#49- WANAWAKE - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ต.ค. 2023
  • ตลก

ความคิดเห็น • 90

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 8 หลายเดือนก่อน +6

    Ebwana ndo mulemule nlimosema haya yote yapo sana saiv kwa jamii. Ujumbe mzur umefika. Nafkiri kuwe na filamu hasa nzima ya ujumbe huu. 🎉

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 8 หลายเดือนก่อน +9

    Leo nimewahi wa kwanza

  • @swabirabdulmajid
    @swabirabdulmajid 8 หลายเดือนก่อน +5

    Wa kwanza leo naomba like

  • @mohamededdi7527
    @mohamededdi7527 8 หลายเดือนก่อน +9

    Warda kama anataka Nusra tupo. Likes kwa Warda.

  • @adamjuma9672
    @adamjuma9672 8 หลายเดือนก่อน +7

    Wakwanza leo mie

  • @allyasaa2300
    @allyasaa2300 8 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂 hongera muuza genge😅

  • @HalimaAme-yu9ft
    @HalimaAme-yu9ft 8 หลายเดือนก่อน +5

    Wa kwaz Leo nipen like zang

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 8 หลายเดือนก่อน +6

    Hatupoi

  • @salumothman5277
    @salumothman5277 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kazi nzur

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 8 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani wanawake navitimbi kama kawaida 😂😂😂

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 8 หลายเดือนก่อน +4

    Big up , tumeona mabadliko yenu, hongereni sana

  • @masoudikikanzu9875
    @masoudikikanzu9875 8 หลายเดือนก่อน +3

    Dongo mwambie kake mau mm nina mtaka uyo mwanamke

  • @user-kd5jw9dw3p
    @user-kd5jw9dw3p 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri na tujitahid tusiyache mila zetu za kizanzibari katika mavazi ❤❤❤❤❤❤

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ma'shaallah Ma'shaallah nzuri kweli

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi nzuri maashaallah

  • @abdillahali836
    @abdillahali836 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hahahaha dongo talaka hizo hazipo

  • @umadisuleiman9167
    @umadisuleiman9167 8 หลายเดือนก่อน +4

    Wa nane leo😂

  • @mbaroukjumaali
    @mbaroukjumaali 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mafundisho mazuri sana. Hongereni Timu Mau

  • @zindukahi1947
    @zindukahi1947 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asant kazi mzur

  • @1czay
    @1czay 8 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂hamri limegeuka kaa❤❤

  • @abdillahali836
    @abdillahali836 8 หลายเดือนก่อน +3

    Hongereni sana team mau

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 8 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam alykum vipindi vizuri va anza vizuri walakin mwisho humalizika vibaya

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 5 หลายเดือนก่อน

    Wanawake wenzangu subra ina malipo usilazimishe ndoa rizki kama ipo ya kuolewa utaolewa t bora mtu akufate mwenyew anataka kuogez mke tena mwambie sitaki siri hawezi bc utafichwa km bangi mpk lini mwisho w siku ndo unaolewa ukiachwa tu

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 8 หลายเดือนก่อน +5

    shukran

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman9605 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kuna lugha ya picha tumeielewa wana fasihi tu , huyo dada aliyeitaka nusra kwa dongo amebeba BILINGANI mbili akiwa na maana kubwa sana , wezangu mliyomgundua MAU MPEMBA kuwa fasihi anaijua naomba like kama 200 tu

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 8 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂 ebwana we wacha kujikuta Nyangwine uyo alikua anatoka gengeni kwa dongo bana kununua bidhaa za mchuzi kisha akakaa pembeni akimsubiri Warda amalize kutumia, wacha kuhakiki fasta sn ivo😂

    • @ALIALI-es3eu
      @ALIALI-es3eu 8 หลายเดือนก่อน

      Asifikirie huko jamaa yngu

    • @hamzasuleiman9605
      @hamzasuleiman9605 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@ALIALI-es3euTatizo fasihi hamuijui nyinyi , hapo kila kitu kina maana yake , pili ktk kuhakiki kila mmoja ana uoni wake , Hivo hilo ni langu nawe utachagua lako KWISHA HABARI

    • @fifo262
      @fifo262 8 หลายเดือนก่อน

      Hhhhh hongera kwa kugundua kilichojificha

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 8 หลายเดือนก่อน +3

    MUNGU amesema tuishi nao kwa akili hawa viumbe

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 8 หลายเดือนก่อน

    Panga zamu hayo yapo sananaa tu

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 5 หลายเดือนก่อน

    Mng aninusuru kumfata mwanaume mwenyew eti nioe siri siwahi na nikae ujane miaka 10 akitaka kunioa mke w 2 bc sitak siri 🙌

  • @SaadIssa-mw4gh
    @SaadIssa-mw4gh 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi mambo zipo sana maishani mwetu

  • @mohamedmkojanimashaallah7712
    @mohamedmkojanimashaallah7712 8 หลายเดือนก่อน +3

    Dongo genge wataka liua

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 7 หลายเดือนก่อน

    Safii sana lkn umechelewa kutoa talaka

  • @hajijuma1761
    @hajijuma1761 8 หลายเดือนก่อน +2

    Well done

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 8 หลายเดือนก่อน

    Sapna mzuri sema kazidisha mkorogo.

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wanawake wanajua hawa sasa tunataka mtuengezee mda please

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kz nzr dongo❤❤

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 8 หลายเดือนก่อน +1

    hapo kwa sheria ya dini dongo ana makosa kukubali kuoa then asilale zamu.huyu mwanamke yupo juu ya mstar.ujumbe mashallah

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ndoa makubaliano. Akikubalia masharti imepita

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 8 หลายเดือนก่อน

      @@Suleimansalum ila makubaliano yasivuke sheria za allah

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 8 หลายเดือนก่อน

      @@Allybinamour sawa sawa. Na sheria yakusema ulale usiku kama umelala huku siku mbili na kule mbili iyo sio sheria inaingia kwenye makubaliano

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 8 หลายเดือนก่อน

      @@Suleimansalum ndio inaingia.ila huyu dada ndo anasema anataka zamu zake, na makubaliano yalifanyika kabla ya ndoa,mda ule huyu alikua hana haki il kwa sasa haki zote zinamstahikia.

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 8 หลายเดือนก่อน +1

    Samaki bila ya chambo 😂dongo hunakosa❤chombo hichooo

  • @user-wv1ro3ry2l
    @user-wv1ro3ry2l 5 หลายเดือนก่อน

    jmn hamjatoa move mpya

  • @officialhasboy
    @officialhasboy 8 หลายเดือนก่อน +4

    🎉🎉

  • @Abraahfx30
    @Abraahfx30 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nice❤❤❤❤

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 8 หลายเดือนก่อน +4

    ❤😊😊😊😊😊😊

  • @user-cd4ft3cy5w
    @user-cd4ft3cy5w 8 หลายเดือนก่อน +2

    Good job

  • @user-qo4mm8hl4u
    @user-qo4mm8hl4u 5 หลายเดือนก่อน

    Good Good 👍

  • @RashidAli-rn3ro
    @RashidAli-rn3ro 8 หลายเดือนก่อน +3

    Hhhhhhhh dongo katiliwa chambo kanasa

  • @Abuu230
    @Abuu230 8 หลายเดือนก่อน +2

    Naomb muendelezo wa hii imeishia vibay please muendelezo

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dongo hukuenda ht kibegi kidogo

  • @user-zy8my6st2z
    @user-zy8my6st2z 8 หลายเดือนก่อน

    Congratulations for good job

  • @AsaaKombo-xc4jw
    @AsaaKombo-xc4jw 8 หลายเดือนก่อน

    Mbon hamtoi nyengine

  • @babdaubabdaubabdau8992
    @babdaubabdaubabdau8992 8 หลายเดือนก่อน +2

    Dongo kazi unayo

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kumekucha

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 8 หลายเดือนก่อน +2

    Bado bibi wa Oman nae kama hana Nusra

  • @AbdulRaufAbrauf
    @AbdulRaufAbrauf 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sapna hongera ❤❤❤

  • @MaryamkhamisMarymaali-yl1ty
    @MaryamkhamisMarymaali-yl1ty 8 หลายเดือนก่อน

    Nakupend warda

  • @user-nk5bf7hj3q
    @user-nk5bf7hj3q 8 หลายเดือนก่อน +2

    yani nyie munanichekesha kweli

  • @abuumo9637
    @abuumo9637 2 หลายเดือนก่อน

    good

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 8 หลายเดือนก่อน

    Amakweli ndio ukaitwa dongo haliaminiki mara humong,onyoka😂😂😂

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 8 หลายเดือนก่อน +1

    Warda scenes za umbea anaziweza asaa ukiacha kua anajua ila umbea anauweza

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 8 หลายเดือนก่อน +2

    🏃🏃

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 8 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 8 หลายเดือนก่อน

    Hahahahaaaaa malizia usiku dongoo

  • @user-bh2bh7zx6m
    @user-bh2bh7zx6m 7 หลายเดือนก่อน

    waooo😅😅

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 8 หลายเดือนก่อน

    Hawa watoto wazuri mwawatoa wapii

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 8 หลายเดือนก่อน

    Heeee mbona umeishia vibayaaa

  • @user-xl4it5ev3g
    @user-xl4it5ev3g 8 หลายเดือนก่อน

    Hatimae msimu umemaliza 😢😢

  • @mohamedali-xc9ul
    @mohamedali-xc9ul 8 หลายเดือนก่อน

    **Mashaallah**

  • @zahramussa6674
    @zahramussa6674 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona kimya😣

  • @user-zg6hx6xi3x
    @user-zg6hx6xi3x 5 หลายเดือนก่อน

    Walikubaliana then imetokea mke kabadilisha makubaliano lazima atapewa talaka kama alivyoitisha

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @rokayaa3303
    @rokayaa3303 8 หลายเดือนก่อน

    Muendelezo pleas

  • @fifo262
    @fifo262 8 หลายเดือนก่อน

    Hhhhhhhhhh dongo kapatikana leooo

  • @user-ro5fc9ut8h
    @user-ro5fc9ut8h 4 หลายเดือนก่อน

    mi naomb namba za warda

  • @mussayusuph8661
    @mussayusuph8661 8 หลายเดือนก่อน +4

    Jamani mm nampenda sana huyu dada anaitwa warda . Naona nishakuwa chizi kwa ajili yake sijui keshaolewa. Mau Kama unasikia naomba lifanyie kazi

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kashampenda dongo huyo kwani huoni hapo? Na ww fungua genge sasa

    • @habibubinmoss72
      @habibubinmoss72 8 หลายเดือนก่อน +1

      tafta hella ww acha ujingaaa mke hatafutwi youtube

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@habibubinmoss72hapo sasa kaka hupo sahihi yaani

    • @thuwaybah5679
      @thuwaybah5679 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@habibubinmoss72😂😂😂

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 5 หลายเดือนก่อน

    Ye yu navituve

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu warda vp ashaolewa

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie munaendekeza akili za wanawake mana wanajifanya akili zao finyi unaowa akileta upuuzi unaacha wiki Tu.bora usingee muowa umepata ngekewa bora ungekuwa unapiga piga tu

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 8 หลายเดือนก่อน

      braza haya ni mafunzo so yachukulie kama mafunzo twende pazuri zaidi, naomba hyo comment yako lau utakua radhi uifute imeandikika vibaya huko mwisho na lengo ni mafunzo(piga piga tu)NO brother

  • @Hassanchora
    @Hassanchora 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzur