Huyo rubani ametokea familia yenye uwezo amesoma kenya , Uganda na South Africa Kwa hiyo hajasoma kwenye elimu za kitanzania . Mngewahoji rubani wa kike kama wapo waliotokea maisha ya chini na kuhangaika hadi kuwa marubani yaani humble beginnings! Huyo sio mtoto wa kabwela Kwa hiyo kuwa rubani kwake sio maajabu !
Sio watoto wote waliotoka familia zenye uwezo wanaweza kuwa rubani. Hivyo sio uwezo ni juhudi zake mwenyewe. Tuliopiga msuli shule tunaelewa isivyo rahisi hata kama unapelekwa shule nzuri/ nje ya nchi lazima ukomae eti😮
@@ilovejesus9303 acha uongo tunajua elimu ya ughaibuni na ukisoma shule nzuri ukisoma shule nzuri chances za kutoboa kimasomo ni kubwa mno ndio maana watoto wa matajiri hawawezi kufaulu vyuo vya tz, ila ughaibuni wanafaulu! Angesoma shule za kata na kuwa rubani ningemsifia sana ila hakusoma hata kwenye system ya elimu ya KiTanzania
Nema hongera dya. Nilifurahi sana siku nimepanda ndege ukatangazwa rubani msaidizi . Nema Swai jina la dada yangu. Wakati nashuka nilihakikisha nimekuona na nikafurahi sana
Kuanzia primary hadi anakua rubani hajasomea Tanzania.. alafu alipo fuzu kuwa rubani Raisi ka mkaribisha na kumtambua.. hii nchi inahitaji kubadilika elimu ni shida Tubadilike
Hapa kiukweli siwezi burudishwa na maelezo yake coz kwanza katokea kwa family iliojiweza ila ukweli angetokea kwa akina kabwela kama sisi aiseee ingeniongezea kitu apa ila tu mungu nisaidie kama kweli ndoto zangu hazitatimia zote ila tu mungu anisaidie kwa watt wangu nieatimizie ndoto zao
Duu waandishi wa habari maswali muwe mnajipanga maswali ya msingi ya kuulizia. Kipi kigeni hapa Milard Ayo ukiacha interview mbovu za wengine zilizopita? Nilitegemea Ayo mje na mahojiano mazito zaidi. Mwandish tumia lugha Moja ueleweke.
Mbn marubani ni wengi duniani jamani eeh! Emirates wana marubani wengi sana wanawake mbn tunakuwa washamba hivi jamani kuwa na rubani mwanamke hapa kwetu? Mmm sisi tujiangalie kwa kweli
Nchi hii hatuna ya kushangilia, sasa tunashangilia hata rubani! Vipi kama angegundua Ndege? Tunamfanya aonekane kafanya la ajabu, kwani Punda kuvuta mkokoteni au nguruwe kukamata madawa haramu ni ajabu? Si kafundishwa?
UMEONGEA NINI WEWE MUANDISHI MWAZO NA MWISHO HUE LEO USIMULIZE MUENDESHA AU DEREVA YOYOTE KUUSU UOKOPI KUFA NDIO NINI WEWE KWALI UMESOMEA HIYO KAZI YAKO???MIMI CAPTAIN WA MELI MTU AKINIULIZA UOGOPI KUFA NAMUONA NUKSI WA MAISHA🇹🇿🇬🇷🛳
Hongera dada ulipata wasimamizi bora family na ukatumiya vizuri nafasi na matunda umeyapata hongera sana dada nema
Mtangazaji angekuwa ndio rubani tungemkoms😢 anajishaua Sana CJAPENDA
Mwandishi bado hajakomaa kufanya interview kma ingekuwa mimi ndo ananihoji ningemhoji na yeye😂 kazi emeanza lini
Lol 😂😂
Hongera sana mtoto wetu Mtanzania, tunajivunia Tanzania
Huyo rubani ametokea familia yenye uwezo amesoma kenya , Uganda na South Africa Kwa hiyo hajasoma kwenye elimu za kitanzania . Mngewahoji rubani wa kike kama wapo waliotokea maisha ya chini na kuhangaika hadi kuwa marubani yaani humble beginnings! Huyo sio mtoto wa kabwela Kwa hiyo kuwa rubani kwake sio maajabu !
Mwenye wivu utamjua tu 😊
@@abdallahdataguy unaongea utumbo kitu gani cha kumuonea wivu huyo
Sio watoto wote waliotoka familia zenye uwezo wanaweza kuwa rubani. Hivyo sio uwezo ni juhudi zake mwenyewe. Tuliopiga msuli shule tunaelewa isivyo rahisi hata kama unapelekwa shule nzuri/ nje ya nchi lazima ukomae eti😮
wengi watashangaa maoni yako lakini mtu akikaa chini na Kuwaza basi atajua Tanzania bado hyu ni mtanzania tuu ila hajapata vtu Tanzania
@@ilovejesus9303 acha uongo tunajua elimu ya ughaibuni na ukisoma shule nzuri ukisoma shule nzuri chances za kutoboa kimasomo ni kubwa mno ndio
maana watoto wa matajiri hawawezi kufaulu vyuo vya tz, ila ughaibuni wanafaulu! Angesoma shule za kata na kuwa rubani ningemsifia sana ila hakusoma hata kwenye system ya elimu ya KiTanzania
Mashaallah hongera sana neema 🇶🇦
Mammy hongera sana haswa kwa ujasiri, mwenyenzi Mungu azidi kukupa nguvu na afya njema Maswai.
Whao bravo madam mungu Akubari Ruban wetu nipo katika fulaa sana kwako 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Beautiful Neema Swai ❤❤
Dada mungu akubariki wazazi wako wakufaidi na usimsahau mungu natamani hata Mimi natamani mwanangu joy awe rubani
🎉pamoja. Dada🎉
Hongera sana dada Neema!! Mtangazaji acha kuiga lugha ya Wazungu!! Umekariri hta lafudhi unailazimisha.
😂😂😂 makavu laiv
Nema hongera dya. Nilifurahi sana siku nimepanda ndege ukatangazwa rubani msaidizi . Nema Swai jina la dada yangu. Wakati nashuka nilihakikisha nimekuona na nikafurahi sana
Hongera sana captain unatushawish8 na siw tuwasomeshe mabinti zetu wajw wawe maruban as you god bless u
Interview nzuri sana
Ongera sana mwanangu,mungu akupe maisha tele wewe na familia yako.
Amina
That kagirl asking questions kako very intelligent kongole 🔥🔥such grown mindset
Education
anajifaragua tu
Captain Neema na nyumbani mama Neema wauuu HONGERA
Dada neema hongera kwa kujielewa na kujibu vizuri masuali yote
A brave lady Neema Swai she's the best.
Kuanzia primary hadi anakua rubani hajasomea Tanzania.. alafu alipo fuzu kuwa rubani Raisi ka mkaribisha na kumtambua.. hii nchi inahitaji kubadilika elimu ni shida Tubadilike
Hongera sana shemeji yangu japo Niko nje ya muda
Big up #mummy,ni vile tu umeshaolewa😂,, Hongera sana#Captain_NeemaSwai.
Hongera dada Neema sway
Hapa kiukweli siwezi burudishwa na maelezo yake coz kwanza katokea kwa family iliojiweza ila ukweli angetokea kwa akina kabwela kama sisi aiseee ingeniongezea kitu apa ila tu mungu nisaidie kama kweli ndoto zangu hazitatimia zote ila tu mungu anisaidie kwa watt wangu nieatimizie ndoto zao
Hongera sana dada neema jitaidi sana
Dada neema mcheshi mashallah mola azidi kukulinda na kukuongezeya ujuzi
Ni kweli. Ongea yake tu siyo ya ujivuni. 😂
Wow!!! Neema
Hongera kwake
Nakupenda had uwez faham dadanikiza naita n'émane ninasaba ila naomba nipewe wengine
Bravo I liked it🎉
Wa kwanza kulike
Mashaallah!
Hongera dadaetu
Kwa sababu ni mwanamke tu jamani? Ni fikra potofu tu
Machoz yananitoka kwafuraha dada naomba niwe rrafiki yako dada mimi nimrundi dada nakuomba niwe rafiki mpenz rafiki
Mtafuteni rubani wa kike aliye kama @hamisamobeto au Paula wa kajala mkimpata ndio mtajua nini namaanisha
Maa shaa Allah
Duu waandishi wa habari maswali muwe mnajipanga maswali ya msingi ya kuulizia. Kipi kigeni hapa Milard Ayo ukiacha interview mbovu za wengine zilizopita? Nilitegemea Ayo mje na mahojiano mazito zaidi. Mwandish tumia lugha Moja ueleweke.
Kingereza cha nini tena dada mtanzania anaekijua huwa hapendi kuongea na mtanzania mwenzake😅
Mmmh sawaaaaa
Wangapi wanawake wazazi wenu wanasumbuka kuwasomesha mkafanya ukahaba leo mnamuonea mwenzenu gare mkiambiwa acheni umalaya mnawaambia wazazi wenu ntajiuwa sasa mtaki kuongea
M.80
Umekua hamasa kwetu tunaopenda maswala hayo
Sio nchi nzima
Mbn marubani ni wengi duniani jamani eeh! Emirates wana marubani wengi sana wanawake mbn tunakuwa washamba hivi jamani kuwa na rubani mwanamke hapa kwetu? Mmm sisi tujiangalie kwa kweli
si ndo apo hii ishu imekaa kisiasa sana
Oksawa ❤
Safii
ATCL Ina wanawake 10 ASANTE sana
Ka bwela ni kweli nq tukumbuke alikuwa tayari kupata alichovuna na ndo mana.kqfanikiwa
Mume Rubani mke Rubani hongera
Nchi hii hatuna ya kushangilia, sasa tunashangilia hata rubani! Vipi kama angegundua Ndege? Tunamfanya aonekane kafanya la ajabu, kwani Punda kuvuta mkokoteni au nguruwe kukamata madawa haramu ni ajabu? Si kafundishwa?
Acha wivu. Hii Tanzania nchi inayoendelea wewe kuna mengi tuko nyuma 😊
HAKIKA NENO LIMETUAMBIA KWAMBA TUMSHIKE SANA ELIMU TUSIMUACHE.
💪🌹
Kwani haya mahojiani ni ya kiswahili? Mbona mtangazaji unachanganya wasikilizaji,
Chuma hicho
Eh bado mko naye tu
Nilitaka kushangaa usome bongo afu uwe rubani
Zamaradi uko wapi kufanya mahojiano yaliyoenda shule? Au muelekeo wako uko kwa Paula? Unapitwa
Kijana hajasoma TZ
Milady mwambiye dada atumiye lugha moja tu mara nyingine
Mtangazaji ana mashauzi sana. English nyingi wakati anawalenga waswahili wafuatilie
Kwani mbona walianza kitambo
Milioni 80 hadi 100 unadhani huyu ni mtoto wa kabwwela mmmh?
Mtangazaji jivunie lugha yako iyo unaemuhoji kasoma kuliko wewe lkn achanganyi lugha
UMEONGEA NINI WEWE MUANDISHI MWAZO NA MWISHO HUE LEO USIMULIZE MUENDESHA AU DEREVA YOYOTE KUUSU UOKOPI KUFA NDIO NINI WEWE KWALI UMESOMEA HIYO KAZI YAKO???MIMI CAPTAIN WA MELI MTU AKINIULIZA UOGOPI KUFA NAMUONA NUKSI WA MAISHA🇹🇿🇬🇷🛳
Uyo mwandishi arudi tu shule kaharibu interview haivutiii
Wandishi Amna habari
Sasa nyinyi endeleeni kuwapaka watoto zenu wa kike make-up Ili waje kuolewa na kina diamond
🤣🤣🤣 nimechekaa
Hahahaha
Congrats to our Pilots
Work on your sound Millard so poor
Hongera sana Neema unajibu maswali kwa akili sana
Machoz yananitoka kwafuraha dada naomba niwe rrafiki yako dada mimi nimrundi dada nakuomba niwe rafiki mpenz rafiki