EXCLUSIVE: JAKAYA KIKWETE / MAISHA Baada ya URAIS / BIASHARA BINAFSI / AFUNGUKA MENGI | GOOD MORNING

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 57

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee mimi huwa nampendaga sana,ni mtu wa kufurahi tu muda wote,sio mtu wa kujidai.Mzee Kikwete hoyoooo❤❤❤🎉🎉🎉🌹🌹

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mstaafu KIKWETE Bado tunakupenda sana Mwenyezi MUNGU Akuzidishie umri👍

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 3 หลายเดือนก่อน +2

    .mungu aendelee kukujahalia afya njema .The son of Africa.

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nampenda sana huyu Mzee JK, Mungu amlinde inshaallah

  • @nivesmapunda694
    @nivesmapunda694 5 หลายเดือนก่อน +5

    Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 5 หลายเดือนก่อน +1

    mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku

  • @jumambaga7825
    @jumambaga7825 5 หลายเดือนก่อน

    Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 5 หลายเดือนก่อน

    Jakaya ..always happier
    May Lord bless you mzee

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 5 หลายเดือนก่อน

      Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona

    • @adiaygo8546
      @adiaygo8546 5 หลายเดือนก่อน +2

      @@musa-v3f Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲

  • @yohanamaiga3031
    @yohanamaiga3031 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.

  • @ramadhanijuma4130
    @ramadhanijuma4130 5 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana interview inamafunzo mazuri

  • @jumambaga7825
    @jumambaga7825 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾

  • @ndonjelaurent3182
    @ndonjelaurent3182 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana

  • @jee9473
    @jee9473 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kufanya mahojiano na mtu kwenye televisheni ukiwa umevaa miwani ya jua kunaweza kuonekana kama ni kutokuwa na weledi ama kuwa kinyume cha maadili katika uandishi wa habari.

    • @EMMANUELNGWENDESHA
      @EMMANUELNGWENDESHA 7 วันที่ผ่านมา

      Huyo jamaa ni TIC kwahiyo miwani ni ya kiusalama zaidi

  • @sunyareh
    @sunyareh 4 หลายเดือนก่อน +2

    Samia Suluhu kamuuwa magufuli nimeona mpaka alivyo muuuwa, na Raisi kuondoka hapa haondoki mpaka aafe Raisi wa maisha ni Samia suluhu, Zainabu Laila.

    • @barakasimon2075
      @barakasimon2075 15 วันที่ผ่านมา

      Unaweza kutoa ushahidi huo mahakaman au Una lopoka tu 😂😂😂😂😂😂

  • @RogersMasamalo
    @RogersMasamalo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.

  • @gaudencekalyalya8721
    @gaudencekalyalya8721 5 หลายเดือนก่อน

    My greatest , tough President , Mungu aendelee kukupa afya njema , nakukubali sana!

  • @shadrackmijjinga9793
    @shadrackmijjinga9793 5 หลายเดือนก่อน

    Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏

  • @YusufSasamalo-uz4ii
    @YusufSasamalo-uz4ii 3 หลายเดือนก่อน

    Very charming old man

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤jakayaaa

  • @RahimKulwa
    @RahimKulwa 20 วันที่ผ่านมา

    Kinyo wa bunju@

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu 7 วันที่ผ่านมา

    Naomba kujua aina ya mbegu ya mahind hayo ya njano ya jk anapata wapi

  • @sunyareh
    @sunyareh 4 หลายเดือนก่อน

    Ni mchawi na ameenda Nigeria uchawi huu mkubwa ni wa Samia suluhu Hasan, Samia ni jina la mtoto wa Rafiki yangu mama yake anaitwa Juma,e, na Hasan ya baba yake ni jina la baba mmoja amefia UK na Korona, Suluhu itskuwa ya mtu mwingine hapa Tz. Na amesema anataka nyota yangu hawezii chukuwa mpaka nife ndiyo achukukuwe anataka kuuwa watoto wangu Kila siku.

  • @sunyareh
    @sunyareh 4 หลายเดือนก่อน

    Sanura siyo mama yake Diamond anamroga Diamond amenitoga Mimi vbaya sana,Mimi Zara Farah, na juwa Sanura vuzuri alitoka korogwe, kamuuwa mama yake Diamond na Baba yake, na ameniuliya wazazi wangu wote , na mpaka Sasa ananiandama na mchawi wa Diamond ni Sanura peke yake, Sanura anaitwa Mwantumu.

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt 3 หลายเดือนก่อน

    President HB

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 2 หลายเดือนก่อน

    Ingependeza kama ingeungwanishwa picha

  • @jofreykivambe6520
    @jofreykivambe6520 5 หลายเดือนก่อน +1

    JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....

  • @MININGARUGU
    @MININGARUGU 3 หลายเดือนก่อน

    Mzee wangu na kukubali sana.

  • @bonintajiri3958
    @bonintajiri3958 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki kiozi wetu

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 5 หลายเดือนก่อน +1

    Msoga

  • @RogersMasamalo
    @RogersMasamalo 5 หลายเดือนก่อน

    Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 5 หลายเดือนก่อน

    Shati zuri nyie,dah

  • @More_Tv111
    @More_Tv111 5 หลายเดือนก่อน

    Rais wetu mpendwa

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 4 หลายเดือนก่อน

    Raisi Bora kuwahi kutokea tz

  • @sunyareh
    @sunyareh 4 หลายเดือนก่อน

    Samia Suluhu anaitwa Zainabu na jina lake la pili anaitwa Laila

  • @jofreykivambe6520
    @jofreykivambe6520 5 หลายเดือนก่อน

    Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 2 หลายเดือนก่อน

    Umo ndani hiyo miwani ya Jua ya nini? Rais ana heshima yake.

  • @KasalamaAlly
    @KasalamaAlly 2 หลายเดือนก่อน

    JK bonge la rais awamu yake hatukusikia kutekwa mtu mungu amjaalie umri mrefu mtu wetu kwanza anapendeza

  • @matipukaAthumani
    @matipukaAthumani 5 หลายเดือนก่อน

    Rais bora kuwahi kutoa Tz

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 4 หลายเดือนก่อน

    Tulikula na kusaza aawaumu ya nne

  • @saidkajagale3716
    @saidkajagale3716 5 หลายเดือนก่อน

    Tutunze afya ni mtaji

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 5 หลายเดือนก่อน +1

    Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache

    • @EliaoleshengEa-pv8fu
      @EliaoleshengEa-pv8fu 5 หลายเดือนก่อน

      Mimi sijui maana ya d mbili sjasoma nisaidie kk

  • @musa-v3f
    @musa-v3f 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona

    • @barakasimon2075
      @barakasimon2075 15 วันที่ผ่านมา

      Muache wivuu wa kimasikini😂😂

  • @BarakaMwaikenda-ty1bt
    @BarakaMwaikenda-ty1bt 3 หลายเดือนก่อน

    Rais kipenzi

  • @fadhilimatumla7891
    @fadhilimatumla7891 20 วันที่ผ่านมา

    Mbn umuamkii