Nina Miezi saba Ujerumani | Ninafanya kazi Shambani | Nilitafuta tu mwenye mtandaoni fursa hii
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 เม.ย. 2023
- Nilipata nafasi ya kufanya mahojiano na Witness Vlog kuhusu experience yangu nchini Ujerumani kwa kipindi cha miezi saba. Ni mengi tulizungumza na yenye tija sana kwako , angalia mpaka mwisho hakika utaipenda.
Was really good talking to you. Ubarikiwe sana kwa kushea nasi
Mambo vp
Kwema mkuu
Ahsante sana, Nimetoka kwa Witness Vlogs
Kazi za mashamba ni lazima uwe na taaluma ya kilimo?
Safi sana mwamba
Fursa za kwenda nje hata kama sio ujerumani nchi yeyote ile si unaweza ukatafta pia mtandaoni na ukapata
Ndio zipo fursa nyingi za kwenda nchi tofauti tofauti na taarifa zote muhimu zinaanzia mtandaoni
Nilikuandikia whatsapp kaka, nikumbuke ndugu . unipe ujanja.
Nisaidie na mimi mpendwa
samahan bro naomba link ya bic star maana siion gugo
bixter.training/
bixter.work/
@@EliTaarifa ahsante
@@EliTaarifa pia chec email nimekutext kule
@@issakitundu617 Nimejibu mkuu