Ramani zako nzuri sana ushauri wangu acha kutoa bajeti wewe hilo haliwezi kabisa tuachie watuu wa bajeti unavyo tanganya watuu unawaingiza matatizoni mafundi wanao enda kujenga nyumba hiyo wanakuwa nje ya bajeti yako na matajiri wengine wanashidwa kumalizia nyumba zao
Munajenga wenyewe kwa garama zenu mukimaliza ni wakabizi pesa yenu au munafanyaje na kama munajenga wenyewe kwa garama zenu mm naweza mleta msimamizi au
Kwanza anaelekeza vizuri sana nimependa,kunawengine wanakatisha hadi tamaa wakikupa hesabu,yani kaka unatoamaelekezo mtu anajihisi tayari kaisha jenga😂😂😂 kumbe hata kiwanja bado asante sana
NIMEPENDA UNAVYOSEMA BEI YA UJENZI VITU VINAVYOHITAJIKA MPAKA NYUMBA INAMALIZIKA NAOMBA ENDELEA KUTUFAHAMISHA..TUWEKEE NA BEI ZA VIWANJA NA SEHEMU VILIPO.. KAMA UNATAKA KUJENGA SEHEMU YA DUKA BEI ZAKE VIPI..
MKO VIZURI SANA...ILA SWALI LANGU NI MOJA TU..JE KUKOSEKANA KWA DINNING ROOm..#CHUMBA CHA CHAKULA..HII ILIKUWA NI OMBI LA MMILIKI ..AMA RAMANI TU IPO HIVYO..???
Nitakutafuta! Kazi nzuri sana👏👏👏
Kaka upo vizuri Sana nitakutafuta, ngoja nijichange
Jamani zanzibar ujenxu mgumu sanaaa me ntakutafuta nataka nijenge na huko dar
Aisee ni bonge moja la mjengo amazing sana maashallah ❤❤
Kazi yako ni zuri sana. Umesema hiyo nyumba imemarizika na pesa ngapi.
IMEMALIZIKA....NASIYO IMEMARIZIKA😂
@@khadi-z4o😂😂
Ok
Mashaallah pambe sana ❤❤❤
Wow nimependa masha Allah
Mashallah nyumba nzuri
In Kenya Shillings its Kshs.1,457,193 Hidden Roof looks so beautiful
Mashaallah
Kanyumba flani amazing
Mpo vizuri wazee
Kazi nzuri kk
Hbr kaka naomba nisaidie gharama ya fremu ya chumba kimoja,please!
Hii ramni jmni nzury walahi
Kazi Yako ninjema mungu akubaruki
Safi sana engineer
aisee nyumba ya vyumba 3 na choo cha public na seble jiko na stoo na choo cha public tuletee coast zake
Anatusave sana bhana
Ila watu tu elewe Kama vitu vinapanda bei kila siku.
Nabda kesho Kuba bei nyingine
Uko vizuri
Zuri mashallah
Ramani zako nzuri sana ushauri wangu acha kutoa bajeti wewe hilo haliwezi kabisa tuachie watuu wa bajeti unavyo tanganya watuu unawaingiza matatizoni mafundi wanao enda kujenga nyumba hiyo wanakuwa nje ya bajeti yako na matajiri wengine wanashidwa kumalizia nyumba zao
Kila mtu anakula na nguvu yake
Fungua page yako wewe ambayo haitatangaza bujet acha pangia watu maisha
Umenena vizuri sana...
Unawatia watu uoga wa kujenga nyumba kwa mibajeti yako mikubwa
Wizi huo huyu muaminifu anatoa bei halisi wacha atusanue ebooo
Mingetaka ramani...mnauza ngapi
Ujenzi unapishana bdget kulingana na wapi unajenga so tuipokee budget yake kulingana na maelezo yake
Ma Fundi bana sasa we 😅jichanganye utafute hizo million 23 uone Kama nyumba itaisha kwa hiyo bei
ishi kwa imani inawezekana
We tuonyeshe ramani
Huyo boss ni mshamba tu Kwa kijumba gani hicho cha kuwazuia kuonesha mwambieni aache ushamba
Hiyo bajeti iko sawa sema kwa sbb wewe ni mwinzi ndomana hutaki uwazi.
Kwann unasema mwizi? Wazi wake hapo upoje?
Pamoja kaka
Mfano kwetu huwezi pata tofari kwa 1000tsh labda ziwe za udongo pia huwezi pata rings kwa sh 200 labda ziwe za katani so budget itategemea
Shida nimatirio ndio yko juu.Lakini ujenzi uko poa.
Kwa nini za aina hii zinvuja sana
Hela yangu ya miaka miwil na nusu omani jamani sema majukum
Pambana unaweza wewee
nita kupata je?naishi Dr.congo
Mi natafuta fundi wakupaua hiyo nyumba yakuficha
Kanyumba kazuri jmn
Munajenga wenyewe kwa garama zenu mukimaliza ni wakabizi pesa yenu au munafanyaje na kama munajenga wenyewe kwa garama zenu mm naweza mleta msimamizi au
Hiyo nyumba ina squre meter ngapi?
Kwanza anaelekeza vizuri sana nimependa,kunawengine wanakatisha hadi tamaa wakikupa hesabu,yani kaka unatoamaelekezo mtu anajihisi tayari kaisha jenga😂😂😂 kumbe hata kiwanja bado asante sana
Hii ipo Dodoma veyule
Bro samahan nyumba ya vyumba vinne inaweza kucost sh ngapi?
ILA WATU DSM MNARAHA SANA, Huku mikoani tofali moja bila usafiri la inch tano ni 1300 mpaka 1400, so hapo angetenga 3.5M ya tofali na usafari
Njoo kaka huku kiwanja kukipata 😂😂😂
Sisi tunanunua 1000 tofali
Na nyie watu wa mikoani mna raha sana. Bei ya kiwanja ni ndogo mno! Popote ulipo pana raha na karaha zake ndugu
@@catherinemzurikwao3265 mikoa ipi hahaha kaskazin hapana
Inkwell iyoela ina tosha
Kaka nipo zambia nilikuwa naitaji lamani hii
Mbna bei za madilisha na milango uwa hamtaji ???
ikiwa vyumb vi3
Kuhusu madirisha na mirango ipo humo humo au maana sijaelewa nijulisheee
Eleza vizuli it bajenti unayo ielezea iyonisehemu hambayo hainaminuko sehemuyenye miinuko iyo bajenti inapita
Mimi niko moshi nyumba nimeshajenga iko kwenye lenta ila nilijenga kupaua mpauo ule mrefu kwenda juu ila nimependa kupaua hivyo itafaa ?
naktafuta sn whsp namba haipo nashindwa kupga kawaida tz gharama sn🤦
Milioni23?
Sorry bro,4 rooms inaenda bei gani??
Hiyo nyumba ikizidi sana 14
Iyo ramani bei ngapi plz
NIMEPENDA UNAVYOSEMA BEI YA UJENZI VITU VINAVYOHITAJIKA MPAKA NYUMBA INAMALIZIKA NAOMBA ENDELEA KUTUFAHAMISHA..TUWEKEE NA BEI ZA VIWANJA NA SEHEMU VILIPO.. KAMA UNATAKA KUJENGA SEHEMU YA DUKA BEI ZAKE VIPI..
Mbona hiyo video ya upande mmoja tu
MKO VIZURI SANA...ILA SWALI LANGU NI MOJA TU..JE KUKOSEKANA KWA DINNING ROOm..#CHUMBA CHA CHAKULA..HII ILIKUWA NI OMBI LA MMILIKI ..AMA RAMANI TU IPO HIVYO..???
Sio lazima
Ni mapenzi ya mwenye nyumba unaweza kuweka na pia unaweza usiweke, kwa sababu dining sio ya lazima.
@@happylynguya3464for sure menu hata sebuleni inaendelea tu
Kwa nini wapauaji wengi huu mtindo nyumba Huwa zinavuja
Inavujaa tenaa
Unawatumiaga wanafunzi
Kama ii mroo 3 na kiraki namanisha furu beigani
Ongea kiswahili
🤔🤔🤔
Hujataja kila kitu tilesaluminium skiming plumbing wiring gypsum haipungui 35m hiyo nyumba
Wewe ndio mwenye nyumba?
35 ni pesa ndogo kwa nyumba hiyo labda kama ujenzi wa kuto jali viwango
@@user-ol9vy7zn3z sio kweliii
Mwanangu naomba namimi nipo ZANZIBA nipo sirias kabisa
Zanzibar huwexi jenga kwa pesa hiyo matirio ghali sanaa
Poa
😮😮😮😮😅
0