Nimejifunza kitu usimdharau mtu ndivyo ilivyo kwa hawa wote mfano makonda alimheshimu mama samia leo kaja kuwa rais na kampa cheo cha juuu kabisa, twende kwa Mr. Gwaji boy akamsema Bashite😂😂😂 leo kawa bosi wake kweli ni somo kubwa sana
@@gibsonjosephat6352 Tusifufuwe makaburi Gwajima ni mtu wa visasi hatari nakumbuka kipindi hicho alifanya mwenzi mzima akihubiri Makonda mara Bashite mara hivi sasa Leo huyo Makonda kawa boss wake.
Gwajima ana hekima ipi.Ambaye alikuwa anamsema Makonda Bashite baada wakati ule ahubiri kanisani alisema Makonda apigwe.Leo Mungu kamuonyesha tunapaswa kuheshimu wetu na tusilipe visasi. Gwajima anaongea sana lakini Mungu kamfundisha.Makonda ndio ana hekima Hana kisasi
Sema sjui mnayaona aya wananchi huu sio mwaka 2021 ni 2024 mwaka huu uchaguz mwakan uchaguz ndo ayo mambo yanatokea kwan miaka yote walkua wap tusdanganyike kutupa BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA baada ya uchaguz watatusahau awa tustuke wananchi
MBUNGE GWAJIMA NA MWENEZI MAKONDA...KUMBE ENZI HUBADILIKA..KUTOKA KUFUTWA KISIASA HADI KUSHIRIKIANA NA KUPEANA BURUDOZA 20. HASIRA YA MTU HAINA FUTURE NDANI YAKE
Jaman sisi huku kwetu nadhan selikari haipo yaan Barbara ni mbuvu mno huku maramba kiingia kingaz shule watoto wanashindwa hata kufika shule kwa ajili ya hiyo barabala tunamwomba makonda na sisi atutembele hii wilaya ya ubungo yaan Iko hovyo na Diwan mbunge wapo
Uchaguzi upo karibu mbona mnataka kujenga balabala alafu hizo jezi za CCM mbona zipo tafauti zingine zime Korea sana zingine zimefifia Kuna kitu hapo mpaka kwenye nguo mpo tofauti😂😂😂😂😂
Ukiona mbunge anaweza kununua greda kwa pesa yake kwa ajili ya kujengea barabara anatakiwa kutiwa moyo, niambie wabunge wangapi wanaweza kufanya hivyo?
CCM mwamba alikuwa mmoja magufuri tu wengine waliobak ni wa chukua chako mapema tu,Leo hii wananchi mnadanganywa ili 2025 wapate kura,jamani ukombozi wa fikra unahitajika Tanzania na afrika kwa ujumla.umeme unakatika ovyo,na Bado miradi iliyo acha na baba yetu inaenda kwa kusuasua yote haya ni miyeyusho kwa wa Tanzania
Mh Makonda Uishi Milele Mungu akubariki sana kwa kweli wewe ni kiongozi kabisa
Walishagakutanishwa na mzee zamani mno wakapatana
Kweli binadamu tunakutana, makonda na gwajima wakutana
Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka sana aisee duh!... Binadamu tunatofautiana sana.
Kampeni baba tunaenda
hahaha Mungu si Mwanadamu
Maaanina ndo ujue hizi dini zimebebwa na masela
Ahaaahahh😂yaani sio kila nabii ni nabii
Nimejifunza kitu usimdharau mtu ndivyo ilivyo kwa hawa wote mfano makonda alimheshimu mama samia leo kaja kuwa rais na kampa cheo cha juuu kabisa, twende kwa Mr. Gwaji boy akamsema Bashite😂😂😂 leo kawa bosi wake kweli ni somo kubwa sana
Aliyemfuta mwenzie kwenye siasa madhabahuni leo ndo boss wake kwenye siasa🤣🤣🤣🤣🤣
Makonda oyeeeeeeeeee.gwaji boy lazima usujudu huyu ndio boss sasa
Naona mzee baba anasujudia
Wakati wa Mungu ni wakati Sahihi,Gwajima kakudhalilisha Lakini Leo akaa Mungu kakuheshimisha Kaka Gwajima anakusujudia na Wewe Sasa ni Boss Wake
Duh, eee kumbe Mungu wetu ni wa msamaha kwa wamkimbiliao. Na kweli alisema Asie samehe hatasameewa. Mbarikiwe kwa mapatano yenu Amn.
Yaani we kaka mmungu akuweke Sana,huna baya
Safi sana mweshimiwa makonda na gwajima
Raha sana leo Gwajiboy na Makonda wamekutana na yameisha kazi inaendelea safi sana Sukuma boy ❤❤❤❤
Gwajima alimwambia Makonda maisha ni mzunguko tusitendeane mabaya
@@gibsonjosephat6352
Tusifufuwe makaburi Gwajima ni mtu wa visasi hatari nakumbuka kipindi hicho alifanya mwenzi mzima akihubiri Makonda mara Bashite mara hivi sasa Leo huyo Makonda kawa boss wake.
pesa hahaha
@sonnyr189 9 noti mbaya
Ila SIASA hii tabu sana Leo gwajima ana salute kwa makonda 😅😅🤣🤣 nawaza hapa Kati yao nani kainuliwa
😂😂😂 Jamani! Jaman! Nimejifunza kuwa katika maisha tuwe na akiba ya maneno, tusimalize kwani ipo siku utapata aibu!!!
Ninasikia fraha Sana kuona Gwajima na Makonda meza Moja .Ila Gwajima NAKUPENDA Sana mwenzio Una Hekima sanaaaa
Huu ndiyo ukuaji wa akili, mwili na roho
Gwajima ana hekima ipi.Ambaye alikuwa anamsema Makonda Bashite baada wakati ule ahubiri kanisani alisema Makonda apigwe.Leo Mungu kamuonyesha tunapaswa kuheshimu wetu na tusilipe visasi. Gwajima anaongea sana lakini Mungu kamfundisha.Makonda ndio ana hekima Hana kisasi
Dah maisha ya kisiasa ya kijinga sana😂😂😂gwajima ndiye wa kuinama mbele ya makonda😅😅😅😅
😂😂😂
Hongera Makonda tunaomba utussidie mwanza barabara za .mitaa hazipitki
Ahsante
Bashite ni kichaa anatafuta umaarufu hana uwezo wa kutatua matatizo kama alishindwa akiwa RC ataweza sasa hana mamlaka yeyote
@@musa-v3f akiwa RC na ufaham wako unajua angekuwa na uwezo wa kupita nchi nzima kama anavyozunguka sasa Tofauti ya RC na katibu mwenezi unaijua?
Siasa sio nzuri
Yeye alete kuhusu Hela anaejua yeye mwenyewe wananchi tunataka kazi hongela makonda
Samia katoa pesa au wananchi wametoa kupitia kodi zao?? ..Samia hana pesa za kujenga barabara pesa zake anatumia na familia yake sio kujengea barabara
Daa haya maisha tuyaache yalivyo yaani Gwajima leo anasalimu amri kwa kuitikia ndiyo mkuu Bashite
❤
Bado watanzania mnaiamini CCM
King Kiba , Sisi siyo milima....
Maninah, Bashite leo anasujudiwa na askofu
Miaka 60 ya uhuru hamtakiwi kujinadii kila kitu mlisha prove failure
Sahihi kabisa
G@@muhsiniissa8151 Generalisation is kind of fallacy
Generalisation is kind of fallacy
Wewe ni wale msiokua na shukurani. Uka ktk kundi la Wakoma 9 ambao hawakushukuri kuponywa.
NDO MAANA TUNAAMBIWA WOTE TUPENDANE.🙏🙏🙏🙏
Gwajima amekwesha kabisa. Aibu kabisa kwa mtu kama Gwajima kumnyenyekea Bashite.
MAKONDA TUNAOMBA UJE NA MWANZA BUSWERU WILAYA YA ILEMELA BARABARA MAJI NI CHANGAMOTO PLZ MAKONDA.
Sema sjui mnayaona aya wananchi huu sio mwaka 2021 ni 2024 mwaka huu uchaguz mwakan uchaguz ndo ayo mambo yanatokea kwan miaka yote walkua wap tusdanganyike kutupa BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA baada ya uchaguz watatusahau awa tustuke wananchi
MBUNGE GWAJIMA NA MWENEZI MAKONDA...KUMBE ENZI HUBADILIKA..KUTOKA KUFUTWA KISIASA HADI KUSHIRIKIANA NA KUPEANA BURUDOZA 20. HASIRA YA MTU HAINA FUTURE NDANI YAKE
tunaomba uje na tabora mh makonda 🙏🙏🙏🙏👍
Hajaleta fedha sema tumekusanya kodi za wananchi ndizo zinajenga
Mimi ni cha Demema lakini tuseme ukweli makonda ananguvu gwajima chali maamuzi ya Kiume sio Rais samia anamung'unya maneno wakina Kasimu majariwa hamumuoni makonda jamaa nijiwe tuseme ukweli angekuwa waziri mkuu samia angekaa pembeni
Daah siasa noma
Hizo tractor zipelekwe mashambani. Mijini tunahitaji motor graders na 22 kwa jimbo moja ni nyingi mno?
Usiseme ukamaliza😂 akiba ya maneno ni mhimu sana
Jaman sisi huku kwetu nadhan selikari haipo yaan Barbara ni mbuvu mno huku maramba kiingia kingaz shule watoto wanashindwa hata kufika shule kwa ajili ya hiyo barabala tunamwomba makonda na sisi atutembele hii wilaya ya ubungo yaan Iko hovyo na Diwan mbunge wapo
Hivi katapila moja inauzwa sh ngapi??🤔🤔🤔
Makonda amemjibu Gwajima kwa vitendo
Gwajima 5 tena.
Hapo sawa kabisa
Hii Dunia ina vituko
Mama Samia raisi wetu mungu akubariki sana kwa uongozi wako na viongozi ulowachagua wewe
Kumbe ata hatuna haja ya wabunge baadhi ya maeneno..
Hahahahaaaaaa
Daaa haya maneno yakiwa kweli kumekucha,ila kitaani mbona bado balabala bado mbovu
Endelea kupiga kazi Kiongozi wetu Makonda.Hakika Mhe.Samia anaupiga mwingi kwelikweli.
Gwajima kwenye barabara amefanya kazi kubwa sana. Apewe maua yake
Ipi unaishi mbinguni au😅😅😅
Mi hii nchi naiangalia tu huwa sipendi kulijaji taifa langu
Gwajima c alimfuta makonda kweny ulimwengu wa siasa mbona saiz anampa heshma Kwa kumuinamia😂😂
Hizo katapila matajiri wajiandae huko mjini 😊😅
Sisi sio milima tutakutana sisi ni people 😂😂
Gwajiboy unaizalilisha ufufuo na uzima bashite si alikuita muuza madawa ya kulevya? Amekusafisha lini?
Na taarifa za CAG nazo uzizingumzie kama kweli una nia ya kuokoa fedha za Watanzania,Watanzania tunapigwa si mchezo,sukari kilo moja 5000/-.
Ila siasa banaa 😂😂
Ndio maana machadema yanakuogopa😂😂😂😂😂😂😂😂
USIMDHALAU MTU KABLA YA KIFO CHAKE KAMA HAMANI MTI ALIOUCHONGA ALITUNDIKWA MWENYEWE BASHITE KAWA BOSS WAKO SASA UNASUJUDU KWELI MUNGU SI MWANADAMU
Kampeni hizi kaka tunajua
Mabwepande ,,barabara za bunju b mpaka kitunda makonda njooo uone huku,hakuna mitaro barabara mbovu sana Gwajima nooo
Kwanini Makonda afiki mkowa pwani wilaya ya Kisarawe. Vijijini balabala mbovu kuanzia Masaki mpaka Vikumbulu.
Gwajima siasa imekutoa peponi imekupeka jehanam
Wewe unasema aish milele mpuuz
Bhana bhana
Hizo Cart peel zenu msituletee Kisanga hatuhitaji Cart peel kuchongewa Barabara tunatala Lami msije kuja kuzidi kuziharibu Barabara, tunaomba mtuwekee Lami.
Safi sana mheshimiwa makonda
Nao waandishi wa hovyo kweli nyie, kwani kamwambia Askofu Gwajima? Au alikuwa anaongea kwa watu ambao hawawajibiki.
Hivi gwajima anapacha wake..mbona sielewi na bashite ni nani😂
Uchaguzi upo karibu mbona mnataka kujenga balabala alafu hizo jezi za CCM mbona zipo tafauti zingine zime Korea sana zingine zimefifia Kuna kitu hapo mpaka kwenye nguo mpo tofauti😂😂😂😂😂
Kuna kitu NIMEJIFUNZA Ila ngoja nikae kimya
😂 Kaa Chonjo Hii Ndiyo Bongo Dar es Salaam.
What Goes Around Comes Around.....
Hata Mimi Nimeona Nikae 'Kimya'.
Kumekucha Tena.
🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭
Hapo ndio mjue wachungaji matapeli nasikia wanakwenda Bagamoyo
Kweli CCM kwenye usanii mmehitim😂
Ukiona mbunge anaweza kununua greda kwa pesa yake kwa ajili ya kujengea barabara anatakiwa kutiwa moyo, niambie wabunge wangapi wanaweza kufanya hivyo?
Nenda mkoa wa mara ukajifujze toka miaka ya 90 watu wamefanya kwa pesa zao, mashule kibao Musoma vijijini yalijengwa na wabunge , barabara nk.
Una ushahidi amenunua Greda kwa pesa zake unajua unatiletea siasa za ajabu.
cmm bado sana ujinga mtupu
Ndugu yenu katolewa na tamko limetoka tena ata kwenye ukuu wa mkoa afiki miez 6
Uchaguzi serikali za mitaa😅😅😅
Gwajima upo hapo
Tapeli mkubwa
Kwa hiyo wewe ndo Raisi sasa, si Rais ajiudhulu sasa?
Siasa
Waandishi wahabari hata kukwepesha camera hamtaki 😂😂😂
Hivi Gwajima anajisikiaje kuwa karibu na KONDABOY?
😂😂😂uchaguzi tutaona mengi
Nina shanhaa sana malizote tulizonazo bado hata mji au jiji mmoja lilio na kamilika balabala za lami inashanganza sana
Mama samia kaweka fedha au serikali imeweka fedha ?!?anyway tuendelee
4:06
Doooo !!!!
Nimejifunza watu wenye hofu ya mngu wameweka tofaut zao pemben watutumikie wananch
Makondo mtu kaz sio bla bla
Bashite na muuza unga meza moja? Kwa sasa sio ziro bleini? Kweli dunia duara
Alisema anamfuta kwenye siasa hadi pale akiomba msamaha na kurudi kusoma. Je hayo hayajafanyika?
Haya
0:43
Gwajima ni tapeli, alimtukana sana makonda... kisa alihusishwa (Gwajima) na biashara ya madawa
tapeli mama yako sio Gwajima paka wewe
@@davidmagesa6773 ww ni msukule wake... ni tapeli tu...
CCM mwamba alikuwa mmoja magufuri tu wengine waliobak ni wa chukua chako mapema tu,Leo hii wananchi mnadanganywa ili 2025 wapate kura,jamani ukombozi wa fikra unahitajika Tanzania na afrika kwa ujumla.umeme unakatika ovyo,na Bado miradi iliyo acha na baba yetu inaenda kwa kusuasua yote haya ni miyeyusho kwa wa Tanzania
Bifu kati ya Hawa ni bifu
Tunaomba mtukumbuke boko msikitini hali ni mbaya
Kwan makonda ndo nan kwenye hii nchi mpk atoe izo 20 caterpillar
Chama chavmapinduzi kinatoa..hapo sio yeye na ela zake...kuza fuvu hilo...akili yako ndogo 😂😂😂
Halafu maendeleo hayana Cha mtu..hata mtu binafsi anaweza toa mchango..wa maendeleo kaka.. usikariri..nyinyi ndio wale wale wa chadomo...midomo.mbele
Barabara za bunju b na maeneo meengi nni mbovu sana Mb Gwajima 2025 yaja
Hivi fedha ni ya Samia au serikali?
Za Samia ndio anae Lipa kodi mi nawewe hatulip
Jamani naona mnakwenda mjini tu uko Balabala ya kuanzia mbagala kokoto Mpka kongowe ni shida au uku hawakai watu....
Matapel nyie wkubwa
Wewe ninani nahizo caterpiler unazitoa wapi na bajeti ya kuzilipa hizo ishirini unazitoa wapi
Sio kazi yako.
Wewe ni nani unataka kujua Hela zinatoka wapi?
Mlipa kodi
Huyu jamaa anafaa kua hata Rais
Kabisa