Sauti zinasikika vzr yaani best live recording ever nasikia ya 1 mpka ya4 vyomba maridhawa sio kama madebe endeleeni kumtumikia Jehova me shabiki yenu toka nikiwa mdg naomba mrudie zile nyimbo kwa vyombo hvi zitabamba mnooooooooooo🔥🔥🔥
Tumaini kwaya...sijui kama mnaelewa upako mliobeba... Mungu afungue macho yenu.. The song is so glorious...full upako.. Hamna mbwembwe za kurukaruka mpaka jasho lakini upako unatoa machozi wasikilizaji
Ni raha sana kuwa na njozi na hasa Bwana Mungu anapoifanya real katika ulimwengu wa Nyama na damu. No words that can qualify the beauty of this song. Habakuki 2:2-3
My song for the week. Nimeona mama soloist kwa row ya pili. I love this timely song basi tuisukumee na kuisikiza hii nyimbo kabisa wapendwa.....Mungu awazidishie marudufu. Bado nakungoja Yesu...Huchelewi wala hubahatishi...Nakungoja Yesu wangu
Mungu awabariki huwa nabarikiwa na tungo za nyimbo zenu maaana nimekuwa mdau nyimbo zenu tangu nilipo wafahamu mwaka 1999 nilipo kuwa Moshi na nilipokuwa chuoni Arusha nilikuwa sikosi kila mlipokuwa mkiimba kanisani hata matamsha ya ukwata Mungu awabariki,Mtumishi Samwel kusamba na familia ya akina John wapigaji vyombo kinanda,bass gita 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
sasa naona amani kuendelea kumngoja YESU KRISTO kwa kutokuchoka kuomba, mmenipa haja ya moyo wapendwa wana wa JEHOVA. Nawapenda bureeeeeee, mbarikiwe na familia zenu
Jina lenu linasadifu mnayoimba hakika...since end of 90's.....TUMAINI SHANGILIENI... Nyimbo zenu zinatukumbusha Tumaini letu ni Kristo Yesu kila wakati hata tupitiapo magumu. Mungu aendelea kuwainulia vipawa na karama utunzi wenu uwe bora zaidi.
Nipe uvumilivu ninapoingojea njozi hii!!sichoki kurudia nyimbo hii Mbarikiwe watumishi Mzee wangu anaishi Mufindi alipokuja Arusha alitafuta kanisa mpk akaabu awaone tu Mbarikiwe Gari yake audio n za Tumaini tu🔥🔥🔥
Ninyi ni kwaya bora katika kumwabudu Mungu na kupeleka injili kwa njia ya uimbaji. Siku zote nimeona mkidhabiti ubora wa uimbaji wenu tangu album ya Duniani shangilieni 94 jama sijakosea. Mnastaajabisha kuona wanawake wote mnasolo,wanaume wengi wanasolo, wacheza vyombo wengi mno yaani mmeondokana na kiburi cha utegemezi kwa mtu mmoja. Hakika mmebarikiwa na Kwaya hii itafikisha hata karne kadhaa
Aisee mnajuwa kuimba ,mpo wengi mmependeza ,mnaonyesha ushirikiano wa kiuimbaji ,mnanibariki sanaa Tumaini nina miaka 55sijaona kwaya kama hiii.tupeni siri ya mafanikio
nidhamu, unyenyekevu, upendo, kiu na hamu ya kumtumikia Mungu kwa hakika naione kwenu tumaini kwaya ( Mungu aendelee kuwainua zaidi na zaidi na kuwafungulia milango iliyo mbele ) nawapenda sana.
Kazi nzuri sana watu wa MUNGU, Hakika MUNGU kavibariki vizazi vyote vya hii kwaya, tangu zamani nikiwa kijana mdogo nimekua nikiwasikiiliza na hata sasa bado mnaendelea kufanya vizuri. This was remakable performance especially content, voice and video quality to be precisely. May GOD bless you, your families, their children and their children..
Nawezaje kuzipata nyimbo zenu za kale kama zile za kwenye albam ya silaha ya ushindi.? Hakika nazipenda sana nyimbo zenu.hususani album ya silaha ya ushindi
me naitwa maiko kutoka dodom tanzania nimeaza kuwafatilia mda sana napenda sana nyimbo zenu na pia nawapenda na nyie pia MUNGU awabariki sana tumain kwaya ya arusha MUNGU awajaze ubunifu mwingine tena
Mimi in mpenzi mkubwa sana was kwaya hii,,Bonge la wimbo Njozi,,Kiwango bora na cha juu cha mpangilio wa muziki,,sauti tamu sana!,,Nawapenda saaana!,Mungu awabariki sana!
Wimbo mzuri sana. Vyombo vimepangiliwa vizuri vinapeana nafasi na waimbaji wamejaa vilivyo. uchezaji wa kistaarabu na sare zimewakaa vizuri. Hongereni sana kwa kazi hii kubwa.
AS ONE 4 GOD"S GLORY! May God richly bless you. I will pray for you and all brethren here. You are Bible blessed passing on it's truth in genuine praise. Jesus sang praises with His disciples at His last supper on earth before He was crucified. Psalms 113-118. God rewards faithful works. There is a crown in Heaven awaiting all who share the Gospel of Jesus Christ and a soul is saved. ( "THE GOSPEL SAVES" below) See 1 Thessalonians chapter 2:verse 19; Philippians chapter 4:verse 1. Another crown is awarded in Heaven to all who are ever ready for Christ's coming to call us and meet our Lord & Savior in the air (the Rapture) . The apostles and saints looked for Him in their time and their greeting to one another reflected it: "Maranatha" "HE COMES". Proofs: John chapter 14: verses 1-3; Titus chapter 2:verses 11-14; Rev. chapter 3:verse 10; Romans chapter 5:verse 9; 1 Thessalonians chapter 5:verse 9; The Crown: 1 Peter chapter 5:verse 4; 2 Timothy chapter 4:verse 8. This praise resounds across the earth the light of His truth awakens. "Jesus is Lord and only He saves". 2 Samuel chapter 22: Verse 50 "Therefore I will praise you, O Lord, out of the countries, and I will praise your name." There is no greater praise than the blessed truth of God's word of the glory of God. THE GOSPEL SAVES! God the Son (Jesus Christ) has given us the gospel to share with the world. Mark chapter 16: Verse 15: "And He said unto them, Go into all the world, and preach the gospel to every creature." How can anyone hear the "good" news? Romans chapter 10: verse 17 "Then faith comes from hearing and hearing by the word of God." Isaiah chapter 7: verse 14: "Therefore the LORD shall give you a sign; behold, a virgin shall conceive, and bear a son, and call His name Immanuel." Hebrew: עִמָּנוּאֵל, "God with us" in human flesh but without sin. The Savior of the world was born to die for our sins! He did so 33 years later. His terrible ordeal; body mutilated; blood poured out, finally died and was placed in a tomb and rose from the dead the 3rd day ! "HE IS RISEN" Matthew chapter 28: verse 6 Isaiah chapter 53: verse 5 "But he was wounded for our transgressions, he was bruised for our iniquities: the chastisement of our peace was upon him; and with his stripes we are healed. 6 All we like sheep have gone astray; we have turned every one to his own way; and the Lord hath laid on him the iniquity of us all." - IT IS FOUNDED UPON GOD'S LOVE FOR MAN AND WOMAN HE CREATED John chapter 3: Verse 16 "For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believes in him should not perish, but have everlasting life." "For all have sinned, and come short of the glory of God." Romans chapter 3: verse 23 " For the wages of sin is death; but the gift of God is eternal life through Jesus Christ our Lord." Romans chapter 6: verse 23 " Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man comes to the Father, but by me.."John chapter 14.verse 6 "1 Corinthians chapter 15: verse 3 "For I delivered unto you first of all that which I also received, how that Christ died for our sins according to the scriptures; 4 And that he was buried, and that he rose again the third day according to the scriptures:" THE PAYMENT BY HIS BLOOD FOR ALL SINS EVER! (the life is in the blood. He had to pay with His life) "And he is the propitiation for our sins: and not for ours only, but also for the sins of the whole world." 1 John chapter 2: verse 2 Romans chapter 5:verse 8 "But God demonstrates his love for us, in that while we were still sinners, Christ died for us. 9 Much more then, now justified by his blood, we will be saved from wrath through him." “For he (God) hath made him to be sin for us, who knew no sin; that we might be made the righteousness of God in him.” 2 Corinthians chapter 5:verse 21. " In whom we have redemption through his blood, the forgiveness of sins, according to the riches of his grace;." Ephesians chapter 1:verse 7 Matthew chapter 26:verse 28 "For this is my blood of the New Testament, which is shed for many for the remission of sins." (the life is in the blood. He had to pay with His life) "And according to the Law, one may almost say, all things are cleansed with blood, and without shedding of blood there is no forgiveness." Hebrews chapter 9:verse 22 BY GOD'S GRACE ALONE THROUGH FAITH ALONE IN JESUS CHRIST ALONE ARE WE SAVED (Not anything we do but believe the word of His truth !) Ephesians chapter 2:verse 8 "For by grace are ye saved through faith; and that not of yourselves: it is the gift of God: 9 not of works, lest any man should boast." Jesus died to pay the penalty for our sins and rescue us from eternal death. Because of Jesus' death on our behalf, all we have to do is believe in Him, trusting in His death and in the shedding of His blood as payment for our sins, as well as in His resurrection from the dead, and we will be saved! WHOSOEVER BELIEVES SHALL TESTIFY TO THE TRUTH Romans 10: 9 That if you shall confess with your mouth the Lord Jesus, and shall believe in your heart that God has raised him from the dead, you will be saved. 10 For with the heart man believes in righteousness; And a confession by mouth is given for salvation. 13 For whosoever shall call upon the name of the Lord shall be saved. TO DIE IS TO REJECT SALVATION IN JESUS CHRIST AND BE SEPARATE FROM GOD FOREVERMORE Salvation and forgiveness of sins is the blessing of anyone who believes in Jesus Christ as their Lord and Savior. Those who reject the free gift of salvation, see John chapter 3: verse 16 above, "perish", which means their sins are judged by God the Son and they suffer eternal separation from God and the family of God forever called the "second death". Revelation chapter 21: verse 8. THE SURE "PEACE" IN JESUS CHRIST "Therefore being justified by faith, we have peace with God through our Lord Jesus Christ". Romans chapter 5:verse 1
Tumaini kwaya, wimbo wenu huu toka kitabu cha nabii Habakuki 2:3 huwa unanipa tumaini kila mara niusikilizapo. Mbarikiwe sana na atukuzwe Mungu kwa ajili ya utume huo aliouweka ndani yenu.
I SAY.Nyombo nzuri mno.mpangilio wa vyombo na sauti ni mzuri saaana.Mungu awabariki,huwa mnaitia moyo sana katika kumsifu Mungu,You have been my mentor choir since 1999
Nipe uvumilivu moyoni, Hakika bado ninakungoja Yesu, wimbo mzuri sana mbarikiwe watu wa Mungu nawapenda sana
Sauti zinasikika vzr yaani best live recording ever nasikia ya 1 mpka ya4 vyomba maridhawa sio kama madebe endeleeni kumtumikia Jehova me shabiki yenu toka nikiwa mdg naomba mrudie zile nyimbo kwa vyombo hvi zitabamba mnooooooooooo🔥🔥🔥
@@TumainiShangilieniChoir Jesus is Lord
Annet
@@TumainiShangilieniChoir annet
@@TumainiShangilieniChoir rehema
N Cs
Amina,,!bado namgoja YESU
Hakikaaa nabarikiwa Sana na pia ninainuliwa Sana kiimani kila ninapousikiliza huu wimbo
Barikiweni mnooo waimbaji, Mungu wa mbinguni asiwaache
Amina
Nimekuwa nikisubir hii song sana
Wimbo mzuri sana Mungu aendelee kuwabariki watumishi wa Mungu.
Nipe uvumilivu moyon Yesu...♥️♥️♥️♥️💯💯💯💯💯
Mbarikiwe.watumishi.wa.Bwana.yesu.kazi.ni.nzuri♥️
Amen Amen, Mungu akubariki pia.
Kwaya ina utajiri wa vipaji hii! Tangu zamani na Mungu asiwapungukie daima
Haleluya, bado ninakungoja Yesu, Mungu awabariki sana Tumaini Shangilieni choir
mshikilie hilo wingu lisiondoke hapo!
Nawapenda sanaaa mi ni fance wenu tangu mdogooooo enz za dunia ni shangilien nawapenda sanaaaaaaaaa.bado nakungoja Yesu
Nabarikiwa sana na nyimbo zote za shangilieni,kwa kweli mko vizuri
Tumaini choir haijawahi kuniangusha tangu niwafahamu mwaka 1999. Mungu aendelee kuwainua katika uinjilishaji
St James...mungu anazidi kuwatumia. Kwajiwa tangu utotoni ni baraka kwangu
Nawapenda sana sana nyimbo nzuri sana Mungu aendelee kuwabariki
Hiyo nyimbo mumenifanya niisikilize muda wote ofisini. Kwaya bado iko vizuri sana, mwenyezi Mungu awabariki sana.
Tumaini kwaya...sijui kama mnaelewa upako mliobeba... Mungu afungue macho yenu..
The song is so glorious...full upako..
Hamna mbwembwe za kurukaruka mpaka jasho lakini upako unatoa machozi wasikilizaji
Amina Mungu awape unyenyekevu sana na kuzidi pia...
Hii nayo...🙆🙆 M barikiwe tu.. maono yangu hata yakikawia yatatimia tu.... Mwapatikana wapi?
Huu wimbo umebadili maisha yangu
Ni raha sana kuwa na njozi na hasa Bwana Mungu anapoifanya real katika ulimwengu wa Nyama na damu. No words that can qualify the beauty of this song. Habakuki 2:2-3
My song for the week. Nimeona mama soloist kwa row ya pili. I love this timely song basi tuisukumee na kuisikiza hii nyimbo kabisa wapendwa.....Mungu awazidishie marudufu. Bado nakungoja Yesu...Huchelewi wala hubahatishi...Nakungoja Yesu wangu
who is still listening to this on 11th May 2020? Bado nikungoja Yesu... wala sita choka
Mungu awabariki huwa nabarikiwa na tungo za nyimbo zenu maaana nimekuwa mdau nyimbo zenu tangu nilipo wafahamu mwaka 1999 nilipo kuwa Moshi na nilipokuwa chuoni Arusha nilikuwa sikosi kila mlipokuwa mkiimba kanisani hata matamsha ya ukwata Mungu awabariki,Mtumishi Samwel kusamba na familia ya akina John wapigaji vyombo kinanda,bass gita 🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Nyimbo nzuri sana,vyombo vimetulia na mmpendeza sana..Mungu awabariki sana.
Mmependeza Sana Na muziki uko vizuri pia sauti zimetulia vizuri mbarikiwe sana
sasa naona amani kuendelea kumngoja YESU KRISTO kwa kutokuchoka kuomba, mmenipa haja ya moyo wapendwa wana wa JEHOVA. Nawapenda bureeeeeee, mbarikiwe na familia zenu
Mungu nimwema unatiya faraja sana akika niujumbe mzur sana
@@TumainiShangilieniChoir amen
big up.
Mbarikiwe sana Tumaini Choir.... Nimekuwa nikikua na kuishi Kiimani tangu Enzi za Shangilieni. MUNGU awabariki...
Jina lenu linasadifu mnayoimba hakika...since end of 90's.....TUMAINI SHANGILIENI... Nyimbo zenu zinatukumbusha Tumaini letu ni Kristo Yesu kila wakati hata tupitiapo magumu. Mungu aendelea kuwainulia vipawa na karama utunzi wenu uwe bora zaidi.
Mungu awabariki kwa kazi nzuri ya kristo
Wimbo mzuri saana
Nipe uvumilivu ninapoingojea njozi hii!!sichoki kurudia nyimbo hii
Mbarikiwe watumishi
Mzee wangu anaishi Mufindi alipokuja Arusha alitafuta kanisa mpk akaabu awaone tu
Mbarikiwe
Gari yake audio n za Tumaini tu🔥🔥🔥
Ninajambolangu kwa Mungu bado nangaoja asanteni watumish kunitia moyo
Baaadooooo ninakungoja Yesu
Nipe uvumilivu moyoniiiii
Ijapokawia itatimiaaaa tuuuu
Nmefarijika kuwaona tena wote nami nasema bado nakungoja yesu nawapenda Sana tumaini kwaya
Kwaya festival hhaha kumbe mliunga safi
Nimekuwa mateka wa Tumaini shangilieni, nawapenda sana Mungu mwenyewe anajua. Muendelee kubarikiwa maana moyo wangu unabarikiwa sana na nyimbo zenu
Mungu akutunze na kukuonekania sana ndugu na rafiki yetu.
Hatimaye yaani duh nahisi kuwepo hapo karibu 🤣🤣🤣🤣Hallelulay
Ninyi ni kwaya bora katika kumwabudu Mungu na kupeleka injili kwa njia ya uimbaji. Siku zote nimeona mkidhabiti ubora wa uimbaji wenu tangu album ya Duniani shangilieni 94 jama sijakosea.
Mnastaajabisha kuona wanawake wote mnasolo,wanaume wengi wanasolo, wacheza vyombo wengi mno yaani mmeondokana na kiburi cha utegemezi kwa mtu mmoja. Hakika mmebarikiwa na Kwaya hii itafikisha hata karne kadhaa
Dunia shangilieni ilikuwa kabla ya mwaka 1994
My favorite choir hamjawai kukosea . Mzidi kubarikiwa . This one is lit 🔥
Amen 🙏🏽 watu wa Mungu
Mbarikiwe Wapendwa Mungu Awatie Nguvu,uwa nanunua bando Kwa ajir ya huu wimbo
jamani nakumbuka kuna wimbo unaitwa E bwana unirehemu ilikuwa albamu nzima sikumbuki jina lake
Ahadi zake ni kweli na amini kwa kweli neno lake halirudi bure mpaka litimizwe
Bado nakungoja Yesu nice song
Powerful powerful, Mungu azidi kuwainua Tumaini shangilieni choir, hakika mumeubariki moyo wangu 💖
Aisee mnajuwa kuimba ,mpo wengi mmependeza ,mnaonyesha ushirikiano wa kiuimbaji ,mnanibariki sanaa Tumaini nina miaka 55sijaona kwaya kama hiii.tupeni siri ya mafanikio
Kwaya Bora, endeleeni kufanya kazi ya MUNGU, malipo yenu ni makubwa kuliko mnavyofikiri,
Endeleeni kuvaa kwa stara ndipo heshima itabaki milele
Hatari wimbo mzuri saaana,bado nakungoja Yesu,Mungu awabariki
Sauti za kuvutia ninakungoja Yesu
Watumishi ikimpendeza mungu nitakuja kusali nanyi Apo kanisani kwenu mwezi wa 9 Mara ya mwisho kuona kazi yenu mwaka 1999 Niko mwanza
Hatimaye tha long waiting is over.... Haleluyah
nidhamu, unyenyekevu, upendo, kiu na hamu ya kumtumikia Mungu kwa hakika naione kwenu tumaini kwaya ( Mungu aendelee kuwainua zaidi na zaidi na kuwafungulia milango iliyo mbele ) nawapenda sana.
Amen, nimebarikiwa sana na huu wimbo ,Mungu awabariki
Upako juu ya Upako, ❤️❤️❤️
Bado ninakungoja Yesu !!!!!
Mungu awabariki sn kwa kazi nzuri msirudi nyuma Mungu azidi kuwainua utukufu hadi utukufu
Mungu awabariki sana...wimbo huu ni baraka kweli. Mmpendeza sana na vyombo hakika vimetulia. Nawapenda Tumaini Choir❤
Amen
Wonderful song Nawependa sana sana nabarikiwa sana na Nyimbo zenu Mungu awainue viwango vingine
Hakika imetoka vizuri!Mungu ibariki sana kwaya yetu
Kazi nzuri sana watu wa MUNGU, Hakika MUNGU kavibariki vizazi vyote vya hii kwaya, tangu zamani nikiwa kijana mdogo nimekua nikiwasikiiliza na hata sasa bado mnaendelea kufanya vizuri.
This was remakable performance especially content, voice and video quality to be precisely.
May GOD bless you, your families, their children and their children..
MMMM wana Tumaini Shinyanga Mungu awabariki kwa wimbo huu mtamu ulio pangwa ukapangika.
Moja ya Kwaya bora Afrika Mashariki na kati... hamjawahi kuniangusha ktk nyimbo zenu toka album ya Mwana Mpotevu, Unishike,
Mungu awabariki sana uimbaji wenu ni mzuri na msg mnayoitoa inasikika vizuri
Nawezaje kuzipata nyimbo zenu za kale kama zile za kwenye albam ya silaha ya ushindi.? Hakika nazipenda sana nyimbo zenu.hususani album ya silaha ya ushindi
Tafadhali wasiliana na dukani kwa 0762862225
Management ya kwaya bado ipo vizuri
Toka nikiwa Mdogo sana nawasikia mnaimba katika utukufu uliotukuka sana mbarikiwe
Mungu awe pamoja nanyi. Mbarikiwe kwa kututia nguvu na uvumilivu
me naitwa maiko kutoka dodom tanzania nimeaza kuwafatilia mda sana napenda sana nyimbo zenu na pia nawapenda na nyie pia MUNGU awabariki sana tumain kwaya ya arusha MUNGU awajaze ubunifu mwingine tena
Tunashukuru sana kwa maombi yako Maiko; Nasi tunakuombea Mungu aendelee kukubariki sana.
Well done... Nimebarikiwa sana Mungu awainue zaid..
Hongerani sana,mmetubariki mno KKKT Kimara, asantee sana kwa ujio wenu,baraka za Mungu ziwe juu ya maisha yenu,mwimbo mzuri sana.
Habakuki 2, nami nitaendelea kukungoja Yesu, na njozi hii itakuja kwa wakati wake. Asanteni Tumaini kwa ujumbe na melody nzuri, mbarikiwe sana
Wimbo mzuri sanaaaa, mavazi ya stara. Hii ndio kuilinda Imani.
SHabiki wenu namba MOJA love you guys❤️❤️❤️
Ahadi zake ni kweli na amini kwa kweli neno lake halirudi bure mpaka litimizwe
Am Speechless..God blessing u abundantly❤❤@Tumaini shangilien
Mimi in mpenzi mkubwa sana was kwaya hii,,Bonge la wimbo Njozi,,Kiwango bora na cha juu cha mpangilio wa muziki,,sauti tamu sana!,,Nawapenda saaana!,Mungu awabariki sana!
M'BARIKIWE SANA WANA TUMAINI KWAYA.
Ninawapenda sana,Tumaini choir nyimbo zenu ni baraka kwangu,mbarikiwe
Amen Sana..,
Hakika bado Ninakungoja Bwana Yesu.
I'm still waiting you, Jesus Christ... Glory to God
Mbarikiwe sana watumishi..kazi njema Jehova azidi kutukuzwa..
Amen..Asifiwe Yesu
Baraka za Mungu ziwe pamoja nanyi katika huduma ya Bwana popote mliko mbarikiwe.
Nyimbo zenu ni nzuri sana, Mungu awasaidie ili mfike mbali zaidi
AMEN!!! Haleluya bado ninakungoja YESU
Naisubiri kwa hamu USB flash yangu!!!!!!
Mbarikiwe sana Shangilieni Tumaini Choir.
Mimi na familia yangu tunawaombea Tumaini Shangilieni Choir safari njema.
Mwenyezi Mungu awatangulie na awe ndiye Kiongozi wa safari.
CD ya huu wimbo inaitwaje?
huu wimbo unanihudumia sana
Mungu awabariki katika huduma ya kumtumikia...Njozi inahitaji uvumilivu....Bado ninakungoja Yesu..
Amen...
Nawakubari Sana mnanibariki
Wapendwa, mmekua mkinibariki toka enzi za part 1 ya Duniani Shangilieni. Mungu azidi kuwainua juu zaidi. Nimebarikiwa na wimbo huu kutoka Kenya 🇰🇪🙏
Mungu atuonekanie kwa wakati huu mgumu. Amina! 🙏
Ndugu zangu kweli mnajua kuimba nawafuatilia toka mwaka 1992 album ya shangilieni kazeni buti Yesu Yu karibu
Wimbo mzuri sana. Vyombo vimepangiliwa vizuri vinapeana nafasi na waimbaji wamejaa vilivyo. uchezaji wa kistaarabu na sare zimewakaa vizuri.
Hongereni sana kwa kazi hii kubwa.
Nyimbo tamu hadi mwili unasisimka hongereni sana
2022 bado tunaendelea kubarikiwa
Mungu awabariki Sana
Njozi nimaono ktk maisha yangu Kuna siku nitawashuhudia hapa
Mbarikiwe sana
L0
Mungu aibariki huduma yenu
We love your ministry. One day if the Lord wills we will do a song together 🙂🙂 God bless you. Bado Hapa Kenya Twamgoja Yesu.
I will. Thank you so much. GOD BLESS YOU
Mbarikiwe sana. Wimbo umenipa matumaini mapya
AS ONE 4 GOD"S GLORY! May God richly bless you. I will pray for you and all brethren here. You are Bible blessed passing on it's truth in genuine praise. Jesus sang praises with His disciples at His last supper on earth before He was crucified. Psalms 113-118. God rewards faithful works. There is a crown in Heaven awaiting all who share the Gospel of Jesus Christ and a soul is saved. ( "THE GOSPEL SAVES" below) See 1 Thessalonians chapter 2:verse 19; Philippians chapter 4:verse 1. Another crown is awarded in Heaven to all who are ever ready for Christ's coming to call us and meet our Lord & Savior in the air (the Rapture) . The apostles and saints looked for Him in their time and their greeting to one another reflected it: "Maranatha" "HE COMES". Proofs: John chapter 14: verses 1-3; Titus chapter 2:verses 11-14; Rev. chapter 3:verse 10; Romans chapter 5:verse 9; 1 Thessalonians chapter 5:verse 9; The Crown: 1 Peter chapter 5:verse 4; 2 Timothy chapter 4:verse 8.
This praise resounds across the earth the light of His truth awakens. "Jesus is Lord and only He saves".
2 Samuel chapter 22: Verse 50 "Therefore I will praise you, O Lord, out of the countries, and I will praise your name."
There is no greater praise than the blessed truth of God's word of the glory of God.
THE GOSPEL SAVES!
God the Son (Jesus Christ) has given us the gospel to share with the world.
Mark chapter 16: Verse 15: "And He said unto them, Go into all the world, and preach the gospel to every creature."
How can anyone hear the "good" news? Romans chapter 10: verse 17 "Then faith comes from hearing and hearing by the word of God."
Isaiah chapter 7: verse 14: "Therefore the LORD shall give you a sign; behold, a virgin shall conceive, and bear a son, and call His name Immanuel." Hebrew: עִמָּנוּאֵל, "God with us" in human flesh but without sin. The Savior of the world was born to die for our sins! He did so 33 years later. His terrible ordeal; body mutilated; blood poured out, finally died and was placed in a tomb and rose from the dead the 3rd day ! "HE IS RISEN" Matthew chapter 28: verse 6
Isaiah chapter 53: verse 5 "But he was wounded for our transgressions, he was bruised for our iniquities: the chastisement of our peace was upon him; and with his stripes we are healed. 6 All we like sheep have gone astray; we have turned every one to his own way; and the Lord hath laid on him the iniquity of us all." - IT IS FOUNDED UPON GOD'S LOVE FOR MAN AND WOMAN HE CREATED
John chapter 3: Verse 16 "For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believes in him should not perish, but have everlasting life."
"For all have sinned, and come short of the glory of God." Romans chapter 3: verse 23
" For the wages of sin is death; but the gift of God is eternal life through Jesus Christ our Lord." Romans chapter 6: verse 23
" Jesus saith unto him, I am the way, the truth, and the life: no man comes to the Father, but by me.."John chapter 14.verse 6
"1 Corinthians chapter 15: verse 3 "For I delivered unto you first of all that which I also received, how that Christ died for our sins according to the scriptures; 4 And that he was buried, and that he rose again the third day according to the scriptures:"
THE PAYMENT BY HIS BLOOD FOR ALL SINS EVER! (the life is in the blood. He had to pay with His life)
"And he is the propitiation for our sins: and not for ours only, but also for the sins of the whole world." 1 John chapter 2: verse 2
Romans chapter 5:verse 8 "But God demonstrates his love for us, in that while we were still sinners, Christ died for us. 9 Much more then, now justified by his blood, we will be saved from wrath through him."
“For he (God) hath made him to be sin for us, who knew no sin; that we might be made the righteousness of God in him.” 2 Corinthians chapter 5:verse 21.
" In whom we have redemption through his blood, the forgiveness of sins, according to the riches of his grace;." Ephesians chapter 1:verse 7
Matthew chapter 26:verse 28 "For this is my blood of the New Testament, which is shed for many for the remission of sins." (the life is in the blood. He had to pay with His life)
"And according to the Law, one may almost say, all things are cleansed with blood, and without shedding of blood there is no forgiveness." Hebrews chapter 9:verse 22
BY GOD'S GRACE ALONE THROUGH FAITH ALONE IN JESUS CHRIST ALONE ARE WE SAVED (Not anything we do but believe the word of His truth !)
Ephesians chapter 2:verse 8 "For by grace are ye saved through faith; and that not of yourselves: it is the gift of God: 9 not of works, lest any man should boast."
Jesus died to pay the penalty for our sins and rescue us from eternal death. Because of Jesus' death on our behalf, all we have to do is believe in Him, trusting in His death and in the shedding of His blood as payment for our sins, as well as in His resurrection from the dead, and we will be saved!
WHOSOEVER BELIEVES SHALL TESTIFY TO THE TRUTH
Romans 10:
9 That if you shall confess with your mouth the Lord Jesus, and shall believe in your heart that God has raised him from the dead, you will be saved.
10 For with the heart man believes in righteousness; And a confession by mouth is given for salvation.
13 For whosoever shall call upon the name of the Lord shall be saved.
TO DIE IS TO REJECT SALVATION IN JESUS CHRIST AND BE SEPARATE FROM GOD FOREVERMORE
Salvation and forgiveness of sins is the blessing of anyone who believes in Jesus Christ as their Lord and Savior. Those who reject the free gift of salvation, see John chapter 3: verse 16 above, "perish", which means their sins are judged by God the Son and they suffer eternal separation from God and the family of God forever called the "second death". Revelation chapter 21: verse 8.
THE SURE "PEACE" IN JESUS CHRIST
"Therefore being justified by faith, we have peace with God through our Lord Jesus Christ". Romans chapter 5:verse 1
Kazi nzuri watumishi.nimebarikiwa na huu wimbo
Tumaini kwaya, wimbo wenu huu toka kitabu cha nabii Habakuki 2:3 huwa unanipa tumaini kila mara niusikilizapo. Mbarikiwe sana na atukuzwe Mungu kwa ajili ya utume huo aliouweka ndani yenu.
My best choir of all time you are the best
Endeleeni kumtumikia Kristo Yesu kwa huduma yenu mnawavuta wengi kwa mwokozi wetu Yesu Kristo
Anointed singing..Very powerful
Wow❤ nmefurah kuwaona na wale waimbaj wa shangilieni ya zaman kuna mama ana dimpos kwny maiki apo doooh 😊you guys made my day❤❤❤❤❤
Always best singer's I love u moore
Be blessed Tumaini....
@@TumainiShangilieniChoir Amen
Nimependa mnavyotiana moyo katika kumtumikia Kristo Yesu
Amina. Nawaombea Mungu azidi kuwaweka pamoja na kuwainua kwenye huduma hii njema sana.
Hallelujah amen amen
I SAY.Nyombo nzuri mno.mpangilio wa vyombo na sauti ni mzuri saaana.Mungu awabariki,huwa mnaitia moyo sana katika kumsifu Mungu,You have been my mentor choir since 1999
Amen. Mungu awabariki na azidi kuwatumia kwa viwango vya juu. ujumbe umenibariki sana.
Katika list ya kwanya zangu bora za muda wote tumaini kwaya uvuke kwaya na upendo kwaya ya kalolen arusha