Ana miaka 18, yupo kidato cha 5, anamiliki duka kubwa la nguo, hiki ndicho wazazi wake walimfanyia
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ม.ค. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de... - บันเทิง
She is smart lady
Even her smoothly speaking
Wazazi wanaweza kua na mali halafu watoto wasiwe na akili ya kuziendeleza
Wakawa wakula bata tu
Hii interview NZURI SANA, NIMEKUWA INSPIRED NA WAZAZI WA HUYU BINTI, WAMEMTENGENEZEA MSINGII MZURI SANA.
KUMBE UKIFANIKIWA INAWEZA IKAWA CHACHU KUBWA SANA YA MAFANIKIO YA WATOTO WAKO. LET'S KEEP FIGHT.
Nilicho gundua watanzania tunapenda kulaumu kuliko kujifunza huyu mtoto ndio amepewa mtaji na familia ila tumejiuliza kwa umri wake amewezaje kua na mawazo ya kukuza biashara yake ikafika hapo ili cha kujifunza tunacho ila mnalaumu tu eti sky umetuleteya nini
Sio kila baba tajiri lazima mtoto awe tajiri,akili ya mtu jamani,kuna watoto wangapi wa matajiri wameishia kula unga tu.
Duka kafunguliwa hapo tungependa kujua Amezalisha Nini baada ya kufunguliwa Hilo duka
.Tunataka kujua matunda
MALEZI BORA
NA KUMUEKA
MUUMBA MBELE
HUKINGA KIZAZ CHAKO
NA KUTUMIA MADAW UNGA
@@Usertatu11683pambana uje kujua ya wanao...
Masikini mnakuaga na nongwa sana
Mwanzo mzur sana Mungu awabariki wazazi wake wamemwandalia msingi mzuri anzia elim mpaka hapo kwenye biashara tukiweka pemben uzuri na ubora wa family yake uyu mrembo amebarikiwa akili na maono piya kwaiyo hatar angetoka family ya kawaida bado ningemuona mbali
Warda wangu ukue mama tupange maisha km hv,,,,eeh mwenyez Mungu nikuzie bint yngu awe wa kujitambua piah🤲🤲🤲
Mimi si wa kishua Ila kumbe mwanangu kumpikisha maandazi kabla hajamaliza kusoma
Safi sana, beauty with brains, kama mzazi nimepata kitu
Acheni comment za kitoto,kuna wazazi wangapi hapa duniani wanapesa za kutosha angalia watoto wao walivyo hali mbaya,kwa hiyo mwacheni dada yetu ana roho ya uthubutu na maono
Ndugu nlichojifunza humu kwenye mitandao asilimia kubwa ni watu wenye very tiny visions ndio maana kuna comments unauliza Hivi Huyu mtu anafikra kweli.
This is very good. As mom it has inspired me. Sio kwamba Nina hela nyingi, lkn kumbe tunaweza kuendeleza ndoto za watt wetu tangu wadogo. Huyu atakuja kuwa mjaririamali mkubwa. Ana uwezo mkubwa sana wa kuniamini. Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa kiongozo mkubwa sana miaka inayo.
Wakishua ao sky misingi wamepewa na wazee wao
Proud of you baby girl ..keep going
Kusema ukweli sky umetuletea mambo ya washuwa tu hapa ni mtu kakuta mali yeye anaendeleza tatufa Hustler alafu tuletee hapa huyu dada kwao Kuna mpungu wakutosha tu
tatizo nini?kuna watoto wanazaliwa kwenye pesa na wanaishia kutumia pesa zote na kubaki na jina mjini tu, kwani hatu waoni watoto wa vigogo walivyo choka wamebaki na majina tu ya wazazi. Hili nalo na kujifunza, kwa matajili na masikini. acha kuwa na roho mbaya, toa maua ya mtu anapo fanya vizuri. Kuwa inspired sio lazima uwe inspired na mtu alite toka kwenye umasikini tu. kama sio somo lako litakufunza kukufungua macho wewe ukiwa tajiri na umezaa watoto je uta waandaa vipi ili ukiondoka kazi yako uliyo ianza iendelee. wajukuu zako wasitabikie. tatizo la weusi mna jipanga nyie tu hamppangi vizazi vyenu.
KILA KITU
NI MWANZO MZURI SANA
Nimepata bahati ya ku sapotiwa na wazazi wangu and I’m grateful , the real hard work inakuja kuendeleza biashara na kuifanya isimame
Unaweza ukaipambania mtaji ukaanza biashara lakini usiwe unajua jinsi ya kufanya biashara indelee na ikue
Consistency is everything
That’s where the real hustle lies
Sio kila mtu anatumia hela ya washua vizuri🤣kuna watu wanatoka familia za kishua na wanaishia kuwa mavuta bangi na mateja! Usi kremu maisha
Pambana na wewe watoto wako wawe washua.... kuanzia 0 sio sifa
Thank you so much for your lovely comments ❤️
Big up sis
Congratulations
Achana na hao waliocomment negative,,ni uwezo tu wa kufikiria mambo
Cheers to you baby girl. I wish you much better ,I love you
Keep moving ❤
Big up kipenz na Mungu aendelee kukusimia zaid ❤😊
Asant kwa Kipindi kizur tunapata kusoma sana kaka tumo kukufatilia
Safi sana binti mdogo akili kubwa, keep it up!🥳👌
Zaina nataka nikuoe nime kupenda.
@@gibbs1320 😂😂😂😂lete mahari kwetu
Very good
Hizi interview zinanunuliwa sky asingemtafuta huyu hana content yyt, hela imetembea
Congrats ❤
Hongera sana sky hongera pia binti
Upo vzuri sana but you have to learn so that you can improve on speaking unaongea kwa ufupi sana huongei kitu kwa upana zaidi
Welldone
Niko hapa kujifunza
Naic❤
MashaAllah
❤❤❤
AKA BACHUCHU Mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Toa huyu usituletee, sio hustler. Kwnz tutaach fatlia ujnga wenu huu, sas watt wakxhua c weng, ebu mtuit na sis weny isa kweny makampun makubw tulzowekew na wazaz wet, mbn hamtuit
NC
Hii ni mali safi, huko Ukerewe wanaitaga "Beauty&Brain". Sky tutunzie hii mali
Ukerewe wanajua uchawi mambo ya elimu sio mambo yao
Kama Ni Chakula Wanasema WITH NO SEASONING, Hakuna Depth / Substance Still Has A Lot More To Learn Kukalia Hichi Kiti Bro, But Nice Stuff Supporting The Younger Genration, Hii Ilifaa Iwe Interview Ya Kawaida Sio Hustlers Diary.. To Be In The Hustlers Diary You Need To Have Couple Pages On Yo Hustle Diary Too.
She is young, that’s already a hustle, juggling between school and business is tough,biashara ni ngumu nyie jamani, haijalishi mtu ana pesa kiasi gani. Pesa sio kila kitu kwa Businesss bali running a business ni ngumu.Business is not easy, but amestruggle mpk kucreate a profit na kuendelea kukua kibiashara mpaka hapo alipofika. So I believe this is a right title and platform for her
Hajui kiswahilie
Tatizo watu wanakalili kua kufanikiwa ni mpaka kuhustle, hata kusimamia kazi ikasimama ni zaidi ya utajiri.
Mnatuletea wakishua
Sasa huyo kapambana vp.
Kwanza anasoma shule tu analipa milion saba na kitu.wengine kusoma secondary tumepitisha daftari tukachangiwa Ada elfu arobaini.
Kujakupatikana miezi mitatu wenzako walishasoma wewe ndio unaenda.
Labda mtangazaji utuambie amekuja kutangaza biashara yake,.
Labda hapo tumejifunza ukitokea familia ya kishua kutoboa ni rahisi
Pambana wanao wawe wa kishua pia.. halafu watoboe kirahisi.
Huelewi hata umeongea nini. Mungu akusaidie 😢
Acha izo ww,,,ila mwisho wa siku wafanyabiashara wote wanahitaj wateja ili kupata pesa
Sasa kwani wa kishua hawastahili au nini mbona sijaelewa baadhi ya comments kama za makasiriko hivi.muhimu tujifunze kama wazazi kuwafunza watoto maisha wajielewe haijalishi ni maskini au tajiri.
Uyo kwao mpunga upo tuleteee mtu aliyefight kwa akili yake
Mimi hiyo ahinipi shida .Niko USA. Kampuni minayo fanyiya kazi .BOSS wangu alisha nunua uwanja wapili anaandaa kampuni ya pili kwa niaba ya mtoto wake wapili tena mwanamke.hona sasa baba anakutegemea wewe ale hapo vipi?
Angeongea kiswahili ingependeza zaidi🙃
Sky umetuzingua sana tena sana,Huyo kakuta utajiri hana cha kutwambia tuletee Muhustler
Hee kumbe huyu ana udongo wa kizungu hapo alipo ana miaka 18 kwel sky jamani 😅 ah sawa me namuombea dua
Mbona mtoto wangu ana miaka 18 yuko form six huo umri si sawa tu.
Una zungumzia yule mtoto tuliye zaa wote Victoria ?! Mhhh mtoto wetu kafikisha miaka 18 kumbe jamani...
Wakishua huyu😮
Uyo kapewa pesa bn
Upuuzi huu😮 mtu amefunguliwa tayari tuletee watu waliojitafuta wenyewe sio my mom my mom🙁
Mungu aje akusaidie na ww mwanao aweze kuja kukusifia kama ivo, apo ndo utaona raha ya kua mama ni nini. Lakini hutokuja kusikia iyo raha kama hujamtengenezea mtoto wako msingi mzuri😊
Mpuuuzi ni wewe dada....
Pambana na wewe wanao waseme my mom my mom.
Nenda wewe uliyejitafuta ukatoe story yako 😂😂
Wabongo kwa roho mbaya na wivu salute 🫡 kaekezewa na wazaz wake na ww wekeza kwa watoto wako na wanajifanya wamekasirishwa na hii interview ndo wale wasihudumia watot wao
Mtu anasoma feza si wakishua jamani huyo
Hamna cha kujifunza hapa!
Ameshaandaliwa maisha apo anatangaza duka tu wakishua huyo hajui Njaaa huyo.
😅😅
Wazazi wake wamemuandalia msingi mzuri ili hiyo njaa asipate kuijua maishani mwake. Sio mpk kila mtu ateseke bana
nauliza kama naweza kupata kwa wholesale
naomba tuwasiliane mimi ni mama nauza nguo pia. nimependa nguo zako sana
Kwan kunawatoto wangapi wakishuaa wajingaaa hawajui ata kuendesha miradi ya wazazi wao !! Wapo wapo tu wanatumia pesaa hovyooo !!!!!! Jifunzeni na kwamatajiriiiiii ili watoto wenu muwafanyieee hayooooooo piaaaaa mnajua kuchamba tu …. Fyuuuuuuu
Watoto wengine ndomana wanafanikiwa ungezaliwa kwenye familia zetu daaaaaaah unanza kujipambania at the same time unapambania familia wakati capital yenye hujapata unabahati sanaaaaaa aise unakua ulishafanyiwa savings na wazazi aiseeeeee
Ni kweli tafuta watu low class
Kwakuwa na wewe ni low class😢
Kunawatto wengi wakishua hawana ata uwezo wakuendesha walichopewa na wazaz wao … jifunze kotekote wew fyuuuu
Umeniuzi bhana mtangazaji tuletee watu ambao kweli wanatafuta wenyewe
Anzisha channel yako na wewe ulete wa kwako...... umasikini sio sifa
@@rebbywealth9869 hunaakili wewe kila MTU akiwa na Chanel yake kuna MTU ataangalia Kama MTU amefanya makosa asiambiwe ??? Asiambiwe .mfano hata selikali ikikosolewa na kutoa maoni Kwa wananchi .selikali itajibu wananchi wanzishe selikali yao??.hunaakili kabisa wewe Sisi tunAcoment kulingana na kichwa cha habari kilivyo na kuangalia habari NI tofauti na kichwa cha habari.ss siyo mbumbumbu Kama wewe lazma MTU aambiwe kweli .Kama hataki ukweli aache au afunge channel yake
@@rebbywealth9869 kwani yeye angesema mtoto WA miaka 18 amefungiliwa Duka na wazazi wake Sisi tungeongea???
Jifunze apo ili umuandalie mtt mambo mazriii . Mnapenda umasikini tu🤌
@@mwanaidimussa huna akili wewe Mimi nimekwambia hivo kuwa napenda umasikini Nani amekwambia Mimi masikini???tutaongea kichwa cha habari alichokiwwka nitofauti na maana halisi
Maelekezo yapo home tayar kitonga tu
Unatuletea watu washaandaliwa maisha na wazee wao washua sky acha uduanzi bhana hamn cha kujifunz hapa
Kabisaaaa
Wewe ndo ujifunze kuwekeza kwa mtoto wako😅, sio mzazi unauwezo alafu kizazi chako kinakua maskini, ndo familia nyingi za hapa nyumbani
Cha kujifunza pambana na wewe wanao wawe wakishua, uwafungulie wanao biashara au waje wafanye kazi kwenye kampuni yako.
Lakini kwako hazikutoshi, huwezi kuona hilo
kama huyo ana miaka 18 basi mim nina minne😂
Kifua kimejaa kama mbena vyuma
@@giztony2009 be respectful! She is a child. Hujafa, hujaumbika . Mungu alinde kizazi chako cha leo na cha baadae
Kichwa chako kimejaa kamasi
Yani unaleta mtu ambaye kafunguliwa duka
Ili ujifunze uje mfungulia mwanao
Hii interview NZURI SANA, NIMEKUWA INSPIRED NA WAZAZI WA HUYU BINTI, WAMEMTENGENEZEA MSINGII MZURI SANA.
KUMBE UKIFANIKIWA INAWEZA IKAWA CHACHU KUBWA SANA YA MAFANIKIO YA WATOTO WAKO. LET'S KEEP FIGHT.