Uleaji wa Vifaranga wa Kienyeji - Usafi, Chakula na Kinga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Uleaji wa vifaranga wa kuku wa kienyeji.
Zoezi gumu kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji ni uleaji wa vifaranga, wafugaji wengi wanalalamika kupoteza vifaranga licha ya kuwapa chanjo zote.
Sababu kubwa zinazo sababisha vifo kwa vifaranga wa kienyeji ni....
1. Baridi
2. Chakula duni
3. Kutozingatia usafi wa chakula, maji na banda.
#uleajiwavifarangawakienyeji
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏Niko Burundi nagufata vizuri sana
Kaka,asante sana kwa masomo yako ki ukweli ume ni inspire sana na nmefuga kuku chotara nme pata matokeo chanya kwa hakika.Mungu akubariki sana👍
Djambo mimi na patikana Congo , nilitaka nipate formation ili ku juwa ufugaji wa kuku zaidi ila sijui namna gani na weza ku fanya ! Asante kwa misaada wenu!!
Naomba utuonyeshe jinsi ya kutengeneza makop ya maj
Mimi nimukulima mudogo tokea Kenya ninahitaji Thamostart W1209
Nondo sana hii
Tuko pamoja
Kaka hiyo Stata ya pireti inapatikanaje?
Ni kwann kifaranga huwa anakatwa mabawa
Sio lazima
Kwahio naweza kuwapa maji warm
Samahan mm naishi igunga ntapataje hiyo Dawa ya tatu moja
King vp kuhusu hii dawa ya tatu moja sijui ni nzuri?
Tatumoja ni chanjo sio dawa.
Binafsi nimeitumia sijaona shida
@@changamkiafursa inakinga magonjwa gani maana binafsi inanichanganya
Hii yakukata mbawa nn maana yake na unakata wakiwa na umri gani?
Nitaeleza utafiti ninaofanya ukikamilika
Nafuga kuku wapo ishilini na vifaranga kumi nachangamoto ya magonjwa kuku wangu wanakunya choo cha kijani cheusi na. Mautelezi pia huwa naona na langi nyekundu niwape dawa gani ili wapone
Wape Esb3 30%