KIJANA ALIYETUMWA KUISOMEA FAMILIA AONDOE UMASIKINI NYUMBANI KWAO, ALIANZA NA GARI LA MKONONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Mujitaba Yusuph ni kijana wa miaka 29, akiwa ndie kijana wa kwanza kwao, mwaka 2011 alifanikiwa kuhitimu kitato cha 6 akiwa na ufaulu wa alama za juu, Kwa kuwa anatoka familia maskini ilibidi kikae kikao cha familia kuamua nani aendelee na masomo kati yake na Wadogo zake akiwa UDOM aliishi maisha ya kujibana akijua anadeni ametumwa kuisomea familia alihitimu Ualimu kwa miaka mitatu bila kupata ajira akaja na wazo la kununua gari la mkononi ili aliuze kwa faida
"Maisha magumu yasikufanye ukapoteza focus" yaan nimeyaelewa sana haya maneno.
Nilichokigundua kwa huyu jamaa ni kichwa sana, hongera Brother 👊
Vizuri huwa havidumu jaman dunia hii
Dah! Huyu bro nimesoma naye asee! Kweli alikuwaga smart tangu chuo. Mkimya sana kumbe alikuwaga anatafakari mambo mazito hivi!
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Safi sana wewe ni mfano No 1 wa kuigwa na vijana wenye mtazamo Wakuajiliwa. Mtu anapewa Mkopo wa kusoma bado akitoka hapo anailaumu Serikali haimpi Ajira.
Nimeipenda sn,mungu awajaalie binadam wote km hawa🙏
Hiyo interview ilitakiwa kua zaidi ya hapo ila mmefupisha na kuibana, walitakiwa hao ndugu pia waongee ndio ingenoga zaidi.
Imenibid nirudie hii interview kwakweli nimeumia mnoo
“Uaminifu ni ngao ya maisha na elimu ni muangaza wa unachokiishi” Chagua moja kuishi au kuishia.🔥 hongara sana bro maarifa uliyonayo yamepitiliza ukibwa wa maisha uliyoyaishi awali.
Kusoma jambo moja na kuondoa umasikini ni Jambo la pili.
Ndo ivo bro
Nakufanikiwa ni jambo tofauti kabisa
Kweli mkuu
Akili tu ndio kila kitu bila akili ni sawa na bure ata usome mpaka mbinguni ni sawa nakujisumbua kuyatafuta matako ya nyoka , bwana mdogo kichwani yupo vizur God bless you
Pumzika kwa amani mujji leo umelala ukiwa bdo una ndoto nyingi hujatimiza.😭😭😭
Hongera sana classmate kumbe Yale magari pale mission ni yenu? Bigup bro
Waooh mupaka Nakuya😭😭😭, kweli kaka yangu una ongea kweli. Ahijalisha family yako nimasikini kiasi gani never loss focus ndo yamahana . ujuwi kesho Mungu anaweza kuku bariki kupitiya unacho fanya. Thanks for sharing your story with us❤️✋
Hongera sana kaka tweyambe mojaaaaa....ulikuwa kichwa toka apoooooo😍😍
Dah mujitaba you was good student at our school kila la kheri mzee
May God bless you Brother, you're very humble and you'll go far.Cudos keep it up
Daaaah inatia nguvu sana..ipo siku Millard ayo mtakuja kwangu😂yani hii naapiaa😀
MashaAllah
Allah azid kukufungulia milango ya kheir na mafanikio
Ameen🤲
MASHAALLAH tabarakaAllah Allah awatangulie sn awafungulie milango ya riski aimarishe mapenz kweni🤲🤲🤲🤲❤❤❤🥰🥰🥰🥰
umenifanya ni rie bro maana kila mtu alie pitia maishaa aya ata kuelewa t ogelaa sanaa
Dah uyu jamaa kichwa kweli.
Big up bro
Hapa siri moja tu kuungana ndugu na kufanya kazi pamoja inaleta baraka kubwa sana sana
Ila kuna anaetaka kuwagi kabla ya mtaji kukua, biashara ya ndugu ni ngumu mno.
@@kyaro5945 lakini ndugu mkisaidiana mnabarikiwa sn kuna changamoto zake lakini kuna kheri kubwa sn
Nimeipenda. ukitaka kufika mbali tembea mwenyewe Ila ukitaka kufika mbali zaidi tembea na wezio :
Mash Allah
congrats bro, keep moving. One day yes
Daa nimekuja fasta kuhakiki Mana nilikua najiuliza sio uyu kama mwezi tu katoka kuojiwa R. I. P bro
Jamaa amekufa Leo huyu....R.I.P mujitaba,pole kwa familia maana alikua kiunganishi muhimu katika familia yake.
Ndo amefariki kwenye ile ajali pamoja na mpiga picha wa Ayo TV?
Jamaniii amefariki huyu jamaa, sielewiii hiz taarifa
Mmh amekufa tena achakumchulia
@@sarajanuary3516Ni kweli
Alishafariki
Ni kwenye ajali na mfanyakazi wa Ayo TV
Allah Akurehem Alifanye kaburi Lako kuwa Miongoni Mwamabustan Ya Peponi brother Mujtaba.
Aaminna😭😭😭
@@hamidaala2832Amin yaarabih 😢👏
Jamani hii mitandao haifai ni bora uweke maisha yako private hii dunia ina hasad saa sio watu wote tunapenda mafanikio ya watu
MASHAALLAH
Masha allah Allah azidi kukujalia
Unasomea familia kifo kinakuchukua mapema, at least uliwaachia ndugu zako msingi wa maisha, kwa kile ulichoanzisha. REST IN PEACE BROTHER.
Amefariki? What happened so Sad
Uyu sichiz anae sema mefalik
Hongera baba na mama wa hawa vijana kwamalezi bola yenhe hofu ya mungu muendee kuwaombea watotowenu wazidi kupendana
Ameshafariki .polen wazazi
Masha allah ALLAH akuifadhi na awaifadhi kwa pamoja
Aisee huyu jmaa slikuwa mpole sana namjua sana💪💪 ila pumzika kwa amani.....kaka😪😪
Mafanikio hayatengenezwi na mtu mmoja mbwana mdogo nakupa kongole
18 Aug 2021 REST IN PEACE MY Brother Leo Mujitaba Abbas Umetutoka kaka angu. mungu ailaze roho yako mahali pema peponi Amiini
Amiin amiin
Amiin chema hakidumu
Aamina.Aminaa😭😭😭
Mashaallah
MA SHAA ALLAH TABAARAKA LLAH
Rest in peace broo
Amefarik? Lin?
dah! r.i.p rahaa ya milele ukuoe ehee bwana na mwanga wa milele akuwaangazie ...upumzike kwa aman
Kweli hii dunia tunapita, siamini Mujitaba Kama ndiyo umefariki dah! Tangulia nasi twaja.
Alikua anaumwa?
mwanangu nimesoma nae udom
Tusaidie ni kweli alikuwa anakula mikate😂
@@kpetres2872 😂😂😂😂😂alikuwa anakomonika nacheka kama mazuri
ni kwelii
dah
Mashaallah 🙏👏 👏👏👏
UDOM ❤️ iposiku
Hongera mdogo wangu Mujtaba
Hakika uwe mfano wa kuigwa na watu wenye mitaji midogo lakini hawajui namna ya kuitumia na kujikuta mwisho wa siku anapoteza kila kitu maana Mia haikuanza Kama yenyewe isipokua Mia ilianza na moja Safi Sana kijana, hongera kwa hatua madhubuti kubwa Kama hizo na M/Mungu akuongezee zaidi na zaidi inshallah
Huyu jamaa ni kichwa Sana apewe uspika wa bunge NDUGAI atolewe maana anaweza kuleta njia ya serikal kupata mapato Ila siyo tozo
Si kafariki jana huyu
Jamaa hayupo tena asee
Huyu ndiye kijana aliyefariki na mfanyakazi wenu aisee
😭😭😭😭vizuri havidumu rest in peace bro
Kweli ndugu .. yaaan Roho imeniumaa
Mwenyezi Mungu akuongoze katika kila hatua.
Mashallah, hongera sana kijana kwa mafanikio yako 🙏😍
All the way from Tweyambe Secondary, hongera sana kaka
Mungu akusaidie bro
Allah awasimamie Inshallah
Misemo ya chuo ni ya kisenge 😂😂😂😂eti unakomonika ila pongezi kwako
Me mwenyw nimecheka kwel utazan mazurii 😂😂😂
Kukomunika km kote chai na mkate🤣🤣🤣🤣
Duuuuh huyu n kijana mwenye upendo jamaan,wachache sana wenye moyo huu wakishafanikiwa wanasahau ndugu zao na yote baba yao aliyowaambia
Kweli upendo wengine wanawasahau Hadi wazazi sembuse ndugu.
Mungu akulaze mahalipema
Aamiin
Safi Sana bro akika uwo nimfano wa kuigwa pia ashukuliwe Sana baba kwa kwa kuchagua fyuchar ya familia mwisho wasiku na mungu aka wezesha ikaongoza vyema familia shikilianeni ndugu zangu
😭😭😭😭😭nimejifunza kitu kipya kupitia huyu kaka mungu akupunguzie adhab ya kabri 🙏😭😭😭Yan hapo nden la familia nimekumbuka mimi ni mtoto wa mwisho kutoka kwenye familia ya watt 6 nimekuja nje ya nch wazaz waligoma ila nikomaa had nilikuja nimekomaa balaa nikiangalia familia kule home nimeshindwa hata kununua cm ya laki 5 wallahila nashukuru mungu Alhamdulillah nimepambana sana nimefanya vitu vya kutoa had haib yumban hata leo nyumban kunaeleweka ila sasa vita ninaepigwa mungu ndy mlinz wangu 🙏😭😭😭😭mama yangu na baba yangu watu wa kulia sana wanahofia maisha yangu huwa nawambia mungu yupo na mimi kikubwa dua tuu 🙏😭😭😭
You are inspiring me congratulations bro
Hatare na nusu
Duu kaka pumzika kwa amani nimekuja hapa baada ya kuona kifo chako kweli ni pigo kwa familia jamani RIP 😢
Weee AMEKUFA aliumwa au
Mashaa Allah Brother, sio kila aliesoma ataajiriwa serekalini ila naomba uamini kua anaejituma mwenyewe ni bora kuliko aloajiriwa...
Duuh kwaio inaweza kua kweli kwmba first born ni wanakuanga very Bright ama
Mmmmh inategemea aisee,wengine vichwa maji kabisa mpk unajisemea bora lingekuwa la mwisho uwe unalitia vibao
Mmmmh inategemea aisee,wengine vichwa maji kabisa mpk unajisemea bora lingekuwa la mwisho uwe unalitia vibao
@@agnesmatandula326 😂😂😂
R.I.P bro😭
Daaaaaaa inaumaaa
Unasoma saaana unajinyima kula...
Baadaye unapata kazi....
Unaumwa magonjwa ya kutokuwa unakula wakati ule...
Maisha so crazie....
Ah kumbe mnangaza biashara...
That cool brother
R.I.P Daaaaaa Allah atupe kaul thabiti
Mashaallah mungu nishike mkono usiniache peke yangu hata kak yetu ulimshika mkon ukiwa na imani hakuna kinacho shindikan
Amefariki lini jamani. Innalilah waina lilah rajuun
Mwezi mmoja na nusu hivi baada ya haya mahojiano kuwekwa hapa
One day yes
Hongera sana kijana, tuzdi kupambana zaid na zaid
Lala salama kijana aisee roho imeniuma sana
Hongereni sana. Nimejifunza kitu kikubwa. Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu.
Goooooo far broo,uzr na wadogo zako nao waelewa familiar nyenginezo pangetokea mpasuko hahahaahhahahaaaa
Sindo amekufa uyu.siku tatu zilizo pita daah 😭😭
School mate tweyambe hongera sana kaka
Rip 😭😭
Hongera sana
Daahh 😭😭😭
Asee da jamaa leo hayupo tena 😭😭
Omg 😱
Safi sana Millard....big inspirations to those
Daah vizuri havidumu jaman pumzika kwa aman mujitaba 😭
Maaa sha Allah
Hivi ndio vitu vya kuangalia sasa
Focus &never give up🙏🏼
Muogope mungu sasa ukipewa kaz usije ukaiba kwaajili ya majukumu uliopewa na familia yako
Ni marehemu huyo
Alifariki baada ya kupata ajali ya gari
🔥🔥kubwa sana hii
Mungu akulaze pema pepon
Haya maneno yako yameniingia vilivyo! Wengi tumepitia chuo na kusahau tulikotoka na tunako enda
Hongera!
MashaaAllah MashaaAllah Allah awe nanyi katika biashara yenu nimejifunza kitu big up
Nime kuelewa sana umekua mwaminifu nafamilia yako kaka
Hongera sana kaka yangu mungu awaongoze ktk kazi zenu
Congrats 👏
Asante
Smart head = success.
Keep rocking Br. No turning back
Amesha fariki mzee 🥺🥺🥺
moral of the story: Unit is power,division is weakness
Nakama kilaninapo mtizama huyu kaka siamini kama kafariki 😭😭 eemungu mpokee kwaamani ila moyo Wang hautak kuwamini kama hayopo duniani😭😭
Acha utani
Millard Ayo/ no ya simu muhimu jamani.
R.I.P