MiMi naona Kama sielewi Hapa eti kuwaingilia wanaume wenzie kinyume chama umbile sii wazungu ndyo wana penda sasa wanamshitaki naHilo ili iweje maana marecani ninchi ya mashoga 😡
Pesa zamasharti ndokazi yake iyo ajue km yy vile amekwisha ulmunati wanahanza kuchukua vitu vyao 🙆🙆🙆🙆😭😭😭 ndosababu mtu kua n'a utajiri kutoka kwa mungu mahana ahuna mazara wala masharti ni wewe utihi sheria yake tu 💪💪💪💪 Jéhovah asifiwe
Hongera sanaaa jastin🙏🏻🙏🏻🙏🏻👊🏻 kwa taarifa nzurii
MiMi naona Kama sielewi Hapa eti kuwaingilia wanaume wenzie kinyume chama umbile sii wazungu ndyo wana penda sasa wanamshitaki naHilo ili iweje maana marecani ninchi ya mashoga 😡
Same case Michael Jackson,r Kelly, and now p didy, ogopa freemason
Mimi ni Justin sheddy Sasa twende kazi.😜😜😜
Pesa zamasharti ndokazi yake iyo ajue km yy vile amekwisha ulmunati wanahanza kuchukua vitu vyao 🙆🙆🙆🙆😭😭😭 ndosababu mtu kua n'a utajiri kutoka kwa mungu mahana ahuna mazara wala masharti ni wewe utihi sheria yake tu 💪💪💪💪 Jéhovah asifiwe
Shetani mikataba yake si ya kudumu
My brother 🎉🎉🔥🔥🔥🔥
Izi kesi mbona za zamani sana wamechelewa kwenda makamani kwanini?
Daahh jamaa alivyo na tabia yake tofaut. Usher pia kamtoa marinda
Kumbe didi ni Mauzinde.... Njooni na kwangu kwa umbea
Diamond namwenzake si ndo waliendaga huko kwake vip lakini ?
kumbe justin bieber na usher raymond hawana malinda
Kweli moyo wa mtu kichaka.
SAFI SANA JUSTIN HII NI HISTORIA NZUR
Twende kazi brother 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah! Kumbe P.Diddy! Mwanamme wa Ovyoo Sanaaaaa!😏👎🏻
WEUSI TUNA NYANYASIKA SANAAA P DIDDY Anasumbua sana kwahela Alizo nazo wanataka kumushushatu hizo tumaa zakulawity mbna ndy zinatumika sana kwasanii weusi Michael Jackson nae hiii tumaa ilimukumba Daah mngu Atulinde😢😢😢😢
Mshenzi Huy jamaa khaa
Doho kacheza na tupaki uyu jamaa kumbe kaz yake ndo hyo doho🥺🥺🥺
Ivi dem akisema muachane na hujawai kumla ila yeye kala hela zako unatakiwa kufanya nini😢