Sasa kama kapata wivu wa Nini jamani hata vidole haviko sawa mmekosea sana wacha wawauwe kwani nilazima apate kwa hiyo ubunge mmelaaniwa hadi vitukuuna vilembwe@@josephelisha8413
Nimazara ya kuwaendekeza wavivu na wavuta bangi. Ndo haya haki gani inadaiwa Kwa kuingilia maisha binafisi ya mtu mkikatazwa kuandamana et tunanyimwa Haki ipi kama haki yenyewe ndo hi basi Africa tuondoe Sheria hi au tuboreshe Sheria za kihalifu. ziwe Kali sana bila kuangalia nani kafanya uhalibifu Hakuna haki ya uhalibifu 🙏💪
Mali ya wizi !sahii kuku mmoja Kenya kwa butcher ni 600ksh!kilo moja ya nyama ni hio 600ksh!kutoka 400ksh hadi 600ksh!alafu watuongezee.kodi!hakuna mahali Kenya utapata mkate kwa 50ksh wala maziwa..ni 65ksh kwendaa juu..wao wajingezea mishahara na kuwapa jamaa zao kazi..watu wamesoma na hakuna kazi
Ni kweli huyo ni riziki yake ulitegemea wote muwe juu yaani mna wivu sana na roho za kwanini ishieni huko huko hatuwataki wasomali na Sudan ndio mmekaa fujo tuu mkenya sipendi kabisa kwa tabia zao hizo hata kiumbe anaumwa ni haki yao kupigwa
@@Thekidp3702 projecting? U're suffering and then u're comforting ur self. U talking nonsense. Au ndio wale watoto wa baba kanituma ? Tz sugar how much per kilogram ? cornflower how much? A u out of u're mind ?
@@kamarhelo Acheni kufikiri kimasikini. Mtaji wa kuku elfu 10 unamuingizia shilling ngapi na hao ni waliochomwa tu wengine wapo. Mtoaji ni Mungu, mtu anapambana unaleta roho mbaya ya Kusini mwa Africa.
Waneanza kama wa south ikitokea maandamano wanaenda nyumbani kwa police wanaua familia zake tuombe mungu Tanzania isije hizi vurugu na nyie viongozi wetu wasikilizeni raia wa chini msiwapuuze
Safi sana hongera wananchi wa Kenya na hayo mliyoyafanya inabidi na Tanzania tufanye duu raisi Ruto kasikia wakenya wamevamia bunge napia wakatangaza kwenye ikulu Nairobi alhamisi ya juzi kabla hawajafanya Hilo Ruto akasalimu amri akasema atasaini mswada wa ongezeko la ushuru hongera sana wakenya bado Tanzania.
Kiukweli wametenda dhambi kubwa sana ambayo bila ya Toba ya kweli Mungu hawezi Kuwasemehe. Na haki haitafutwi kwa kuwahujumu viumbe visivyohusika au vitu visivyohusika
Duh wabunge WA Tz mnajilimbikizia marupurupu na.kutetea ukandamizaji WA kodi Kwa wananchi.na kikokotoo kwa wafanyakazi U kiona mwenzako ananyolewa jitafakari.maana Kama wabunge wakenya wangesimamia serikali hayo yanayofanyika yasingekuwepo.
Katika wabunge wote duniani wabunge waKenya ndio wenyewe mishahara minono...sahii maisha huku yamepanda sana..sio stima,sio mayai,sio sukari,sio uto,sio maziwa sio mkate..kitamba na 50Ksh wapata maziwa 500ML (nusu lita)sahii hakuna kuanzia 60 sh ukiwa na bahati..ndogo ilikuwa 20ksh sahii maziwa rahisi Kenya ni ya 35ksh 200ML!labda ununue kutoka kwa mkuliwa anaefuga ndio labda utapata nafuu kwa bei
@@gboystoneryani umeongea ukweli kiukweli kenya asilimia kubwa choka mbaya angalia wamepata nini sasa jana nilienda Town nimeona mafundi wamemwaga wanajenga tena.
NDO MAANA SPEND KABISA MAMBO YA VURUGU SELIKAL YANG TZ NAOMBA MSIRUHUSU UHUN KAMA HUU UFANYIKE KWETU SAS KIKUBWA WANACHO FAID HAWA WENZETU N NIN HILO TAIFA MPAKA LIJE LIKAE STABLE SIO LEO
✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾Safiii ndio wajue sasa Watu wamechoka Na kunyanyaswa wanaishi maisha mazuri Na kusahau wananchi ndio wamewapatia kura 😏hii ndio fundisho kwa African viongozi watu wamechoka kuliwa pesa zenu za kodi wanatuweka kwenye maisha ya tabu wao wanaishi maisha mazuri Tumechoka wananchi safi sanaaaaaa Kenya People 🥁🥁🥁🥁✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾🎷🥁🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️hiii itakwenda Africa nzimaaa Tuamkeeeee🗣️🗣️🗣️🗣️
@@birianination7097 hyo ndio dawa ya viongozi wa Kiafrika.. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa Nchi za kiafrika toka tawala za kale enzi za kupigania uhuru utakuwa unaelewa. Viongozi wengi wa kiafrika hawajawai kuamini mpaka wafanyiwe machafuko na hata kupinduliwa. Kama wakenya wangelemaa huo mswada ungepita kiwepesi tu. Lakini hapo serikali itarejea tena kuuweka sawa. Acha sisi wenye uwoga tuendelee kusemea chooni. Ila wakenya nawapenda, wakichoka hawahitaji muda zaidi, wanaongesha vitendo.
Wanaichi wanaenda nchi za kiarabu kufanya kazi wanateswa, wana firwa, wanauliwa , alafu nyie viongozi ndiyo muna kula pesa za nchi , safi sana hii!! Oneni mfano huo
Kaka huyo anafanya Biashara kuku 10000 unajua ni sh ngapi ...sio kila anayeingia serikali huiba.. MFANO tuna shabibi Msukuma Wana pesa sana ... Kishimba wao hutoa fedha nyingi kuliko za serikali
@@yordanyona1234kwaiyo jumba lote hilo kalipata kwa kuuza kuku sio!?hiyo mifugo anafuga kwa kujifurahisha tuu sio kwa biashara!fuga nawewe utajirike kama unaona utajiri rahisi kiasi hicho
Kama mimi tu Nina kiglosary kwa mwaka nalipa laki moja bora hata ingekuwa elfu 20 halafu usipolipa wanakufungia usifanye biashara,, na vitishio juu,, halafu unakuja kulipa kodi serikalini ukienda hospitalin dawa hakuna na hawa wabunge sijui kinanani hawatujali pesa zote wanakula wao ndo matokeo yake hivi
Tanzania tushukuru sana kwa amani aliyotujaalia Mwenyezi Mungu, ila hii ni tahadhari kwa ccm inapenda sana kuifanyia mzaha amani hii, ccm mjiangalie sana
Muombe mungu sana hata Sudan hawakufikiria hivyo walizani itakuwa Sudan kusin tu lakin mambo yaligeuka kwahiyo ndugu mtangulize mungu tu @@josephwilliammnyune5464
Kuharibu mali ni chuki ya kimasikini,na hata wanaofanya HIVYO huendelea kuwa masikini katika vizazi na vizazi VYAO. MTU mmoja ANAWEZA tengeneza laana kwa ukoo kwa kizazi na kizazi pasipo kujua. Mungu hawezi kuwapa Watu wanaofanya Mambo kama hayo. Ukijaribu kujenga anakuta hufiki Hadi hatua ya mwisho na ukifuga hawafugiki.
Niiombe serikali ya tanzania ijifunze kitu kupitia wananchi wa kenya. NOTE ( KIONGOZI YOYOTE WA SERIKALI UNAPOKUWA SERIKARINI NIKUOMBE UWE NA MOYO WA KUWAHURUMIA WANANCHI LKN PIA WIZI NA TAMAA ZISIZOKUWA ZA MSIKI ZITUPIRIENI MBALI.] mambo mengi yanatuumiza wantanzania watuna pakusemea ila wakenya nawaunga mkono kwa kuipambania nnchi yetu.
Ni fundisho in Tanzania ..but tz utasikia uchochezi.sijui waache wale ndo nafasi zao ..mnataka sheria ichukue mkondo ...uhaini..So What? Mjinga akielimishwa hubadilika lakini mpumbavu habadilikagi
Usihangaike na wabunge Wa TZ haitatokea chochote kwa TZ ,lazima unapongea MAMBO ya maana usiongelee wa TZ .Wa Kenya ni mashujaa toka enzi na enzi usifananishe na uchafu wa Wa tz
Umejuaje kuwa ni fedha ya dhuluma? Kenya ni nchi ya kibepari watu wanafanya biashara zao na kupata pesa wewe unasema fedha ya dhuluma, hii sio sawa na kwenyu huko Tanzania
huu ni ktk ufusadi na uhabifu mkubwa,ndiyo sababu kwa uislam maandamano yamekatazwa na mtune muhammad sala na amani ziwe juu yake. kwa hiyo kina mbowe wasituletee upuuzi na UFISADI huo hapa tanzania!!
@@stevebaluwa7132ushasema kwenye biblia kwani apo ni kwenye biblia Kuweni na utu mnachopambania ni sawa but isiwatoe roho ya utu hao viumbe wanaroho kama alivyobinadamu
Choyo na roho mbaya na ukabila vinawala Wakenya. Kenya imegeuka Libya, Sudan Somalia,Waafrka ni akili fnyu. Wanaangamiza maish yao kwa mikono yao we nyewe😂😂😂
Nimpumbavu tu ndo anashangilia ujinga kama huu lakin huwezi furah hata siku moja mambo kama haya kufanyika kwa kuwa hata vitabu vya dini hata kimaadili tu huwezi mtendea mwenzako jambo kama hilo hata kama kakosea.
Acha uzwazwa wewe, kwani hata hiyo nyumba iliwakosea nini? Watu wanatizama mali zinazomilimiwa na mpuuzi mbunge na si vinginevyo. Vita hainaga macho jamaa yangu.
Mali za wizi. Ukitaka kutajirika Afrika jiunge na siasa. Ndiyo maana tunona viongozi wetu wamewasukuma watoto wawo kwenye siasa, ili watutawale vizazi na vizazi.
Sasa hapa si mtafanya kazi ya kumsababisha achukue hela ambayo mwananchi angetakiwa akaitumie ili areplace mali zake? Tutashangilia tukiona ni jambo zuri ila litawaathiri wananchi. Acheni kujichukulia Sheria mkononi tafakarini kwanza kabla ya kutenda
Safi san wakenya sisi watanzania tunatesouwa tu huku kwetu watawala hawataki kutusikiliza sisi wana tuona kama hatuna akili wanatuwambia kam maisha magumuu tuwamia burundi daaa nimateso tupu
Acha kusifia ujinga haya mamuzi yanasababisha kupoteza watoto na ndugu kwaujumla siwezi kubariana na haya mamuzi mpaka nakufa MUNGU akitaka kukupa haki atakupa tu hata kwakuchelewa Acha tuendelee kuwa wajinga
Hakika Mwenyezi Mungu habadilishi yale yalio kwawatu mpaka watu wenyewe wabadilike Hivyo tukitaka mambo yetu yaende vizuri basi kwanza sisi wenyewe tuanze kubadilika tuache husda chuki choyo rohombaya baina yetu. Unamkutia mtu anamlaumu mwenzake wakati yeye mwenyewe ndie mwalimu wachoyo naroho mbaya naye akipewa kinafasi anamega anakua mbinafsi sasa vipi tutafanikiwa wakati imani zimekua dhaifu? Yote hayo nikutokana nakutokua nakhofu ya Mungu ndio maana mtu anahisi ataishi milele kwakuchukua mali za umma nakudhulumu
@@terashangwe255ndio utawaona tuu wakaa vibarazani nikulaumu tuu serikali embu angalia waliokufa kenya yani ni familia duni bona hawajafa matajiri majitu yanajiendea km manyumbu
Watanzania wenzangu acheni kushadadia vitendo vya kiaharifu kwa kuwa kutenda jambo la kihain ni sawa na uhain hata kama ulikuwa na haki haki haitafutwi kwa kuchukua sheria mkononi hiyo ni dhambi ambayo kila apandaye uharifu ata ulipa sio picha nzuri kumtendea mwenzako uhain kama huu.
Dah so sad hao kuku wamekufa kwa mateso hawakustahili iyo adhabu tumehalalishiwa tule kuku ila so kuwaua kinyama ivo bora wangewafungulia tu waondoke zao kuliko kuwachoma ndani ya cage imeniumiza sn!
Mungekua Tanzania si mungekua vichaa uzuri Tanzania wote sisi ni ng'ombe yaani ktk afrika yote tz wajinga sanasana wakenye mmesibitisha nyie ni majembe hasaaa hamtaki mchezo
Actually ni hasira ya alichofanya huyo kiongozi coz wangeweza hata kuwaiba ila hawakupata muda watu hawana chakula then mtu mwenye ako na mali anataka apate zaid...ila hili funzo liwafikie viongoz wanaoona watu ni wajinga ipo siku watachoka tuu
Wabunge chukuweni hatua, mnaenda bungeni kutuwakilisha sisi wanainchi, tamaa za pesa wacheni kabisa kuna siku mtageukiana, Kenya Rais anapeleka mswada bungeni wanajadili alafu mnapitisha end then kikiumana anacancel mwisho wa siku mnatupiwa lawama utakuja kuwaeleza nn wananchi wako, wote walio pitisha bill hawana sifa tena kwa wananchi. Kumbukeni tumewatuma mtuwakilishe
Saivi hawawezi kuingia vita ya wao Kwa woa,Kwa maana saivi makabila YOTE yameungana,hawana tena ukabila,shida yao ni uongozi wote WA serikali wasiotenda haki wapi kujinufaisha wao na familia zao.saivi hata siasa za ukabila hawataki tena.
Wacha ujinga,,Na zile vifaranga za Kenya magufuli alichoma nilikuwa zimemfanyia nini?!! Think before you lip, Kenya we are not poor, if you don't have nothing to say keep quiet.or we come to you now .
@@timetravellor5367 please try to write English you Tanzania idiot,. Kenya is Africa and Africa is in Kenya so don't call Kenyan stupid and we carry you in our back
kwani nabii suleymani mbona alikuwa tajiri alimwibia nani cc maskini mtu akijiongeza mwizi ni wivu tu mapaka dunia inakwisha maskini watakuwepo ktk nchi zote duniani ata enzi za yesu palikuwa na omba omba kwani mashamba hayakuwepo wamekwenda kuwaua viumbe bila uruma ndio nn sasa
Hata kama jamaa amefanya makosa kama haya ila kuuwa wanyama na mifugo kwa kuchoma moto huyo ni ukatili mkubwa saana Sijapendezwa na hilo bro wangeiba tu wakaenda na hao mifugo kuliko kuwachoma
Duu hawa wakenya wana kila sababu za kujengewa sanamu kwa kazi nzuri
hawa jamaa big up sana wanapambana sana
Kwa kuharibu vitu vya watu?
Siku ukiharibiwa kitu ndo utajua uzuri zaidi
Sisi udaku udaku tu
Hao ndiyo wanaume na wakenya ndiyo taifa ambalo wananchi wake wanajitambua
Wabunge wanaishi maisha ya anasa wenzangu na mie tunaopanga foleni kuwapigia kura mlo mmoja kwa siku😢tena sio mlo kamili Ee Yesu tusamehe tu😢
Asante ndugu na wahapa kwetu wala hawana muda nasisi sasa wakati umefika wa kujakuomba kura
Bro ni hustler if story ni kweli kuku 10000wa mayai mshahara wa mbunge haufikii
Sasa kama kapata wivu wa Nini jamani hata vidole haviko sawa mmekosea sana wacha wawauwe kwani nilazima apate kwa hiyo ubunge mmelaaniwa hadi vitukuuna vilembwe@@josephelisha8413
Iwe fundisho kwa wabunge na wenye mamlaka bongo
Kwani matajiri wote ni wabunge angetegemea mshahara asingefika hapo alipo ila laana ya wanyama haitawaacha salama .@celinamachundoInspires
Machawa wa kusema ndiyooooooo kwa kila kitu ndo funzo😮😮😮
😂😂😂 amekoma
Hayo ndo malipo ya punda afe mzigo ufiko,hiyo sasa imekuwa mzigo ufe punda afike
Ahahaa daa nimecheka km maxur
@@majaliwamsigwa6206😅😅😅😅😅
😅@@majaliwamsigwa6206
Kazi nzuri zaidi wamefanya majiran zetu kenya, njoo Tanzagiza sasa😭😭
Viongoz huwa hawana huruma na wananchi wanajiangalia wao tu na familia Haki iko wap usawa huko wap Safi sana Kenya Huku Tanzania wanajisahau viongozi
Nimazara ya kuwaendekeza wavivu na wavuta bangi. Ndo haya haki gani inadaiwa Kwa kuingilia maisha binafisi ya mtu mkikatazwa kuandamana et tunanyimwa Haki ipi kama haki yenyewe ndo hi basi Africa tuondoe Sheria hi au tuboreshe Sheria za kihalifu. ziwe Kali sana bila kuangalia nani kafanya uhalibifu Hakuna haki ya uhalibifu 🙏💪
Mkundu wako ww
Kweli kabisa
Kweli kaka
Wewe Kuma nn unawatetea nn Kuma mbuzi
Hao kuku Bora mngechukua mnadhulumu viumbe wasiohusika daa
Kweli ndugu yangu 😢😮
Hatukuwa na mda lakini tulichukua zingine za kupika usiku
HHHH HHHHH
Kuku wamepitisha mswaada wa Kodi😂😂😂😂
Duuh kumbe wabunge maboss jamani raia sie maskini sanaa mama kua makini na wafanya kazi wako
Mimi ni mfugaji mdogo... ninaweza kuhisi maumivu ya huyo mbunge na hata mifugo waliokufa kwa mateso.. maskini hapendi mwenye mali..
Mali ya wizi !sahii kuku mmoja Kenya kwa butcher ni 600ksh!kilo moja ya nyama ni hio 600ksh!kutoka 400ksh hadi 600ksh!alafu watuongezee.kodi!hakuna mahali Kenya utapata mkate kwa 50ksh wala maziwa..ni 65ksh kwendaa juu..wao wajingezea mishahara na kuwapa jamaa zao kazi..watu wamesoma na hakuna kazi
😅😅😅😅😅 wakenya bwiiii
Ni kweli huyo ni riziki yake ulitegemea wote muwe juu yaani mna wivu sana na roho za kwanini ishieni huko huko hatuwataki wasomali na Sudan ndio mmekaa fujo tuu mkenya sipendi kabisa kwa tabia zao hizo hata kiumbe anaumwa ni haki yao kupigwa
Ila maumivu anayopata mkenya kawaida
Tanzania nchi yangu nakupenda❤❤❤
Na utaendelea kuteseka Kila siku mpaka chai ukamulia maji ya miwa
@@ahmedalfan8075 Akuna anayeteseka
Nani aliyekwambia tunateseka wewe kiazi?Stop projecting
@@Thekidp3702 projecting? U're suffering and then u're comforting ur self. U talking nonsense. Au ndio wale watoto wa baba kanituma ? Tz sugar how much per kilogram ? cornflower how much? A u out of u're mind ?
B@@ahmedalfan8075 Bro hayakuhusu ya huku pambaneni na hali zenu TZ hatuna njaa kali kama nyie
Wow hivi vyote mbunge mmoja
😢😢😢😢😢 yani kajikusanyia utasema ataish daima dumu Tena ni nyumba ya shamba je anayo ishi ipoje
@@kamarhelo Acheni kufikiri kimasikini. Mtaji wa kuku elfu 10 unamuingizia shilling ngapi na hao ni waliochomwa tu wengine wapo. Mtoaji ni Mungu, mtu anapambana unaleta roho mbaya ya Kusini mwa Africa.
We nae umekuwa nyuma sana kutoa khabari.
Kuua viumbe kinyama hivyo sio poa Mungu hapendi😢😢
Kuku utanunua Soko watoto wawatu wako mortuary watanunuliwa wapi
Utanunua kuku wengine sio hao waliokufa. @@wkjshsxbbsbs6392
Kwahiyo kuuwa watu Mungu ndio anapenda?
Kwaiyo hiyo ni nyumba ya shambani Aaah
😂 na ya mjin ikoje
Hii ilitakiwa iwe Tanzania hawa kenge wangekoma kutuhibia
Ikiwa Tanzania tunaanza na wewe, siku mungu akijibu maombi yako utajuta.
Jigunze kwanza kuandika, kutuHIbia ndiyo nini?
Unaomba iwe tanzania je umejipangaje au unajuwa singeri za miso misondo izo.nyama wewe
@@jonathanmanyaga4357 wamuibie ana nini kwanza? Ni ushabiki wa kijinga tu.
Watanzania wanao shabikia maandano ni wale wezi wanataka yatokee kwetu Tz ili wapore mali za watu, lakini ng'o maombi yao hayatafanikiwa.
Hii ujinga wangefanya tanzania waone yaani nchi haifai hata kidogo we ruto achiti ili muwe na amani sasa hivi ni nini Ee Mungu Bariki Tanzania yetu
Waneanza kama wa south ikitokea maandamano wanaenda nyumbani kwa police wanaua familia zake tuombe mungu Tanzania isije hizi vurugu na nyie viongozi wetu wasikilizeni raia wa chini msiwapuuze
Safi sana, na wengine zikachomwe mpaka washike akili huyu atajutia siasa maisha yake yote
Kenya hoyeee
Safi sana hongera wananchi wa Kenya na hayo mliyoyafanya inabidi na Tanzania tufanye duu raisi Ruto kasikia wakenya wamevamia bunge napia wakatangaza kwenye ikulu Nairobi alhamisi ya juzi kabla hawajafanya Hilo Ruto akasalimu amri akasema atasaini mswada wa ongezeko la ushuru hongera sana wakenya bado Tanzania.
Haoo kuku msiwatupe jamani wanaliwa 😂😂😂😂
Kiukweli wametenda dhambi kubwa sana ambayo bila ya Toba ya kweli Mungu hawezi Kuwasemehe. Na haki haitafutwi kwa kuwahujumu viumbe visivyohusika au vitu visivyohusika
safiii sanaa wangemtafuta na huyo mbunge wammalize kabisa
wanasiasa wa afrika kwao hawaoni ugumu wa maisha,kazi kujirundikia mali za wizi tu,natamani ilo zoezi lifanyike na huku tz
Tanzania soon maji yanachemka
Bado nanyie vilaza wabunge w tz ipo sku,2.
Duh wabunge WA Tz mnajilimbikizia marupurupu na.kutetea ukandamizaji WA kodi Kwa wananchi.na kikokotoo kwa wafanyakazi
U kiona mwenzako ananyolewa jitafakari.maana Kama wabunge wakenya wangesimamia serikali hayo yanayofanyika yasingekuwepo.
Wabunge was Tz chukuen darasa la Bure
SUBUTU
2025
@@allahisone6386siyo subutu unajua saa yoyote tunavamiwa ba si watanzania
@allahisone6386 😂😂😂 ukiona cha mwenzako cha nyolewa na chako kitie maji..labdaa wa Tanzania ni waoga
@@allahisone6386usiseme ivo dunia sasa inabadilika
Wakenya mungu awabariki Kwa kuitafuta haki❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂
Haki ujinga tuu njoo uone maisha yao ndio utajua ata atawale malaika shida haxitaisha
Hiyo ni nyumba ya shamba je ya mjini!!! Aisee wakenya fanyeni kazi
Katika wabunge wote duniani wabunge waKenya ndio wenyewe mishahara minono...sahii maisha huku yamepanda sana..sio stima,sio mayai,sio sukari,sio uto,sio maziwa sio mkate..kitamba na 50Ksh wapata maziwa 500ML (nusu lita)sahii hakuna kuanzia 60 sh ukiwa na bahati..ndogo ilikuwa 20ksh sahii maziwa rahisi Kenya ni ya 35ksh 200ML!labda ununue kutoka kwa mkuliwa anaefuga ndio labda utapata nafuu kwa bei
Fanyeni kazi mnachofanya hicho sio solutions la kutatua matatizo yenu. Mnaonekana ni wavivu na hampendi kujishughulisha na michakato.
Wangekuwa na kazi wasiandamana,Hali ngumu ya maisha inamfanya mtu Bora afe maana garama ya maisha juu
@@PaulMsemasahihi
@@gboystoneryani umeongea ukweli kiukweli kenya asilimia kubwa choka mbaya angalia wamepata nini sasa jana nilienda Town nimeona mafundi wamemwaga wanajenga tena.
NDO MAANA SPEND KABISA MAMBO YA VURUGU SELIKAL YANG TZ NAOMBA MSIRUHUSU UHUN KAMA HUU UFANYIKE KWETU SAS KIKUBWA WANACHO FAID HAWA WENZETU N NIN HILO TAIFA MPAKA LIJE LIKAE STABLE SIO LEO
Kazi imefanyika km ni mbwai naiwe mbwai safi sana wa Kenya mmeonyesha mfano bora😂😂😂
🙌🙌🙌🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾Safiii ndio wajue sasa Watu wamechoka Na kunyanyaswa wanaishi maisha mazuri Na kusahau wananchi ndio wamewapatia kura 😏hii ndio fundisho kwa African viongozi watu wamechoka kuliwa pesa zenu za kodi wanatuweka kwenye maisha ya tabu wao wanaishi maisha mazuri Tumechoka wananchi safi sanaaaaaa Kenya People 🥁🥁🥁🥁✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾🎷🥁🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️hiii itakwenda Africa nzimaaa Tuamkeeeee🗣️🗣️🗣️🗣️
Ila na nyinyi ndio mnaendelea kufa
I love kenyans.. wapo serious sana wakiamua jambo lao.
Sio sisi huku Tanzania.
Viva kenyans 💪💪
Ujinga huo
Usiombe Bubu akiongea patakuwa hapatoshi... Si unawajuwa Panya road 😂
@@birianination7097 hyo ndio dawa ya viongozi wa Kiafrika.. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa Nchi za kiafrika toka tawala za kale enzi za kupigania uhuru utakuwa unaelewa. Viongozi wengi wa kiafrika hawajawai kuamini mpaka wafanyiwe machafuko na hata kupinduliwa.
Kama wakenya wangelemaa huo mswada ungepita kiwepesi tu. Lakini hapo serikali itarejea tena kuuweka sawa.
Acha sisi wenye uwoga tuendelee kusemea chooni. Ila wakenya nawapenda, wakichoka hawahitaji muda zaidi, wanaongesha vitendo.
@@zainajirani5296 safi tu.
Si wamepata Katiba Mpya juzi tu au ndio hii.
Safi sn,,
Iwe fundisho Kwa viongoz wa Africa,,wakichanguliwa wanajiona Miungu watu,,
Wanatunga Shelia zakuwalinda wao,
Wanaichi wanaenda nchi za kiarabu kufanya kazi wanateswa, wana firwa, wanauliwa , alafu nyie viongozi ndiyo muna kula pesa za nchi , safi sana hii!! Oneni mfano huo
Wanafirwa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 inaumiza sana. binadamu wawe na utu jamani dah! Inaumiza sana. Mungu atunusuru jamani
@@thobiasanthony-ep6lbhaya matusi si amelegeza Yako mwenyewe
Wamemtia Adabu wanaishi maisha ya kifahari kwa ela za walala hoi dhulma wakubwa Safi sana wakenya
Safi saaana nimefurahi mnakula kodi zetu tena za Zulma wacha yaungue
kwahyo na mifugo imewafanyaje
@@nancyg8664 mifugo imejileta hapo s rasiliamali hizo
Huu ni uharibifu na uharifu Wala hakuna sababu yoyote ya kuhalalisha ujinga huu!
@@nancyg8664wewe nawe mifugo yakuhusu au ni pesa yakununua hio mifugo imepatikana vp
@@nancyg8664 wanakuhusu ww hao kuku pesa ndio imenunua kuku na sio kuku wamekuja kukaa bure
Washenzi hawa viongozi wanajitajirisha wao maskini wawaumiza
Kaka huyo anafanya Biashara kuku 10000 unajua ni sh ngapi ...sio kila anayeingia serikali huiba..
MFANO tuna shabibi
Msukuma Wana pesa sana ...
Kishimba wao hutoa fedha nyingi kuliko za serikali
EEWEEEEEH_🤔
@@yordanyona1234kwaiyo jumba lote hilo kalipata kwa kuuza kuku sio!?hiyo mifugo anafuga kwa kujifurahisha tuu sio kwa biashara!fuga nawewe utajirike kama unaona utajiri rahisi kiasi hicho
@@IbniAbbas-yz3kt sasa mtu mwenye kuku 10000 atakua na miradi mingapi, pia kuku 10000 thamani yake ni 100,000,000 kwa mwenzi.
@@yordanyona1234 Acha tu ndio akili za masikini.
Wamekosea sana kuwachoma kuku Bora wangewafungulia tu watawanyike
Wandamanaji wamefanya vizur san lakin kuku hawana hatia jamani
Hata wale vijana walio uwawa na Askari hawana hatia kama sio huyo mbunge kupitisha huwo mswada Kwa hiyo kuku muhimu Sana kuliko watu sio
Hasira hizo, wangemkuta huyo Mbunge ndio angekuwa halali yao😂😂
@@ParimeloNgarimwalah. Mm nimeumizwa na kuku 😢
@@wilbertaerasto7584alikua hayuko tena ana bahati
Kama mimi tu Nina kiglosary kwa mwaka nalipa laki moja bora hata ingekuwa elfu 20 halafu usipolipa wanakufungia usifanye biashara,, na vitishio juu,, halafu unakuja kulipa kodi serikalini ukienda hospitalin dawa hakuna na hawa wabunge sijui kinanani hawatujali pesa zote wanakula wao ndo matokeo yake hivi
Hao wanyama hawana hatia wamewadhulumu bure, bora wangechukua wakawachinja na kupata kitoweo
Wa kenya police wao na jeshi lao lipo kuwapa support wana nchi sio km Tz ambapo police wanatetea haki za viongoz kuliko citizens
Tanzania tushukuru sana kwa amani aliyotujaalia Mwenyezi Mungu, ila hii ni tahadhari kwa ccm inapenda sana kuifanyia mzaha amani hii, ccm mjiangalie sana
Tanzania hatuna amani ndugu tunavumilia tu
Wajiangalie kwa vipi? Mambo kama hayo hawawezi kutokea Tz.
Muombe mungu sana hata Sudan hawakufikiria hivyo walizani itakuwa Sudan kusin tu lakin mambo yaligeuka kwahiyo ndugu mtangulize mungu tu @@josephwilliammnyune5464
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@josephwilliammnyune5464
Amani ama Uoga
mnisamehe kwa lugha, "wakenya ni wajinga!" period. kuku akawafanya nini? tena huyu jamaa atafidhiwa na mali ya uma. Bure kabisa!
Kuua viumbe tena kwa moto mutajutia laana hii
Magufuri arichoma vifaranga eti zimetoka kenya
tz mnakata mazao ya wakimbizi ili wafe njaa
Kuharibu mali ni chuki ya kimasikini,na hata wanaofanya HIVYO huendelea kuwa masikini katika vizazi na vizazi VYAO. MTU mmoja ANAWEZA tengeneza laana kwa ukoo kwa kizazi na kizazi pasipo kujua. Mungu hawezi kuwapa Watu wanaofanya Mambo kama hayo. Ukijaribu kujenga anakuta hufiki Hadi hatua ya mwisho na ukifuga hawafugiki.
Utajuaje? Yawezekana na yeye ana Laana hiyo hiyo unayoisema!!
Si kodi zao ndo zmenunua?
Huyu mbunge ni Tajikistan toka zamani tabla ya ubunge😊
Tulichoma kodi zetu shida ipo wap?, sheenzi ww
We tahila na vinenovyako jitu kama mwigulu yanakera hongera sana Kenya
Niiombe serikali ya tanzania ijifunze kitu kupitia wananchi wa kenya. NOTE ( KIONGOZI YOYOTE WA SERIKALI UNAPOKUWA SERIKARINI NIKUOMBE UWE NA MOYO WA KUWAHURUMIA WANANCHI LKN PIA WIZI NA TAMAA ZISIZOKUWA ZA MSIKI ZITUPIRIENI MBALI.] mambo mengi yanatuumiza wantanzania watuna pakusemea ila wakenya nawaunga mkono kwa kuipambania nnchi yetu.
Bado skins mwiguru, msukuma na majariwa na chawa wote wanao unga sera kandamizi Kwa wananchi
😂😂😂😂😂😂😂Tanzania hatuthubutu, wake ya Wana umoja wakiamua kufanya Jambo lao hawana masihara🔥🔥🔥🔥🔥
Ni fundisho in Tanzania ..but tz utasikia uchochezi.sijui waache wale ndo nafasi zao ..mnataka sheria ichukue mkondo ...uhaini..So What?
Mjinga akielimishwa hubadilika lakini mpumbavu habadilikagi
Wabunge wa tanzania hii inatakiwa iwe somo Kwenu..
Kwel kabisa
Hii inatakiwa imfikiee mwigulu tuchome kila kitu chake moto
@@deogratiusyudatadei5658nenda kachome😂😂😂😂😂wenzake wakutaje
@@deogratiusyudatadei5658 ujinga huu.
I@@Zuu673😅😂😂😂😂😂😂
Mali Ya Fisadi Ni Mali Ya Wakenya Wote Kwaivo Nisawa Sema Mngebeba Iyo Mifugo Kuliko Kuchoma Moto
WAKENYA WASENGE TU MNALAANA KUKU WAMEKOSA NINI SI BORA MNGECHUKUA MKAWALE
umbwa wewe,kuna linalo kuhusu huku,kaa tulia shenzi type
PUNDA WEWE NJOO HUKU ,FALA WEWE.
Msoga ya Kenya hiyo.MsijimbikiIe mali mbele ya masikini,itawaghalimu,mbunge,utanisamehe,sikuhurumii,pambana na hali. yako.kuku elfu kumi?m
mnaeza msipate haki juu ya huu ushenzi ata Mungu anaweza kuwalaani, hao kuku bora mngewachukua tu sasa
Hii ni pesa ya wakenya wamejiongeza salary na wakenya wakiimumia
Msoga ya Kenya hiyo.MsijimbikiIe mali mbele ya masikini,itawaghalimu,mbunge,utanisamehe,sikuhurumii,pambana na hali. yako.kuku elfu kumi?m
Mungu awarehemu,hii siyo sawa hata kidogo viumbe wamekosa Nini na kuharibu Mali za mtu
Kwel kuchoma viumbe vision na hatia sio sawa.
Usihangaike na wabunge Wa TZ haitatokea chochote kwa TZ ,lazima unapongea MAMBO ya maana usiongelee wa TZ .Wa Kenya ni mashujaa toka enzi na enzi usifananishe na uchafu wa Wa tz
Hata hvyo yenu hayatuhusu😅 Kwani nanikakwambia tunajifananidha na nyie kila mtu yuko inchin kwake
Pesa ya dhuluma itakugharimu tuu maana Mungu yupo
Umejuaje kuwa ni fedha ya dhuluma? Kenya ni nchi ya kibepari watu wanafanya biashara zao na kupata pesa wewe unasema fedha ya dhuluma, hii sio sawa na kwenyu huko Tanzania
Hili ni somo kwa wote wanaodhani ukipata Mali ya dunia hii umepata vyote..... bado safari ni ndefu... na bado hatujaona mambo....watch and pray
Huu ni uharifu, ok unachoma moto kuku, mbuz, ng'ombe, uharifu wa Mali hizo ni ajira kwa watu. Wewe unateketeza? Ebu kaeni chini yamalizeni
Safi sana ila kwenye mifugo mngebeba msingechoma
Kabisa kuchoma wamekosea wangebeba tu
@@dariandeogratius sana tu
Mwendawazimu sio rahisi kujua chenye thamani kwake bali hupiga mateke tuu nakusepa zake
Au wangepumzika hapo siku kadhaa wakila nakutafakari pakwenda kupumzika tena
Time yakubeba ilikua hakuna
Lakini Hawa mifugowanakosa Gani Hawa waliowasha moto. Wakachoma mbuzi,ng'ombe, kuku na wao hivyo vitu havitakaa wangechoma nyumba tu
Kilichoniuma ni hao viumbe wa mungu kufa bila sababu !!! Daaah!!!
Usile kuku au usinywe maji maana kuna viumbe pia 😂😂
Yaan. Hawajui chochote 😢😢
laana huwa inatafuna kila kitu huwa haibagui
Huelewek hata unaongea Nn kuku ww
@@landmadvdmbeyacity9561 🙏 ubarikiwe sana ewe binadamu.
huu ni ktk ufusadi na uhabifu mkubwa,ndiyo sababu kwa uislam maandamano yamekatazwa na mtune muhammad sala na amani ziwe juu yake.
kwa hiyo kina mbowe wasituletee upuuzi na UFISADI huo hapa tanzania!!
Yani kitu mmeudhi ni kuteketeza hivo viumbe hai visivyo na hatia
Ukivila ww unasemaje
Their insults na huge salaries pesa ya wakenya na pia kuhongwa two million each ku vote yes
Ata kwenye biblia Kuna wakati Mungu aliruhusu taifa lilipige taifa na kisibaki kiumbe hai chochote wala kisichukuliwe chochote vyote viuwawe
kufa basi msenge wewe
@@stevebaluwa7132ushasema kwenye biblia kwani apo ni kwenye biblia Kuweni na utu mnachopambania ni sawa but isiwatoe roho ya utu hao viumbe wanaroho kama alivyobinadamu
Choyo na roho mbaya na ukabila vinawala Wakenya.
Kenya imegeuka Libya,
Sudan Somalia,Waafrka
ni akili fnyu.
Wanaangamiza maish
yao kwa mikono yao we
nyewe😂😂😂
Sasa mtakufa vifo vibaya kama mlivo uua kuku ishallah
Tuliwatuma bungeni kutuwakilisha sio kutusaliti halafu watuonyeshe kiburi ...hao jamaa waliopiga yes kwa bunge ni wakimbizi hawalali makwao
Yan Tz tungekua kama wakenya tusingekuwa tunachezewa na hawa wala rushwa wa pumbafuuuu safi sana kenya
Kabisa
Haujitambui
Si ujitambue ungejitambua na nani,, wewe ndo hujitambui
Kabisaa aisee
Jiombeeni
Nimpumbavu tu ndo anashangilia ujinga kama huu lakin huwezi furah hata siku moja mambo kama haya kufanyika kwa kuwa hata vitabu vya dini hata kimaadili tu huwezi mtendea mwenzako jambo kama hilo hata kama kakosea.
Hayo ssa sio maandamano ni wehu na wendawazimu. Hao viumbe wamewakosea nn..
Acha uzwazwa wewe, kwani hata hiyo nyumba iliwakosea nini? Watu wanatizama mali zinazomilimiwa na mpuuzi mbunge na si vinginevyo. Vita hainaga macho jamaa yangu.
Ni kweli
Mali za wizi. Ukitaka kutajirika Afrika jiunge na siasa. Ndiyo maana tunona viongozi wetu wamewasukuma watoto wawo kwenye siasa, ili watutawale vizazi na vizazi.
Chuki zitawaua mtazidi kuwa maskini. Mwenzenu atalipwa na bima atazidi kutajirika.
Bora amepoteza mengine hayatuhusu
Wana roho mbaya hawana adabu majobless
@@salamSalehhhhh wee mbwa unabwekea nani shoga mkubwa majobless wakati ombaomba huku ni watanzania
Huna akili tena inatakiwa nayeye wange mchoma harafu alipwe na bima
Learn how to mind your own business what do you know about Kenya nonsense
Sasa hapa si mtafanya kazi ya kumsababisha achukue hela ambayo mwananchi angetakiwa akaitumie ili areplace mali zake?
Tutashangilia tukiona ni jambo zuri ila litawaathiri wananchi.
Acheni kujichukulia Sheria mkononi tafakarini kwanza kabla ya kutenda
Safi san wakenya sisi watanzania tunatesouwa tu huku kwetu watawala hawataki kutusikiliza sisi wana tuona kama hatuna akili wanatuwambia kam maisha magumuu tuwamia burundi daaa nimateso tupu
Acha kusifia ujinga haya mamuzi yanasababisha kupoteza watoto na ndugu kwaujumla siwezi kubariana na haya mamuzi mpaka nakufa MUNGU akitaka kukupa haki atakupa tu hata kwakuchelewa Acha tuendelee kuwa wajinga
@@terashangwe255uongo
@@terashangwe255ujinga ni huu unaoufikiria wewe sasa Mungu yuko na yule anaeipambania haki yake
Hakika Mwenyezi Mungu habadilishi yale yalio kwawatu mpaka watu wenyewe wabadilike
Hivyo tukitaka mambo yetu yaende vizuri basi kwanza sisi wenyewe tuanze kubadilika tuache husda chuki choyo rohombaya baina yetu.
Unamkutia mtu anamlaumu mwenzake wakati yeye mwenyewe ndie mwalimu wachoyo naroho mbaya naye akipewa kinafasi anamega anakua mbinafsi sasa vipi tutafanikiwa wakati imani zimekua dhaifu?
Yote hayo nikutokana nakutokua nakhofu ya Mungu ndio maana mtu anahisi ataishi milele kwakuchukua mali za umma nakudhulumu
@@terashangwe255ndio utawaona tuu wakaa vibarazani nikulaumu tuu serikali embu angalia waliokufa kenya yani ni familia duni bona hawajafa matajiri majitu yanajiendea km manyumbu
Aki wakenya ni waharibifu, mnachoma ndege kuku ,, hasira za kijinga
Huu ni wivu sasa😢
Wivu gani unaongelea
Do you really know how Kenyans are going through a lot b cause of this silly mps
@@damagesinger8971 does burning there houses and destroying properties solve issues?
Hii ni Mali ya umah.....tuliwatuma bungeni kuhongwa ama kutuwakilisha??mambo bado
Chanjo ya Korona imeharibu mawazo ya watu hii nguvu ya pamoja ya kufanya hivi bila kuchoka wamepata wapi??
Kuku imeniuma wangechoma tuh moto nyumba
Kweli kuku hapo wanakosa gani
Bora wangewachukua wangeenda kula lakini sio kuwapiga kibiriti aisee
B@@husseinmassawa7186
Hata wangewafungulia waende popote
Hata mimi kiukweli Kuku wameniuma sana😢 viumbe wa Allah hawakua na kosa Bora wangekula tu kuliko kuwatesa hivo.
Hata hy nyumba wanauhakika ni pesa ya serikali
Watanzania wenzangu acheni kushadadia vitendo vya kiaharifu kwa kuwa kutenda jambo la kihain ni sawa na uhain hata kama ulikuwa na haki haki haitafutwi kwa kuchukua sheria mkononi hiyo ni dhambi ambayo kila apandaye uharifu ata ulipa sio picha nzuri kumtendea mwenzako uhain kama huu.
Me ninavyoona msimu ujao simba tunabeba ubingwa
😮😮🤣🤣🤣Ndoto za mchana
😅😅😅😅😅 umeiona eeh tuachane na wakenya ❤ 🎉 wekundu wa msimbazi juuu zaidi
Nimefurahi sana maana mada wala aifanani yote kuipenda Simba yetu
Dah so sad hao kuku wamekufa kwa mateso hawakustahili iyo adhabu tumehalalishiwa tule kuku ila so kuwaua kinyama ivo bora wangewafungulia tu waondoke zao kuliko kuwachoma ndani ya cage imeniumiza sn!
Hii Iko poa Sanaa kazi nzurii
Mungekua Tanzania si mungekua vichaa uzuri Tanzania wote sisi ni ng'ombe yaani ktk afrika yote tz wajinga sanasana wakenye mmesibitisha nyie ni majembe hasaaa hamtaki mchezo
Actually ni hasira ya alichofanya huyo kiongozi coz wangeweza hata kuwaiba ila hawakupata muda watu hawana chakula then mtu mwenye ako na mali anataka apate zaid...ila hili funzo liwafikie viongoz wanaoona watu ni wajinga ipo siku watachoka tuu
Wanakoelekea nikutengeneza nchi masikini
Naungana na wew
Njqq itqzidi
Yes maana hata watalii waliokua umo wameondoka fasta jkia airport ilikua imefurika
@@HanifaOman-oo4pl😂😂😂😂😂 haya na wew hanifa umetuandikia lugha gani au ndo woman wamekuchanganya
Pengine wewe hukusoma historia ya Dunia hii ,anza SA , USA , rudi kwenye mataifa mengine ya Africa wakati wa ukoloni kama HAKI iliombwa
Wabunge chukuweni hatua, mnaenda bungeni kutuwakilisha sisi wanainchi, tamaa za pesa wacheni kabisa kuna siku mtageukiana, Kenya Rais anapeleka mswada bungeni wanajadili alafu mnapitisha end then kikiumana anacancel mwisho wa siku mnatupiwa lawama utakuja kuwaeleza nn wananchi wako, wote walio pitisha bill hawana sifa tena kwa wananchi. Kumbukeni tumewatuma mtuwakilishe
Kenya watakuja kuingia vita ya wenyewe kwa wenyewe
We r united
Saivi hawawezi kuingia vita ya wao Kwa woa,Kwa maana saivi makabila YOTE yameungana,hawana tena ukabila,shida yao ni uongozi wote WA serikali wasiotenda haki wapi kujinufaisha wao na familia zao.saivi hata siasa za ukabila hawataki tena.
Kwa ss wameingiaa vita kal sanaa❤😅😢
hakuna vita ni uwoga tu.... east africa loading....
@@andrewemmanuel1861 hawana vita,ISIPOKUWA NI VIJANA WAMEAMUWA KUPAMBANA NA SERIKALI ILI WATEKELEZEWE MATAKWA YAO.HAWANA vita
😂😂😂 kenya mara hii tumeupiga mwingi jamani wameuwa watu 240 askari huko gighurai mbona hawasemi na majeruhi mamia watoto wamekosea nn hii serikali
Siku ya kwanza 2 ya maandamano nilihis hili jambo lazma lije litokee...maana wa2 wamechoka na unafiki wa viongozi wao🤔
Sasa km hiyo ni nyumba yake ya shambani ya mjini ikoje? Wakenya safi Sana furusheni hao wanufaisha matumbo
Yaani hii yote ni nyumba ya mtu? Duu, alafu bado anataka ushuru upande kwa watu wadogo. Kweli kila moja atalipwa hapa hapa Duniani
Kodi za wananchi alizojinufaisha kuzitumia peke yake zimerudi kwa wananchi
Nimejaribu kusoma komenti wenye hofu ya mungu niwachache sana cjapenda
Hao kuku waliwafanya nn hata muwachome moto acheni ujinga mnajitafutia ufukara
Wacha ujinga,,Na zile vifaranga za Kenya magufuli alichoma nilikuwa zimemfanyia nini?!! Think before you lip, Kenya we are not poor, if you don't have nothing to say keep quiet.or we come to you now .
@@lizmwale😂😂😂kumeanza kuchangamka
@@lizmwale kuiga makosa ni upungufu wa akili yaani nyie mnasumbuliwa na njaa alafu mnachoma Chakula ukapimwe akili😂😂
@@timetravellor5367 don't be stupid who ask you food from Kenya surely,in Tanzania you are not safe maker my words.
@@timetravellor5367 please try to write English you Tanzania idiot,. Kenya is Africa and Africa is in Kenya so don't call Kenyan stupid and we carry you in our back
Mbunge tu awe billionaire unadhani watafanyaje kama sio hivi wao wanakula tu pesa kujinufaisha wao na familia zao
I love tz my mother country idont have other nation
kwani nabii suleymani mbona alikuwa tajiri alimwibia nani cc maskini mtu akijiongeza mwizi ni wivu tu mapaka dunia inakwisha maskini watakuwepo ktk nchi zote duniani ata enzi za yesu palikuwa na omba omba kwani mashamba hayakuwepo wamekwenda kuwaua viumbe bila uruma ndio nn sasa
Hata kama jamaa amefanya makosa kama haya ila kuuwa wanyama na mifugo kwa kuchoma moto huyo ni ukatili mkubwa saana
Sijapendezwa na hilo bro wangeiba tu wakaenda na hao mifugo kuliko kuwachoma