AYOTV ILIVYONASA MAGARI KUTOKA DUBAI YAKISHUSHWA NA AIR TANZANIA CARGO ZAMBIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2023

ความคิดเห็น • 178

  • @harunaathuman2189
    @harunaathuman2189 8 หลายเดือนก่อน +12

    Kazi nzuri ya jemedari wetu JPM,,Hapa kazi tu

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 8 หลายเดือนก่อน +15

    VIVA uncle magu pumzika kwa amani ama kweli uliona mbali sana mzee wangu yani ulichokifanya kinaonekana

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 หลายเดือนก่อน +39

    Matunda ya JPM Pumzk pema baba daima tutakumbuk 🙏

    • @hemedramadhan9365
      @hemedramadhan9365 8 หลายเดือนก่อน

      matunda ya mama simia. sasa hv ni zamu ya mama ndugu yangu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      @@hemedramadhan9365 kwani ile ndege ya mizigo ilioagizwaga ikawa inasafirisha minofu ya samaki kutoka mwanza kwenda nje ya nchi iko wapi??!!

    • @ototek8037
      @ototek8037 8 หลายเดือนก่อน

      @@hemedramadhan9365 sasa afanye yake tuyaone, haya ni mawazo ya jpm na alifaliki ndege zikiwa zimelipiwa na zikiwa kwenye matengenezo, mbaya zaidi baada ya samia kuingiza majambazi serikalini walibadili mikataba na kuongeza bei za matengenezo.

    • @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
      @ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 8 หลายเดือนก่อน

      magufuli yupo au amezinduka kutoka kaburini

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @saidjesh51
    @saidjesh51 8 หลายเดือนก่อน +17

    Naziona plans za Magufuri

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 8 หลายเดือนก่อน +9

    Viva John Pombe Magufuli, Viva Benjamin Mkapa Viva Julius Nyerere 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 8 หลายเดือนก่อน +17

    Jpm pumzika salama maoni Yako tumeyaona

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 8 หลายเดือนก่อน +11

    Ndege ya magufuri sio awamu ya SITA msipotoshe

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 8 หลายเดือนก่อน

      Ndege ameleta samia unasema magufuli?? Magu who???

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน

      Kumbe ndo ninyi mliokuwa mnaamini nchi hii ni ya magufuli!Kama unakereka,unaonaje ukijinyonga?

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@davidsika5292utatijua awamu ya 5 ndo kika kitu

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 8 หลายเดือนก่อน +9

    pongezi nyingi kwa viongozi wetu🇹🇿

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 หลายเดือนก่อน +24

    Awamu ya sita imepokea tu mnunuzi ni Magufuli R.I.P Mzalendo umeondoka kimwili lakini uko hai milele

    • @kassimualli1755
      @kassimualli1755 8 หลายเดือนก่อน +1

      Msenge wewe

    • @LukovaMadubo
      @LukovaMadubo 8 หลายเดือนก่อน +4

      ​​@@kassimualli1755
      Kaka hoja haipigwi rungu,matusi ya nini?
      Kama una hoja kinzani na mwezio lete maana hili ni jukwaa huru la majadiliano.
      Matusi ni dalili ya kukosa hoja za msingi.Kama unadhani anachosema jamaa ni uongo tupe ukweli wako ili kuupime

    • @giftphilip8357
      @giftphilip8357 8 หลายเดือนก่อน

      @@LukovaMadubo kwan huyo aliye msifia alivyo kua anapewa hoja na upizan alikua anajibu hoja kwa hoja? Tanzania n hii ya awam ya 6 sasa nch yetu ya aman ulisha sikia tena mambo ya wasiojulikana???

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน

      Mnaowaza Kwa kutumia makalio badala ya akili mtaendelea kuteseka

    • @mlalikwabiswalo7804
      @mlalikwabiswalo7804 8 หลายเดือนก่อน +3

      Zote hizo mwamba alishalipia aliacha zinatengenezwa awamu hii imefanya mapokezi mbona mama alisema na akaainisha ndege zilizokuwa bado hazipokelewa wakati ana hutubia bunge Sasa nashangaa watu mnatukana nn

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 8 หลายเดือนก่อน +31

    Ndege Ilinunuliwa na awamu ya tano ,imepokelewa na awamu ya sita ,,,,,Serikali iache kuficha mazuri ya magufuli..

    • @athumanisaid759
      @athumanisaid759 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuwa pekeake

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 8 หลายเดือนก่อน +3

      @@athumanisaid759 wewe ni lini ulisikia magufuri ana enziwa na hii serikali ?? .amefanya mangapi makubwa.....

    • @BarakaWicklifu
      @BarakaWicklifu 8 หลายเดือนก่อน

      😅😅

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 8 หลายเดือนก่อน

      Unataka aenziwe kivipi😂😂. Tunamuenzi kwa kuendelea kuficha mabaya aliyofanya

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 8 หลายเดือนก่อน

      Afya ya akili.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 8 หลายเดือนก่อน

    Weeeee hapana chezea🎉🎉🎉🎉🎉tanzania pambe 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🎉🎉

  • @musocar408
    @musocar408 8 หลายเดือนก่อน +13

    Hongera air tanzania lakini baadae ripoti ya cig 😂

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera rais samia kazi iendelee

  • @josephmuchangi3674
    @josephmuchangi3674 8 หลายเดือนก่อน +2

    So interesting.Nice job

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 8 หลายเดือนก่อน +10

    Good Tanzania from 🇧🇮👊🖤

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 8 หลายเดือนก่อน +34

    Afu Kuna wapumbavu Fulani wanakaa vijiweni anaanza kuponda ndoto na juhdi kubwa za hayati magufuri! Bila kujua historia ishaandikwa! Bila kujua kwamba magufuri alikufa ila kazi zake zinaishi! (R i p mwamba wa uchumi tz)

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 หลายเดือนก่อน

      Tunachotaka ndege ziende ulaya na America huko ndokunabiashara kubwa achakutuita wapumbavu

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน

      Hii ndege imenunuliwa na magufuli?Alileta ndege ngapi za mizigo?

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 หลายเดือนก่อน

      @@yakobokuzenza6837 sema serekali Ili nunua makufuli alikua anafanya biashara ipi Hadi anunue? Ndege au sema Kodi ya watanzania ndo imenunua ndege

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@yakobokuzenza6837 yes imenunuliwana JPM na wakati hajafariki alisema kwamba ameagiza Ndege ya Mizingo na nyingine za abiria

    • @ebraniacosmosy2072
      @ebraniacosmosy2072 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@yakobokuzenza6837 rudi nyuma kidogo kwenye hotoba za jpm utajifunza kitu kuhusu hiyo ndege... Jpm alishafanya kila kitu mama anatimiza ndio tunachoshkuru.

  • @catchall9364
    @catchall9364 8 หลายเดือนก่อน +5

    Ni jitihada nzuri na mwanzo mzuri lakini hizi ndege za mizigo zilenge zaidi kusafirisha nje bidhaa na mazao ya nchini kwetu yanayoharibika haraka kama vile samaki, nyama, maua, mbogamboga, n. k. hapo itakuwa inapiga ndege wawili kwa jiwe moja.

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 2 หลายเดือนก่อน

      Kwenye samaki hapo unakosea kwanini wasafrishe kitoweo cha samaki wakati sisi tunakula mifupa ya samaki wangetengeneza utaratibu wa kuuza hapa hapa kwanza kabla ya kwenda nje ya nchi maana sie wenyewe hazitutoshi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 8 หลายเดือนก่อน

    Duuuh hongera sana maana nakupenda bure. kaz iendelee.

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 8 หลายเดือนก่อน +15

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:(-10).

    • @daslamonline4665
      @daslamonline4665 8 หลายเดือนก่อน +3

      Inaingiaje hapa habari za yohana 🙄

    • @Shilangadi
      @Shilangadi 8 หลายเดือนก่อน +3

      Wakujuwe wewe Mungu wa kweli na pekee na Yesu Kristo ulie mtuma

    • @greatpsychologisttz
      @greatpsychologisttz 8 หลายเดือนก่อน

      amen amen

    • @bernadethadouglasmbala2392
      @bernadethadouglasmbala2392 8 หลายเดือนก่อน

      Amen amen

    • @tukuyufm
      @tukuyufm 8 หลายเดือนก่อน

      amen mtumishi wa mungu

  • @ElinathanEdward-tm6bs
    @ElinathanEdward-tm6bs 8 หลายเดือนก่อน +14

    Tunaji vunia hiyo ndege maana imekuwa alama kwa uchumi wetu

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 8 หลายเดือนก่อน

      Tuji vunie nini ndege katiba mpya Tanzania

    • @MsaudiaShabani
      @MsaudiaShabani 8 หลายเดือนก่อน

      Katiba Mpya inakusaidia nini wewe

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 8 หลายเดือนก่อน

      @@MsaudiaShabani usiji ngambe kitu usijo kijua samani yake maybe you should no understand everything new katiba mpya

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera mama kazi tunaiona big up

  • @deokibaji6584
    @deokibaji6584 8 หลายเดือนก่อน +1

    Haya ndio mambo yanatikwa kusikika kuhusu nchi yangu Tz.

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 หลายเดือนก่อน

    Congratulations ❤❤🇹🇿🇹🇿. Home sweet home ✈️✈️

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga6370 8 หลายเดือนก่อน +1

    Very nice 👍🙂👍🙂

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 8 หลายเดือนก่อน +1

    Big up sana

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 8 หลายเดือนก่อน +7

    nataka tununue ndege yamizigo Ili ndugu zangu na watani WANGU tusafirishe matunda mboga mboga mpaka vipepeo YANI kilakitu tutasafirisha.....daaaa nikweli.

    • @stayupethan6216
      @stayupethan6216 8 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂hii imeenda tutasafirisha mpka ndoo za maji

    • @levux_media
      @levux_media 8 หลายเดือนก่อน +1

      😹😹😹😹😹😹😹watani mjuaneee mapemaa

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani hii ni ndege ya kusafirisha nn?

    • @stayupethan6216
      @stayupethan6216 8 หลายเดือนก่อน

      @@yakobokuzenza6837 ya kusafirisha hamas😂😂 baada ya kuchimbuliwa

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyezi tunakuomba umpe umri mrefu SSH na wote wanao msaidia kazi , na uwape afya njema ili waweze Kutuongoza kwa umakini na hekima

    • @kefamwakipesile275
      @kefamwakipesile275 8 หลายเดือนก่อน

      Kwani ssh wako anahusika nini kwenye hili jambo

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 8 หลายเดือนก่อน +1

    KAZI IENDELEE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Haters bado wanalia tu USIKU na MCHANA

  • @BarackIsmailJoseph-zy6ep
    @BarackIsmailJoseph-zy6ep 8 หลายเดือนก่อน +3

    Viva tanzania

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 8 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendelee

  • @herykauli1004
    @herykauli1004 8 หลายเดือนก่อน +3

    Ndege ilinunuliwa na serikali ya awamu ya sita😢? Wacheni ukilaza. Mnafikiri hatujui kama ilinunuliwa awamu ya tano.

    • @athumanisaid759
      @athumanisaid759 8 หลายเดือนก่อน

      Na mama alikuwepo kwenye serekali ya awamu 6 alifanya kazi pia msisahau

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 8 หลายเดือนก่อน

      @@athumanisaid759 kweli alikuwepo ila mbona baada ya yeye kushika usukani mambo yanaenda mwendo wa kinyonga? Kiufupi anaitaji nguzo Ili mambo yaende Tena mchakamchaka!

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน

      Ww ndiyo kilaza.Hujui kuwa unawaza Kwa kutumia mavi yaliyojaa kichwani mwako?

    • @herykauli1004
      @herykauli1004 8 หลายเดือนก่อน

      @@athumanisaid759 unafikiri yeye ndio angekuwa rais wa awamu ya tano angenunua hizi? Be honest broo.

    • @herykauli1004
      @herykauli1004 8 หลายเดือนก่อน

      @@yakobokuzenza6837 hahahaha, hapa ndipo uwezo wako ulipofikia au vp?

  • @kubwalao5049
    @kubwalao5049 8 หลายเดือนก่อน +4

    Naomba raisi wetu aongeze ndege ingine ya mizigo hii itazidiwa na mizigo

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo sawa kabisa

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 8 หลายเดือนก่อน

    Tunapiga mkwanja kwa biashara ya cargo kama nchi...hongera madam president

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 8 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 8 หลายเดือนก่อน

    Very nice

  • @NextoEmanuel-hw7jq
    @NextoEmanuel-hw7jq 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna jipya hapo😂😂😂😂

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi 8 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 8 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa muda wangu wa kununua gari

    • @idrisaibrahim9155
      @idrisaibrahim9155 8 หลายเดือนก่อน

      Unapiga mwingi mama namupenda sana mama samia

  • @user-qj4us1un7d
    @user-qj4us1un7d 8 หลายเดือนก่อน

    A220 😊 proud of my country

  • @issaabdalla152
    @issaabdalla152 8 หลายเดือนก่อน

    Asanteni sana we unstoppable

  • @SaidMkashari
    @SaidMkashari 8 หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum Mashaallah our Tanzania namba zao zipo wapi?

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 8 หลายเดือนก่อน

    Gari Moja ni milioni 80 wakilipia milioni 10 Kila gari kwa milioni mia gari = 10

  • @hassanabdullah2191
    @hassanabdullah2191 8 หลายเดือนก่อน

    Watazania ni washaba sana awajawai kuona ndege ikibeba gari

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tutaenzi mazuri yako

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana kazi iendelee

  • @user-wu3vr5zt5g
    @user-wu3vr5zt5g 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nasubiri ripoti ya c.a.g then ntatoa pongezi kwa makufuli

  • @Happy-tx7p
    @Happy-tx7p 8 หลายเดือนก่อน

    Wekeni pia jmn safar za abiria tz to Dubai tumechoka kutumia ndeg za nchi nyingine sy mizigo tu

  • @user-ki7hd3lg2q
    @user-ki7hd3lg2q 8 หลายเดือนก่อน

    Kila kitu kizuri anachofanya Samia ni cha magufuli ila akifanya baya ni yy acheni mambo ya ajabu . Msifieni anayofanya kwa wakati wake kama mama anafanya msifieni kama

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 8 หลายเดือนก่อน

    Ndege sio meli

  • @avitmusic7318
    @avitmusic7318 8 หลายเดือนก่อน

    Kwishaaaaaa

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 8 หลายเดือนก่อน +1

    Iwapo ndege moja tu ya @AirTanzania ya watanzania imeweza kufanikisha mzigo wa magari sita, @TPA pia ya watanzania inashindwa nini kuhudumia mizigo ya bandari hadi waitwe waarabu wa DPW?

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน

      Ukiwa unawaza Kwa kutumia makalio usiwe unaongea

    • @egdldm4981
      @egdldm4981 8 หลายเดือนก่อน

      @@yakobokuzenza6837 Kumbe akina Kuzenza nao ni miongoni mwa majizi ya nchi hii?

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 8 หลายเดือนก่อน

    Huwa inabeba magari madogo mangapi kwa ujumla

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 8 หลายเดือนก่อน

    Gharama za kawaida ni kiasi gani?

  • @khamisiabdallah8737
    @khamisiabdallah8737 8 หลายเดือนก่อน

    Sasa hii ripot ya cag inakujaga na hasara zinatokaga wap

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 8 หลายเดือนก่อน

    Aah nilizani mnaharibu dili za watu

  • @user-ok3ws8jl2s
    @user-ok3ws8jl2s 8 หลายเดือนก่อน +2

    Saivi Haina haja ya kuagiza kwa meli mwezi mzima gari lipo baharini wakati kitu masaa sita kimetua au mpya pekee ndio zinapakiwa?

    • @oklahommy9838
      @oklahommy9838 8 หลายเดือนก่อน

      Hujasoma economy thats y

    • @oklahommy9838
      @oklahommy9838 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kuagiza kwa meli its more cheaper than ndege

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 8 หลายเดือนก่อน +1

      MiMi huwa napakia kwameli teena ordinary ya 45 sasa kwa ndege wajua garama yake nijuu mno😮

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 8 หลายเดือนก่อน

    Nasisi tupeleke bizaa zetu moja kwa moja nnje siyo kuleta tu nitapeleka mchicha marekani na mihogo china na asali wingereza

  • @SamsonChipata-ov9ml
    @SamsonChipata-ov9ml 8 หลายเดือนก่อน

    Maendeleyo hayo

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi ndo vitu tunavitaka sasa

  • @hellenjohn7306
    @hellenjohn7306 8 หลายเดือนก่อน

    Huyo charii kujieleza hajui kabisa

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 8 หลายเดือนก่อน

    Kelele zote izo qar zenyew tano
    Bonqo kazi ushamba tu.
    Lkn ata ivo hii habar millard imeka kiuchawa

  • @DagrasKaragane
    @DagrasKaragane 8 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 8 หลายเดือนก่อน

    Imeshaingiza hasara kiasi gani? Maana huwa hampati faida kabisa

  • @RobartValimba
    @RobartValimba 5 หลายเดือนก่อน

    Kama hujui tulia hii imebena magar 18

  • @frankrowland2884
    @frankrowland2884 8 หลายเดือนก่อน +1

    Swali la msingi ni mteja ananufaikaje na pia shirika letu linapata faida sio baadae mseme mnafanya kazi kwa hasara

    • @levux_media
      @levux_media 8 หลายเดือนก่อน +1

      FACT

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 3 หลายเดือนก่อน

    Hivi kumbe ndege ni kitu kingine aise!! Ina nguvu kubwa kwelikweli hii ndege. Haya magari yako kama 10 hivi afu inabebwa na ndege hahahahahahaa kwani ndege ni chuma au hahahahahahaaa

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 8 หลายเดือนก่อน

    Hapo hamna kitu,limbukeni mmeanza kuropaka

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 8 หลายเดือนก่อน

    Kinachoshangaza faida haionekani pamoja na mikazi yote hiyo

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 8 หลายเดือนก่อน

    Ndege ya mizigo itapiga hela

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 8 หลายเดือนก่อน +1

    Si ajabu tukielezwa baadaye kuwa shirika linajiendesha kwa hasara.

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu 8 หลายเดือนก่อน

    Hii Nchi kubwa tupo level za kimataifa 🇹🇿🇹🇿 Msifananishe Tz na Mataifa Mengine 💪💪

    • @martinstarford6209
      @martinstarford6209 8 หลายเดือนก่อน

      unamanisha nchi Kama gani inayo taka kujifananisha na tz

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 8 หลายเดือนก่อน

      Ni sawa mimi ni tz lakini msijizime data Kenya nao wako vizuri from kitambo Tushukulu JPM magu Aliitengeneza nchi ila Kenya pia wako Vyema mno🇹🇿 🇰🇪🙏🙏🙏

    • @martinstarford6209
      @martinstarford6209 8 หลายเดือนก่อน

      @@SophlaJackson-nt1nc Sasa tz lazima kila kitu tukilinganishe na Kenya mbona tusilinganishe na uganda ama Rwanda nchi ngapy zinazinguka tz Ila tu Kenya

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 8 หลายเดือนก่อน

      @@martinstarford6209 nikweli ni nchi ambazo Zinakua kwa kasi ndyo maana watu Uzilinganisha 🙏

  • @bongo39
    @bongo39 8 หลายเดือนก่อน

    Tuwacheni umbea wanaume wazima hata aibu hatuna kila kukicha maneno kisitokee kitu lawama maneno mama hivi mama vile fanyeni kazi tujenge nchi ya kwetu yanatushinda tunafatila ya jirani majungu tuu mwisho ndio mnagauka kuwa wanga wachawi

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui 8 หลายเดือนก่อน

    sasa badala ya kusubir magar miez miwil bandarin tunasubir masaa 6 tu

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 8 หลายเดือนก่อน

      Sio kwenye garama nakuaidi utaludi kwenye meli tuu uo mfumo niwa Muda ila sema MRI kuwa hamna icho chombo tuu

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 8 หลายเดือนก่อน

    WEWE ONGEA VIZURI ACHAKUONGEA KAMA NN SIJUI WEWE SI UNAONEKANA MSUKUMA KABISA

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 8 หลายเดือนก่อน

    KUNA USIRI WA KUMPONDA SANA SAMIA! LAKINI ATAKAPO MALIZA MTAMKUBUKA SANA!!😢

  • @hebronmwamwaja7660
    @hebronmwamwaja7660 8 หลายเดือนก่อน

    Atuna faida nayo

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 8 หลายเดือนก่อน

      Kwenye ukoo wenu tu huna faida utakuwanafaida na nchi unajaza choo

  • @abdullahmanalex2306
    @abdullahmanalex2306 2 หลายเดือนก่อน

    Jpm

  • @user-ju9tl9jd5k
    @user-ju9tl9jd5k 8 หลายเดือนก่อน

    Aa

  • @patricktozzo4444
    @patricktozzo4444 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi taarifa zimfikie tundulisu na jopo lake

    • @levux_media
      @levux_media 8 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bado slaaa

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 8 หลายเดือนก่อน

    HALAFU TUSIKIE WAMEPATA HASARA

  • @KelvinKatembo-bj4md
    @KelvinKatembo-bj4md 7 หลายเดือนก่อน

    Chukua

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 8 หลายเดือนก่อน +1

    haya magari au scraper? magari ya miaka ya 80

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 8 หลายเดือนก่อน

      Ya Wazambia wewe yanakuhusu nini hata kama yakizamani

    • @williamkeita1519
      @williamkeita1519 8 หลายเดือนก่อน

      Unahata baiskeli weewee😂😂😂😂

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 8 หลายเดือนก่อน

      @@williamkeita1519 sio una sena huna
      Sijui jitu la wapi hili au Mburundi
      Usichokijua nawaza lisha wewe na familia yako yote eti Baiskeli labda niambie Ferari

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@minicooper9642 mwambie huyo kaka Wanadharau saana hawa mimi naamini wewe tajiri mkubwa saana MUNGU aku baliki saana🙏🙏🙏

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 8 หลายเดือนก่อน

      Ww unayo mangapi kuma la mama yako?

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 8 หลายเดือนก่อน

    Acheni ushamba watanzania cha ajabu nini ??? Umaskini wa akili ni kitu kibaya sana

    • @user-zk1ho5ig2c
      @user-zk1ho5ig2c 8 หลายเดือนก่อน

      Masikini waakili niww nawakende wenzio malaya mombasa ndotoni kweendraa hayawani ww