Neno mama linamaana nyingi sana. Mama kapewa sehemu tatu na M.Mungu. Baba kapewa moja. Mimi nilijuwa kuwa Nchi kapewa mama wengi tutafarijika kwa huruma zake. Mungu akulinde na maadui na akulinde na kila baya. Actual is sign humanity no comment no argument. My eccept my solute mama Samia. Nakupenda sana. Naomba Mungu anikutanishe na wewe. Amiin.
Mama Samia ana moyo wa kipekee ni matajiri wangapi hata ndugu zao hawawasaidii. Mungu azidi kukulinda Mama Samia 🙏🏽🙏🏽 kwa hili uliofanya umenifurahisha sana
You touch our hearts, As poor people we have been suffer a lot in our own country......Doing such a thing make us feel valued God bless you madam president for this.
Hivi ndivyo Mungu hufanya ukifika wakati wa kukumbukwa.!! Sifa na utukufu kwa Mungu.Mungu akubariki Mama Samia,Mungu akulinde mtoto Hamimu.# KAMWE!!USIKATE TAMAA!
Hongera sana mama yetu mama Samia umefanya jukumu lako kama raisi umeweza kumtetea mtoto hiyu na kumfanya awe bora kama walivyo wengine mungu akusimamie katika kutenda majukumu yako nakupenda sana rais wangu ❤❤❤❤❤
Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassann amefanya jambo jema sana, lenye utu, ubinadamu na heshima kwa uamuzi wa kumjengea Nyumba Mtoto Hamimu Mustafa Balanyukwa. Mungu akubariki sana Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Kwa hili nimeamini ya kuwa Mungu ni wa watu wote,huwanyeshea mvua wema na wabaya na pia huwaangazia juu lake wema na wabaya!Mungu akubariki mh Rais,umeweka tabasamu kwa familia hii maskini
Mungu akubariki mama Samia. Libarikiwe tumbo ambalo ndani yake ulikaa miezi tisa wabalikiwe wazazi wako ambao walikulea Kwa malezi mazuri sana na mwisho nikushukuru Kwa kujari utu wa mtoto hamimu hakika mungu atakulipa Kwa mema yote unayoendelea kufanya
Rais wangu pokea maua yako huyu ndo Rais wa wanyonge nawaombea kwa MUNGU wote wenye vipato katika maisha mjitoe kusaidia wahitaji na wagonjwa badara ya kufanya anasa za kidunia huku wengine wanateseka
From DRCongo kwa hilo alilo lifanya Raisi Mama Samia Suluhu ni jambo la Ku mushukuru Mungu Na yeye Pia,anaonekana kuwa ana moyo Sana Na anae wajali wana inchi wake,maisha marefu Mama Samia ❤❤
Mashaallah mama mungu akulinde na kila shari hasada maradhi na hao laana wanao kufuata fata hasbiallah laana tullah mungu atawaangamiza wasifike popote
Nakushukuru sana Rais wetu mpendwa Mh. SSH kwa moyo na upendo huu upendo wa Agape. Ushauri watu wa namba hii wapo wengi Tanzania nzima tena hata zaidi ya huyo kijana wetu. Ikikupendeza pata wa namna hiyo angalau kila wilaya mmoja mmoja ili nao waupate utume wa Mungu kupitia kwango. Asante mama Mungu akuongoze akupe afya njema akulinde katika uongozi wako. Amina
Mungu akubariki sana Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan Raisi wetu. Mungu aendelee kustawisha ndani yako moyo wa upendo uliojaa huruma na unyenyekevu kwa masikini. Hongera sana Mama yetu uliojaa Umama.
Nyumba nzuri ushauri wangu kwa wale wazee au walezi wamtunzie mtoto maana nikiangalia hii nyumba inataka usafi wa hali ya juu ili iweze kupendeza na isijekua kinyume chake. Taizi na kuta zikawa hazitamaniki.
Yes! Kwa hili mama nipo na wewe na hongera sana! Haya matukio yanatakiwa yafanyike mengi kuliko hata kutoa mamilioni ya magoli, ikumbukwe mpira siyo Kila mtu unamgusa. Narudia tena hongera sana kiongozi Kwa hili. ❤
Hii ndio Raha ya kuwa na mama hasa mama mwema .Mungu akupe maisha marefu na akutangulie ktk majukumu yako mama yetu mh Rais Samia
Daaah sahiv Mpka Amepona,,,,,Mungu Akubariki mno Raisi wetu mzuri ❤️❤️❤️❤️
😢😢😢jmni naliaa Kwa furahaa wallah Allah amzidishiee mama etu
Unalala Maskini unaamka tajiri kwenye Maisha never give up 😅😅Allah amzidishie kheri Mama na barka na Kwa wanao mpiga vita Mungu awasogeze mbali 🎉🎉🎉🎉
Neno mama linamaana nyingi sana.
Mama kapewa sehemu tatu na M.Mungu. Baba kapewa moja.
Mimi nilijuwa kuwa Nchi kapewa mama wengi tutafarijika kwa huruma zake.
Mungu akulinde na maadui na akulinde na kila baya.
Actual is sign humanity no comment no argument.
My eccept my solute mama Samia.
Nakupenda sana. Naomba Mungu anikutanishe na wewe. Amiin.
Mungu akupe maisha malefu mama ni ngumu kuwafikia wote ila umeonyesha upendo wa juu
Mungu akubariki Rais Dr Samia, 👏👏 Nimeipenda ramani ya nyumba
Mungu ni mwema pongezi kwa mama yetu kipenzi cha watanzania ❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
Mama Samia ana moyo wa kipekee ni matajiri wangapi hata ndugu zao hawawasaidii. Mungu azidi kukulinda Mama Samia 🙏🏽🙏🏽 kwa hili uliofanya umenifurahisha sana
Amiin amiin
Aaamin aaamin aaamin
Amiina Rabbil A'alamiin, Alhamdulillah
hongera yanini akat kodi zetu izo?
@@jonijomk3107hjb jmn kaa mitanzania imell sn
Mashallah uwezi kuwafikia wote mmoja tu mungu a akubariki, Asante Dr rais wetu
Mashallha kwa hili tumpe mauwq yake raisi kwakweli Mungu amtupi mja wake nyumba nzuri mno
You touch our hearts, As poor people we have been suffer a lot in our own country......Doing such a thing make us feel valued God bless you madam president for this.
Hongera sana raisi wetu mpendwa una moyo wa pekee sana, Mwenyezi Mungu akulinde na apigane na wote wanaopigana nawe. Tunakupenda mheshimiwa raisi wetu
Allahumma aaamin
❤❤❤ hongera raisi wetu tunakupenda Sana wewe ni mama Bora hongera ni mfano mzuri kwetu mashallah Allah akupe Kila Aina ya kheri
Na hili lifanyeni lionekane baya maana munamfanya raisi wetu kua hana jema na jitihada zake munaziona kama hizi Mashallah
Hivi ndivyo Mungu hufanya ukifika wakati wa kukumbukwa.!! Sifa na utukufu kwa Mungu.Mungu akubariki Mama Samia,Mungu akulinde mtoto Hamimu.# KAMWE!!USIKATE TAMAA!
Kabisa MUngu hukumbuka kwa wakati unaofaa tusikate tamaaa
Ongera mama Allah akupe maisha marefu na tija
Wasikaloge sasa jamn wachawi wa bihalamlo mmeelewa...
Jazzakah llahu kheir Amirat Samia Suluhu Hassan🤲...kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi
Alafu anatokea mjinga flani na anamtusi President makini na Safi Madam Samia. Nakasirika sana
Hongera Mama Samia usichoke
Aise wanakera sana.Wajinga na majambazi madhulumati ndo wanamchukia Raisi
Mwenyenzi mungu azidi kukubariki uendelee na afya njema uzidi kiwasaidia na wengine mama Samia
Mashallwah mh rais samia mungu akulinde naakupe nguvu na afyaa ishallwah iwe nisababu yakuipata pepo
Asante mama kwa upendo mwenyezi mungu hatanyamaza kwa wema wako kwa wahitaji
Mashallah
Allah Amlinde mamaetu
Rais wetu❤
Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu amzidishie alipotoa Mheshimiwa Rais Samia.Kijana Hamimu anaakili sana. Anajua kujielezea.
Mungu awajalie wote walio shiriki kwa namna moja au nyingne kurejesha furaha na tumaini kwa mtot na familia nzma
Nyumba ni masha Allah Mungu awabariki wote
Mwenyeezi Mungu
Ampe Rais Dr. Samiha
Hassan umri mrefu ili
Azidi kuwasaidia wengine wenye shida
Palipo na uwezo.
Aameen...
Mama hongera piga kazi,hakuna aliye mkamilifu chini ya jua,binafsi nasema piga kazi na ukifanya kazi mkono utafika kinywani.
Mungu azidi kukulinda mama jambo hili ni la Baraka sana
Ma-shaa-llah 💕...Allah Barik Ms President Samia
Hongera sana mama Samia kwa hili Mungu akuzidishie afya njema napia kijana wetu naye Mungu amponye kabisa maradhi yake.
Hongera mama Allah atakulipa kwawem na imani aliyokup mungu hakika mung atakulip nakuweza kuwasaidia wengn weny uhitaji
Hongera san mama mungu akupe maisha marefu raha ya kuwa na mama watoto wanafurahia
Hapo ndugu wote watahamia,kama nawaona wanavyokimbizana kutaka kuhamia hapo😂😂😂😂😂
Mwenyezi Mungu akubariki sana mhe dkt SSH Rais wetu mpendwa.hakika upendo mkubwa
Mashallah ❤ Allah akulipe kheri rais wetu,hyo nyumba aandikwe Jina lake wasomzulum
Mama Mungu akubariki sana unaupendo na moyo wa uruma. ❤❤❤❤❤
Amaa kweli watoto ni hazina kubwa sana ndomaana kipindi nahitaji mtoto nliumia sana na sasa namshukuru mungu kunijalia watoto,
Hongera sana mama yetu mama Samia umefanya jukumu lako kama raisi umeweza kumtetea mtoto hiyu na kumfanya awe bora kama walivyo wengine mungu akusimamie katika kutenda majukumu yako nakupenda sana rais wangu ❤❤❤❤❤
Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassann amefanya jambo jema sana, lenye utu, ubinadamu na heshima kwa uamuzi wa kumjengea Nyumba Mtoto Hamimu Mustafa Balanyukwa.
Mungu akubariki sana Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Nzuri Sn Mungu Ambariki Mama❤❤❤
Mungu mbariki Rais wetu
Hongera mama Samia wewe ni mama na nusu🥰
Uchungu wa mwana aujuaye mama🙌🏾
Kwa hili nimeamini ya kuwa Mungu ni wa watu wote,huwanyeshea mvua wema na wabaya na pia huwaangazia juu lake wema na wabaya!Mungu akubariki mh Rais,umeweka tabasamu kwa familia hii maskini
Mungu akubariki mama Samia. Libarikiwe tumbo ambalo ndani yake ulikaa miezi tisa wabalikiwe wazazi wako ambao walikulea Kwa malezi mazuri sana na mwisho nikushukuru Kwa kujari utu wa mtoto hamimu hakika mungu atakulipa Kwa mema yote unayoendelea kufanya
Ila mkataba wa bandari haukubaliki! 🥴
@@j.c.maxima816 roho mbaya huwa haishindi hata siku moja.
Amiin
Mungu ambariki Rais Samia jmn
Rais wangu pokea maua yako huyu ndo Rais wa wanyonge nawaombea kwa MUNGU wote wenye vipato katika maisha mjitoe kusaidia wahitaji na wagonjwa badara ya kufanya anasa za kidunia huku wengine wanateseka
Mashalah mama Samia🙏
Mashallah ! M.mungu Akubariki sn mama Rais kwa kuguswa na hali za wananchi wako wasio na uwezo. Allah atakulipa ujira wako inshaallah 🤲
"Basi kisha muombeeni "Dua" ya kheri na baraka! Msimuangalie na jicho la uhasidi kwani ni majaliwa yake! Good job MUM!
MASHAALLAH MASHAALLAH :ALLAH azidi kukuogoza kwakila jia ya kheri mama SAMIA .ALLAH barik
Amin Thuma amin
Kwa hili mama kura yangu ushaichukua yan nakupa Asante sanaa mama samia
Saf sana rais wetu hongera sana
Hongera sana Mama Mungu akuzidishie na kukulinda na kila lilo baya
Hongera sana mama Samia natamani na mimi uniongezee hela kidogo nimalizie yakwangu
From DRCongo kwa hilo alilo lifanya Raisi Mama Samia Suluhu ni jambo la Ku mushukuru Mungu Na yeye Pia,anaonekana kuwa ana moyo Sana Na anae wajali wana inchi wake,maisha marefu Mama Samia ❤❤
Mashaallah mama mungu akulinde na kila shari hasada maradhi na hao laana wanao kufuata fata hasbiallah laana tullah mungu atawaangamiza wasifike popote
IAsante mama Mungu akuzidishie ulipotoa🙏
Nakushukuru sana Rais wetu mpendwa Mh. SSH kwa moyo na upendo huu upendo wa Agape. Ushauri watu wa namba hii wapo wengi Tanzania nzima tena hata zaidi ya huyo kijana wetu. Ikikupendeza pata wa namna hiyo angalau kila wilaya mmoja mmoja ili nao waupate utume wa Mungu kupitia kwango. Asante mama Mungu akuongoze akupe afya njema akulinde katika uongozi wako. Amina
Mama anaupiga mwingi👏👏👏
Mungu akulinde mama yetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassan
Hongera mama wa taifa la Tanzania umefundisha wengine utu wa kujali watu mola akuzidishie moyo huo wa huruma na akujaze jaza njema insha'Allah
Maashallah. Mama ni mama tu. Allah akuhifadhi. Amin
Nimefurahia mnoooo,jamani ,Mungu akulinde RAIS wetu Mheshimiwa SAMIA SULUHU HASSAN
Asante mama kwa hili tendo lahuruma ulilomfanyia huyu mtoto umenifunga mdomo hata bandari siongelei Tena keengele Mimi🤐🤐🤐
#Nimecheka tu.
Mungu ambariki mama kwa Jambo hili..! Wema Ni akiba
Bwana ambariki Rais wetu kwa kuvaa viatu vya Hamimu! Nimejikuta natokwa na machozi ya furaha ❤🎉🎉
Mungu akubariki mama samia akulinde hata kwa hayo mema unayoyafanya
Barikiwa Sana mh Rais wangu nakupenda na Mungu wa mbinguni akujalie maisha marefu Sana
😅😅😅😅eti, hatuachi kulia kilio kuhusu bandari, maana msiba ni mkubwa mno. Mashallah.
Mwenyezi Mungu mpe afya na umri mrefu Rais wetu SSH na wote wanao mshauri na kumsaidia majukumu yake
Mashallah alhamdulillah,allah akuhifashi samiha my love
Safi mama mungu akubariki kwa ku saidia mtoto
Mashallah Allah akupe pepo Rais samiya
Maraisi nikama hao wengine nikushidikisa tu raisi samiya mungu akutangulie ❤
Mashallah mungu akulinde mama na kila baya mama la watanzani na wageni
Alhamdulillah masha Allah nyumba nzuri hongera sana raisi wetu kwa huruma ya huyu mtoto
Haya ndiyo matendo ya huruma ambayo Mungu hupendezwa nayo ubarikiwe mama kwa ulichokitenda
Mungu ambariki raid na mtoto wetu pia
Tungekuwa tunaishi kwa kusaidiana hivi tungekuwa mbali wengine waige kwa Rais wetu
Hongera sana mama kwa kutimiza ahadi yako
Mama yangu Rais wangu, mungu akupe maisha marefu yasiokua na maradhi🙏❤️
Amin
Ee mwenyezi mungu mpe afya ukawe mlinzi wa rais wetu mama hasani Samia suruhu. Mama mwenye huruma mama mcha mungu. Mama mama mama. Nani kama mama.
Mungu akubariki sana Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan Raisi wetu. Mungu aendelee kustawisha ndani yako moyo wa upendo uliojaa huruma na unyenyekevu kwa masikini. Hongera sana Mama yetu uliojaa Umama.
Mama Samia Raisi wetu mpendwa! ufalme wa Mbinguni ni wako.
Hapa mama umetisha
Nyumba nzuri ushauri wangu kwa wale wazee au walezi wamtunzie mtoto maana nikiangalia hii nyumba inataka usafi wa hali ya juu ili iweze kupendeza na isijekua kinyume chake.
Taizi na kuta zikawa hazitamaniki.
Kwani unawaonaje wazazi wake 😂😂wanadamu mnanogwa
@@prettynayally2177
Sio nongwa ila kwa sisi ambao tupo kwenye field hii tunajua,sio kwamba nongwa.
@@hatibbaraka3956 field ya nn fata kilichokupeleka
hongera sana rais samia kwa kumfanya mtoto huyu kurudi katika tabasam lake
MashaaAllah tabaraka Allah
Mungu akulinde mama kutoka moz,,🇲🇿🙏
Raisi wetu anaonesha kabisa kuwa eye nikaka mwenye huduma,mungu akubariki mama yetu
Nani kama Mama jamani ,ubarikiwe sana na mungu Jemedari wetu Rais,Dk, Samia Suruhu Hassan
Mungu ambariki raisi wetu
Hongera kwako Madame President Kwa uungwana wako mkubwa!!
Jamani rais hatumii hela za kodi. Rais ana mshahara mkubwa. Ana allowance kibao. Kwa rais hilo ni jambo dogo la sadaka
Hata kama ! Hilo ulioliona wewe ndogo wengine hawafanyi. Kitokacho kwa mtu sikidogo. Alhmdullillah, Allah amfanye wepesi kila penye uzito.
This is great, may God bless her indeed
Itoshe kusema Mama nakushukuru Sana Kwa moyo wako ni wakipekee
Yes! Kwa hili mama nipo na wewe na hongera sana! Haya matukio yanatakiwa yafanyike mengi kuliko hata kutoa mamilioni ya magoli, ikumbukwe mpira siyo Kila mtu unamgusa. Narudia tena hongera sana kiongozi Kwa hili. ❤