KIJANA ANAYETENGENEZA TAA ZA MAGARI, IMARA KULIKO ZA WAZUNGU, AMEISHIA LA SABA, ANAINGIZA MAMILIONI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 184

  • @eliakitungo8642
    @eliakitungo8642 ปีที่แล้ว +18

    Hongera sana! Nakuona ukifika mbali,Pambana usikate tamaa na mwamini Mungu na umtangulize mbele kwenye kazi yako, Hakika atakuinua kwa namna ambayo hutegemei hata wewe.

    • @saidijuma5843
      @saidijuma5843 ปีที่แล้ว +2

      Amina, asante sana mkuu.

  • @christinapaul2957
    @christinapaul2957 ปีที่แล้ว +12

    Wakati kuna watu wanajiita wasomi wamefika hadi uraya lakini hata kijiko hawawezi kutengeneza hongera kaka Mungu akutangulie

    • @meshackmuna22
      @meshackmuna22 ปีที่แล้ว

      Ulaya

    • @jameshonore6554
      @jameshonore6554 ปีที่แล้ว

      Hao wasomi ndo wanaozuia wenye vipaji

    • @leecode6135
      @leecode6135 ปีที่แล้ว

      Tatizo wasomj wengi wanataka kuwa wanasiasa

    • @AceB4real
      @AceB4real ปีที่แล้ว

      Na wewe kasome haujazuiwa

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 ปีที่แล้ว

      @@jameshonore6554 ni kweli kabisa

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 ปีที่แล้ว +16

    Jamaa ana akili kubwa sana. Somo ni kuwa akili ni tofauti na kusoma, unaweza ukasoma bado ukawa huna akili.

  • @moureenmickyy108
    @moureenmickyy108 ปีที่แล้ว +15

    God is with you all the time towards your talent...keep that spirit up

    • @saidijuma5843
      @saidijuma5843 ปีที่แล้ว +1

      Thanks

    • @peterkamau12
      @peterkamau12 ปีที่แล้ว

      he kijana wa Tanzania hongera licha ya elimu yako ndogo darasa la 7?!?.unahitaji kuinuliwa na wawekezanji mbagara,nakutazama kutoka Kenya msa taa zako ni za kupendeza ,urekekibishaji ni mzuri kazi ya umeme ni rahisi kuliko engine kufunga,fanya bidii ayo tv hongera kumufungulia kijana njia ya kujulikana,material watoa wapi?za kurekebisha plastic,

    • @saidijuma5843
      @saidijuma5843 ปีที่แล้ว

      @@peterkamau12 Asante Sana. Karibu sana Tanzania, nakushukuru sana kwanitia moyo

  • @wamburajoseph1250
    @wamburajoseph1250 ปีที่แล้ว +5

    You deserve kijana, keep it up!

  • @shukurumsuwakollo2264
    @shukurumsuwakollo2264 ปีที่แล้ว +9

    Umepambana sana tena kwa njia halali. Hongera sana !!! Vijana wajifunze kuwa wabunifu watafanikiwa.

    • @saidijuma5843
      @saidijuma5843 ปีที่แล้ว

      Amina. Asante Sana

    • @cojicode4206
      @cojicode4206 ปีที่แล้ว

      Hello hongera sanaa Said ingependeza kama unge weka na mawasiliano yako ili kwa mtu anae hitaji huduma yako aweze kukupata

    • @MichaelMwakibolwa
      @MichaelMwakibolwa ปีที่แล้ว

      @@saidijuma5843 Hongera sana said Juma.

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics ปีที่แล้ว +11

    Kazi mzuri sana kaka ongera sana mungu akubariki sana kaka

  • @stellah3844
    @stellah3844 ปีที่แล้ว +19

    Tanzania tuna vipaji sana sema hatupendi kuaminiana alafu tunawaamin wachina na vitu vyao feki

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 ปีที่แล้ว +2

      Nashangaa kwakwel

    • @deodartngaiza6664
      @deodartngaiza6664 ปีที่แล้ว +1

      Hongera sana Mtani wangu.
      Kama kuna uwezekano hebu tengeneza taa za SUZUKI ESCUDO/VITARA na SUZUKI GRAND VITARA taa za mbele na nyuma kwa mtindo wa kisasa.

    • @baseonline4178
      @baseonline4178 ปีที่แล้ว

      Hata hzo material anazotumia ni za mchina lkn

    • @saidijuma5843
      @saidijuma5843 ปีที่แล้ว

      @@deodartngaiza6664 Asante Sana, natengeneza taa zote

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 ปีที่แล้ว +14

    Na utafikia Malengo yako Mungu Akuongozee 🙏🙏🙏

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 ปีที่แล้ว +7

    mashaallah naleta taa zangu mara moja

  • @abuubakarnassor7793
    @abuubakarnassor7793 ปีที่แล้ว +1

    Allah akujaalie Said ufike mbali

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 ปีที่แล้ว +3

    Millady AYO wanajitaidi sana kunyanyua vipaji.
    ONLINE MEDIA NYINGI WAMEBAKIA KUHAMASISHA NGONO TU NA MAMBO YA KIPUUZI.
    JAMAA ANAFANYA KITU KIZURI TENA NI MTANZANIA MWEZETU LAKINI HUONI WAKIMSAPOTI

  • @rehemasaadan3450
    @rehemasaadan3450 ปีที่แล้ว +2

    Wow hongeraa sanaa 🔥🔥👏👏👏

  • @richinda4799
    @richinda4799 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana kijana, Mungu atakupa kulingana na mipango yake juu yako.Endelea kumwamini, kumuomba na kumshukuru kwa kila hatua unayofikia

  • @muddykuwe4123
    @muddykuwe4123 ปีที่แล้ว +1

    Viva viva viva brother

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki sana utabarikiwa kwa maono yako

    • @salamasefu5494
      @salamasefu5494 ปีที่แล้ว

      Inshaallah utafikisha malengo yako taratibu .utafahamika.hongera mungu akubariki

    • @saidijuma5843
      @saidijuma5843 ปีที่แล้ว

      Amina. Asante Sana

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 ปีที่แล้ว +10

    Huwaa nakubali sanaaaa navoona Vijana tunapambana maana hakuna namna Ni kuupiga adi kieleweke japo Ni Ngumu

  • @tifadent1112
    @tifadent1112 ปีที่แล้ว +7

    Good work 👏👏

  • @petersulle1937
    @petersulle1937 ปีที่แล้ว +3

    Hawa ndiyo wasomi, ambao amebuni jambo kubwa na kutengeneza ajira, leo tuna wasomi wengi wanatembea na bahasha. Safi sana Mungu akubariki.

  • @enockmwalugi5927
    @enockmwalugi5927 ปีที่แล้ว +5

    Kaka umetiiisha sana bosi wangu.

  • @meshackkalinga5915
    @meshackkalinga5915 ปีที่แล้ว +4

    Hongera pambana sana mungu akulinde

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla ปีที่แล้ว +5

    NI GOOD IDEA VIPI ANA VYOTENGENEZA AU KU REPAIR KUNA VITU VYA KUZINGATIA MFANO INTESITY YA LIGHT ,WAVELENGTH YA MWANGA MTU AKIWASHA TAA. MANAKE HVYO NDO VITU MUHIMU.

    • @daudiedsonrichard509
      @daudiedsonrichard509 ปีที่แล้ว

      hadi kuaminiwa na kampuni kubwa la usafirshaji basi ujue kila kitu kipo sawa

  • @tanzaniafxlab
    @tanzaniafxlab ปีที่แล้ว

    Najua lazima vipaji hivi ni vingi, asante milard kwa kutuibulia hawa, uendelezaji wa vipaji na upanuzi wa vipaji hivi ni muhimu sana

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 ปีที่แล้ว +3

    Manshahallah

  • @alexofficefurniture5797
    @alexofficefurniture5797 ปีที่แล้ว +2

    safi sana , Kazi Maisha

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 ปีที่แล้ว +1

    Serikali ingekuwa makini kuwekeza kwenye watu wenye vipaji hakika nchi hii ingegundua hata teknelojia yake"ila sasa watu wenye vipaji serikali haiwajali, iko bize Kuwaita bungeni walevi

  • @kassimungemba5830
    @kassimungemba5830 ปีที่แล้ว +5

    Mnaoomba namba kwani hamjaangalia video mpaka mwisho? Mbona namba zimetolewa kwenye hiyo video?!!!!

  • @iddirajabu4577
    @iddirajabu4577 ปีที่แล้ว +4

    Allah akubarik kaka

  • @Beautiful-Place
    @Beautiful-Place ปีที่แล้ว

    Africa tunaweza Mungu akubariki nakipaji chako ufanikiwe zaidi👍

  • @michaelodhiambo428
    @michaelodhiambo428 ปีที่แล้ว

    Keep it up my God bless your hands

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 ปีที่แล้ว +1

    Good kija bt suruhisho tengeneza nyingi zisambaze Kwa wauza spea za magari hapo ndo utakua umeriza coz Kila mwenye gari ikiharibika anakimbia dukani akienda huko anakukuta

  • @emanuelmichael1616
    @emanuelmichael1616 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana kaka. Hayo ni maono ya ajabu. Endelea kutangaza (redioni na TV) biashara maana wengi hawakufahm aisee naamini wateja wapo wengi sana

  • @walterp.makundi5640
    @walterp.makundi5640 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana kijana utafika mbali sana. Mungu azidi kukupigania. Sky is the limit

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 ปีที่แล้ว

    Safi sana vipaji hivo tuvienzi na kuvilinda mungu ibariki Tanzania..

  • @mohamedbashir4344
    @mohamedbashir4344 ปีที่แล้ว +3

    Kaka hongera angetupa number zake nahitaji number nimpe kazi nipo Kenya Nairobi

  • @danielmiano6798
    @danielmiano6798 ปีที่แล้ว

    Innovation at its best

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 ปีที่แล้ว

    Ongera Sana kijana kwa ubunifu mungu akusimamie katika upambanaji wako

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 ปีที่แล้ว

    Dongo hongera na chapa kazi, wadau tumekuelewa kuna siku utapata hata taa 500 kwa siku

  • @iTargetMediaCommunications
    @iTargetMediaCommunications ปีที่แล้ว +1

    Commendable innovation. How can we collaborate?

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว +2

    Napenda vijana wenye uthubutu

  • @frankngowi-vy7bx
    @frankngowi-vy7bx ปีที่แล้ว

    Hongera sana brother

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 ปีที่แล้ว

    Ukimwamini YESU Kuwa BWANA na MWOKOZI utaokoka na utaenda mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mzee

  • @jamesmugwanja1659
    @jamesmugwanja1659 ปีที่แล้ว

    African should unite and support each other on items they can manufacturer....sio kilakitu kununua china....and governments should offer assistant to such people

  • @christophergambi8639
    @christophergambi8639 ปีที่แล้ว

    Nakubali sana kaka tuko pamoja nimeipenda kazi yako

  • @hudsson75
    @hudsson75 ปีที่แล้ว +1

    Hapo anatakiwa aongeze kitu kinaitwa vacuum forming machine, itamsaidia sana kupata shape ya taa kirahisi na kwa ubora zaidi

    • @1stnews283
      @1stnews283 ปีที่แล้ว

      Kaka pls embu nipe link ya hiyo vacuum forming nachine maana zipo nyingi

  • @abelmwangangi5808
    @abelmwangangi5808 ปีที่แล้ว

    Kuja Kenya boss kazi iko mingi

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 ปีที่แล้ว +1

    Hongera mnooo

  • @nassirali7499
    @nassirali7499 ปีที่แล้ว +1

    Nyinyi waandishi wasenge sana mwenyewe anasema kafika form 2 nyinyi mnaandika kaishia la 7, mbona mnaleta usenge mnakosa maadili ya habari?

  • @mabuyewakabalekyamtwara5205
    @mabuyewakabalekyamtwara5205 ปีที่แล้ว

    Hongera sana keep it up

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 ปีที่แล้ว

    Mungu akuinue zaidi

  • @Bojak079
    @Bojak079 ปีที่แล้ว

    Respect

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 ปีที่แล้ว

    Kijana said mungu akuongezee maarifa zaidi, maana umeonyesha ushujaa

  • @ameirdarueshi2593
    @ameirdarueshi2593 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 ปีที่แล้ว +1

    Ila kigoma Kuna vipaji sana

  • @kamanda007
    @kamanda007 ปีที่แล้ว

    Safi sana, sasa nunua machines za hiyo kazi ili zionekane vizuri zaidi na kazi iwe ya haraka, hakuna kurudi nyuma mpaka ufungue kiwanda kikubwa cha taa za magari

  • @ShaskaMakota
    @ShaskaMakota ปีที่แล้ว

    Duuuh noma SANA

  • @0107Funkid
    @0107Funkid ปีที่แล้ว +1

    Kuishia La Saba ni shida!!!!!isack newton aliishia la ngapi mnikumbushe?😏

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 ปีที่แล้ว +4

    Mjomba upo vzur

  • @rauliandismasi4027
    @rauliandismasi4027 ปีที่แล้ว +2

    Ongera sana broo, je mawasiliano tunayapata vp?

  • @sabasshayo
    @sabasshayo ปีที่แล้ว

    Hiyonikazi nzuri sana, sanene pande gani upo tukutembelee.

  • @soothingrelaxingtime8976
    @soothingrelaxingtime8976 ปีที่แล้ว

    Njoo Nairobi tutengeneze pesa

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo6563 ปีที่แล้ว +1

    Kwa siasa za kibongo navozijua mm huyu ataambiwa akasome veta wakat huko veta kwenyewe hawana utaalam huo bado kila kitu kwetu ni siasa tu

  • @mosesnjorosh9717
    @mosesnjorosh9717 ปีที่แล้ว

    Vip namna ya kuwasiliana nae kwajili ya huduma iyo?

  • @simaiabdala6565
    @simaiabdala6565 ปีที่แล้ว +1

    Namba za sim

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 ปีที่แล้ว

    Tz. Wapo vijana wengisana wenye vipani ila tatizo nchiyetu inamaindi Sana vitu vya njeya tz

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 ปีที่แล้ว

    Nimependa iyo

  • @karibupemba5981
    @karibupemba5981 ปีที่แล้ว +2

    Weka namba zako za simu

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 ปีที่แล้ว +1

    Watanzania tunavipaji na tunauwezo mkubwa wakufanya mambo makubwa sana, tatizo SERIKALI yetu haisapoti vijana kama hawa kabisa. Ndio kwanza wataanza kumwekea vikwazo kama Ukren na Urusi😏 Wanatia hasira 😠😠 Wakati China kijana kama huyo tayari angesha wezeshwa mitambo ya kisasa kurahisisha kazi zake na kuongeza ajira kwa vijana wengine.

  • @0610John
    @0610John ปีที่แล้ว

    Ametisha lakn kwenye bei ajalibu kupandisha

  • @mlionea
    @mlionea ปีที่แล้ว

    Njoo kenya

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 ปีที่แล้ว

    Safi sana!!

  • @hassangauday6272
    @hassangauday6272 ปีที่แล้ว

    Hongera haisee

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo9527 ปีที่แล้ว

    Good work ila sijawai ona serekali ikishulika vizuri na awa watu kidogo msema kweli JPM alikuwa aikiwapa sapoti

  • @rashidmsuya5721
    @rashidmsuya5721 ปีที่แล้ว

    nakubali sana mwamba uyo

  • @josephmwamalumbili8011
    @josephmwamalumbili8011 ปีที่แล้ว

    Mtu wa Mungu naomba namba zako Nina TAA MBILI za platzi naomba tuwasiliane

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 ปีที่แล้ว

    Usicheze na mtu wa Kigoma popote pale duniani asante sana homeboy

  • @soaregttz65
    @soaregttz65 ปีที่แล้ว

    Hapo Elimu sio issue muhimu anafanya nini mnakosea kuuliza watu elimu wakati anachofanya ndio Elimu yake hongera sana Elimu isikukatishe tamaa hicho unachofanya ni zaidi ya Phd

  • @jumamwaya5524
    @jumamwaya5524 ปีที่แล้ว

    Naomba msaada wa namba please ninashida taa za Mazda

  • @mansoursuleiman7999
    @mansoursuleiman7999 5 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba namba ya sm tunataka huduma

  • @michaelodhiambo428
    @michaelodhiambo428 ปีที่แล้ว

    Am from Kenya I would like to have your contacts

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 ปีที่แล้ว

    Ni kweli kabisa wasomi wengi, hawawezi kitu, Kuna akili za kusoma na akili za maarifa! Kwa watu weusi wenye akili za kusoma Huwachukia wenye akili za maarifa, maana mwenye akili za maarifa anatafuta elimu kidogo anaifanyia kazi kubwa.

  • @wilsonchallange4420
    @wilsonchallange4420 ปีที่แล้ว

    Namba ya simu

  • @mshua337
    @mshua337 ปีที่แล้ว

    Millard mshauri Jamaa atafute mtaji awe anatengeneza taa za gari ndogo anaziuza.mteja akifika anafungiwa na kuondoka

  • @eizerbitz6715
    @eizerbitz6715 ปีที่แล้ว

    anatengeneza taa au anatengeneza lens? taa na lens ni vitu viwili tofauti. ila hongera sana mungu azidi kukusimamia ufike mbali zaidi

    • @kibokibosho7476
      @kibokibosho7476 ปีที่แล้ว +1

      icho ni kiswahil

    • @eizerbitz6715
      @eizerbitz6715 ปีที่แล้ว

      @@kibokibosho7476 taa ni nyingine na lens ni nyingine kaka. kwenye miwani lens ni taa? kwenye camera lens ni taa? kwenye microscope lens ni taa? kwenye jicho pia kuna lens... hivi ni vitu wiwili tofauti kabisa. kuna taa na aina zake pia kuna lens na aina zake. ingia hata google basi uone tofauti zake. kwenye gari tuna lens na ndani yake inaweka taa (bulb) ambayo unapenda iwe nyekundu, nyeupe, LED nk.. ahsante

  • @avelindaniel2692
    @avelindaniel2692 ปีที่แล้ว

    Big up bro

  • @yusuphmruma1232
    @yusuphmruma1232 ปีที่แล้ว

    Namb za mshikaji napataje

  • @JohnMwangi-jv3pp
    @JohnMwangi-jv3pp ปีที่แล้ว

    Naomba nafasi ya kusoma huu ufundi , natoka nairobi , nipe jibu

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 ปีที่แล้ว

    Mild ayo naomba namba zake uyo mwamba nifanye nae biashara

  • @nelsonkileo3247
    @nelsonkileo3247 ปีที่แล้ว

    This is Big

  • @hamisihassankengejr4375
    @hamisihassankengejr4375 ปีที่แล้ว

    Wachina mwisho wenu umefika tunatengeneza wenyewe na hazipauki kama zenu bei rahisi
    Mspoti mtanzania mwenzako Kwa manufaa ya taifa

  • @nyembomajid1262
    @nyembomajid1262 ปีที่แล้ว

    magu alisema tunaweza lakini tatizo letu hatuna marifa

  • @fawazmateb1797
    @fawazmateb1797 ปีที่แล้ว +1

    Naomba number zake

  • @moshirayheem8449
    @moshirayheem8449 ปีที่แล้ว

    Umeubinda mwingi sn kak

  • @racmyco6501
    @racmyco6501 ปีที่แล้ว

    Kurusha hii clip ndo kosa, TRA wapo njiani wanakuja

  • @erickmalamsha6938
    @erickmalamsha6938 ปีที่แล้ว

    Hii idea ni kubwa sana tupatie namba zake

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 ปีที่แล้ว

    Mbagara kuna nini vipaji vyote mbagara mmmm mbagara

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ ปีที่แล้ว +1

    Mbona ni mambo yamuda sana ayo jamani

  • @faridsalehmohamed1230
    @faridsalehmohamed1230 ปีที่แล้ว

    Weka namba ya simu