KUOMBA KATIKA ROHO MTAKATIFU (SEH B)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • TAFADHALI ANGALIA SEHEM "A" YA SOMO HILI NDIPO UANGALIE SOMO HILI. KAMA HUJAANGALIA SEHEM "A" ANGALIA KWANZA,NDIPO UTAELEWA.

ความคิดเห็น • 46

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 ปีที่แล้ว +9

    Ninavitu vingi kujifunza nimeelewa sijamfahamu Mungu vizur,ninaamin hata kuomba sijui niakili yangu tu ndio inaomba sio roho

  • @upendowijengo310
    @upendowijengo310 ปีที่แล้ว

    Mungu akubarik Zaid na Zaid mtumishi wa Mungu.

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 7 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @SalomeMoturi
    @SalomeMoturi 25 วันที่ผ่านมา

    Amen ps. Barikiwa

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 7 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 ปีที่แล้ว +1

    Kusema ukweli sijawai kunenea sadaka yangu . sikujuwa ni muhimu. Thanks pastor kwa somo hii. From Qatar

  • @claracasto7615
    @claracasto7615 2 ปีที่แล้ว

    Pr Ubarikiweee sanaaa

  • @EsterKasimu-xy1su
    @EsterKasimu-xy1su ปีที่แล้ว

    Uyo ni mimi jamin maombi marefu adharani nimecheka mchungaji. Mungu akubariki

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 7 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa nikiwa hapa saudi Arabia

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 2 ปีที่แล้ว

    Bwana akubariki

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 4 ปีที่แล้ว

    Hallelulia hili neno ni langu mtumishi 🇰🇪🇦🇪✊✊

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 ปีที่แล้ว +1

    I feel so much blessed

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi WA MUNGU

  • @francismwakio7988
    @francismwakio7988 ปีที่แล้ว

    Je Ni lazima kunena kwa ndime kama umejazwa na roho mtakatifu

  • @nathanmhuli56
    @nathanmhuli56 ปีที่แล้ว

    Pr baraka zikuandame

  • @shijamsoma3147
    @shijamsoma3147 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi wa Mungu unaposema kunena kwa rugha sio kuomba katika Roho unamaanisha nini kuwa 1kor 14:14 Nikiomba kwa rugha roho yangu huomba. Kwa fungu hili unasemaje mbn huineni kweli ya Mungu inavyopaswa kunenwa kama hujawahi kukutana na nguvu za roho mtakatifu Mtakatifu Yesu vizuri utaelewa kwanini kunena kwa lugha ni kuomba katika roho

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 4 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa Sana , barikiwa pastor

  • @ajemwimodoro5680
    @ajemwimodoro5680 4 ปีที่แล้ว

    Meditation nzur mno ,,,, ,,,barikiwa Sana Pr Mbaga.....

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 ปีที่แล้ว

    Mchungaji umenisaidia sana kwa vile nikiomba sikuwangi na maneno ya kusema hata sijawai maliza 10 min kwa maombi. Lakini nimepata jawabu. Barikiwa sana

  • @patricejakanyadagi4069
    @patricejakanyadagi4069 4 ปีที่แล้ว +1

    Nmejifunza kuanzia leo

  • @raheemamkambha6013
    @raheemamkambha6013 4 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @bahatijohn4877
    @bahatijohn4877 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwee sana

  • @verynicemkaro7116
    @verynicemkaro7116 4 ปีที่แล้ว

    Inatukuta sanaa jamani Mungu nisaidie

  • @mn9484
    @mn9484 4 ปีที่แล้ว +3

    Ninapotoa sadaka niongee rohoni. Nilijifunza hii kupitia Mchungaji nilipoanza kufatilia Mahubiri TV.

  • @mackynicky8278
    @mackynicky8278 4 ปีที่แล้ว +8

    Mchungaji Mmbaga naomba kuongea na wewe, nakupata kwa namba ipi jamani!!

    • @rosemutinda3076
      @rosemutinda3076 4 ปีที่แล้ว

      Mtafute Facebook lakini hapa huwezi pata jibu Lake

  • @stevenbenson1499
    @stevenbenson1499 4 ปีที่แล้ว +7

    mchungaji sisi ni watu ambao tunafuatilia mahubiri yako kwa ukaribu sanaa lakini ninaombi nakumbuka siku moja wakati unahubiri ulisema uliandaa chaneli ya mahubiri Tv ili tuachane na kufuatilia vitu ambavyo havifai vya kijinga lakini je unaonaje ukaandaa Group la wasap ambao litakuwa linatumika juu ya malezi yetu ya kiroho na tutakapo itaji ushauri kutoka kwako au tutakalo tumia kuuliza maswali magumu pale tutakapo shidwa kuelewa tunapo soma biblia please fikilia ivoo

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +4

      Steven Benson Mungu akubariki kwa wazo jema,kuna group la maombi tayari! Tuma number kwenye infomahubiritv@gmail.com

    • @rosemutinda3076
      @rosemutinda3076 4 ปีที่แล้ว

      Pia mimi nahitaji kujiunga na hiyo group

    • @mishyalrawaili1139
      @mishyalrawaili1139 3 ปีที่แล้ว

      @@MahubiriPrMmbaga pasta mungu akubariki Sana nakuombea

  • @mwanawambeli7771
    @mwanawambeli7771 4 ปีที่แล้ว

    Pray for me pastor najisi ujungu ndani ya moyo wangu

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว

      MUNGU AKUPE AMANI,AKUFUNULIE NINI CHA KUFANYA

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 ปีที่แล้ว

    😂😂haswaa kuomba kwa akili jaman MUNGU nisaidie

  • @pheniacepaul277
    @pheniacepaul277 4 ปีที่แล้ว +1

    HIvi pastor hili swala la meditation kwa mara ya kwanza nilisikia upagani, naomba kujua inaruhusiwa kutumiwa kanisani pia, na jee mipaka yake inakuaje maan kule upani wanasema kuna mpaka kufungua jicho la tatu. Naomba siku moja utoe elimu juu ya meditation asante wakati ukilifikilia hili ombi langu.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +1

      PHENIACE PAUL MEDITATION YA KIPAGANI NI HATARI SANA,INAKUINGIZA KATIKA IBADA YA SHETANI KIDOGO KIDOGO,WENGI HAWAJUI!! UNAFUNGUA AKILI YAKO KUTAWALIWA NA NGUVU NYINGINE,UKWELI NI KWAMBA SHETANI HANA JIPYA,ANACHUKUA VYA MUNGU ANAPOTOSHA,KAMA PALE EDENI ALIVYO BADILISHA. KUTAFAKARI NI JAMBO LA BIBLIA ILA ADUI AMEPOTOSHA. Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili kutafakari kondeni wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja.
      Ukipata kitabu changu cha siri ya maombi yaliyojibiwa nimeeleza kidogo. Hata hivyo nitaanda somo hilo
      Zaburi 104:34 Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Mimi nitamfurahia BWANA.

    • @nelsonkyando3411
      @nelsonkyando3411 4 ปีที่แล้ว

      @@MahubiriPrMmbaga asante nimebalikiwa

  • @anastaziafrancis191
    @anastaziafrancis191 4 ปีที่แล้ว +2

    Pasta naomba kuongea na wewe kwa simu

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 4 ปีที่แล้ว +1

      Anastazia Francis piga +255 755 932 283

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 ปีที่แล้ว

    mm mara nyingi natumia zaburi 102 kila niingiapo kwenye sala na kunakipindi niliacha lakn siku moja nikiwa nime lala niliota ndoto ambayo inasema nisome zaburi 102 asubuh ile nashtuka tu nikasema acha niangalie hii zaburi inasemaje ndipo nikakuta ni ileile ambayo niliiacha ndipo nikajuwa kuwa kunauhusuano mkubwa kwenye hii zaburi kulingana na mahitaji yangu kwa MUNGU

  • @AliBaba-fv3rj
    @AliBaba-fv3rj 4 ปีที่แล้ว +1

    I want talk to you pasta pasta

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 4 ปีที่แล้ว +1

      Ali Baba email me at infomahubiritv@gmail.com or mahubirimbaga@gmail.com

    • @davidmmbaga3350
      @davidmmbaga3350 4 ปีที่แล้ว +1

      Au piga +255 755 932 283

    • @trihanah7725
      @trihanah7725 4 ปีที่แล้ว

      Helloo mutumishi wa mungu nisaidie na namba yako ya whatsap plz niko Dubai

  • @maureenjovial6237
    @maureenjovial6237 4 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 4 ปีที่แล้ว

    Amen