI CHANGAMOTO PLZ MAKONDA.

  • @yourboysil_star2883
    @yourboysil_star2883 8 หลายเดือนก่อน

    Sema sjui mnayaona aya wananchi huu sio mwaka 2021 ni 2024 mwaka huu uchaguz mwakan uchaguz ndo ayo mambo yanatokea kwan miaka yote walkua wap tusdanganyike kutupa BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA baada ya uchaguz watatusahau awa tustuke wananchi

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 9 หลายเดือนก่อน +1

    MBUNGE GWAJIMA NA MWENEZI MAKONDA...KUMBE ENZI HUBADILIKA..KUTOKA KUFUTWA KISIASA HADI KUSHIRIKIANA NA KUPEANA BURUDOZA 20. HASIRA YA MTU HAINA FUTURE NDANI YAKE

  • @sungwasamson277
    @sungwasamson277 9 หลายเดือนก่อน

    tunaomba uje na tabora mh makonda 🙏🙏🙏🙏👍

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hajaleta fedha sema tumekusanya kodi za wananchi ndizo zinajenga

  • @raymondmathayomsigwa8737
    @raymondmathayomsigwa8737 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni cha Demema lakini tuseme ukweli makonda ananguvu gwajima chali maamuzi ya Kiume sio Rais samia anamung'unya maneno wakina Kasimu majariwa hamumuoni makonda jamaa nijiwe tuseme ukweli angekuwa waziri mkuu samia angekaa pembeni

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 9 หลายเดือนก่อน +1

    Daah siasa noma

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo tractor zipelekwe mashambani. Mijini tunahitaji motor graders na 22 kwa jimbo moja ni nyingi mno?

  • @kjb_user0077
    @kjb_user0077 9 หลายเดือนก่อน +1

    Usiseme ukamaliza😂 akiba ya maneno ni mhimu sana

  • @neemageorge7082
    @neemageorge7082 9 หลายเดือนก่อน

    Jaman sisi huku kwetu nadhan selikari haipo yaan Barbara ni mbuvu mno huku maramba kiingia kingaz shule watoto wanashindwa hata kufika shule kwa ajili ya hiyo barabala tunamwomba makonda na sisi atutembele hii wilaya ya ubungo yaan Iko hovyo na Diwan mbunge wapo

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi katapila moja inauzwa sh ngapi??🤔🤔🤔

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 9 หลายเดือนก่อน

    Makonda amemjibu Gwajima kwa vitendo

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 9 หลายเดือนก่อน

    Gwajima 5 tena.

  • @MichaelKangeta-lt2gh
    @MichaelKangeta-lt2gh 9 หลายเดือนก่อน

    Hapo sawa kabisa

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi7837 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hii Dunia ina vituko

  • @JafariAbdallah-ot9gp
    @JafariAbdallah-ot9gp 9 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia raisi wetu mungu akubariki sana kwa uongozi wako na viongozi ulowachagua wewe

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe ata hatuna haja ya wabunge baadhi ya maeneno..

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 9 หลายเดือนก่อน

    Daaa haya maneno yakiwa kweli kumekucha,ila kitaani mbona bado balabala bado mbovu

  • @chukialberto4659
    @chukialberto4659 9 หลายเดือนก่อน +1

    Endelea kupiga kazi Kiongozi wetu Makonda.Hakika Mhe.Samia anaupiga mwingi kwelikweli.

  • @pastorgidion
    @pastorgidion 9 หลายเดือนก่อน +1

    Gwajima kwenye barabara amefanya kazi kubwa sana. Apewe maua yake

    • @gtvonlinemdee7001
      @gtvonlinemdee7001 9 หลายเดือนก่อน

      Ipi unaishi mbinguni au😅😅😅

  • @Manierichie403
    @Manierichie403 8 หลายเดือนก่อน

    Mi hii nchi naiangalia tu huwa sipendi kulijaji taifa langu

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 9 หลายเดือนก่อน

    Gwajima c alimfuta makonda kweny ulimwengu wa siasa mbona saiz anampa heshma Kwa kumuinamia😂😂

  • @sund2553
    @sund2553 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo katapila matajiri wajiandae huko mjini 😊😅

  • @Maulambo
    @Maulambo 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sisi sio milima tutakutana sisi ni people 😂😂

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila 9 หลายเดือนก่อน +1

    Gwajiboy unaizalilisha ufufuo na uzima bashite si alikuita muuza madawa ya kulevya? Amekusafisha lini?

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 9 หลายเดือนก่อน

    Na taarifa za CAG nazo uzizingumzie kama kweli una nia ya kuokoa fedha za Watanzania,Watanzania tunapigwa si mchezo,sukari kilo moja 5000/-.

  • @kingmakavely9861
    @kingmakavely9861 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ila siasa banaa 😂😂

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ndio maana machadema yanakuogopa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 8 หลายเดือนก่อน

    USIMDHALAU MTU KABLA YA KIFO CHAKE KAMA HAMANI MTI ALIOUCHONGA ALITUNDIKWA MWENYEWE BASHITE KAWA BOSS WAKO SASA UNASUJUDU KWELI MUNGU SI MWANADAMU

  • @Wamoyothenumberone
    @Wamoyothenumberone 9 หลายเดือนก่อน

    Kampeni hizi kaka tunajua

  • @user98771
    @user98771 9 หลายเดือนก่อน

    Mabwepande ,,barabara za bunju b mpaka kitunda makonda njooo uone huku,hakuna mitaro barabara mbovu sana Gwajima nooo

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 9 หลายเดือนก่อน

    Kwanini Makonda afiki mkowa pwani wilaya ya Kisarawe. Vijijini balabala mbovu kuanzia Masaki mpaka Vikumbulu.

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila 9 หลายเดือนก่อน

    Gwajima siasa imekutoa peponi imekupeka jehanam

  • @ThomasMhindi-zs2ic
    @ThomasMhindi-zs2ic 9 หลายเดือนก่อน

    Wewe unasema aish milele mpuuz

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 9 หลายเดือนก่อน

    Bhana bhana

  • @AkhlySports38
    @AkhlySports38 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo Cart peel zenu msituletee Kisanga hatuhitaji Cart peel kuchongewa Barabara tunatala Lami msije kuja kuzidi kuziharibu Barabara, tunaomba mtuwekee Lami.

  • @Adam.k202
    @Adam.k202 9 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mheshimiwa makonda

  • @MerereJr
    @MerereJr 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nao waandishi wa hovyo kweli nyie, kwani kamwambia Askofu Gwajima? Au alikuwa anaongea kwa watu ambao hawawajibiki.

  • @patricknewguy8189
    @patricknewguy8189 9 หลายเดือนก่อน

    Hivi gwajima anapacha wake..mbona sielewi na bashite ni nani😂

  • @harrywarren61
    @harrywarren61 9 หลายเดือนก่อน

    Uchaguzi upo karibu mbona mnataka kujenga balabala alafu hizo jezi za CCM mbona zipo tafauti zingine zime Korea sana zingine zimefifia Kuna kitu hapo mpaka kwenye nguo mpo tofauti😂😂😂😂😂

  • @MrutuAbdala
    @MrutuAbdala 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna kitu NIMEJIFUNZA Ila ngoja nikae kimya

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 9 หลายเดือนก่อน

      😂 Kaa Chonjo Hii Ndiyo Bongo Dar es Salaam.
      What Goes Around Comes Around.....
      Hata Mimi Nimeona Nikae 'Kimya'.
      Kumekucha Tena.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 9 หลายเดือนก่อน

      🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 9 หลายเดือนก่อน

    Hapo ndio mjue wachungaji matapeli nasikia wanakwenda Bagamoyo

  • @issadassa6668
    @issadassa6668 9 หลายเดือนก่อน

    Kweli CCM kwenye usanii mmehitim😂

  • @MerereJr
    @MerereJr 9 หลายเดือนก่อน +4

    Ukiona mbunge anaweza kununua greda kwa pesa yake kwa ajili ya kujengea barabara anatakiwa kutiwa moyo, niambie wabunge wangapi wanaweza kufanya hivyo?

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 9 หลายเดือนก่อน

      Nenda mkoa wa mara ukajifujze toka miaka ya 90 watu wamefanya kwa pesa zao, mashule kibao Musoma vijijini yalijengwa na wabunge , barabara nk.

    • @paullyabuyenze1884
      @paullyabuyenze1884 9 หลายเดือนก่อน

      Una ushahidi amenunua Greda kwa pesa zake unajua unatiletea siasa za ajabu.

  • @imanihussein9457
    @imanihussein9457 9 หลายเดือนก่อน

    cmm bado sana ujinga mtupu

  • @erickmbegalo1152
    @erickmbegalo1152 3 หลายเดือนก่อน

    Ndugu yenu katolewa na tamko limetoka tena ata kwenye ukuu wa mkoa afiki miez 6

  • @gtvonlinemdee7001
    @gtvonlinemdee7001 9 หลายเดือนก่อน

    Uchaguzi serikali za mitaa😅😅😅

  • @mariosigala8760
    @mariosigala8760 9 หลายเดือนก่อน

    Gwajima upo hapo

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 9 หลายเดือนก่อน

    Tapeli mkubwa
    Kwa hiyo wewe ndo Raisi sasa, si Rais ajiudhulu sasa?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 9 หลายเดือนก่อน

    Siasa

  • @harmonicheharmo3230
    @harmonicheharmo3230 8 หลายเดือนก่อน

    Waandishi wahabari hata kukwepesha camera hamtaki 😂😂😂

  • @prospermango6526
    @prospermango6526 9 หลายเดือนก่อน

    Hivi Gwajima anajisikiaje kuwa karibu na KONDABOY?

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂uchaguzi tutaona mengi

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 9 หลายเดือนก่อน

    Nina shanhaa sana malizote tulizonazo bado hata mji au jiji mmoja lilio na kamilika balabala za lami inashanganza sana

  • @jonathanmussa474
    @jonathanmussa474 9 หลายเดือนก่อน

    Mama samia kaweka fedha au serikali imeweka fedha ?!?anyway tuendelee

  • @NickyTajiri-d8n
    @NickyTajiri-d8n 9 หลายเดือนก่อน

    4:06

  • @Leo-kg2lt
    @Leo-kg2lt 9 หลายเดือนก่อน

    Doooo !!!!

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 9 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza watu wenye hofu ya mngu wameweka tofaut zao pemben watutumikie wananch

  • @IssahYasini
    @IssahYasini 9 หลายเดือนก่อน

    Makondo mtu kaz sio bla bla

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila 9 หลายเดือนก่อน

    Bashite na muuza unga meza moja? Kwa sasa sio ziro bleini? Kweli dunia duara

  • @papafikiri
    @papafikiri 8 หลายเดือนก่อน

    Alisema anamfuta kwenye siasa hadi pale akiomba msamaha na kurudi kusoma. Je hayo hayajafanyika?

  • @beatricemwita8365
    @beatricemwita8365 9 หลายเดือนก่อน

    Haya

  • @jumasuleymani
    @jumasuleymani 9 หลายเดือนก่อน

    0:43

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 9 หลายเดือนก่อน

    Gwajima ni tapeli, alimtukana sana makonda... kisa alihusishwa (Gwajima) na biashara ya madawa

    • @davidmagesa6773
      @davidmagesa6773 9 หลายเดือนก่อน

      tapeli mama yako sio Gwajima paka wewe

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 9 หลายเดือนก่อน

      @@davidmagesa6773 ww ni msukule wake... ni tapeli tu...

  • @prospernahashon2321
    @prospernahashon2321 9 หลายเดือนก่อน

    CCM mwamba alikuwa mmoja magufuri tu wengine waliobak ni wa chukua chako mapema tu,Leo hii wananchi mnadanganywa ili 2025 wapate kura,jamani ukombozi wa fikra unahitajika Tanzania na afrika kwa ujumla.umeme unakatika ovyo,na Bado miradi iliyo acha na baba yetu inaenda kwa kusuasua yote haya ni miyeyusho kwa wa Tanzania

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 9 หลายเดือนก่อน

    Bifu kati ya Hawa ni bifu

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 9 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba mtukumbuke boko msikitini hali ni mbaya

  • @fredernestonline6011
    @fredernestonline6011 9 หลายเดือนก่อน

    Kwan makonda ndo nan kwenye hii nchi mpk atoe izo 20 caterpillar

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 9 หลายเดือนก่อน +1

      Chama chavmapinduzi kinatoa..hapo sio yeye na ela zake...kuza fuvu hilo...akili yako ndogo 😂😂😂

    • @modestusndunguru7183
      @modestusndunguru7183 9 หลายเดือนก่อน

      Halafu maendeleo hayana Cha mtu..hata mtu binafsi anaweza toa mchango..wa maendeleo kaka.. usikariri..nyinyi ndio wale wale wa chadomo...midomo.mbele

  • @user98771
    @user98771 9 หลายเดือนก่อน

    Barabara za bunju b na maeneo meengi nni mbovu sana Mb Gwajima 2025 yaja

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 9 หลายเดือนก่อน

    Hivi fedha ni ya Samia au serikali?

    • @augustinocosmas4784
      @augustinocosmas4784 9 หลายเดือนก่อน +1

      Za Samia ndio anae Lipa kodi mi nawewe hatulip

  • @jamesmwafumbila510
    @jamesmwafumbila510 9 หลายเดือนก่อน

    Jamani naona mnakwenda mjini tu uko Balabala ya kuanzia mbagala kokoto Mpka kongowe ni shida au uku hawakai watu....

  • @SulaymanKitisa
    @SulaymanKitisa 9 หลายเดือนก่อน

    Matapel nyie wkubwa

  • @EnockKombolela-f7x
    @EnockKombolela-f7x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ninani nahizo caterpiler unazitoa wapi na bajeti ya kuzilipa hizo ishirini unazitoa wapi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 9 หลายเดือนก่อน

      Sio kazi yako.

    • @YamunguMuha
      @YamunguMuha 9 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni nani unataka kujua Hela zinatoka wapi?

    • @augustinocosmas4784
      @augustinocosmas4784 9 หลายเดือนก่อน +1

      Mlipa kodi

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 9 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jamaa anafaa kua hata Rais