Hongera xana bro Joel kwa ubora mafunzo yako kitu kimoja Cha kipekee xana huna matangazo mengi you always start with "KARIBU KWENYE LIFE WISDOM SERIES" big up sana huna Mambo Kama cile " Kama ndo Mara ya kwanza kuangalia Chanel hii subscribe Mara bonyeza alama ya kengele" ❤
Mungu akubarik kaka hakika usipo thamini cha mwenzako hata cha kwako huwezi kukithamini❤
Kaka ni kweli kabisa, hata kanuni za Kiroho yaan kwenye Iman ya Dini ipo hvyo. Tunawadhulumu sana waajiri wetu tukiamini wao hawana shida.
Mungu akubariki unatuinua wengi
Asante kiongozi
Hongera xana bro Joel kwa ubora mafunzo yako kitu kimoja Cha kipekee xana huna matangazo mengi you always start with "KARIBU KWENYE LIFE WISDOM SERIES" big up sana huna Mambo Kama cile " Kama ndo Mara ya kwanza kuangalia Chanel hii subscribe Mara bonyeza alama ya kengele" ❤
Nashukuru sana, tuendelee kujifunza na kuwashirikisha wengine
Yah maisha nikinyume ukipanda dhuluma na wewe utavuna dhuluma amen mr.joel❤
Asante kaka MUNGU akubariki kwa mafundisho haya mazuri
Naomba kaka Joel uandae pia kwa watu wa Arusha tuko tayari kupata kongamano
Brother joel thanks sana am following your inspiration silently am from kenya ,let me know how to get your books
Hakika ubaya humrudia mtu anayefanya ubaya
Asante Kaka Mungu aku bariki 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
Karma
ASante sana bro nimepata kitu
Asante sana kaka kwa somo zuri
Asantee sana❤
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
Asante nimejifunza Joel 🙏🙏
Asante Sana
Asante sana kaka Joel
Ahsante sana