Ni somo lilojengwa katika kitabu cha Mithali 6:16,Hubiri hili limeletwa kwako na Mch David Mbaga akiwa katika kanisa la Waadventista wa Sabato Kihesa Mkoani Iringa.
Pr naitwa issaya mungu akubariki sana mafundisho yako yamekomaza imani na ninaifanyiaa mazoezi imani kweli pr inaleta matokeo natumiaga fungu la mathayo 6...25 kweli kweli Jamaica tuifanyie imani mazoezi
Nikombali batena mimi nimeishi miaka mingi nikiwa kwenye madini haya yawa protestant ila tangu nimeanza kukufuata hapa nimebadilika saana na ninataka kupiga hatua nifuate mafunzo kanisani in 7days church cause I 've found the truth in that church through you
Umerudia pastor,ama ulikwa umesend ii massage,lakn n tamu sana,kiburi ni aibu kweli,naiyo methali umenisaidia sana kuwa kuna vitu 7,mungu anajukia be blessed
Asante sana mchungaji naangalia kutoka USA. Masomo yako yananisaidia sana kiusomaji upya wa biblia asante sana na Mungu akutunze na unatuunganisha na ndugu zetu KWA style ya mitandao hii naona ndugu zangu hapa akina Jumbura ASANTE SANA MWANA WA MUNGU
MUNGU. Anatupenda na mim imewai kunitokea iyo yakuongoza ckujua kwnn lakini kabla ya chochote ilikuwa lazima niwambie darasa tuombe ilifikia malecture wakazoea ikawa kama utaratibu wetu kila ck pia MUNGU alinibariki nikafaulu kwa 100%
Nahitaji MAOMBI, Niko katika shida, Mungu tu aniondolee hili jiwe kubwa liko mbele yangu.
Mungu akupe haja ya moyo wako
Mafundisho yko pr yamenibadilisha sana. Hapo nyuma Nlikuwa mwngine kabsa Lakni Masomo yko mengi yamenigusa na kunibadilisha mtazamo. Ashukuriwe Mungu..
Pr naitwa issaya mungu akubariki sana mafundisho yako yamekomaza imani na ninaifanyiaa mazoezi imani kweli pr inaleta matokeo natumiaga fungu la mathayo 6...25 kweli kweli Jamaica tuifanyie imani mazoezi
Ameen ni mungu tu atanipa uyenyekevu jameni mimi ni m Kenya niko Qatar
Mungu akubariki saaaana na akupe mwisho mzuri .kakweli maisha yangu yamebadilika kupitia wew kwkutuletea ujumbe wamungu
Ninanyenyekea mbele za Mungu anihurumie nakunisamehe mm mdhabi,nianze safari upya wa kiroho na kuenenda sawasawa na neno Lake Amina.
Pastor BWANA na akubariki zaidi,unatubadilisha mawazo na matendo yetu Kila siku tunapo kusikiliza.be blessed.
Nikombali batena mimi nimeishi miaka mingi nikiwa kwenye madini haya yawa protestant ila tangu nimeanza kukufuata hapa nimebadilika saana na ninataka kupiga hatua nifuate mafunzo kanisani in 7days church cause I 've found the truth in that church through you
Mariamu Atukuzwe be blessed.
Ee Mungu wangu Unihurumie Mimi mdhambi.
Ubarikiwe
Amina nimebalikiwa
Mungu asante kwa ujumbe huu ninyenyekeze zaid na zaidi,mbariki Mlefi baba
Pastor am blessed with your teachings
yunia Mombasa
Amen Amen
Amen mtumishi. Barikiwa kwa somo zuri MUNGU aondoshe kibur ndan ya mioyo yetu Amen.
Mungu atusaidie
Ni kweli pastor kiburi kime tunyima baraka kwa Mungu tuombee na uendelee kutufundisha unabariki sana be blessed ,Ruth omolo from kenya
Ubalikiwe sana
Hua ninakufuatilia kilasiku maana mahubiri haya yananibariki saana nakunibadilisha kiasi Mungu akubariki zaidi
Praise God, pastor , Mungu akubariki sana, mahubiri yako ni mapya kila siku 👏👏👏
Amen asante Yesu kwa uponyaji najutia sana kwa kua na kiburi asante Yesu maana umenisamehe
Umerudia pastor,ama ulikwa umesend ii massage,lakn n tamu sana,kiburi ni aibu kweli,naiyo methali umenisaidia sana kuwa kuna vitu 7,mungu anajukia be blessed
Judith Cheroto hii ni edited
Mahubiri Tv poa asanti
Pst tunakukaribisha Kenya mungu asidi kukupa nguvu ubarikiwe sana
Eddah Nyongesa Asante sana
Asante sana mchungaji naangalia kutoka USA. Masomo yako yananisaidia sana kiusomaji upya wa biblia asante sana na Mungu akutunze na unatuunganisha na ndugu zetu KWA style ya mitandao hii naona ndugu zangu hapa akina Jumbura ASANTE SANA MWANA WA MUNGU
Nangengekea eebwana nikihisi Hatia Moyoni kwa yalenilio tenda kinyume na maandiko yako. Jehovah nisamehe, naitaji uwepo wako uwe maishani mwangu, nisamehe flame wa ajabu
Eee Mungu nipe moyo wa unyenyekevu, nisikutafute wakati washida tu, pastor Mungu akubariki sana
Amen
Amina Mungu atusaidie tuimalize safali salama
Nielekeze namna ya kujua sauti ya mungu
Barikiwa sana Pr.Mmbaga
Ameeeeeen Kiburi haifai kwa wa Kristo
Amen
Nabarikiwa Sana kwa mahubiri yako Pr
Amen amen tuna balikiwa sana.
Amina baba barikiwa sana
Mariam Atukuzwe MUNGU AKUBALIKI SANA
Mchungaji mungu akubariki sana kwani kupitia injili yako nimepata ufunuo wa mambo nakufatilia nikiwa Saudi Arabia ubarikiwe
Mungu akubariki sana pastor
MUNGU. Anatupenda na mim imewai kunitokea iyo yakuongoza ckujua kwnn lakini kabla ya chochote ilikuwa lazima niwambie darasa tuombe ilifikia malecture wakazoea ikawa kama utaratibu wetu kila ck pia MUNGU alinibariki nikafaulu kwa 100%
nabarikiwa sana kupitia wewe
Nice
nabalikiwa sana Mtumish Nina shida kiloho naomba namba yako
Barikiwa sana myumishi wa Mungu.
Fred Makambo nice
Napokea pastor, though bibilia kwa kiswahili inanipita please!
Amen
Balikiwa mchungaji.