MACHO (Kwaya ya uinjilisti Uvuke Kanisa Kuu Dododma)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 50

  • @StevenAnord
    @StevenAnord 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mpiga gitaa la soro, Mungu atakutendea mambo makuu usiyo yajua,ubarikiwe baba.

  • @venerandachacha6152
    @venerandachacha6152 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu ahsante kwa ajili ya mtumishi wako mtendee kama utakavyo.kuwa kipofu siyo kizuizi cha kutenda kazi ya Mungu.Mungu akutendee

  • @tuntufyemwakyolile6239
    @tuntufyemwakyolile6239 5 หลายเดือนก่อน

    Ndugu yangu Abel Mungu akubariki sana sana sana. Hongereni kwa wimbo mzuri sana.
    Nawapenda sana wana Uvuke. Mimi ni mfuasi wenu miaka yote.
    Mungu azidi kuwapandisha utukufu hadi utukufu. ....Tuntufye

  • @benjaminmwalugeni3646
    @benjaminmwalugeni3646 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awabariki. Wimbo mzuri na huu ndio uimbaji wa kwaya. Endeleeni kuwa kielelezo kwa kwaya zingine.

  • @magdalenajuma5923
    @magdalenajuma5923 ปีที่แล้ว

    Hakika hii nyimbo imenibarik sana,Mungu azidi kuwatumia watu Mungu ❤

  • @ISRAELZAKAYO-y7b
    @ISRAELZAKAYO-y7b 2 หลายเดือนก่อน

    Huu wimbo nimeupenda Sana hasa kuimbwa na mmoja wao alikuwa kipofu jaman pongezi sana

  • @samweldaudi545
    @samweldaudi545 2 ปีที่แล้ว +5

    Huu wimbo umenigusa sana nikimwangalia na solo wake yaani Mungu awabariki sana

  • @samilandoo
    @samilandoo 2 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mzuri sana sana sanaa. kila kitu kiko kwa kiwango cha hali ya juu. this is UVUKE I know.

  • @ZawadiMdawi
    @ZawadiMdawi 2 หลายเดือนก่อน

    Wimbo huu umenigusa hakika Mungu atupatie macho ya rohon

  • @JohnMaganga-lq5vh
    @JohnMaganga-lq5vh 2 หลายเดือนก่อน

    Mtunzi wa wimbo mungu akubariki amina

  • @festokanungha-ek5vu
    @festokanungha-ek5vu ปีที่แล้ว

    Hongera Sana uvuke mmenibariki Kwa wimbo mzuri Mungu awaongezee vipaji mpate kuihubiri injili takatifu.

  • @denisyohana2738
    @denisyohana2738 8 หลายเดือนก่อน

    Nice song, congratulations

  • @stevenmarios4381
    @stevenmarios4381 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakika ni kazi nzuri ya kumtuza Mungu mbarikiwe sana mno mnooo

  • @olivermwanjisi7261
    @olivermwanjisi7261 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana wapendwa. Nawapenda

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu akukumbuke mwimbishaji na unaimba kitu unacho kiishi.

  • @zephaniasenga8730
    @zephaniasenga8730 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Sana uvuke choir kwa nyimbo ya macho nzuri by Dr lupaa

  • @YUNISIBAHATI
    @YUNISIBAHATI 11 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda xana uvuke MUNGU awabaliki Kwa kazi nzuri

  • @emanuelmaleshi6849
    @emanuelmaleshi6849 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki saana kwa utumishi uliotukuka

  • @pendobaharia7227
    @pendobaharia7227 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwaya yangu pendwa mbarikiwe Toka enz za lisikien neno ❤️❤️

  • @mariamshamsi222
    @mariamshamsi222 2 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda mno

  • @godfreymsanya2726
    @godfreymsanya2726 ปีที่แล้ว

    Ni zaidi ya viwango vya kawaida Mungu awainue mpiga sollo gita umenipa kitu cha kujifunza

  • @Hidaya-f3q
    @Hidaya-f3q ปีที่แล้ว

    Mbalikiwe Sana wapendwa kwakweliiii

  • @AlessMakasi
    @AlessMakasi ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki Sana.

  • @ImeldaMagumba-ml8yo
    @ImeldaMagumba-ml8yo ปีที่แล้ว

    Mungu azidii kuwapa kibalii zaidi katika huduma yenu

  • @emmanuelbitungwa766
    @emmanuelbitungwa766 ปีที่แล้ว

    Daaaaaaaaaaaaahhhhh...nazidi kumshangaa huyu Muumbaji wa vitu vyote....NAMRUDISHIA SIFA NA UTUKUFU KWA HII KWAYA HASA HUYU SOLOLIST.....
    Hata mimi Bwana naomba kuona

  • @fredrickmtangoo5071
    @fredrickmtangoo5071 ปีที่แล้ว

    Amina.

  • @benardchinua1443
    @benardchinua1443 2 ปีที่แล้ว

    Hapa naona mbingu sasa. Nimefika. Baraka.

  • @PaschalStephen-o9d
    @PaschalStephen-o9d 7 หลายเดือนก่อน

    Ameni

  • @giriadbirusha7006
    @giriadbirusha7006 2 ปีที่แล้ว +1

    Tangu mje kututembelea pale Social Udom 2017, mimi nimekuwa mwanauvuke kiroho 🤣🤣🤣 ninawapenda sana, wimbo umenibariki sana moyoni. Salamu zangu sana kwa huyo baba mpiga solo, ametisha sana !!! natumai siku moja nitaimba pamoja na nyie live. Mungu awabariki sana kwaya yetu ya Uvuke 🙏

    • @masslubelej2637
      @masslubelej2637 2 ปีที่แล้ว

      Amen

    • @listergospelsongs3974
      @listergospelsongs3974 2 ปีที่แล้ว

      Amina tunakushukuru sana tupo kwa hudua ya Mungu tupo tayari kuimba na wewe karibu sana

  • @janiendalila9172
    @janiendalila9172 2 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki nliposali kabisa kuu hapo nlibarikiwa sana and I will back again

  • @ommyfatuma3801
    @ommyfatuma3801 2 ปีที่แล้ว

    Mungu aibariki sana kwaya ya uvuke waendeleee kumtumikia mungu Alie hai

  • @patrickmaloba214
    @patrickmaloba214 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @ISRAELZAKAYO-y7b
    @ISRAELZAKAYO-y7b 2 หลายเดือนก่อน

    Ukweli huu wimbo Kila siku ninauangalia mara zaidi ya mara 8ukweli unanibariki Sana mtunzi anapaswa apate zawadi

  • @johnnyemba2748
    @johnnyemba2748 2 ปีที่แล้ว

    Mpo vizuri sana hongereni

  • @lazarovioleth730
    @lazarovioleth730 2 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana wana uvuke,Pia ninamuomba Mungu aendelee kuinua na kukukuza kila iitwapo leo kipawa cha Abel

  • @josephmonga2581
    @josephmonga2581 ปีที่แล้ว

    Mungu asifiwe. Niko RDC.

  • @paulkavansy4276
    @paulkavansy4276 2 ปีที่แล้ว

    Admini aje asome comment,na aseme AMEN au AHSANTE🤣

  • @georgemzuli3422
    @georgemzuli3422 2 ปีที่แล้ว

    Safiiii

  • @imaninziku5148
    @imaninziku5148 หลายเดือนก่อน

    Amen