UTAPENDA: NYUMBA YA KISASA RAIS SAMIA ALIYOMJENGEA MTOTO HUYU, AMBADILISHIA MAISHA, ATIBIWA BURE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2023

ความคิดเห็น • 507

  • @EdnaLugano
    @EdnaLugano 10 หลายเดือนก่อน +24

    Hii ndio Raha ya kuwa na mama hasa mama mwema .Mungu akupe maisha marefu na akutangulie ktk majukumu yako mama yetu mh Rais Samia

  • @marthasanga6740
    @marthasanga6740 10 หลายเดือนก่อน +15

    Daaah sahiv Mpka Amepona,,,,,Mungu Akubariki mno Raisi wetu mzuri ❤️❤️❤️❤️

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj 10 หลายเดือนก่อน +11

    😢😢😢jmni naliaa Kwa furahaa wallah Allah amzidishiee mama etu

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 10 หลายเดือนก่อน +12

    Unalala Maskini unaamka tajiri kwenye Maisha never give up 😅😅Allah amzidishie kheri Mama na barka na Kwa wanao mpiga vita Mungu awasogeze mbali 🎉🎉🎉🎉

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 10 หลายเดือนก่อน +3

    Neno mama linamaana nyingi sana.
    Mama kapewa sehemu tatu na M.Mungu. Baba kapewa moja.
    Mimi nilijuwa kuwa Nchi kapewa mama wengi tutafarijika kwa huruma zake.
    Mungu akulinde na maadui na akulinde na kila baya.
    Actual is sign humanity no comment no argument.
    My eccept my solute mama Samia.
    Nakupenda sana. Naomba Mungu anikutanishe na wewe. Amiin.

  • @mwambaD
    @mwambaD 10 หลายเดือนก่อน +18

    Mungu akupe maisha malefu mama ni ngumu kuwafikia wote ila umeonyesha upendo wa juu

  • @mkanamc8341
    @mkanamc8341 10 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akubariki Rais Dr Samia, 👏👏 Nimeipenda ramani ya nyumba

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 10 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu ni mwema pongezi kwa mama yetu kipenzi cha watanzania ❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 10 หลายเดือนก่อน +42

    Mama Samia ana moyo wa kipekee ni matajiri wangapi hata ndugu zao hawawasaidii. Mungu azidi kukulinda Mama Samia 🙏🏽🙏🏽 kwa hili uliofanya umenifurahisha sana

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 10 หลายเดือนก่อน

      Amiin amiin

    • @ummusumayya7845
      @ummusumayya7845 10 หลายเดือนก่อน +1

      Aaamin aaamin aaamin

    • @tausimpoma347
      @tausimpoma347 10 หลายเดือนก่อน

      Amiina Rabbil A'alamiin, Alhamdulillah

    • @jonijomk3107
      @jonijomk3107 10 หลายเดือนก่อน +1

      hongera yanini akat kodi zetu izo?

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@jonijomk3107hjb jmn kaa mitanzania imell sn

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mashallah uwezi kuwafikia wote mmoja tu mungu a akubariki, Asante Dr rais wetu

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallha kwa hili tumpe mauwq yake raisi kwakweli Mungu amtupi mja wake nyumba nzuri mno

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 10 หลายเดือนก่อน +12

    You touch our hearts, As poor people we have been suffer a lot in our own country......Doing such a thing make us feel valued God bless you madam president for this.

  • @isaactweve2114
    @isaactweve2114 10 หลายเดือนก่อน +37

    Hongera sana raisi wetu mpendwa una moyo wa pekee sana, Mwenyezi Mungu akulinde na apigane na wote wanaopigana nawe. Tunakupenda mheshimiwa raisi wetu

  • @talhiyaibrahim1074
    @talhiyaibrahim1074 10 หลายเดือนก่อน +12

    ❤❤❤ hongera raisi wetu tunakupenda Sana wewe ni mama Bora hongera ni mfano mzuri kwetu mashallah Allah akupe Kila Aina ya kheri

  • @khamisabdallah1618
    @khamisabdallah1618 10 หลายเดือนก่อน +3

    Na hili lifanyeni lionekane baya maana munamfanya raisi wetu kua hana jema na jitihada zake munaziona kama hizi Mashallah

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hivi ndivyo Mungu hufanya ukifika wakati wa kukumbukwa.!! Sifa na utukufu kwa Mungu.Mungu akubariki Mama Samia,Mungu akulinde mtoto Hamimu.# KAMWE!!USIKATE TAMAA!

    • @MiragorethLaswai
      @MiragorethLaswai 10 หลายเดือนก่อน

      Kabisa MUngu hukumbuka kwa wakati unaofaa tusikate tamaaa

  • @user-qw7un1nf2f
    @user-qw7un1nf2f 10 หลายเดือนก่อน +3

    Ongera mama Allah akupe maisha marefu na tija

  • @richardmasasi668
    @richardmasasi668 10 หลายเดือนก่อน +5

    Wasikaloge sasa jamn wachawi wa bihalamlo mmeelewa...

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jazzakah llahu kheir Amirat Samia Suluhu Hassan🤲...kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi

  • @humphreyjoseph1203
    @humphreyjoseph1203 10 หลายเดือนก่อน +2

    Alafu anatokea mjinga flani na anamtusi President makini na Safi Madam Samia. Nakasirika sana
    Hongera Mama Samia usichoke

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 10 หลายเดือนก่อน +1

      Aise wanakera sana.Wajinga na majambazi madhulumati ndo wanamchukia Raisi

  • @danielmungure
    @danielmungure 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mwenyenzi mungu azidi kukubariki uendelee na afya njema uzidi kiwasaidia na wengine mama Samia

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallwah mh rais samia mungu akulinde naakupe nguvu na afyaa ishallwah iwe nisababu yakuipata pepo

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asante mama kwa upendo mwenyezi mungu hatanyamaza kwa wema wako kwa wahitaji

  • @saniakhalfan1325
    @saniakhalfan1325 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah
    Allah Amlinde mamaetu
    Rais wetu❤

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim1989 10 หลายเดือนก่อน

    Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu amzidishie alipotoa Mheshimiwa Rais Samia.Kijana Hamimu anaakili sana. Anajua kujielezea.

  • @ericmellau3783
    @ericmellau3783 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu awajalie wote walio shiriki kwa namna moja au nyingne kurejesha furaha na tumaini kwa mtot na familia nzma

  • @aminasaleh7875
    @aminasaleh7875 10 หลายเดือนก่อน +6

    Nyumba ni masha Allah Mungu awabariki wote

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 7 หลายเดือนก่อน

    Mwenyeezi Mungu
    Ampe Rais Dr. Samiha
    Hassan umri mrefu ili
    Azidi kuwasaidia wengine wenye shida
    Palipo na uwezo.
    Aameen...

  • @paulosamwel9853
    @paulosamwel9853 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mama hongera piga kazi,hakuna aliye mkamilifu chini ya jua,binafsi nasema piga kazi na ukifanya kazi mkono utafika kinywani.

  • @jehovajonas9284
    @jehovajonas9284 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu azidi kukulinda mama jambo hili ni la Baraka sana

  • @rajabmohammed234
    @rajabmohammed234 10 หลายเดือนก่อน +7

    Ma-shaa-llah 💕...Allah Barik Ms President Samia

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana mama Samia kwa hili Mungu akuzidishie afya njema napia kijana wetu naye Mungu amponye kabisa maradhi yake.

  • @tatukarume6140
    @tatukarume6140 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mama Allah atakulipa kwawem na imani aliyokup mungu hakika mung atakulip nakuweza kuwasaidia wengn weny uhitaji

  • @KisikaAwili-tw4pe
    @KisikaAwili-tw4pe 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera san mama mungu akupe maisha marefu raha ya kuwa na mama watoto wanafurahia

  • @IsraelKisaila
    @IsraelKisaila 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo ndugu wote watahamia,kama nawaona wanavyokimbizana kutaka kuhamia hapo😂😂😂😂😂

  • @thomasdimme7899
    @thomasdimme7899 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi Mungu akubariki sana mhe dkt SSH Rais wetu mpendwa.hakika upendo mkubwa

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah ❤ Allah akulipe kheri rais wetu,hyo nyumba aandikwe Jina lake wasomzulum

  • @SelemanMuhamed-ir5zl
    @SelemanMuhamed-ir5zl 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Mungu akubariki sana unaupendo na moyo wa uruma. ❤❤❤❤❤

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 10 หลายเดือนก่อน +4

    Amaa kweli watoto ni hazina kubwa sana ndomaana kipindi nahitaji mtoto nliumia sana na sasa namshukuru mungu kunijalia watoto,

  • @user-ih9nd1yt8s
    @user-ih9nd1yt8s 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mama yetu mama Samia umefanya jukumu lako kama raisi umeweza kumtetea mtoto hiyu na kumfanya awe bora kama walivyo wengine mungu akusimamie katika kutenda majukumu yako nakupenda sana rais wangu ❤❤❤❤❤

  • @user-hw3cs1oo9m
    @user-hw3cs1oo9m 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassann amefanya jambo jema sana, lenye utu, ubinadamu na heshima kwa uamuzi wa kumjengea Nyumba Mtoto Hamimu Mustafa Balanyukwa.
    Mungu akubariki sana Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan.

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 9 หลายเดือนก่อน

    Nzuri Sn Mungu Ambariki Mama❤❤❤

  • @happycarloss6726
    @happycarloss6726 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu mbariki Rais wetu

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera mama Samia wewe ni mama na nusu🥰

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 10 หลายเดือนก่อน +2

    Uchungu wa mwana aujuaye mama🙌🏾

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa hili nimeamini ya kuwa Mungu ni wa watu wote,huwanyeshea mvua wema na wabaya na pia huwaangazia juu lake wema na wabaya!Mungu akubariki mh Rais,umeweka tabasamu kwa familia hii maskini

  • @jacksonclavery6062
    @jacksonclavery6062 10 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akubariki mama Samia. Libarikiwe tumbo ambalo ndani yake ulikaa miezi tisa wabalikiwe wazazi wako ambao walikulea Kwa malezi mazuri sana na mwisho nikushukuru Kwa kujari utu wa mtoto hamimu hakika mungu atakulipa Kwa mema yote unayoendelea kufanya

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 10 หลายเดือนก่อน

      Ila mkataba wa bandari haukubaliki! 🥴

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 10 หลายเดือนก่อน

      @@j.c.maxima816 roho mbaya huwa haishindi hata siku moja.

    • @kilindimomsati1489
      @kilindimomsati1489 10 หลายเดือนก่อน

      Amiin

  • @EmanuelLoishiye-pf1ki
    @EmanuelLoishiye-pf1ki 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ambariki Rais Samia jmn

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 10 หลายเดือนก่อน +5

    Rais wangu pokea maua yako huyu ndo Rais wa wanyonge nawaombea kwa MUNGU wote wenye vipato katika maisha mjitoe kusaidia wahitaji na wagonjwa badara ya kufanya anasa za kidunia huku wengine wanateseka

  • @zainabjuma7460
    @zainabjuma7460 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalah mama Samia🙏

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ! M.mungu Akubariki sn mama Rais kwa kuguswa na hali za wananchi wako wasio na uwezo. Allah atakulipa ujira wako inshaallah 🤲

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 10 หลายเดือนก่อน +10

    "Basi kisha muombeeni "Dua" ya kheri na baraka! Msimuangalie na jicho la uhasidi kwani ni majaliwa yake! Good job MUM!

  • @halimaali1042
    @halimaali1042 10 หลายเดือนก่อน

    MASHAALLAH MASHAALLAH :ALLAH azidi kukuogoza kwakila jia ya kheri mama SAMIA .ALLAH barik

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 9 หลายเดือนก่อน

      Amin Thuma amin

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa hili mama kura yangu ushaichukua yan nakupa Asante sanaa mama samia

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 10 หลายเดือนก่อน +2

    Saf sana rais wetu hongera sana

  • @swama9820
    @swama9820 10 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana Mama Mungu akuzidishie na kukulinda na kila lilo baya

  • @carolinepius8610
    @carolinepius8610 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mama Samia natamani na mimi uniongezee hela kidogo nimalizie yakwangu

  • @jackmukundwa7856
    @jackmukundwa7856 9 หลายเดือนก่อน

    From DRCongo kwa hilo alilo lifanya Raisi Mama Samia Suluhu ni jambo la Ku mushukuru Mungu Na yeye Pia,anaonekana kuwa ana moyo Sana Na anae wajali wana inchi wake,maisha marefu Mama Samia ❤❤

  • @bongo39
    @bongo39 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah mama mungu akulinde na kila shari hasada maradhi na hao laana wanao kufuata fata hasbiallah laana tullah mungu atawaangamiza wasifike popote

  • @user-wb4wf8tb9m
    @user-wb4wf8tb9m 10 หลายเดือนก่อน

    IAsante mama Mungu akuzidishie ulipotoa🙏

  • @BagashekiFelix-jr9cu
    @BagashekiFelix-jr9cu 8 หลายเดือนก่อน

    Nakushukuru sana Rais wetu mpendwa Mh. SSH kwa moyo na upendo huu upendo wa Agape. Ushauri watu wa namba hii wapo wengi Tanzania nzima tena hata zaidi ya huyo kijana wetu. Ikikupendeza pata wa namna hiyo angalau kila wilaya mmoja mmoja ili nao waupate utume wa Mungu kupitia kwango. Asante mama Mungu akuongoze akupe afya njema akulinde katika uongozi wako. Amina

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mama anaupiga mwingi👏👏👏

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda6658 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mama yetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassan

  • @mohamedmwinyi3261
    @mohamedmwinyi3261 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mama wa taifa la Tanzania umefundisha wengine utu wa kujali watu mola akuzidishie moyo huo wa huruma na akujaze jaza njema insha'Allah

  • @madinahemed3650
    @madinahemed3650 9 หลายเดือนก่อน

    Maashallah. Mama ni mama tu. Allah akuhifadhi. Amin

  • @IsraelKisaila
    @IsraelKisaila 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nimefurahia mnoooo,jamani ,Mungu akulinde RAIS wetu Mheshimiwa SAMIA SULUHU HASSAN

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 10 หลายเดือนก่อน +4

    Asante mama kwa hili tendo lahuruma ulilomfanyia huyu mtoto umenifunga mdomo hata bandari siongelei Tena keengele Mimi🤐🤐🤐

  • @amrytweve1998
    @amrytweve1998 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ambariki mama kwa Jambo hili..! Wema Ni akiba

  • @mborawakiche7564
    @mborawakiche7564 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bwana ambariki Rais wetu kwa kuvaa viatu vya Hamimu! Nimejikuta natokwa na machozi ya furaha ❤🎉🎉

  • @user-zo8sk1ht4v
    @user-zo8sk1ht4v 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki mama samia akulinde hata kwa hayo mema unayoyafanya

  • @pastormalitiushuhuda9965
    @pastormalitiushuhuda9965 8 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa Sana mh Rais wangu nakupenda na Mungu wa mbinguni akujalie maisha marefu Sana

  • @NeemaKa
    @NeemaKa 10 หลายเดือนก่อน +1

    😅😅😅😅eti, hatuachi kulia kilio kuhusu bandari, maana msiba ni mkubwa mno. Mashallah.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi Mungu mpe afya na umri mrefu Rais wetu SSH na wote wanao mshauri na kumsaidia majukumu yake

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah alhamdulillah,allah akuhifashi samiha my love

  • @soozeymerick31
    @soozeymerick31 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safi mama mungu akubariki kwa ku saidia mtoto

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Allah akupe pepo Rais samiya

  • @AnastasiaKilonzi
    @AnastasiaKilonzi 7 หลายเดือนก่อน

    Maraisi nikama hao wengine nikushidikisa tu raisi samiya mungu akutangulie ❤

  • @fifo262
    @fifo262 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mungu akulinde mama na kila baya mama la watanzani na wageni

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 10 หลายเดือนก่อน +4

    Alhamdulillah masha Allah nyumba nzuri hongera sana raisi wetu kwa huruma ya huyu mtoto

  • @GraceShao-ef8lx
    @GraceShao-ef8lx 7 หลายเดือนก่อน

    Haya ndiyo matendo ya huruma ambayo Mungu hupendezwa nayo ubarikiwe mama kwa ulichokitenda

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu ambariki raid na mtoto wetu pia

  • @munic6686
    @munic6686 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tungekuwa tunaishi kwa kusaidiana hivi tungekuwa mbali wengine waige kwa Rais wetu

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mama kwa kutimiza ahadi yako

  • @rahmambugi1950
    @rahmambugi1950 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mama yangu Rais wangu, mungu akupe maisha marefu yasiokua na maradhi🙏❤️

  • @MaryMwamwezi-xm3iz
    @MaryMwamwezi-xm3iz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ee mwenyezi mungu mpe afya ukawe mlinzi wa rais wetu mama hasani Samia suruhu. Mama mwenye huruma mama mcha mungu. Mama mama mama. Nani kama mama.

  • @yustinaandrew7335
    @yustinaandrew7335 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan Raisi wetu. Mungu aendelee kustawisha ndani yako moyo wa upendo uliojaa huruma na unyenyekevu kwa masikini. Hongera sana Mama yetu uliojaa Umama.

  • @siashao169
    @siashao169 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Samia Raisi wetu mpendwa! ufalme wa Mbinguni ni wako.

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa mama umetisha

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nyumba nzuri ushauri wangu kwa wale wazee au walezi wamtunzie mtoto maana nikiangalia hii nyumba inataka usafi wa hali ya juu ili iweze kupendeza na isijekua kinyume chake.
    Taizi na kuta zikawa hazitamaniki.

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani unawaonaje wazazi wake 😂😂wanadamu mnanogwa

    • @hatibbaraka3956
      @hatibbaraka3956 10 หลายเดือนก่อน

      @@prettynayally2177
      Sio nongwa ila kwa sisi ambao tupo kwenye field hii tunajua,sio kwamba nongwa.

    • @prettynayally2177
      @prettynayally2177 10 หลายเดือนก่อน

      @@hatibbaraka3956 field ya nn fata kilichokupeleka

  • @user-gc9rc7it9r
    @user-gc9rc7it9r 10 หลายเดือนก่อน +1

    hongera sana rais samia kwa kumfanya mtoto huyu kurudi katika tabasam lake

  • @fsaad5116
    @fsaad5116 10 หลายเดือนก่อน +1

    MashaaAllah tabaraka Allah

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mama kutoka moz,,🇲🇿🙏

  • @yolonimojohn7792
    @yolonimojohn7792 10 หลายเดือนก่อน +3

    Raisi wetu anaonesha kabisa kuwa eye nikaka mwenye huduma,mungu akubariki mama yetu

  • @amryzarcky6030
    @amryzarcky6030 8 หลายเดือนก่อน

    Nani kama Mama jamani ,ubarikiwe sana na mungu Jemedari wetu Rais,Dk, Samia Suruhu Hassan

  • @user-sy1rc2fd8y
    @user-sy1rc2fd8y 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ambariki raisi wetu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kwako Madame President Kwa uungwana wako mkubwa!!

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 10 หลายเดือนก่อน +7

    Jamani rais hatumii hela za kodi. Rais ana mshahara mkubwa. Ana allowance kibao. Kwa rais hilo ni jambo dogo la sadaka

    • @mamyomar1241
      @mamyomar1241 9 หลายเดือนก่อน

      Hata kama ! Hilo ulioliona wewe ndogo wengine hawafanyi. Kitokacho kwa mtu sikidogo. Alhmdullillah, Allah amfanye wepesi kila penye uzito.

  • @mhozastephenkagoroba4661
    @mhozastephenkagoroba4661 10 หลายเดือนก่อน +10

    This is great, may God bless her indeed

  • @navysanga4245
    @navysanga4245 10 หลายเดือนก่อน +2

    Itoshe kusema Mama nakushukuru Sana Kwa moyo wako ni wakipekee

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 8 หลายเดือนก่อน

    Yes! Kwa hili mama nipo na wewe na hongera sana! Haya matukio yanatakiwa yafanyike mengi kuliko hata kutoa mamilioni ya magoli, ikumbukwe mpira siyo Kila mtu unamgusa. Narudia tena hongera sana kiongozi Kwa hili. ❤