Umerithi nini? SIRI YA AJABU YA KIROHO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ส.ค. 2018

ความคิดเห็น • 42

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 ปีที่แล้ว

    Asante Pastor. Style yako inatusaidia kuvutiwa kusoma maandiko na kuelewa. Kweli ni muhimu kujichunguza sana ktk maisha yetu ya ukristo tunavuna baraka au laana. Mungu tusaidie.
    Pastor wangu Mungu akubariki

  • @titusmiruka9111
    @titusmiruka9111 3 ปีที่แล้ว +1

    Wow! so profound pr. Mbaga am so inspired saana kwaaaani nilikuwa waapi huu muda wooote ..... MUNGU AKUZIDISHIE DAIMA Indeeed PRAYER WORKS

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂nimecheka,nikapenda injili hii,na nikafikia kujifunza mambo kadhaa.asante sana mchungaji zidi kutubariki na kutuelimisha kupitia neno la mungu.na ubarikiwe sana...AMINA🙏

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante MUNGU kwa chakula cha roho.

  • @nyarkamrumbeayoma6886
    @nyarkamrumbeayoma6886 5 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji hekima yako siyo ya kawaida.
    Mungu akuinue maradufu.
    Listening from 🇺🇸

  • @getrudenabwayo4754
    @getrudenabwayo4754 ปีที่แล้ว

    I have never laughed such way yaani INJILI inaguzika mpaka ninahisi raha jameni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😀😀Be blessed PST 😀😀😀wakenya wenye mnafuatlia mafundisho ya PST Mubaka just wave him💪💪💪💪💪💕💕💕💕💕

  • @shideashidea5570
    @shideashidea5570 5 ปีที่แล้ว +1

    Haleluya ukimtumainia Mungu kuna faida

  • @wanjirualowa5520
    @wanjirualowa5520 5 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen barikiwa Kuhani wa Jehovah

  • @mauwashilunga4522
    @mauwashilunga4522 5 ปีที่แล้ว +2

    huwa na barikiwa sana pr na huduma yako mwenyez mungu akusimamie.

  • @gloriatoo22
    @gloriatoo22 3 ปีที่แล้ว

    Point taken...Amen

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 5 ปีที่แล้ว +2

    Amen Amen good message am blessed

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 5 ปีที่แล้ว

    Asanti pastor, nimeguzwa kwaiyo mafundisho yako,Amen

  • @nancypretty7576
    @nancypretty7576 5 ปีที่แล้ว

    Exactly sio kila kitu ni ya kusema sometimes we should jst talk it with God alone what a powerful message

  • @mariengatia
    @mariengatia 5 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen

  • @angel-y
    @angel-y 6 ปีที่แล้ว +1

    Amen. God bless you Pastor.

  • @hezekiamhapa7395
    @hezekiamhapa7395 6 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana pr mbaga unanibariki sana. Mungu azidi kukutumia zaidi na za zaidi

  • @fridaykwama7715
    @fridaykwama7715 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtu wa mungu.

  • @hassanmathias3117
    @hassanmathias3117 4 ปีที่แล้ว

    Moyo wangu umejaa matumaini kwa hubiri hili

  • @mariamuatukuzwe7504
    @mariamuatukuzwe7504 5 ปีที่แล้ว +1

    mchungaji barikiwa saana neno hili la mwana mke wa Tajiri limenibariki saana nimegundua kwamba mwana mke anaweza akawa tajiri

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje5046 6 ปีที่แล้ว

    Asaaaaanteeee Pr David Mmbaga

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 5 ปีที่แล้ว

    Somo zuri sana ,pastor naomba kufaham habar ya Lilith .

  • @paradiseforchildren1965
    @paradiseforchildren1965 4 ปีที่แล้ว

    Gehazi na Yuda Iscariot huwa wanafanana kwa tabia kabisa. Mungu atusamehe kweli nakutuhepusha na roho kama hizo...

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 5 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana MUNGU ni mwema
    Napenda sana sabato namwomba MUNGU anisaidie

  • @josephshidukiseni8758
    @josephshidukiseni8758 6 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe pr mmbaga!

  • @graceymaghema2753
    @graceymaghema2753 6 ปีที่แล้ว

    Amina nimepata funzo barikiwa

  • @jacquelinelinja5079
    @jacquelinelinja5079 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimebarikiwa sana na hili somo hakika MUNGU wetu n mtenda miujiza tu 😂😂nimecheka eti hawaitishag sukumawiki n ng'ombe, mbuz yan n neema ya Mungu tu ndio ituokoae

  • @mauwashilunga4522
    @mauwashilunga4522 5 ปีที่แล้ว +1

    hakika pr midomo yetu ndo imetulejesha nyuma kwani siri tunasema bayana tunaficha.

  • @hersonlawrence4279
    @hersonlawrence4279 6 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @josphinewanja9482
    @josphinewanja9482 6 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @mauwashilunga4522
    @mauwashilunga4522 5 ปีที่แล้ว

    kiukweli ujumbe wako ni wapekee san asante pr.

  • @elishuamarijo3478
    @elishuamarijo3478 6 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafundisho mazuri,barikiwa mchungaji

    • @shrooqsaid5857
      @shrooqsaid5857 6 ปีที่แล้ว

      Elishua Marijo Mmh kweli wasukuma tunaongoza kwa adabu na utii

    • @gadielmziray3043
      @gadielmziray3043 6 ปีที่แล้ว

      Elishua Marijo thnx pr

  • @wiza2309
    @wiza2309 6 ปีที่แล้ว +2

    Amen kwa mafundisho. Ila kauli ziwe za hekima

    • @hersonlawrence4279
      @hersonlawrence4279 6 ปีที่แล้ว +1

      Wiza Mushi ni kauli zipi zisizo za hekima? Anachokifanya mchungaji ni kutumia lugha isiyowavutia na kuvuta usikivu wa watu

    • @latinosilem9803
      @latinosilem9803 6 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe sana

    • @selestinealfonce8466
      @selestinealfonce8466 6 ปีที่แล้ว

      Wiza Mushi kivipi

  • @erickalexchengelela1938
    @erickalexchengelela1938 6 ปีที่แล้ว

    Pasta nilikua naomba namba zako. Ulipo kuwa ukonga sikupata nafasi ya kuongea nawe.

  • @barick
    @barick 6 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @maxmillianmturi1370
    @maxmillianmturi1370 6 ปีที่แล้ว

    Amen