DC MTATIRO ALIFUNGA KANISA LINALODAIWA KUJIHUSISHA na UKUNGA KWA WANAKIJIJI - ATANGAZA UCHUNGUZI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- DC MTATIRO ALIFUNGA KANISA LINALODAIWA KUJIHUSISHA na UKUNGA KWA WANAKIJIJI - ATANGAZA UCHUNGUZI...
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Wakili Julius Mtatiro amelifunga kanisa la Church of God lililopo Kijiji cha Mendo Kata ya Ilola Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kutokana na tuhuma mbalimbali ikiwemo watumishi wa kanisa hilo kujihusisha na huduma ya Ukunga kanisani hapo.
Akizungumza na wananchi wa Kijiji hicho katika mkutano wa hadhara Mtatiro amesema Serikali inaendelea na uchunguzi kufuatia malalamiko ya wananchi juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na mtumishi wa Kanisa hilo ikiwemo mafundisho ya Imani ya kanisa hilo
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Mnaendelea Na uchunguzi gani ikiwa wananchi hawana elimu yqkutosha lugha yenyewe mtihani sidhan kama wanakuelewa Uko hapo unabwekabweka tu😏😏
Huyu mwandishi mbona hajabalansi stori mchungaji yupo apo lakini hatujasika majibu yake yamekatishwa.
Mkuu wa wilaya ana mihemko tu ni mpuuzi tu
Mchungaji mbona hajasikilizwa
We kijijini unataka mpaka tofali zipimwe kweli?
Wakristo wakati mwingine tusiwe wajinga tusiwe wajinga kupita kiasi HILI NI SHAMBULIO DHIDI YA UKRISTO
Hiyo ni Vita binadsi na huyo kiongozi kuna namna anakosa hekima ya kuongozu
Nyumba ngapi zinajengwa mtaani pasipo tofali kupimwa
Mnamuonea mchungaji?
Mchungaji usiogope, hayo mabaraza mtaitwa sana, imeandikwa ktk biblia, kama uko ktk haki usiogope.
Mkuu wa wilaya tatizo hutaki kujua una mihemko na kazi Fanya kazi ipasavyo
Iyo kitecknolgia tunaita kanisa AKA hospital 😅😂😂😂😂
Huyu mchungaji ana kosa kwanini we nyewe wasiende hospital
Huyu ana chuki na Ukristo tu ndio maana hataki kumsikiliza Mchungaji
Khaaaa. Hakuna hata mamlaka ya juu yake. Ujasiri huo unautoa wapi and was it necessary
Niseme ulie fungia kanisa unalako jambo sio bure ipo sheria naipo aki
Yaaani huyo Mzee hajui kiswahil😢 au ni mkimbizi
Mkuu wa wilaya sijamwelewa,
Ningekua karibu ningekuzindua kibao ufunguke
Washakuloga wewe uwezi mfukuza wewe
Mnamuonea
DC kalewa madaraka mpaka povu linamtoka
Mm muachenii uyo mchungajiii jamaniii
Huu ni mchezo dhidi ya kanisa tu
Mchungaji uwe na amani, kaa kimya uuone mkono wa Mungu ukikupigania.
Makanisa bwana nihatali matapeli kweli kweli
Usishiriki dhambi ya mtu mwingine msije mkaadhibiwa pamoja umeona mchungaji kapewa nafac ya kujieleza? Tena kaanza kusema Hakuna mafundisho hayo kanisani akakatwa asiendelee kusema HILI NI SHAMBULIO DHIDI YA UKRISTO.
Watu nao wamekuwa wajinga, kwanini ukajifungulie kanisani na taratibu unazijua? No bora hata angeenda kwa mkunga wa jadi kuliko huko kanisani
Hao waumini wana uelewa mdogo hawakumuelewa mchungaji
Mchungaji mnamuonea jamani
Duuh poleni sana hii Dunia inaelekea kubaya Aisee 😢😢😢
Mwenye mimba yake ni naniii??? MCHUNGAJIII NINI😅
Wewe mpumbavu kanisani ndiyo hospitari
Kama msukuma vile
Baba wa binti kabila lake ni msukuma ata hicho anaongea ni kisukuma
Wakristo wengi kwa sasa wana imani za mihemuko na wachungaji wa sasa wanachunga hela kwanza kabla kitu chochote
Badiliken
Me nahisi kwataratibu hizo zote alizomuwekea nahisi anataka kumdhurumu eneo lake
UJUMBE MAALUMU KWA MRATIRO.KUWA MWANGALIFU,HAKUNA KIONGOZI ALIYEBAKI SALAMA KWA KUCHEZA NA KANISA NA HASA KAMA LIPO KTK KWELI.TAARIFA HAIPO BALANCE NIWATAHADHARISHE WOTE.MUDA UTAONGEA KTK HILI MAJIBU MTAYAPATA HUKO HUKO MLIKO.WE CHEZA NA JUKWAA UTAKUJA NIKUMBUKA MZEE
Mkuu wa wilaya unajichanganya kwa MUNGU, haya bwana
ILA WASUKUMA BANA YAN MTU KAKULIA TZ AF HAJUI KISWAHIL
IVI WAPO WATANZANIA WASIOJUA KISWAHILI??HUYU MCHUNGAJI ASHITAKIWE NA KESI YA KUUA 😢😢😢
Huyo anayeongea kilugha siyo mtanzania
Msukuma huyo😂😂😂
Kwa nini kaongea kilugha?H😂😂😂@@khalfanothuman9988
Haya bwana😂😂@@khalfanothuman9988
Watoto wa Makonda wasukumqq
Umezungumza kiutu uzima well said
Labda ni ushirikina,anataka damu xa kafara,wachawi wana mbingu sana.
Hiyo mbona Bado mdogo hajuwi kiswahili
Hiyo mbona Bado mdogo hajuwi kiswahili
Funga uweke namba mlangoni ,Hilo sio kanisa
Manabii hawa wata tumaliza
Potapota😂😂,
🤣🤣🤣🤣
Kibara mpizani sawa sawa msariti mkubwa