Mtumishi wa Mungu unaposema kunena kwa rugha sio kuomba katika Roho unamaanisha nini kuwa 1kor 14:14 Nikiomba kwa rugha roho yangu huomba. Kwa fungu hili unasemaje mbn huineni kweli ya Mungu inavyopaswa kunenwa kama hujawahi kukutana na nguvu za roho mtakatifu Mtakatifu Yesu vizuri utaelewa kwanini kunena kwa lugha ni kuomba katika roho
Mchungaji umenisaidia sana kwa vile nikiomba sikuwangi na maneno ya kusema hata sijawai maliza 10 min kwa maombi. Lakini nimepata jawabu. Barikiwa sana
mchungaji sisi ni watu ambao tunafuatilia mahubiri yako kwa ukaribu sanaa lakini ninaombi nakumbuka siku moja wakati unahubiri ulisema uliandaa chaneli ya mahubiri Tv ili tuachane na kufuatilia vitu ambavyo havifai vya kijinga lakini je unaonaje ukaandaa Group la wasap ambao litakuwa linatumika juu ya malezi yetu ya kiroho na tutakapo itaji ushauri kutoka kwako au tutakalo tumia kuuliza maswali magumu pale tutakapo shidwa kuelewa tunapo soma biblia please fikilia ivoo
HIvi pastor hili swala la meditation kwa mara ya kwanza nilisikia upagani, naomba kujua inaruhusiwa kutumiwa kanisani pia, na jee mipaka yake inakuaje maan kule upani wanasema kuna mpaka kufungua jicho la tatu. Naomba siku moja utoe elimu juu ya meditation asante wakati ukilifikilia hili ombi langu.
PHENIACE PAUL MEDITATION YA KIPAGANI NI HATARI SANA,INAKUINGIZA KATIKA IBADA YA SHETANI KIDOGO KIDOGO,WENGI HAWAJUI!! UNAFUNGUA AKILI YAKO KUTAWALIWA NA NGUVU NYINGINE,UKWELI NI KWAMBA SHETANI HANA JIPYA,ANACHUKUA VYA MUNGU ANAPOTOSHA,KAMA PALE EDENI ALIVYO BADILISHA. KUTAFAKARI NI JAMBO LA BIBLIA ILA ADUI AMEPOTOSHA. Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili kutafakari kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja. Ukipata kitabu changu cha siri ya maombi yaliyojibiwa nimeeleza kidogo. Hata hivyo nitaanda somo hilo Zaburi 104:34 Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Mimi nitamfurahia BWANA.
mm mara nyingi natumia zaburi 102 kila niingiapo kwenye sala na kunakipindi niliacha lakn siku moja nikiwa nime lala niliota ndoto ambayo inasema nisome zaburi 102 asubuh ile nashtuka tu nikasema acha niangalie hii zaburi inasemaje ndipo nikakuta ni ileile ambayo niliiacha ndipo nikajuwa kuwa kunauhusuano mkubwa kwenye hii zaburi kulingana na mahitaji yangu kwa MUNGU
Ninavitu vingi kujifunza nimeelewa sijamfahamu Mungu vizur,ninaamin hata kuomba sijui niakili yangu tu ndio inaomba sio roho
Mungu akubarik Zaid na Zaid mtumishi wa Mungu.
Amen
Amen ps. Barikiwa
Amina mtumishi wa Mungu
Kusema ukweli sijawai kunenea sadaka yangu . sikujuwa ni muhimu. Thanks pastor kwa somo hii. From Qatar
Pr Ubarikiweee sanaaa
Uyo ni mimi jamin maombi marefu adharani nimecheka mchungaji. Mungu akubariki
Nimebarikiwa nikiwa hapa saudi Arabia
Bwana akubariki
Hallelulia hili neno ni langu mtumishi 🇰🇪🇦🇪✊✊
I feel so much blessed
Barikiwa mtumishi WA MUNGU
Je Ni lazima kunena kwa ndime kama umejazwa na roho mtakatifu
Pr baraka zikuandame
Mtumishi wa Mungu unaposema kunena kwa rugha sio kuomba katika Roho unamaanisha nini kuwa 1kor 14:14 Nikiomba kwa rugha roho yangu huomba. Kwa fungu hili unasemaje mbn huineni kweli ya Mungu inavyopaswa kunenwa kama hujawahi kukutana na nguvu za roho mtakatifu Mtakatifu Yesu vizuri utaelewa kwanini kunena kwa lugha ni kuomba katika roho
Nimebarikiwa Sana , barikiwa pastor
Meditation nzur mno ,,,, ,,,barikiwa Sana Pr Mbaga.....
Mchungaji umenisaidia sana kwa vile nikiomba sikuwangi na maneno ya kusema hata sijawai maliza 10 min kwa maombi. Lakini nimepata jawabu. Barikiwa sana
Nmejifunza kuanzia leo
Ameen
Ubarikiwee sana
Inatukuta sanaa jamani Mungu nisaidie
Ninapotoa sadaka niongee rohoni. Nilijifunza hii kupitia Mchungaji nilipoanza kufatilia Mahubiri TV.
Mchungaji Mmbaga naomba kuongea na wewe, nakupata kwa namba ipi jamani!!
Mtafute Facebook lakini hapa huwezi pata jibu Lake
mchungaji sisi ni watu ambao tunafuatilia mahubiri yako kwa ukaribu sanaa lakini ninaombi nakumbuka siku moja wakati unahubiri ulisema uliandaa chaneli ya mahubiri Tv ili tuachane na kufuatilia vitu ambavyo havifai vya kijinga lakini je unaonaje ukaandaa Group la wasap ambao litakuwa linatumika juu ya malezi yetu ya kiroho na tutakapo itaji ushauri kutoka kwako au tutakalo tumia kuuliza maswali magumu pale tutakapo shidwa kuelewa tunapo soma biblia please fikilia ivoo
Steven Benson Mungu akubariki kwa wazo jema,kuna group la maombi tayari! Tuma number kwenye infomahubiritv@gmail.com
Pia mimi nahitaji kujiunga na hiyo group
@@MahubiriPrMmbaga pasta mungu akubariki Sana nakuombea
Pray for me pastor najisi ujungu ndani ya moyo wangu
MUNGU AKUPE AMANI,AKUFUNULIE NINI CHA KUFANYA
😂😂haswaa kuomba kwa akili jaman MUNGU nisaidie
HIvi pastor hili swala la meditation kwa mara ya kwanza nilisikia upagani, naomba kujua inaruhusiwa kutumiwa kanisani pia, na jee mipaka yake inakuaje maan kule upani wanasema kuna mpaka kufungua jicho la tatu. Naomba siku moja utoe elimu juu ya meditation asante wakati ukilifikilia hili ombi langu.
PHENIACE PAUL MEDITATION YA KIPAGANI NI HATARI SANA,INAKUINGIZA KATIKA IBADA YA SHETANI KIDOGO KIDOGO,WENGI HAWAJUI!! UNAFUNGUA AKILI YAKO KUTAWALIWA NA NGUVU NYINGINE,UKWELI NI KWAMBA SHETANI HANA JIPYA,ANACHUKUA VYA MUNGU ANAPOTOSHA,KAMA PALE EDENI ALIVYO BADILISHA. KUTAFAKARI NI JAMBO LA BIBLIA ILA ADUI AMEPOTOSHA. Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili kutafakari kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja.
Ukipata kitabu changu cha siri ya maombi yaliyojibiwa nimeeleza kidogo. Hata hivyo nitaanda somo hilo
Zaburi 104:34 Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Mimi nitamfurahia BWANA.
@@MahubiriPrMmbaga asante nimebalikiwa
Pasta naomba kuongea na wewe kwa simu
Anastazia Francis piga +255 755 932 283
mm mara nyingi natumia zaburi 102 kila niingiapo kwenye sala na kunakipindi niliacha lakn siku moja nikiwa nime lala niliota ndoto ambayo inasema nisome zaburi 102 asubuh ile nashtuka tu nikasema acha niangalie hii zaburi inasemaje ndipo nikakuta ni ileile ambayo niliiacha ndipo nikajuwa kuwa kunauhusuano mkubwa kwenye hii zaburi kulingana na mahitaji yangu kwa MUNGU
I want talk to you pasta pasta
Ali Baba email me at infomahubiritv@gmail.com or mahubirimbaga@gmail.com
Au piga +255 755 932 283
Helloo mutumishi wa mungu nisaidie na namba yako ya whatsap plz niko Dubai
Amen
Amen
Ame