Nilienda kutafuta maisha Dubai mwaka jana nikiwa naishi Deira, ila nilirudi nyumbani baada ya miezi 3 kwa kuwa huko watu maskini wanateseka sana. Lakini hivi najiandaa kurudi Dubai na ni bora nife nizikwe huko. I love Dubai na nina ndoto ya kuishi ndani ya BurjKhalifa
lakini pya tz shida kubwa Kody magali ya Japan hayana bei kiivo kule unaweza ukanunua V8 mtumb ambayo imetembea kidog2 kama km 10000 au chini ya hapo pengne kwa bei ya milioni 150 au 130 ila ukileta hapa ukijumlisha gharama mpaka inatoka pale dar Salam inafka mpaka mlimani 310 hapa kwetu ndio shd lst kule mpaka dollar buku unapata leta hapa sasa
ila inategemea gari model gani mana mfano Benz kuna moja yenye ukubwa kama crown Tani Nane ina cost bilion 2.5 mpka tatu.5 kwaiy sio mkisikia Benz mnajua Niyoyote sio kweli
Hata hapa South Africa tunazitumiya kama, uber black. Ni all over the world ambapo uber ipo zinatumikaga sababu yakutafautisha ambaye ana ela na asiyekuwa na ela
Akuna nchi akuna masikini ila utofauti unakuja kulingana na hali ya ubinaadamu huko mtu kuteseka sirahisi snaa kwa sabab wana kilimiana sana kimsingi wan thaminiana sana
Chakwanza Dubai nimji mkubwa na tajiri duniani ko Kwa hayo magari ni halali sio kama kwetu tz pkpk tu mashahidi 10 zamana isohamishika aaaaa hzo ndizo nchi
Kwan hapo kuwa tax nn kimeharibika mana ananunua gar nzur ili abebe abiria wa gharama kubwa kuliko tax za kawaida!! Nkama vile uamue kuborexha boda boda Yako unaamu kuachana na sanelog au king Lion unamua kununua TVS!
Hata huko south africa nikweli wamendelea lakin bado hawajafikia levo ya kuwa na mgari ya zaidi ya milion400 alafu yakawa taxi bado alafu sasa sio taxi moja zipo nyingi taxi zote za kifahari tupu
Mbona ww umecoment kwa kiswahili? Comment kwa english km yy alivyoongea kwa english halafu ndo tujue ww na yy nani anastahili kumkisoa mwenziwe. Mbuzi ww!
Dereva mwenyew anajua hayo magari ni expensive cars
Mbona mbali uko zanzibar tu noma
Nilienda kutafuta maisha Dubai mwaka jana nikiwa naishi Deira, ila nilirudi nyumbani baada ya miezi 3 kwa kuwa huko watu maskini wanateseka sana. Lakini hivi najiandaa kurudi Dubai na ni bora nife nizikwe huko. I love Dubai na nina ndoto ya kuishi ndani ya BurjKhalifa
Duu Hata ndoto sina zaidi ya America tena marecani nanicho mshukulu MUNGU Mimi mfanya biashala Niko nje yanchi siko tz 🙏🙏😔
Good ideas madam 😂
Kuish au kuja kulala siku moja burj Khalifa. Big dream safi sana
@@user-nb6yh2bn9ybecarefull in emerica 😂
Ko so tufanyaje?? Kafie mbele😅😅
🙌🙌 #millardayo mpaka dubai noma
GMS Ndo gari gani hiyo🙆🏾♂️😆 Au unaongelea GMC
Anzingua uyu gms 😂😂
Ww ndio bangi yeye kaandika gmc na sio hivo unavoongelea ww kobe.
@@fredykaitani595 😆..Nani kasema kuandika.. sasa wewe Ndo Bangi kabisaaaa😆 Sababu alichotamka ni tofauti..acha kurukia vitu.
Ama kweli tz bado sana tupo nyuma
Na hao wengi sio waarabu wa Dubai ni wapakistani hata wauza simu wengi wapakistani
lakini pya tz shida kubwa Kody magali ya Japan hayana bei kiivo kule unaweza ukanunua V8 mtumb ambayo imetembea kidog2 kama km 10000 au chini ya hapo pengne kwa bei ya milioni 150 au 130 ila ukileta hapa ukijumlisha gharama mpaka inatoka pale dar Salam inafka mpaka mlimani 310 hapa kwetu ndio shd lst kule mpaka dollar buku unapata leta hapa sasa
shida kule left hand.
Dubai,Qatar, Saudi hayo magari ni Taxi kesha ata police car ni magari ya kifahari
Nikweli hata hapa Qatar ndio tex na Uber
Limousine 😂😅
Hi
@@valencedomitian7950 hi
😂😂😂😅
Brother Millard vijana wapate hata basic ya Lugha. Wanaenda kimataifa sasa.
ila inategemea gari model gani mana mfano Benz kuna moja yenye ukubwa kama crown Tani Nane ina cost bilion 2.5 mpka tatu.5 kwaiy sio mkisikia Benz mnajua Niyoyote sio kweli
Nenden Marekani mkajionee magari yakifahari mtashangaa
Qatar kuna mambo ya kushangaza njoo ujionee
Ucchokijua kuhusu nchi za uarabuni...mali zinamilikiwa na wachache sanaaa
Hata hapa South Africa tunazitumiya kama, uber black. Ni all over the world ambapo uber ipo zinatumikaga sababu yakutafautisha ambaye ana ela na asiyekuwa na ela
Hakuna gar ya kifahari: ufahari ni gharama tuu ambazo zinaeza kuepo kutokana na kodi , au mlipo yaziada.. (trekta nayo nigari yakifahar)
Ivi Dubai Kuna maskini kweli
Uae hkn masikin maan wafalme wa majimbo yote 7 ikiwemo Dubai wanawazingatia sn sn raia wao..tofauti na nchi zetu za kiafrika
Jamani. Huyo anaye hojiwa ni fukara.
Akuna nchi akuna masikini ila utofauti unakuja kulingana na hali ya ubinaadamu huko mtu kuteseka sirahisi snaa kwa sabab wana kilimiana sana kimsingi wan thaminiana sana
Akuna sehemu inayo kosa masikini
Na ukitaka kununua kutoka huko?
Dubenga🙏
Chakwanza Dubai nimji mkubwa na tajiri duniani ko Kwa hayo magari ni halali sio kama kwetu tz pkpk tu mashahidi 10 zamana isohamishika aaaaa hzo ndizo nchi
Kwaiyo naire ya mond tex daa
Wacha kusema nyumbani Tanzania...Sema duniani kwa sababu hayo magari ni ya kifahari kweli ila hao warabu wanaela za mafuta wanachezea tuu.
hahahaha nomaaa sanaa
Apo kama ya bilinas. Tengua kauli
Hapa mbulu karatu sisi tunayumia kama bajaji ya kupeleka watu munadani na sokoni kila siku ya gulio yapo mengi sana
😅😅😅😅 hahahaha mpaka enda marariee
GMC not GMS
wakuu 72 subscribers 🤷🏾
Kwan hapo kuwa tax nn kimeharibika mana ananunua gar nzur ili abebe abiria wa gharama kubwa kuliko tax za kawaida!! Nkama vile uamue kuborexha boda boda Yako unaamu kuachana na sanelog au king Lion unamua kununua TVS!
Ebu tuambie wew africa umeona wap gari ya milion300 ikawa taxi wakati hapa mtu anaemiliki v8 ni bos wako au kiongozi wako
@@karimmkejina980 Kati ya Africa mtoe msouth Africa jiwekeni nyie
Hata huko south africa nikweli wamendelea lakin bado hawajafikia levo ya kuwa na mgari ya zaidi ya milion400 alafu yakawa taxi bado alafu sasa sio taxi moja zipo nyingi taxi zote za kifahari tupu
@@karimmkejina980 Asante kalim nimekupata vyema 🙏🙏🙏
Nakubal.
We una jua hesabu na uchumi na soko la dunia💪👊
Me nafikili masikini wa Dubai ndio akina murokoz wa babati
😂😂😂😂😂
Unamkosea sana Mulokozi kaka
Hata hapa Canada..Mercedes benz, Tesla,Cadilac Escalade,Yukon Denali,Bmw ,borch,Hummer ,Msserati, Audi Quatrro ...Toronto Canada zinatumia Taxi na ku deliver Uber Eat food.
Sio ukweli tax v8 v6 hailipi
Unadhani litakuja kubeba wa buza acha mawazo mafupi
Mtangazaji anakingereza kibovu basic English kwa ntangazaji km ww ulitakiwa kuongea advanced English
Mwamba ngeli yake dah.
Direct swahili translation
Mtangazaji kaangalia anayeongea nae pia hajui kiingereza
Hujui Nini maana ya lugha ndio maana unalopoka ,
Anaye ongeanae pia hajui.
Mbona ww umecoment kwa kiswahili? Comment kwa english km yy alivyoongea kwa english halafu ndo tujue ww na yy nani anastahili kumkisoa mwenziwe. Mbuzi ww!
Ivi Dubai Kuna maskini kweli
Si huyo hapo millard ayo ndo maskini wa uko dubai😅
Usitishwe na Hayo Mzee Dubai kuna maskin balaaa
Kwani huyo anaye kodisha hiyo gari ni tajiri namaanisha angekuwa tajiri asinge kodisha Bali angenunua LA kwake mwenyew
@@deogratiusyudatadei5658Kama yuko safarini je?
Hakuna nchi siokuw na maskn