FAILI LA P DIDDY LIMETUFIKIA, NI UCHAFU NA MADHAMBI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 147

  • @rahimadam5706

    Hongera sanaaa jastin🙏🏻🙏🏻🙏🏻👊🏻 kwa taarifa nzurii

  • @user-nb6yh2bn9y

    MiMi naona Kama sielewi Hapa eti kuwaingilia wanaume wenzie kinyume chama umbile sii wazungu ndyo wana penda sasa wanamshitaki naHilo ili iweje maana marecani ninchi ya mashoga 😡

  • @willymtnmsafi8875

    Same case Michael Jackson,r Kelly, and now p didy, ogopa freemason

  • @zaraally2295

    Mimi ni Justin sheddy Sasa twende kazi.😜😜😜

  • @ebengapierre8826

    Pesa zamasharti ndokazi yake iyo ajue km yy vile amekwisha ulmunati wanahanza kuchukua vitu vyao 🙆🙆🙆🙆😭😭😭 ndosababu mtu kua n'a utajiri kutoka kwa mungu mahana ahuna mazara wala masharti ni wewe utihi sheria yake tu 💪💪💪💪 Jéhovah asifiwe

  • @newbornhaule

    Shetani mikataba yake si ya kudumu

  • @D_CLEFF_GOLDEN_VOICE

    My brother 🎉🎉🔥🔥🔥🔥

  • @ElisioVicente-ug4ov

    Izi kesi mbona za zamani sana wamechelewa kwenda makamani kwanini?

  • @aminatanzanya7475

    Daahh jamaa alivyo na tabia yake tofaut. Usher pia kamtoa marinda

  • @TaarabChannel

    Kumbe didi ni Mauzinde.... Njooni na kwangu kwa umbea

  • @ndorobocarworks-dx4pf

    Diamond namwenzake si ndo waliendaga huko kwake vip lakini ?

  • @dijohbanks4312

    kumbe justin bieber na usher raymond hawana malinda

  • @tobadinamhegele8055

    Kweli moyo wa mtu kichaka.

  • @martinfrancis9808

    SAFI SANA JUSTIN HII NI HISTORIA NZUR

  • @MiriamAbdallah

    Twende kazi brother 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-hm6gh4vp8p

    Dah! Kumbe P.Diddy! Mwanamme wa Ovyoo Sanaaaaa!😏👎🏻

  • @user-uh6og9fj7b

    WEUSI TUNA NYANYASIKA SANAAA P DIDDY Anasumbua sana kwahela Alizo nazo wanataka kumushushatu hizo tumaa zakulawity mbna ndy zinatumika sana kwasanii weusi Michael Jackson nae hiii tumaa ilimukumba Daah mngu Atulinde😢😢😢😢

  • @ReginaErnest-cf6ji

    Mshenzi Huy jamaa khaa

  • @user-dt2zw2wm3z

    Doho kacheza na tupaki uyu jamaa kumbe kaz yake ndo hyo doho🥺🥺🥺

  • @guccij6236

    Ivi dem akisema muachane na hujawai kumla ila yeye kala hela zako unatakiwa kufanya nini😢