HAYA NDIYO MATOKEO YA ROHO MTAKATIFU MAISHANI (SEH A)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 34

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante mchungaji kwa kutujali kwa kuyarusha haya mafundisho kwa TH-cam.Mungu akuzidishie zaidi ya Elisha

  • @musungushivachi5044
    @musungushivachi5044 ปีที่แล้ว +2

    Mtumishi nimeguzwa sana barikiwa.

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 9 หลายเดือนก่อน

    Unafundisha kwa mfano Kama yesu❤

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 ปีที่แล้ว

    Ameen ubarikiwe pasita kwa mafundisho manzur

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 4 ปีที่แล้ว

    Nashukuru Mungu kwa hili fundisho, mimi huwa naimba hadi kwa barabara, nimejua ni chakula cha roho, pastor Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏🙏👏👏👏

  • @jennysabina8696
    @jennysabina8696 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @hassanmathias3117
    @hassanmathias3117 4 ปีที่แล้ว +1

    Ameen

  • @happymbilinyi7564
    @happymbilinyi7564 4 ปีที่แล้ว +1

    Pastor Bwana Yesu apewe sifa mafundisho B ya matokeo ya roho mtakakatifu siyaoni au bado hayajarushwa

  • @mn9484
    @mn9484 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa sana mafundisho. Nikiyarudia napata fundisho mpya. Ilinibidi ni google nafsi kwa Kimombo ili nielewe vizuri. Mungu atubariki wote . Sabato Njema.

  • @georgekariuki8564
    @georgekariuki8564 3 ปีที่แล้ว

    Kitambu cha wale mitume wa yesu ambacho ulisimama utadika kuhusu mitume badu hakijakamilika umbalikiwe sana muchugaji na huku kwetu 🇰🇪 nahitaji kubatizwa

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 11 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana Pastor 🙏♥️

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @damchone9478
    @damchone9478 4 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe kwa mafundisho

  • @shijaamos4872
    @shijaamos4872 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaki

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana Paster Mbaga.

  • @marycheupe8613
    @marycheupe8613 4 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah

    • @mariamissamariam2634
      @mariamissamariam2634 4 ปีที่แล้ว

      Amina mchungaji Mungu aendelee kukutumia kwa kazi ya Baba wa Mbinguni na kutuaaidia kupitia kwako

    • @marycheupe8613
      @marycheupe8613 4 ปีที่แล้ว

      @@mariamissamariam2634 Ameen

    • @scolasticadamasi2343
      @scolasticadamasi2343 4 ปีที่แล้ว

      Baba mchungaji maombi yako baba maana mama angu na baba angu wanasumbuliwa na maroho machafu mtumishi wa Mungu tuombee 🙏🙏

  • @kusakabuga282
    @kusakabuga282 4 ปีที่แล้ว

    Amina nimebarikiwa sana na MUNGU MUUMBAJI WANGU

  • @mackynicky8278
    @mackynicky8278 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli tumekombolewa kwa nee ma, tumetolewa kwenye maisha ya utumwa

  • @claudinebatamuriza7804
    @claudinebatamuriza7804 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusamehe 🙏🙏🙏

  • @emmanuelmataba5997
    @emmanuelmataba5997 4 ปีที่แล้ว

    Be blessed pastor.

  • @jordanmashaka50
    @jordanmashaka50 4 ปีที่แล้ว +1

    Pastor hapo uliposema kuwa tuna Mungu mmoja ambapo katika uweza wake huyu Mungu ni Baba, ni Mwana na ni Roho Mtakatifu...ulimaanisha nini?
    Unaposema tuna Mungu ni mmoja tu...unamaanisha idadi? Yaani God is one entity... Au ushirikiano wa nafsi huru 3, yaani Baba, Mwana, Roho?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +2

      SIKIZA,EE ISRAELI;BWANA,MUNGU WETU,BWANA NDIYE MMOJA TORATI 6:4.
      HAKUNA MIUNGU WATATU,HUYO MUNGU MMOJA AMEKUWA AKIJIFUNUA HATUA KWA HATUA KWA VIUMBE WAKE,NDIO MAANA KATIKA MWANZO 1:26 ANAPOJITAJA ANAJITAJA KWA UWINGI,ANASEMA "NATUFANYE MTU" HAPO ANAONGEA NA YEYE MWENYEWE,ILA KWA VILE YEYE AMEJIFUNUA KWETU KWA NAFSI TATU YAANI BABA,MWANA NA ROHO MTAKATIFU,SIO WAUNGU WATATU,ILA NI MUNGU MMOJA MWENYE NAFSI TATU. INAKUWAJE HII? NI NGUMU KWA MWANADAM MWENYE NAFSI MOJA KUMUELEWA MUNGU MWENYE NAFSI TATU. NDIO SABABU KATIKA UKRISTO NA DINI NYINGINE,KUMEKUWA NA MJADALA MZITO SANA KUHUSU HILI. UKWELI NI KWAMBA AKIL ZETU HAZIWEZI KUELEWA VIZURI MAANA YEYE NI MKUU NA JUU KULIKO SISI. SOMA MAFUNGU KAMA YOHANA 1:1-2, YOHANA 10:30-33. HATA WAYAHUDI WALISHINDWA KUELEWA HILO. KWA KIFUPI,TUNA MUNGU MMOJA MWENYE NAFSI TATU.

    • @jordanmashaka50
      @jordanmashaka50 4 ปีที่แล้ว +1

      Hilo fungu ktk Deut 6:4 anaposema Mungu ni mmoja...tafsiri yake hasa ni nini? Wewe unaposema kuwa tunaye Mungu mmoja maana yake ni nini?
      Hizo nafsi 3 alizojifunua Mungu kwetu ni nafsi independent and distinct? Au una maana ya kuwa huyo huyo Baba ndiye Mwana na ndiye Roho? Yaani among the three persons...kila mmoja anaweza kuwa mwenzake, maana they are one in number, they have one personality?
      Je Mwana ni tofauti na Baba na Roho? Je Roho ni tofauti na Baba na Mwana? Je Baba ni tofauti na Mwana na Roho?

  • @rhodakemunto210
    @rhodakemunto210 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana kwa mafundisho

  • @zabronzabron679
    @zabronzabron679 4 ปีที่แล้ว

    Ameeen

  • @johntz8881
    @johntz8881 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @ellykibale190
    @ellykibale190 4 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na mafundisho, nasubiri sehemu B.

  • @janetameenembabazi5095
    @janetameenembabazi5095 4 ปีที่แล้ว

    Ameneee

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 ปีที่แล้ว

    Amen