Mau mm naomba unijibu hili swali langu "hivi, ivo unavyotembea mguu una shida ama n ktk ubunifu wako tu ktk kuigiza?" By the way keep going kazi nzuri sana🎉
Makame sanaa bado kabisa , Naona majuhudi ya hali ya juu , Kama analazimisha kuchekesha watu , hemu act km wezako , papara la nini kijana ? Au kushazoea vile viclip vyako vya sekunde 20 ? Kama sanaa kaa pembeni ushirikiane na cc watizamaji kijana
Anatumua nguvu sana sijui niseme vipi aelewe il anajua mashaallah ,kweny kuchekesh mashaallah il michezo bado anafaa viclip vya kuchekesha tu na ukiangalia yumo yy unahis km si mchezo ivi
Mau kuna kijana.anashida na wewe anastori yake anahitaji akupe tayari ashaiyandika ila hajuwi akupate vp stori.tayari ashaiyandika na anatamani akupe wewe uweze kuifanyia kazi.vp atakupata jibu hii comment
Wa kwanzaaa❤❤😂😂😂 mnipe maua yng❤
Na mm wa kwanza
Wa kwanz like kwang
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Zawadi iyo jmn
Kama kawa kazi nzuri kutoka kwa ndugu zangu . Pemba is home land Daimaa 💪💪
Makame usiogope camera, unatumia nguvu kubwa kuigiza embu relux km dongo na Maulid
Mau mm naomba unijibu hili swali langu "hivi, ivo unavyotembea mguu una shida ama n ktk ubunifu wako tu ktk kuigiza?" By the way keep going kazi nzuri sana🎉
ni usanii tu huo. ni sharo ukikumbana nae njiani wala huamini
Tujifunze kushukuru jmn dongo kapayuka kumbe anasikiwa😂😂😂
Mau huvai viatu😁😁😁😁😁😁
Makame mwekeni sehemu anayofiti
Ni sehemu ya kuzungumza Kwa upole sana ndio anapendeza
Nawaomb like Zang wa kwaz leo
Wa kambini au chokocho au chwale??
Asalam a, laikum
shukran wadau kwa burdan
Makame sanaa bado kabisa , Naona majuhudi ya hali ya juu , Kama analazimisha kuchekesha watu , hemu act km wezako , papara la nini kijana ? Au kushazoea vile viclip vyako vya sekunde 20 ? Kama sanaa kaa pembeni ushirikiane na cc watizamaji kijana
Anatumua nguvu sana sijui niseme vipi aelewe il anajua mashaallah ,kweny kuchekesh mashaallah il michezo bado anafaa viclip vya kuchekesha tu na ukiangalia yumo yy unahis km si mchezo ivi
Naomba like jmn mm wa kwanza leo
Natamani kumuona dongo na kidundo lakinipia natamani kumuona mau na kachara tuboreshe tasnia
😂😂😂😂😂😂
Hatupoi
Mm wa mwanz nipen like zang
Kuna mtu atasema yeye wa mwanzo
😂
Muhogo dongo kabadilika kama kinyonga
Hmmm😂😂😂😂
Sapna upo vizuri.Mashallah
Kabisa she maulid maneno yako ❤
Well done
Dongo upo poa
Mau kuna kijana.anashida na wewe anastori yake anahitaji akupe tayari ashaiyandika ila hajuwi akupate vp stori.tayari ashaiyandika na anatamani akupe wewe uweze kuifanyia kazi.vp atakupata jibu hii comment
Duhh
Tupooooooo 🏃🏃
1🙄
❤❤❤😊😊😊😊
Jamani samahanini sana wasanii wetu naomba niulize maana ya Mau kuchechea mguu mi Kwa maoni yangu mbona sioni uhusiano wa kuchechea na usanii
Ubunifu tu huo nimzima uyo
Ila makame mpk useme kwa sana kama unatumia nguvu sana ,km una gomba vile hem zungumza kwa upole
Good job😊
Hicho kimolo kitimueni bhana hakijui sanaaa hta kdg
Zawadi kutoka Oman naombeni like zenu jmn😂
nice❤
Makame unafurahisha mpaka unakera
Dongo badilisha kanzu iyo
Dong huja owa tu ww mpak ss au una Kong
I like
Maashallah 😊😊😊