Ila nyieee hiyo habal yakwanza kuhusu huyo dada na watoto mwanzo niliisikiliza mwaka 2021 kuwa alifanya surgery na watt wake kuwa tofauti hii ilimpelekea kuwa na mgogoro na mumewe hee😂😂😂 kumbe sio kweli ilikuwa tangazo nyie walah uongo unasambaaa zaidi na watu wengi kuamini kama mm niliamini bado nikasimullia wenginee hiki kisa nyieeeeee mungu mungu nisameheee ama kweli usitiee neno bila kuwa na uhakika😢😢😢😢😢😢😢pole dadat jaman ungekuwa mbali upande wa model jaman ❤❤❤❤
Mimi naitwa Justin shedi Sasa twende kazi...big up bro 🇰🇪
Ben ❤
Nime kuwa Wa kwanza naomba like🎉 zangu
We wacha 😂 mimi ndio wa kwanza
Za nini
Hizi likes watu uomba ni za nini? Nkt
Mnze huyo anapata kazi iliyokuwa dream yake kisha meme
Duuh tuwe makini na mitandao na picha zetu pia
Twende kazi
Safi sana
😂😂😂😂😂😂ila wanawake
👍👊✌️.
Ila nyieee hiyo habal yakwanza kuhusu huyo dada na watoto mwanzo niliisikiliza mwaka 2021 kuwa alifanya surgery na watt wake kuwa tofauti hii ilimpelekea kuwa na mgogoro na mumewe hee😂😂😂 kumbe sio kweli ilikuwa tangazo nyie walah uongo unasambaaa zaidi na watu wengi kuamini kama mm niliamini bado nikasimullia wenginee hiki kisa nyieeeeee mungu mungu nisameheee ama kweli usitiee neno bila kuwa na uhakika😢😢😢😢😢😢😢pole dadat jaman ungekuwa mbali upande wa model jaman ❤❤❤❤
Mm piaaa ety mume wake akamshitakiiii kwann alimdanganyaaa uhalisiaaa wa sura yakeee
@@mwanaidimussa we acha tu jaman dd ndoto zikaishia pale duuu mwenyezi mungu amuinuee tenaa