Daaaah! Machozi yamenitoka, nimeumia sana, watanzania sisi ni wamoja, ni ndugu, kwa nini kuumizana hivi? Mama Samia Mungu akupe hekima kama mfalme Suleiman uiongoze hii nchi. Tunakupenda sana mama Samia, kika siku tunakuombea Mungu akupe afya na hekima uliongoze hiki taifa letu la Tanzania
Being honest Makonda you are true and servant of God, I believe that you will still maintain and protect president magufuli's legacy, thank you so much man of God Makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Mungu kwa kutuletea zawadi hii ya kijana Mpole mnyenyekevu msikivu na mwenye umakini kijana wetu Paul Makonda Mungu akulinde akuzidishie miaka mingi
Mungu akushikilie Paul Makonda,,,, Afya njema akujalie ,,,, akusamehe ulipowahi kosea ,,, akupe fursa ya kutumika kwa ngumvu nyingi ,,, Mungu akuinue mpaka vilele vya juu,, uongozi ni kugusa hisia na hali za watu,,, Blessed abundantly my sencere prayer,,, Amen.
Binafsi namuona Magufuli ndani ya Makonda, kama dhamira yako iko hivyo kutokea ndani.mimi kama mtumishi wa Mungu,nakuombea Mungu akuinue siku moja uje kuiongoza nchi hii, maana haipingiki, kua Tanzania ilipofikia ,inahitaji Rais wa aina ya Magufuli na makonda.Mungu akulinde na kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa kwa jina la Yesu kristo, aaamen
Rais Samia kipekee nakupenda sana.hekima uliyoitumia kumteua Makonda kuwa Mwenezi na kuanza kuzunguka na kuona mambo yanayotendeka.ubarikiwe sana Mama.Na pia Makonda Mungu akulinde na kukutunza.
Pole kwahuyo jamaa kwakukwatwa namapanga pole kwaote waliopoteza Ndugu zao kutokana nahilo tukio ,pia pongezi kwamakonda kwamoyo alionao mungu azidi kumpa maisha malefu yenye baraka ,baviongozi wengine waige mfano huo
Niliwaaambiaa watu Tanzania inapendwa na Mungu...Asante mama Samia kumuona kijana huyu ...Paul Makonda kumleta Tena Kwa wananchi wote ili awasaidie...Mungu akulinde makonda
Jamani nimejikuta machozi tu yananitoka. Nyie viongozi ambao hamtendi haki kwa wananchi wetu hayo machozi wanayolia hakika siku moja yatalipwa.Muogopeni Mungu.
Kwanini mambo haya yanaendelea kufanyika katika maisha ya watanzania hawa!? Mh. Makonda una kazi ngumu sana. Mungu akutunze, na maadui zako wapeperushwe.
Na kubwa mmmmno ila mungu atamlipa hapa duniani na kesho ila mungu mpe umri mlefu makonda na waziri mkuu maana mama wanamdharau sana live bila kificho Allah ilinde nchi yangu 🤲
Mungu akutunze akupe afy njema maisha marefu kizaz chako kiepushwe na mabaya yote Mimi ni mwananchi wako tu naitwa mama irene wa mto wa mbu ninamuomba mungu akuzingire kila utakapo kwenda
Mungu kujalie makonda akuna mkuu wamkoa tanzania mdano wamakonda mungu akuweke itokee sikumoja ukahamuriwa na raisi ujetanga tanga kumeoza tanga nishida sinalakusema mungu akusimamie
makonda tunakuomba ukawe rais wa awamu ijayo tunakuombea tu mwenyez mungu awe pamoja nawe pamoja na viongozi wote mungu awabariki samia tunakupenda sana
Siku zote huwa nasema kwamba Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu. Na yeyote mwenye karama hiyo huyaona yale ambayo wengine hawayaoni. Mungu akulinde Katibu mwenezi wa chama cha CCM Paul Makonda.
Hivi ni zaidi ya maumivu yaan tupo kwenye nchi yetu kama watumwa. Ndo maana mwenda zake alikuwa akichukua maamzi ya kutumbua on the spot, kwasababu hakuna binadam wa kawaida anaewezakuvumilia haya
hii video imenitoa machozi sana watu wanateseka makonda yawezekana uteuliwa na mungu kwa ajili ya wanyonge wa nchi hii pambana kwa ajili ya taifa la wanyonge
Makonda jamani Mungu akubariki sana miye siko mutanzania lakini unanifurahisha ohhhhhh Makonda muzulisana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu akupe mbinguni
Machozi yamenitoka pole sana ,Mungu ni mwema pia asante Mungu Kwa kutupa viongozi kama Makonda kuwakilisha vema Arusha Mh Mungu akupe maisha marefu.
Daaaah! Machozi yamenitoka, nimeumia sana, watanzania sisi ni wamoja, ni ndugu, kwa nini kuumizana hivi? Mama Samia Mungu akupe hekima kama mfalme Suleiman uiongoze hii nchi. Tunakupenda sana mama Samia, kika siku tunakuombea Mungu akupe afya na hekima uliongoze hiki taifa letu la Tanzania
Being honest Makonda you are true and servant of God, I believe that you will still maintain and protect president magufuli's legacy, thank you so much man of God Makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Makonda Mungu akubariki sana, umefanya jambo la hekima sana. Mungu akutunze daima.
Mungu baba mwenyezi tupe mwisho mwema hapa duniani
Makonda ni laisi ajae nilaisi alie andaliwa namungu,,,,,,,mungu amueke makonda..... Makonda mungu ikimpendeza nianze kufa mim yey abaki ailinde dunia ijayo Tanzania,,,,
Asante Mungu kwa kutuletea zawadi hii ya kijana Mpole mnyenyekevu msikivu na mwenye umakini kijana wetu Paul Makonda Mungu akulinde akuzidishie miaka mingi
Mungu akushikilie Paul Makonda,,,, Afya njema akujalie ,,,, akusamehe ulipowahi kosea ,,, akupe fursa ya kutumika kwa ngumvu nyingi ,,, Mungu akuinue mpaka vilele vya juu,, uongozi ni kugusa hisia na hali za watu,,, Blessed abundantly my sencere prayer,,, Amen.
Aaaaaah Arusha imepata Neema Mungu ametukumbuka❤stay blessed RC.Makonda kwa unayoyafanya ya kupendeza na kusaidia jamii
Binafsi namuona Magufuli ndani ya Makonda, kama dhamira yako iko hivyo kutokea ndani.mimi kama mtumishi wa Mungu,nakuombea Mungu akuinue siku moja uje kuiongoza nchi hii, maana haipingiki, kua Tanzania ilipofikia ,inahitaji Rais wa aina ya Magufuli na makonda.Mungu akulinde na kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa kwa jina la Yesu kristo, aaamen
Mungu Muumbaji (Allah) amemchukua Magufuli anatuletea Makonda. Alhamdulillah. Hakika hakuna shari isiyo ja kheri mbele yake.
Dhaaaaa 😢😢😢😢inatisha sana kabisa inaskitisha kumuona mwanaume kama huyu kulia kama mtoto mdogo kisa kuonewa aisee 😢😢ehh Mwenyezi Mungu tusamehe
Yesu akutunze saana Makonda nakuombea kwa Mungu aliyekuumba uishi miaka mingi ya heri na baraka na afyaa kamili
Hii nchi ina amani😢😢
Yaani ni sawa na muonekano mzuri wa nje halafu ndani kumeoza😢😢
Mhe Makonda umenitoa machozi Mimi ,Much Zakaria,kweli wewe mtu wa Mungu aliye juu
Nakupenda Sana Makonda,nakuomnea Kwa Mungu wewe ni mtu mwema Sana!!
Makonda unafanya kazi nzuri sana mfikishie rais mateso hayo ya watu, hapa kuanzia RC na DC na viongozi wote wa eneo hilo wanapaswa kufukuzwa
Hakika
Raisi hachukui hatua.
Kila Kona watu wanalia machozi hatua hazichukuliwi
Hivi bila Makondo haya yote tungeyajuaje? Hakika unayaishi maneno yako.
Mungu akupe maisha marefu uje kutuongoza kwa nafasi ya juu
Makonda Mungu akubariki nilikua sikuelewi ila Leo nimekuelewa sana
He is a great leader😢
Rais Samia kipekee nakupenda sana.hekima uliyoitumia kumteua Makonda kuwa Mwenezi na kuanza kuzunguka na kuona mambo yanayotendeka.ubarikiwe sana Mama.Na pia Makonda Mungu akulinde na kukutunza.
Kwa kweli Makonda tulikuwa hatujakuelewa mwanzo sasahivi tunakuelewa
Ipo siku mtanikumbuka tena mtanikumbuka kwa mema ilisikika sauti kutoka nyikani rest in peace jpm
Paulo makonda chuma kwel kweli mwenyez mungu akulinde Kila sekunde uweze kuitumikia Tanzania yetu naomba haya kwajina la clisto amina
Makonda wewe....Mungu akutunze daima...sisi tunakuombea ulinzi wa Mungu aliye juu yetu
Makonda si awe raisi tu ainyooshe hii Nchi.
Hongera sana muheshimiwa Paul Makona nzuri kama Rais Magufuli.Hamia na Mkoa Kilimanjaro kesi za mashamba zimekuwa kilio na rushwa nying
Asante mungu kwa kuwafumbua macho viongozi wa tanzania kupitia pol makonda
unafanya kazi zuri sana tunge pata mtu kama wewe tungenyorosha kenye yetu
I never used to cry because of national issues, now I have deeply cried
Mungu akulinde Kwa kazi nzuri ya kutetea nakueneza upendo kwenye nchi yako makonda
❤ I am from DRC 🇨🇩 Makonda Mwenyezi Mungu akulinde,kwa kweli Tanzania inasifa nzuri kwa inje ila kwa ndani watu wanateseka sana tena sana
Nimeumia sana juu ya mtu huyu, inaliza sana, eee Mungu waone watu wako hawa, Mungu akubariki sana mh makonda hakika wewe ni mbeba maono
Inauma Sana mungu tu ndo jibu
Mungu akulinde baba na anakupenda sana
Pole kwahuyo jamaa kwakukwatwa namapanga pole kwaote waliopoteza Ndugu zao kutokana nahilo tukio ,pia pongezi kwamakonda kwamoyo alionao mungu azidi kumpa maisha malefu yenye baraka ,baviongozi wengine waige mfano huo
Mungu akuweke makonda
Niliwaaambiaa watu Tanzania inapendwa na Mungu...Asante mama Samia kumuona kijana huyu ...Paul Makonda kumleta Tena Kwa wananchi wote ili awasaidie...Mungu akulinde makonda
Mungu akubaliki sana makonda wewe nimutu mwema sana❤
daaaaah! kakangu pole sana kila jambo lina mwisho, mungu anakupenda Ssna, paul makonda akuzidishie ujasiri na hekima sana
Daaaha pole sana bro😞😞😞😞😞😞Makonda fukuza Viongozi wachafu ❤❤❤❤❤❤
Mh Makonda hongera sana unafuata nyayo za Baba yetu Magu, Mungu akutunze kwaajili ya Watanzania
Mewenyezimungu atakujalia
Samia baada ya kustaafu kijiti chako mpe makonda ataingoza nchi vzr sana
Jamani nimejikuta machozi tu yananitoka. Nyie viongozi ambao hamtendi haki kwa wananchi wetu hayo machozi wanayolia hakika siku moja yatalipwa.Muogopeni Mungu.
Kwanini mambo haya yanaendelea kufanyika katika maisha ya watanzania hawa!? Mh. Makonda una kazi ngumu sana. Mungu akutunze, na maadui zako wapeperushwe.
Pole sana makonda kazi yako ni changamoto
Na kubwa mmmmno ila mungu atamlipa hapa duniani na kesho ila mungu mpe umri mlefu makonda na waziri mkuu maana mama wanamdharau sana live bila kificho Allah ilinde nchi yangu 🤲
Tz nchi yangu 😢, duh rushwa imezidi kiwango jamani wanyonge hatuna haki ndani ya Taifa letu
Mungu mwaminifu sana naona kama Magufuli amezaliwa upya kupitia kwako Makonda Mungu akutunze Akulinde ni hazina ya kesho wewe
Nimelia jmn😭😭😭😭😭Mungu itunze Tanzania na utujalie viongozi wazuri Makonda MUNGU akutunze uwe na Moyo uwo uwo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Makonda piga kazi ipo na mikoa mingine tunahangaika hivyo ila tungepata viongozi kama wewe tungefurahi sana.
Kaka natamani ugombee uraisi una weza ❤ ni vile bac
Kweli mchoz umenitoka makonda uwe na moyo huohuo mungu akubariki kwa msaada wako happy ndo utajua limkulugenzi limesimama hapo hata Hof halina
Mungu akutunze akupe afy njema maisha marefu kizaz chako kiepushwe na mabaya yote Mimi ni mwananchi wako tu naitwa mama irene wa mto wa mbu ninamuomba mungu akuzingire kila utakapo kwenda
Mmh pole muheshimiwa, kazi yako ni ngumu sana ila naamini Mungu ndie aliekupa hiyo kazi
Kaka mako kaacha posho ila hicho kimbunga kwa watendaji hao wabovu hizo zitawatokea puani BIG UP KAKA MAKO
Daa mama huyu makonda mngu kakuonesha mngu akuongoze kupata watu kama makonda tunaomba na ali hapy alikua anatusaidia sana wananch alud kwenye systime
Mwezi mungu akulinde, na mw, mungu amjaalie raisi Samia akusaidie, hata Mimi ninalia kwa matukio kama hayo ya kinyama , dah pole sana
Pia
Yaani watanzania roho mbaya kuua kupiga mapanga panya rodi mmh tunaenda wapi hebu tubadilikeni jamani it’s sad 😢😢😢😢😢😢😢
Ongera BaBa mimi nimwanaichi waburundi naomba usichoke
Daah ahsante Mungu Kwa kutuletea hii dhahabu Mungu akutuze Paul makonda
Alooo nimelia sana, kweli watanzania tunafanyiana hivi dah, makonda wafukuze kazi jeshi lote la polisi hawafai kabisa yani mtu..... dah
Mheshimiwa Makonda Mungu aendelee kukulinda na uendelee na moyo huo huo Amina
Mungu kujalie makonda akuna mkuu wamkoa tanzania mdano wamakonda mungu akuweke itokee sikumoja ukahamuriwa na raisi ujetanga tanga kumeoza tanga nishida sinalakusema mungu akusimamie
Pole sana kaka yangu mungu yupo
Makondo mungu yupoo atakusimamia tu mungu akupe ulaisi tu
Makonda mungu akubariki sana
Uliwahi ona au kusikia wapi simba muua nyumbu halafu eti anatoa mchozi!!
Kiukweli makonda mung akubariki sana
Makonda unafanya kazi nzuri, Fanya hivyo hivyo mungu akubariki Tanzania itumikie Tanzania ni watu Piga kazi Muwakilishe mama samia
Ubarikiwe Mhe.Makonda
Asante Baba makonda Mungu akubaliki
Makonda is alive for real reasons dah Mungu ampe uhai
Nimelia sana mungu bariki sana viongozi wanao jua wajibu wao
Pia
It's so pity
Barikiwa Sana Mahali upo Makonda
Saidiya watu wako baba😢😢 tunalia kenya 🇰🇪
makonda tunakuomba ukawe rais wa awamu ijayo tunakuombea tu mwenyez mungu awe pamoja nawe pamoja na viongozi wote mungu awabariki samia tunakupenda sana
Daah tanzania sio mchezo,wasiojulikana ni wahuni sana.
Siku zote huwa nasema kwamba Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu. Na yeyote mwenye karama hiyo huyaona yale ambayo wengine hawayaoni. Mungu akulinde Katibu mwenezi wa chama cha CCM Paul Makonda.
Makonda mungu aliye juu akulinde utakuwa raisi ukitenda haki mungu yu nawe daima
Mungu atawahukumu sana mbinguni awato muona Mungu hii nchi itatumaliza sana
Makonda mwenyezi mungu akupe umri mrefu akulinde na kila mwenye kutaka kufanya ubaya ashindwe
Hakika tumelia wengi MUNGU akutunze baba
Makonda mungu akubariki sn sn
Yana umiza aksanti makonda hutakufa bb Mungu akulinde mi ni mcongo tunapitia hayo naipenda kzi yako naipenda tz
Waajili wanalia na hawana haki mbele ya waajiiwa wao, pole nchi yang.
Nyayo za Hayati makufuli zinaonekana kufuatwa kwa mheshimiwa wetu.Mungu akusimamie kila hatua
Asante makonda.wewe ni kiongozi chapa kazi
Dah inauma Sana .....Hadi machozi yamenitoka..
Ohh my God very painful makoda may God protect u 🙏 may God bless you
Makonda wakati yanampata haya samia alikuwepo uongozi wa kuua mtu ndipo utawale ndiyo hayowatanzania wamekuwa wakatili sana hasa viongozi wake samia
Makonda mngu akubaliki sana wema wako ni mkuuu
Hivi ni zaidi ya maumivu yaan tupo kwenye nchi yetu kama watumwa.
Ndo maana mwenda zake alikuwa akichukua maamzi ya kutumbua on the spot, kwasababu hakuna binadam wa kawaida anaewezakuvumilia haya
Mungu akupe maisha malefu makonda
Walah nimejikuta naliya daah emungu sisi ni watanzani tunaroho mbaya hiv tunafukuriya ni saudy tu kumbe na tz tunasema nje ya aman kumbe ni bure
Mapanga 19 kichwani nchi Tanzania yenye Amani... Na Uhuru.. Japan and hats apewe billion haina lolote mbele ya uhai
Ila makonda jmn tunakuombea maisha marefu kwa MUNGU hakika nyayo za Uncle tunaziona😢😢😢😢
hii video imenitoa machozi sana watu wanateseka makonda yawezekana uteuliwa na mungu kwa ajili ya wanyonge wa nchi hii pambana kwa ajili ya taifa la wanyonge
Makonda jamani Mungu akubariki sana miye siko mutanzania lakini unanifurahisha ohhhhhh Makonda muzulisana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Mungu akupe mbinguni
Jaman nimelia ety khaaa😭😭😭😭😭😭mungu simama na makonda
Pole sana kaka ,mkuu makonda mungu akutunze
New Magufuli...Mpendwa wetu Magufuli katangulia mbele za haki lakin Kuna mtu katuachia
Nakumbuka baba wetu wagufuli kweli makonda mungu akulinde