Goethe Institut Tanzania inatoa kozi za lugha ya kijerumani kwa njia ya darasa na mtandao. Kujua lugha ni kuzidi kupanua wigo wa fursa na kurahisisha upatikanaji wake.
Ndio namshauri asome kijerumani harafu akipata cheti auombe nafasi za vocational training (ausbildung) ambayo ni kujifunza kwa vitendo huku ukifanya kazi.
@@EliTaarifa wooow..!! Huyu mtu n mm sasa....hyo vocational training ikoje? Si watahitaji chet Cha veta?? Km utojal naomba no yako ya whatsap kwa ajil ya kunbriefy..
@@missnamwambemomentstv7753 huitaji veta ukiwa na Germany language level B1 kutoka goeth unaomba izo Kaz online na kujitolea kwenye nyumba za kulea wazee ( ausbuilding,FSJ au Aupair kama umri unaruhusu) cha muhimu jua kwanza lugha. Guten Morgen 😅
Haiwezekani lazima uanze A1 then A2 afu B1 ila kama utaweza ili kusave money soma online then nenda kabook mtihan mana unalipiwa, ila iyo lugha n ngum nkushaur nenda kasome A1 chuo then soma A2 na B1 online then book mtihan.
Asante kwa kutujuza habari muhimu jmn hizo kaz zakujitolea zinahitaji watu waumri na inachukua muda gani mbak kupata nafasi
habari kaka Eli...! hv ile BFD ya kuvolunteer..inakuwaje kuwaje!! km utabahatika kupata....nauli inakuwa juu yako eeh!!?
Ahsante sana!
Nice bro ngoja 2pambane
Kwahiyo hapa unamanisha kusoma A1 mpka B1 jumla ni milioni 1 na laki 8?
Kigerman tunajifunza...but hatuna elimu yakutufanya tufike nje 😢
Naomba mawasiliano mm Niko tayali kujiunga.
Unaweza wasiliana nao kupitia +255 742 180 800
Kwanjia ya mtandao, online
unaweza fanya mtandaoni au darasani
Unamshaurije mtu ambye ameishia form 4, na ana ndoto za kufika ugerman?? Je? Anaweza kusomea hii course ya kigerman?? Au aachane nayo tu!?
Ndio namshauri asome kijerumani harafu akipata cheti auombe nafasi za vocational training (ausbildung) ambayo ni kujifunza kwa vitendo huku ukifanya kazi.
@@EliTaarifa wooow..!! Huyu mtu n mm sasa....hyo vocational training ikoje? Si watahitaji chet Cha veta?? Km utojal naomba no yako ya whatsap kwa ajil ya kunbriefy..
@@missnamwambemomentstv7753 huitaji veta ukiwa na Germany language level B1 kutoka goeth unaomba izo Kaz online na kujitolea kwenye nyumba za kulea wazee ( ausbuilding,FSJ au Aupair kama umri unaruhusu) cha muhimu jua kwanza lugha.
Guten Morgen 😅
@@BibianTz asnteh clement....swali la mwsho...uwez kuipata hyo B1 or B2 km ujavuka hizi level za A1 sio?🤔
Haiwezekani lazima uanze A1 then A2 afu B1 ila kama utaweza ili kusave money soma online then nenda kabook mtihan mana unalipiwa, ila iyo lugha n ngum nkushaur nenda kasome A1 chuo then soma A2 na B1 online then book mtihan.