Mwinyi Mpeku na Kitatange _ ZAKAATUL - FITRI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 มิ.ย. 2018
- Mwinyi baada ya kupewa pesa na rafiki yake kwa ajili ya kutoa kwa mayatima na watu wasio jiweza Kitatange anamshauri vyengine
USISAHAU KU SUBSCRIBE,COMMENT,SHARE,LIKE ili uwe wa kwanza kupata Video zetu
Mashaallah sheh swadakta 👍
Wazanzibar maigizo yenu yanamafundisho raha kuangalia sio bongo muvi washenzitu
SHEIKH UMEMPA FUNGU MZEE MWINYI AMBALO SIO LAKE ,KUMBUKA HUYO SIO MFANYAKAZI ALIEPEWA KAZI NA BEITL-MAL ,KWA HIO HANA FUNGU KATIKA HILO LABDA ALIETOWA AWE KAMWAMBIA,HIO SIO MALI YA BEITL-MA KUMBUKA.
ALLAH ANAJUA ZAIDI.
Asanteni sana jufe film kwa mafundisho mazr
Mwnyi mpeku nawaelewa sana na huyo mwanao
Mashallah... Mzee mwinyi mpeku, kwa wawili na watoto 17...
Hapo kwenye moto😄😄😄😄😄
Tukiliingia jambo la dini tufanya mapitio kwanza ,wale watu wa aina 8 walotajwa sio wanaopata Mali ya mayatima .
aki nawapenda mie 😍😍
Maashallah tabaaraka llah
Mwinyi na Kitatange aaaaaaaa wavijiwaaaaa
Gooood 2024 3:56
jaazaallah heiry
Masha allah
Hahaha mashaallah shukran jazzak Allah khery
Nakubali kaz mwinyi na kikund chako
Uyoo ataka tupeleka kwa mungu
Good
❤❤❤
kazi nzuri assanteni.
hahahaha, kitatange usihonge diraaaaaaaaaaaa
Inaonesha!!!!Hujapata mshauri mzuri weeyeee !!!!!! Hizo pesa!!! Katafute mchele wa mapembe polo moja!!! elifu 50 elifu. 55 na kuku mmoja zinazobakia twazigawa!!!!!!
Yaani huyu et kila mtu ni yatima
Ngoja nipewe pesa weye
Babaaa naamie thina nguo za skukuu 😂😂😂😂😂😂
Uwiiii mbavu zanguuu 😂😂😂
MashAllah.. nzuri
Assalaamu alykum NDUGU yangu, kama bado hujasabscribe AZAIN TV tafadhali bonyeza linki HII ujionee KISHA chukua hatua. 👇🏿th-cam.com/video/LEDc7JxwsJg/w-d-xo.html
Duh yani mardadi sana
Hahaaha Raha Rahaa
Kitatange wee kw ushauri noma
Nice one
Kitatange ww izo pesa za ng,ombe muzile
hongereni
Jamani ile yakiringo iwapi
Kithathange Ata kuwafisha kwa mungu.... Hahahaaaa
Huyooo ataka tufisa kwa muungu tena
Hahaha Aet siutaki
Kitatange hee
Hahahah Et mzee mwinyi mpe yeye hizo pesa by kitatange
mpe yeye hizo pesa 😂😂😂
Moto wa sahiri hautaki😂😂😂😂
insha allah
Uyoo ataka tufisa kwa Mungu tena
Abdallah Hamad tena umemuona alivouchuna kitatange
Yusoboy_tz yeah
Assalaamu alykum NDUGU yangu, kama bado hujasabscribe AZAIN TV tafadhali bonyeza linki HII ujionee KISHA chukua hatua. 👇🏿th-cam.com/video/LEDc7JxwsJg/w-d-xo.html
Bado in yatima
hahahaha mze mwinyi moto Wa ssahir
Asumanima
Kashatufisa 🤣🤣
Etii Kanunuw Mapembe ndo nn
Majununu😂😂😂😂
message sent
oya vp
Kitatange si wa spot spot 😂
kitatange wataka honga tuuu
Napita njia tu mm
hatar kweli
🤣🤣🤣 mwanamke ashamuahidi dira 🤣🤣🤣 kitatange unajua kuhonga
Kweli na hiyo ndio raha ya kupenda
Asumanimu
Sina ta ndururu
usijifanye kumvaa kikofia na hicho kikanzu ukajiona ushehe unanjaa kama mie weye tena bora weye njaa kama mie
Hahaha
Inaelimisha kwa kwel Zenji raha
Nipa nishamuahidi ntu nke dira
ujumbe umefika
Assalaamu alykum NDUGU yangu, kama bado hujasabscribe AZAIN TV tafadhali bonyeza linki HII ujionee KISHA chukua hatua. 👇🏿th-cam.com/video/LEDc7JxwsJg/w-d-xo.html
2021
Hapo ulipo weye ni yatima
kama wapo wenye tabia hii waache,
Kitatanhe ana mawazo ya bajeti kbs ili wagawane hahahhahahhahaha shida😀😀😀😀😀😀😀
😂😂
Aya ilitaja mambo ya Zakka na sio Sio mali waliopewa mayatima na mtu
Hahahahahaha eti ckiliza weye ucjione kunvaa hicho kikazu na kikofia ukajina ushekh weye unanjaa km mie au kushinda mie 😀😀😀😂😂😂😃😃😃😃duh nimecheka sn pale kitatange aliposema uyo ataka tufisa kwa mungu ss 😃😃😃😃
Mambo
Yu K kitatange nma San uyu Jmaa eti mchle twauplka waa
Nna wake 2 na wtto 17
Mzee!!! Mwinyi skukuuu ishafika nami nishamuahidi mwanamke dira!!!! Sijui nifanye nini miee!!!!!!!!!😠😠😠
Hahahaa
😀😀
Kma huamin hya bas siburi ufe
Kwahivyo alivyoanza huyo mpe hata kilo4 huyo
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂mbavu zangu mieee huyo anata kutufikisha kwa Mungu
Mwinyi mpeku huna chako ww na sheikh wako bcz nyinyi hamkusanyi zakka na anaepata ni yule anaekusanya.
yy katumwa tu na wala hio mali haiotoki baitul mali, nyinyi chekesheni mambo mengine lkn sio dini.
Kama ni hivyo je anaesimamia hana fungu,? Elimu zenu izo jiangalieni
Nice
kwani wao si wako kwenye kuelimisha ? tunawajua watu wameletewa tende za ramadhani mara hii zimeuzwa? na kuna mtu namjua skukuu huchinjisha magombe wengi akajaza kwake kwenye mafreezer , kwa mamake , wanachukuwa fridge kwa jirani kwa nduguze wallah anajaza nyama . inatia uchungu ukiona kuna watu skukuu wamejinyonga na watoto ikisha mtu anafanya hivi tena misaada inakuja kwa balozi mdogo wa Oman naye ndio msimamizi na mpaka cash zinatolewa kajenga kigorofa .
Good
Hahaha
😂😂😂😂
😂
Assalaamu alykum NDUGU yangu, kama bado hujasabscribe AZAIN TV tafadhali bonyeza linki HII ujionee KISHA chukua hatua. 👇🏿th-cam.com/video/LEDc7JxwsJg/w-d-xo.html